Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu kwenu

Usabatoni

Member
Apr 13, 2014
63
30
Wanabodi kheri ya mwaka Mpya 2017!!!!! Napenda kuwatangazia kuwa mwaka huu mungu akinijalia nitatoka katika maisha ya useja na kuanza maisha ya ndoa ila Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu kwenu kuwa natafuta mchumba wa kike.

Sifa zangu
a/ Mrefu
b/ Maji ya kunde
c/ 32 years hold
d/ Mwajiriwa & mjasiriamali
e/ Elimu M.A
f/ Christian
g/ Sina Mtoto

Sifa za msichana
- Asiwe mfupi
- Asiwe Bonge
- Asiwe na Mtoto
-Asiwe goalkeeper
-Awe Christian
- Elimu : Bachelor holder & above
- Umri 25-31
Kama kuna msichana ambaye yupo siriasi na anautayari wa kuolewa njoo PM kwa further conversion
Nawatakia sikukuu njema na mungu awabariki sana
 
Wanabodi kheri ya mwaka Mpya 2017!!!!! Napenda kuwatangazia kuwa mwaka huu mungu akinijalia nitatoka katika maisha ya useja na kuanza maisha ya ndoa ila Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu kwenu kuwa natafuta mchumba wa kike.

Sifa zangu
a/ Mrefu
b/ Maji ya kunde
c/ 32 years hold
d/ Mwajiriwa & mjasiriamali
e/ Elimu M.A
f/ Christian
g/ Sina Mtoto

Sifa za msichana
- Asiwe mfupi
- Asiwe Bonge
- Asiwe na Mtoto
-Asiwe goalkeeper
-Awe Christian
- Elimu : Bachelor holder & above
- Umri 25-31
Kama kuna msichana ambaye yupo siriasi na anautayari wa kuolewa njoo PM kwa further conversion
Nawatakia sikukuu njema na mungu awabariki sana
Hello
 
Wanabodi kheri ya mwaka Mpya 2017!!!!! Napenda kuwatangazia kuwa mwaka huu mungu akinijalia nitatoka katika maisha ya useja na kuanza maisha ya ndoa ila Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu kwenu kuwa natafuta mchumba wa kike.

Sifa zangu
a/ Mrefu
b/ Maji ya kunde
c/ 32 years hold
d/ Mwajiriwa & mjasiriamali
e/ Elimu M.A
f/ Christian
g/ Sina Mtoto

Sifa za msichana
- Asiwe mfupi
- Asiwe Bonge
- Asiwe na Mtoto
-Asiwe goalkeeper
-Awe Christian
- Elimu : Bachelor holder & above
- Umri 25-31
Kama kuna msichana ambaye yupo siriasi na anautayari wa kuolewa njoo PM kwa further conversion
Nawatakia sikukuu njema na mungu awabariki sana
Kama kuna msomi kama wewe hujui tofauti ya old na hold basi,HESLB walipoteza pesa zao bure halikdhalika wazazi/walezi wako.
Bora ungeandika kwa kilugha chako!!
Elimu za hapa na pale hizi!
 
Kama kuna msomi kama wewe hujui tofauti ya old na hold basi,HESLB walipoteza pesa zao bure halikdhalika wazazi/walezi wako.
Bora ungeandika kwa kilugha chako!!
Elimu za hapa na pale hizi!
On behalf of myself and the people infact members of Jf namuombea msamaha huyu jamaa
 
Kama kuna msomi kama wewe hujui tofauti ya old na hold basi,HESLB walipoteza pesa zao bure halikdhalika wazazi/walezi wako.
Bora ungeandika kwa kilugha chako!!
Elimu za hapa na pale hizi!
Pia 'conversion' na 'conversation' M.A holder huyo!!
 
Wanabodi kheri ya mwaka Mpya 2017!!!!! Napenda kuwatangazia kuwa mwaka huu mungu akinijalia nitatoka katika maisha ya useja na kuanza maisha ya ndoa ila Sina mchumba hivyo naleta tangazo langu kwenu kuwa natafuta mchumba wa kike.

Sifa zangu
a/ Mrefu
b/ Maji ya kunde
c/ 32 years hold
d/ Mwajiriwa & mjasiriamali
e/ Elimu M.A
f/ Christian
g/ Sina Mtoto

Sifa za msichana
- Asiwe mfupi
- Asiwe Bonge
- Asiwe na Mtoto
-Asiwe goalkeeper
-Awe Christian
- Elimu : Bachelor holder & above
- Umri 25-31
Kama kuna msichana ambaye yupo siriasi na anautayari wa kuolewa njoo PM kwa further conversion
Nawatakia sikukuu njema na mungu awabariki sana
Elimu na kuoa kuna uhusiano gani? Unataka mke mwenye bachelor holder kwani nyumbani kwako kuna ofisi unayoenda kumwajiri humo?? Halafu elimu yako mhhh.....further conversion???.....32 years hold???
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom