covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,862
- 10,564
Kama kichwa cha habari hapo juu mm ni me umri ni late 20s, nipo dar es salaam kwa sasa elimu ni shahada ya maendeleo ya watu na ninafamilia kwa mwenye kazi ninamudu kazi mbalimbali za kutumia nguvu na za akili pia nahitaji nipo teyari kuifanya kazi yako vizuri.
Kwa mwenye kazi au connection ya kazi tafadhali nijulishe mm nitakufuata dm kwa mawasiliano zaidi.
Kwa mwenye kazi au connection ya kazi tafadhali nijulishe mm nitakufuata dm kwa mawasiliano zaidi.