Heshima zenu wakuu,JF ni kisima cha wataalamu mbalimbali.Nami kwa taaluma yangu ya ualimu niliyonayo nikapendezwa kuandika kitabu cha kitaaluma.Nipi hapa kuhitaji mwongozo wa namna gani nitaweza kufanya taratibu zote mpaka kuchapwa kitabu na kuingizwa sokoni ikizingatiwa kuwa sins mtaji was kutosheleza kumudu zoezi hilo.
HIVYO yeyote yule mwenye uelewa juu ya tasnia hii.
KWA UFUPI kuna mchapushaji na msambazaji yeyote yule mzuri ninayeweza kuingia naye mkataba?
Karibuni.
HIVYO yeyote yule mwenye uelewa juu ya tasnia hii.
KWA UFUPI kuna mchapushaji na msambazaji yeyote yule mzuri ninayeweza kuingia naye mkataba?
Karibuni.