Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 292
HI wana jamvi ni kipindi kirefu kidogo sana nilikuwa mabali kidogo na ninyi dungu zangu, ila niko safi na pia matumaini na ninyi mpo safi pia
tatizo langu linalonofanya niwaze kwa sana ni kuwa sipata rafiki best wa kuwa nae wakat wote namaanisha shida na raha. wakat niko shule ya msingi nilikuwa na rafiki ambaya baada ya kufika shule ya sekondali aliamua kubadilisha mfumo wake wa maisha na tukajikuta hatuendani kiurafiki
nikapata mwingine pia nilivyofeli pia akanitupa, hali hii imekuwa hivi hivi, wapo rafiki niliowaamini lakini wamekuwa wakinisengenya kwa sasbabu
mbal mbali, shida zikinipata wamekuwa wako bize, rafiki niliobakiwa nao ni rafiki wa kawaida sana moyoni mwangu sio wale niliowathamni. sielwewi jamni nianze na moja kutafuta best au hawa niwaweke moyoni wawe best.
tatizo langu linalonofanya niwaze kwa sana ni kuwa sipata rafiki best wa kuwa nae wakat wote namaanisha shida na raha. wakat niko shule ya msingi nilikuwa na rafiki ambaya baada ya kufika shule ya sekondali aliamua kubadilisha mfumo wake wa maisha na tukajikuta hatuendani kiurafiki
nikapata mwingine pia nilivyofeli pia akanitupa, hali hii imekuwa hivi hivi, wapo rafiki niliowaamini lakini wamekuwa wakinisengenya kwa sasbabu
mbal mbali, shida zikinipata wamekuwa wako bize, rafiki niliobakiwa nao ni rafiki wa kawaida sana moyoni mwangu sio wale niliowathamni. sielwewi jamni nianze na moja kutafuta best au hawa niwaweke moyoni wawe best.