The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
anaonekana mwenye nidhamu ya woga. nimemsikiza bbc akimuelezea kikwete kwa namna ya kutaka kutuaminisha kuwa kikwete ni muasisi wa mchakato wa katiba mpya na ana nia ya dhati ya kutuletea katiba mpya lakini anakwamishwa na watu aliowaelezea kama 'wanaojifungia chumbani'.
lakini kwa muono wangu, bwana huyu anayejipambanua kama mwenyekiti wa jukwaa la katiba namuona kama pandikizi la watawala.
waliomuweka kwenye hiko cheo hima wamuondoe haraka au wafuatilie kwa karibu nyendo zake.
sina imani naye.
lakini kwa muono wangu, bwana huyu anayejipambanua kama mwenyekiti wa jukwaa la katiba namuona kama pandikizi la watawala.
waliomuweka kwenye hiko cheo hima wamuondoe haraka au wafuatilie kwa karibu nyendo zake.
sina imani naye.