Yaan una madegree yote hayo bado unalalamika maisha magumu?!,je alieishia la 7 ambae hana upeo wa maisha yalivyo atasemajeMimi ni graduate ninaye hold Masters Degree ya Public Administration.
Kinachosababisha nitamani dunia ifike mwisho ni namna ambavyo nadhaurika na kunyanyaswa na ndugu zangu na jamaa zangu, sina kazi, sina kipato.
Naombeni wana JF wenzangu mnisaidie mwenzenu. Nilipokuwa nafanya kazi project imemaliza muda wake Tanzania.
Ahsante sana
Achual swal kauliza yy lkn lime2wakilisha wa2 weng.Pakti moja ya sigara Embassy inauzwa kwa bei ya jumla Tsh.3250/= bei ya rejareja ni tsh.250@zinakaa sigara 20. Ukinunua pakti 2 na kuziuza zote,utapata tsh.10000/= ukitoa mtaji ambao ni tsh.6500/= utabaki na faida ya tsh.3500/= hiyo ni item moja tu ndogo. Maji ya kunywa ya uhai kwa mfano,bei ya jumla kwa katoni ni tsh.2400/= bei ya rejareja ni tsh.600@ yanakaa 6. Kila katoni utapata tsh.1200/=na maji ya speed sana,unaweza kuuza kwa siku mpaka katoni 15. Na si lazima uwe na mtaji wa katoni 15,kwa sababu maji ya jumla yapo kila mahali. Ukiweka pipi,biscuit,soda za take away nk. Kwa siku utatengeneza faida isiyopungua tsh.35000/= ambayo kwa mwezi ni zaidi ya 1ml. Mtaji wa hi biashara haufiki laki 5. Na hakuna gharama za lesseni wala Kodi ya frem. Tafuta mwamvuli wa tigo ambao ni bure,tafuta eneo stand za daladala uweke. Hii kazi itakufanya milionair baada ya miaka 3 tu...!
Hawa nao yao yanamwisho itafika miaka kadhaa atakuja na topic mpya.Labda aende kwa waganga wa Wakinga
Pole braza na elimu yako kubwa.
Stupid guy. Una masters halafu huwezi kujiongeza mpaka uajiriwe ? Alokwambia kuna ajira awamu ya tano ni nani ? Awamu hii ni kupunguza wafanyakazi. Kutumbua majipu na bomoa bomoa. Ni pm nikusomeshe jinsi ya kujikwamua kimaisha. Ajira itakufanya utimize malengo ya aliyekuajiri na sio malengo yako. Kama huna malengo ktk maisha wala usini pmMimi ni graduate ninaye hold Masters Degree ya Public Administration.
Kinachosababisha nitamani dunia ifike mwisho ni namna ambavyo nadhaurika na kunyanyaswa na ndugu zangu na jamaa zangu, sina kazi, sina kipato.
Naombeni wana JF wenzangu mnisaidie mwenzenu. Nilipokuwa nafanya kazi project imemaliza muda wake Tanzania.
Ahsante sana
hongeraNilikua nauza sabuni za kuogea za lungu family na mo soap natembeza mtaani mitaa ya kawe kinondoni msasani .wengi wananifahamu sana nauza Sabuni tatu 1000 . waliniona mjinga sana mi nilikua napiga had 50000 KWA siku na sasa nimeacha ile biashara nina duka GESI na bodaboda yg na nimejenga salasala .vijana tusidharau kazi
Nzuri hii.Pole usikate tamaa...kwa sasa usibague kaz fanya kazi yoyote ili upate pesa za kutumia wakati ukiendelea kuweka mipango yako sawa..
Hapana Kiongozi.Wimbo wa zamani sana wa Wu Tang Clan tukiwa tunasoma Msalato