Mambo vipi.
Jamani leo nimekuja na shida moja nimekua Sina kabisa hamu ya tendo la ndoa nashindwa kuelewa shida ni nini?
Lakini kinachotokea ni kwamba nasimamisha mnara Kama kawa lakini Raha Sipati kabisa. Ninachokifanya najitahidi tu kumridhisha Shem wenu tukikutana na anaridhika. coz ni haki yake, sijiskii raha kabisa.
Notes:: SINA TATIZO LA KUTOSIMAMISHA JOGOO..
Mi ni meni.
Tafadhali soma
Kama haupendi ngono jua unaumwa tafuta wataalamu ukatibiwe
Jamani leo nimekuja na shida moja nimekua Sina kabisa hamu ya tendo la ndoa nashindwa kuelewa shida ni nini?
Lakini kinachotokea ni kwamba nasimamisha mnara Kama kawa lakini Raha Sipati kabisa. Ninachokifanya najitahidi tu kumridhisha Shem wenu tukikutana na anaridhika. coz ni haki yake, sijiskii raha kabisa.
Notes:: SINA TATIZO LA KUTOSIMAMISHA JOGOO..
Mi ni meni.
Tafadhali soma
Kama haupendi ngono jua unaumwa tafuta wataalamu ukatibiwe