Naomba nilete kwenu taarifa ambaye ilitolewa na baadhi ya magazeti ya leo kuhusu ajali waliyo pata wanajeshi wetu katika mazoezi yao jana. Nikweli kabisa kuwa kuna mmoja alifariki lakini yule mwingine baadhi ya magazeti yameripoti kuwa yuko MAHUTUTI, kamanda huyo ni ndugu yangu kilichoandikwa na ukimuona yeye ni vitu viwili tofauti, kwanza hata yeye alisoma gazeti na kushangaa. Nawashauri waandishi wetu KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUANDIKA KWANI KUNA NDUGU BAADA YA KUONA MAGAZETI WALICHANGANYIKIWA.
Naambatanisha na Picha ya kamanda aliyepata ajali jana na kunusurika, naye ana soma gazeti moja la leo.
Naambatanisha na Picha ya kamanda aliyepata ajali jana na kunusurika, naye ana soma gazeti moja la leo.