Ray model
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 207
- 184
Mimi nampenda anayenipenda sina chuki na mtu
Wanadamu tunapaswa kuwa wastahamilivu kumbuka tumeumbwa wanadamu wa kila sampuli
Tunaishi mchanganyiko wa watu tofauti na mioyo tofauti na tamaduni cha msingi ni kuvumiliana tu
"Just relax ukijikaza utaumia" ndivyo tunavyopaswa tuishi tusiumize mioyo kuwaza au kuumia na maisha ya mwenzio au the way alivyo hiyo itakuumiza moyo tu. Ukicomplicate haya maisha itakucost sana just refresh mind, be simple, kila kitu kichukulie poa hususan watu na tabia za watu maana tunaishi watu mchanganyiko. Ukiishi hivi utaishi kwa furaha sana just try it utanambia
Ukiwa simple ukirelax utaenjoy maisha bali ukiwa mtu wa kucomplain ya wenzio,mtu wa kucomplicate, kuumia na maisha ya wenzio utapata tabu sana.
Napenda wanaonipenda ukinipenda nakupenda
Ukinipenda naona poa tu, ukinichukia poa tu kwangu ilmradi maisha yangu yaniendee tu
Wanadamu tunapaswa kuwa wastahamilivu kumbuka tumeumbwa wanadamu wa kila sampuli
Tunaishi mchanganyiko wa watu tofauti na mioyo tofauti na tamaduni cha msingi ni kuvumiliana tu
"Just relax ukijikaza utaumia" ndivyo tunavyopaswa tuishi tusiumize mioyo kuwaza au kuumia na maisha ya mwenzio au the way alivyo hiyo itakuumiza moyo tu. Ukicomplicate haya maisha itakucost sana just refresh mind, be simple, kila kitu kichukulie poa hususan watu na tabia za watu maana tunaishi watu mchanganyiko. Ukiishi hivi utaishi kwa furaha sana just try it utanambia
Ukiwa simple ukirelax utaenjoy maisha bali ukiwa mtu wa kucomplain ya wenzio,mtu wa kucomplicate, kuumia na maisha ya wenzio utapata tabu sana.
Napenda wanaonipenda ukinipenda nakupenda
Ukinipenda naona poa tu, ukinichukia poa tu kwangu ilmradi maisha yangu yaniendee tu