Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,858
- 3,543
Umemjuaje kama ni Mwiraqw?. Hata hivo aache wivu. Vijana siku hizi wapo vizuri maana wengi wamepitia Eglish Medium.Mkuu wacha wivu, Kama vipi Rudi tu shule.. Mwiraqw gani una wivu wa ivo
Umemjuaje kama ni Mwiraqw?. Hata hivo aache wivu. Vijana siku hizi wapo vizuri maana wengi wamepitia Eglish Medium.Mkuu wacha wivu, Kama vipi Rudi tu shule.. Mwiraqw gani una wivu wa ivo
Jina tu boss.. Nina ndugu zangu wana hilo Jina.Umemjuaje kama ni Mwiraqw?. Hata hivo aache wivu. Vijana siku hizi wapo vizuri maana wengi wamepitia Eglish Medium.
Mbna sjakosea mzee Hata Mwaka huu One ya tatu ya PCB ni mojaUmeandika upuuzi gani huu? "Edit" ili ueleweke.
Kwa sasa A inaanzia 75 C 45 B 65 D 30 pia kuna vitu vingi wamebadilisha kuanzia muundo wa mtihani ,mfano kidato cha pili ili ufaulu kwenda kidato cha tatu ukiwa na D mbili unafaulu lakini zamani walikuwa wanatumia wastani pia kidato cha nne mitihani ni rahisi kiukweli tofauti na zamaniKama sikosei, enzi zetu A ilikuwa inaanzia 81%, B 61%, na C 41%. Kwa sasa kuna uwezekano A inaanzia 70%.
Simple minded folkZile one simple sana kizipiga mkuu. Ungesoma english medium ungepiga tu. Alafu inaonekana hata watoto wako home work ufuatilii home work. Mtoto wa darasa la nne anasoma science ya form three kwann usipige one?
Usidanganye weweUngepita shule kadhaa za A level kuona maendeleo yao kabla ya kufanya conclusion. Hao div1.7 ni very smart mkuu, usiwachukulie poa.
Usibishe kwa maneno, leta na evidence.Usidanganye wewe
Wananifurahisha sana. Nostalgia inawasumbua.
Roho mbaya tuWakuu leo nipo kisomi zaidi kuongelea hili suala la kitaifa.
Wote ni mashahidi wa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yalivyosheheni division 1.7 karibu kila shule. St Francis Mbeya ilikuwa nazo nyingi sana. Kama ni za kweli na za haki nawapongeza NECTA, Waalimu, Wanafunzi, Wazazi na wote waliohusika kupatikana. Hakika ni matokeo ya kimbunga.
Ila mimi nina mashaka makubwa na matokeo hayo. Kwa tuliosoma miaka ya nyuma hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 mtakuwa mashahidi ilivyokuwa ngumu kupata Division One za 7,8 na 9. Sisi tuliziita one za digit. Ni wakali wachache walikuwa wakizipata. Matokeo yakitoka one zinakuwa nyingi ila za 7 ni chache mno. Kwa mfano Ilboru, Mzumbe na Kibaha zilikuwa zinatoa one nyingi mno ila hizo za 7 ilikuwa ngumu kuwepo nyingi.
Na waliokuwa wakizipata walikuwa ni wale magenius wa ukweli au wale ambao walikuwa na bidii ya kusoma karibu muda wote. Kuna majamaa walikimbiza kuanzia o-level hadi UDSM. Sisi wengine tulipiga tu One za kawaida. Wengi kuanzia one ya 12 hadi 17. Je, miaka ile wanafunzi hawakuwa na akili kama wa sasa? Hawakuwa na jitihada kuliko wa sasa?
Kwangu mimi inawezekana kweli zimepatikana kihalali. Pia nahisi zile tetesi za baraza "kupanua goli" ni za kweli. Kama kweli walipanua goli itakuwa jambo la kusikitisha mno. Ni kujidanganya. Mimi kwa leo nimepost tu wasiwasi wangu ila muda utatupa majibu sahihi kuhusu hawa watoto wetu.