Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
SINA IMANI NA OFISI YA MKEMIA MKUU.
Sijawahi kuamini kila kipimo kinachotoka Ofisi ya Mkemia Mkuu, Upotoshaji wa vipimo kwa watoto umekidhiri, upotoshwaji wa vipimo kwenye miili ya binadamu umekithiri. Na kwa kuwa Watanzania wengi ni Mburula na ugeni wa mambo, kila jambo la kipumbavu kwao huamini, kwa kuwa wanaamini kila mwenye Cheo fulani anajua jambo fulani. Kila mwenye taaluma fulani anajua kila jambo alilosoma.
Mambo mengi yanahitaji utafiti wa hali ya juu sana, nasubiri nikitoka chini nitasema yote maovu yanayofanywa chuni ya Wizara ya Afya, na kutufanya watanzania ni wajinga sana.
Deogratius Nalimi Kisandu
Mwanza.....Tanzania.
Sijawahi kuamini kila kipimo kinachotoka Ofisi ya Mkemia Mkuu, Upotoshaji wa vipimo kwa watoto umekidhiri, upotoshwaji wa vipimo kwenye miili ya binadamu umekithiri. Na kwa kuwa Watanzania wengi ni Mburula na ugeni wa mambo, kila jambo la kipumbavu kwao huamini, kwa kuwa wanaamini kila mwenye Cheo fulani anajua jambo fulani. Kila mwenye taaluma fulani anajua kila jambo alilosoma.
Mambo mengi yanahitaji utafiti wa hali ya juu sana, nasubiri nikitoka chini nitasema yote maovu yanayofanywa chuni ya Wizara ya Afya, na kutufanya watanzania ni wajinga sana.
Deogratius Nalimi Kisandu
Mwanza.....Tanzania.