Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,219
- 36,219
Habari zenyu nyote.
Natumai mmeimaliza siku yenu salama hasa ukizingatia leo wakinamama duniani wameadhimisha siku ya wanawake duniani.
Basi kuna kijaruba nimekumbana nacho siku ya leo, sitakielezea kama kawaida yangu bali namuwekea huu wimbo akiusikikiza maneno yake namwambia hiviii ....." Sina habari nawee....". Bado.
Kijaruba yuko humuhumu JF naamini atasoma tuu hapa, asiposoma wenzie watamsimulia.
Kasie Matata....
Kimamboo on the Beats.....
Natumai mmeimaliza siku yenu salama hasa ukizingatia leo wakinamama duniani wameadhimisha siku ya wanawake duniani.
Basi kuna kijaruba nimekumbana nacho siku ya leo, sitakielezea kama kawaida yangu bali namuwekea huu wimbo akiusikikiza maneno yake namwambia hiviii ....." Sina habari nawee....". Bado.
Kijaruba yuko humuhumu JF naamini atasoma tuu hapa, asiposoma wenzie watamsimulia.
Kasie Matata....
Kimamboo on the Beats.....