Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,652
Watu wanapenda kuchukulia mambo kiwepesi sana asee.. Mkuu bila leseni kwa kuhonga unaweza kutoka Lindi hadi Bukoba na kurudi fresh tu. Ishu ni kwamba ikitokea breakdown uta solve vipi? Assume umepigwa pasi njiani, je utaweza ku claim bima ili upate fidia?
Kumbuka uko na chombo cha moto barabarani, ambako napo huko barabarani kuna madereva wa kila aina na aina tofauti za uendeshaji na vyombo tofauti tofauti hivyo umakini na tahadhari ni kitu cha kuzingatia sana. Usiishi kama unaijua kesho vile.
Kumbuka uko na chombo cha moto barabarani, ambako napo huko barabarani kuna madereva wa kila aina na aina tofauti za uendeshaji na vyombo tofauti tofauti hivyo umakini na tahadhari ni kitu cha kuzingatia sana. Usiishi kama unaijua kesho vile.