Sina chuki na Wakenya ila nimejifunza haya katika kufanya nao kazi

We mzee unaongea nini? kwa hio unaona chanzo cha wao kuwa hapo kisa ni muingereza kuwekeza kwao kuliko sisi, huyo muingereza yupo wapi sasa hivi? muingereza anamzidi nini mchina? kama unawaona british ni mastermind mbona wamepigwa big MF na nchi walizozitawala ikiwemo USA?

unachekesha mkuu...

Masuala ya hisa si kigezo rasilimali hawana acha wakomae na business, Kenya maisha yapo juu, kuanzia upangaji wa nyumba, kumiliki ardhi hata chakula ni tofauti na hapa kwetu, nikupe mfano....

China huduma za kijamii ni bei nafuu, hata pombe China ni bei chee sana, usizungumzie electronics huko ndio bei za kutupa, usizungumzie masuala ya afya ni sawa na bure, elimu n.k
USA huduma za kijamii ni ghali,

Kuna kitu kinaitwa Purchasing Power ndicho kinaifanya China iogopeke duniani, mchina anadunda na $100 siku nzima kwa mahitaji mengi...
Hio $100 nenda nayo USA uone kama jioni inafika...

Familia ya kipato cha kati Kenya inabidi itumie nguvu nyingi kuishi maisha sawa na familia ya kipato cha kati Tanzania...

Siku tukiamua kufanya vipaumbele na kampeni za uwekezaji kwa makampuni ya kigeni hapo ndipo tunawazika kabisa...

Sio ujanja eti kusifiwa mnaajiriwa sana, mnafanya sana biashara, halafu maisha ni ghali.... ni ujinga na ushamba
unazungumzia china ipi mzee maisha rahc. guanzhou au. nenda shenzhen au shanghai ulete hzo stor au fujiang au Beijing. au Hongkong. kwa taarifa yako mkenya ndio mwekezaji wa pili hapa kwetu akimfuata muingereza. sasa hv wanakuja huku kwetu wanawadanganya dada zetu wanawaoa wananunua mashamba makubwa kupitia dada zetu ndan ya miaka 30 ijayo wanatutawala. sio kila mahal maisha ni magum kenya kama vile tz. na china usiongee kabisa. wachina na ujeur wote wanategemea soko la mzungu kurun viwanda vyake.
 
We mzee unaongea nini? kwa hio unaona chanzo cha wao kuwa hapo kisa ni muingereza kuwekeza kwao kuliko sisi, huyo muingereza yupo wapi sasa hivi? muingereza anamzidi nini mchina? kama unawaona british ni mastermind mbona wamepigwa big MF na nchi walizozitawala ikiwemo USA?

unachekesha mkuu...

Masuala ya hisa si kigezo rasilimali hawana acha wakomae na business, Kenya maisha yapo juu, kuanzia upangaji wa nyumba, kumiliki ardhi hata chakula ni tofauti na hapa kwetu, nikupe mfano....

China huduma za kijamii ni bei nafuu, hata pombe China ni bei chee sana, usizungumzie electronics huko ndio bei za kutupa, usizungumzie masuala ya afya ni sawa na bure, elimu n.k
USA huduma za kijamii ni ghali,

Kuna kitu kinaitwa Purchasing Power ndicho kinaifanya China iogopeke duniani, mchina anadunda na $100 siku nzima kwa mahitaji mengi...
Hio $100 nenda nayo USA uone kama jioni inafika...

Familia ya kipato cha kati Kenya inabidi itumie nguvu nyingi kuishi maisha sawa na familia ya kipato cha kati Tanzania...

Siku tukiamua kufanya vipaumbele na kampeni za uwekezaji kwa makampuni ya kigeni hapo ndipo tunawazika kabisa...

Sio ujanja eti kusifiwa mnaajiriwa sana, mnafanya sana biashara, halafu maisha ni ghali.... ni ujinga na ushamba
Sana mkuu,

Mtu hata sehemu ya kulima sukuma wiki hana ila anajisifia soko la hisa ambalo linamirikiwa na upper class ya kina Kenyata na mabwanyenye ya kigeni.
 
unazungumzia china ipi mzee maisha rahc. guanzhou au. nenda shenzhen au shanghai ulete hzo stor au fujiang au Beijing. au Hongkong. kwa taarifa yako mkenya ndio mwekezaji wa pili hapa kwetu akimfuata muingereza. sasa hv wanakuja huku kwetu wanawadanganya dada zetu wanawaoa wananunua mashamba makubwa kupitia dada zetu ndan ya miaka 30 ijayo wanatutawala. sio kila mahal maisha ni magum kenya kama vile tz. na china usiongee kabisa. wachina na ujeur wote wanategemea soko la mzungu kurun viwanda vyake.
Kumbe wewe huijui Kenya na wakenya halisi!

Ni sawa na mtu aje hapa bongo amkute Bakhresa au Mo alafu ahitimishe kwamba watz ni matajiri sana.
 
unazungumzia china ipi mzee maisha rahc. guanzhou au. nenda shenzhen au shanghai ulete hzo stor au fujiang au Beijing. au Hongkong. kwa taarifa yako mkenya ndio mwekezaji wa pili hapa kwetu akimfuata muingereza. sasa hv wanakuja huku kwetu wanawadanganya dada zetu wanawaoa wananunua mashamba makubwa kupitia dada zetu ndan ya miaka 30 ijayo wanatutawala. sio kila mahal maisha ni magum kenya kama vile tz. na china usiongee kabisa. wachina na ujeur wote wanategemea soko la mzungu kurun viwanda vyake.
We jamaa acha ubishi ambao hauna manufaa, China na USA wapi maisha ni ghali? China kazidiwa uchumi lakini ana purchasing power kubwa, makampuni makubwa karibu yote ya kimarekani yamewekeza China kiuzalishaji, hujui hata purchasing power nguvu yake, before WW2 , USA kilichompa kiburi na uwezo wa kukabiliana na ile vita ni purchasing power mzee!!! ambayo sasa hivi hawana ndio maana viwanda vyao vikubwa apple,dell,microsoft, makampuni ya fashion, cosmetics vipo China,,,, yaani nikileta hapa list ni ndefu sanaa.. purchasing power inapelekea cheap and skilled labour, injinia wa kichina mwenye uwezo sawa na injinia wa ulaya wana malipo tofauti tokana na hio fact...
China maisha yasingekuwa nafuu, kampuni za kimarekani zisingekuwepo... kwa kubisha na hili nimekuona hujui kitu... we ni bogus...

Sasa endelea kujidanganya na story za kwenye gahawa mkuu.... lakini mi nakupa facts, Kenya maisha magumu... wamebaki kuringishia magorofa yaliyopo Nairobi kwa ambao hawajielewi, eti hisa, hisa na chakula hamna si ujinga wa karne... hata UAE na miji yake ya kubumba hana uwezo wa kujitapa mbele ya mji kama London, London imekua naturally mzee sio kama Dubai ambayo ni artificially kama ni mtu unasema kafanyiwa plastic surgery...

Mkuu Kenya ujanja ujanja mwingi wanajua kuwakamata vichwa watu kama nyie ila sisi wajanja tunawasoma tu...

Suala la kuoa dada zetu, ni ugumu wao wa maisha na wanawake wao ambao ni wachafu....
 
Sana mkuu,

Mtu hata sehemu ya kulima sukuma wiki hana ila anajisifia soko la hisa ambalo linamirikiwa na upper class ya kina Kenyata na mabwanyenye ya kigeni.
Heheheheeeeeeeehhhhh!!!!!
Eti ndio wanajiona ni smart, nakuambiaje mkuu Kenya ardhi ni changamoto
 
We jamaa acha ubishi ambao hauna manufaa, China na USA wapi maisha ni ghali? China kazidiwa uchumi lakini ana purchasing power kubwa, makampuni makubwa karibu yote ya kimarekani yamewekeza China kiuzalishaji, hujui hata purchasing power nguvu yake, before WW2 , USA kilichompa kiburi na uwezo wa kukabiliana na ile vita ni purchasing power mzee!!! ambayo sasa hivi hawana ndio maana viwanda vyao vikubwa apple,dell,microsoft, makampuni ya fashion, cosmetics vipo China,,,, yaani nikileta hapa list ni ndefu sanaa.. purchasing power inapelekea cheap and skilled labour, injinia wa kichina mwenye uwezo sawa na injinia wa ulaya wana malipo tofauti tokana na hio fact...
China maisha yasingekuwa nafuu, kampuni za kimarekani zisingekuwepo... kwa kubisha na hili nimekuona hujui kitu... we ni bogus...

Sasa endelea kujidanganya na story za kwenye gahawa mkuu.... lakini mi nakupa facts, Kenya maisha magumu... wamebaki kuringishia magorofa yaliyopo Nairobi kwa ambao hawajielewi, eti hisa, hisa na chakula hamna si ujinga wa karne... hata UAE na miji yake ya kubumba hana uwezo wa kujitapa mbele ya mji kama London, London imekua naturally mzee sio kama Dubai ambayo ni artificially kama ni mtu unasema kafanyiwa plastic surgery...

Mkuu Kenya ujanja ujanja mwingi wanajua kuwakamata vichwa watu kama nyie ila sisi wajanja tunawasoma tu...

Suala la kuoa dada zetu, ni ugumu wao wa maisha na wanawake wao ambao ni wachafu....
bro mbeya chakula ni sawa na bure na maisha ni rahc mno hyo haimaanish ndio maendeleo. mtu mmoja wa masaki garama zake za maisha zinaweza kuwa kubwa kuliko watu 30 wa mbeya kwa mfano. tatizo lako unafikir unaongea na kilaza. mi cwachukii wakenya ila kuna eneo wametuzid. kwa mfano wakat wa kikwete walikuwa wamepenyeza watu wao weng tu kwenye kaz kama sio Magufuli kuwatimua walikuwa wanataka ardh
 
bro mbeya chakula ni sawa na bure na maisha ni rahc mno hyo haimaanish ndio maendeleo. mtu mmoja wa masaki garama zake za maisha zinaweza kuwa kubwa kuliko watu 30 wa mbeya kwa mfano. tatizo lako unafikir unaongea na kilaza. mi cwachukii wakenya ila kuna eneo wametuzid. kwa mfano wakat wa kikwete walikuwa wamepenyeza watu wao weng tu kwenye kaz kama sio Magufuli kuwatimua walikuwa wanataka ardh
Utarudi pale pale tu, mmoja afanyie kazi mbeya na mwingine Masaki bado wa Mbeya atafanya savings vizuri... hata matajiri wanapenda kuishi kwa mahesabu... nilimsikia Oprah Winfrey yule mwanamama tajiri akizungumza jinsi alivyotafuta suluhisho la nyumbani kwake kutumia umeme ili kupunguza gharama za umeme, sasa huyo ni billionare....

Hata anayeishi Masaki anapenda kuishi kama walioko Mbeya... kwa maana hio kwa Savings Mbeya panafaa zaidi.. na unajua umuhimu wa savings...

Msimamo wangu upo pale pale, hatuna la kujifunza kwa wa Kenya, tunawazidi vingi, kuna kipindi walikuwa wanasema Mt Kilimanjaro ipo kwao, achilia mbali hayo watu nje kuna kipindi walijua Tanzanite inatoka Kenya... juzi hapa nilisoma kwenye mtandao mmoja maarufu lugha zinazozungumzwa na watu wengi zaidi duniani, kiswahili ilikuwa ya tano kwa kuzungumzwa na watu milioni 90, cha ajabu waliweka bendera ya Kenya... yaani wana mambo ya ajabu ajabu... ujanja ujanja mwingi.. wizi damuni...
 
unazungumzia china ipi mzee maisha rahc. guanzhou au. nenda shenzhen au shanghai ulete hzo stor au fujiang au Beijing. au Hongkong. kwa taarifa yako mkenya ndio mwekezaji wa pili hapa kwetu akimfuata muingereza. sasa hv wanakuja huku kwetu wanawadanganya dada zetu wanawaoa wananunua mashamba makubwa kupitia dada zetu ndan ya miaka 30 ijayo wanatutawala. sio kila mahal maisha ni magum kenya kama vile tz. na china usiongee kabisa. wachina na ujeur wote wanategemea soko la mzungu kurun viwanda vyake.
Yaani Kenya itutawale??..

Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikaribishwa kwenye nyumba moja ya waganda huko Uganda, yaani hiko chakula ni ndizi wanazifinyanga finyanga inageuka kuwa kama ugali, halafu hizo kuku sasa wanajaza na binzari za kutosha, pale mezani msosi umefunikwa na majani ya migomba, asee nilipakumbuka nyumbani...

Wanakuambia menyu kufunikiwa majani ya migomba hio ni heshima...

Unaipata chikomandoo?
😄😄😄😄 nimecheka kishenzi mzee,mpk Ile kitu wao wanaiita Rolex naisoma mkuu.
 
Yaani Kenya itutawale??..

Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
mzee unajua formula ya sleeping spy? mtu anakuja hapa anazalisha dada zetu watoto wanakuwa wanakuwa watz wanasoma we unaona kama ni wenzio mara wanakuwa wabunge mara mawazir mnashangaa vitu vinapitishwa tu vya hovyo bungen kumbe nchi za asili zao zinapambana msiamke wakakosa pa kupiga hela. mnashangaa wenzenu wanaenda nyie ni kulumbana tu miaka inaenda hamjadili maendeleo yenu mwisho unabaki na nch lakin kiuhalisia mifumo yote ya uchumi imeshikiliwa na wagen. kama wahnd wanavyofanya hapa kwetu.
 
Utarudi pale pale tu, mmoja afanyie kazi mbeya na mwingine Masaki bado wa Mbeya atafanya savings vizuri... hata matajiri wanapenda kuishi kwa mahesabu... nilimsikia Oprah Winfrey yule mwanamama tajiri akizungumza jinsi alivyotafuta suluhisho la nyumbani kwake kutumia umeme ili kupunguza gharama za umeme, sasa huyo ni billionare....

Hata anayeishi Masaki anapenda kuishi kama walioko Mbeya... kwa maana hio kwa Savings Mbeya panafaa zaidi.. na unajua umuhimu wa savings...

Msimamo wangu upo pale pale, hatuna la kujifunza kwa wa Kenya, tunawazidi vingi, kuna kipindi walikuwa wanasema Mt Kilimanjaro ipo kwao, achilia mbali hayo watu nje kuna kipindi walijua Tanzanite inatoka Kenya... juzi hapa nilisoma kwenye mtandao mmoja maarufu lugha zinazozungumzwa na watu wengi zaidi duniani, kiswahili ilikuwa ya tano kwa kuzungumzwa na watu milioni 90, cha ajabu waliweka bendera ya Kenya... yaani wana mambo ya ajabu ajabu... ujanja ujanja mwingi.. wizi damuni...
aisee hutanielewa tunaish kwenye dunia mbili tofaut.
kwanza ni kusaidie. dunia nzima hawa watu waliondelea wanaish kwa giliba ujanja ujanja. maana bila hyo uctegemee kukabil mabadiliko. wazungu wako hvyo na asians wako hvyo hvyo. hii dunia inaendeshwa katika mfumo ujanja ujanja chief. na ni yule mwenye uwezo wa kutafsir mazingira tu ndie atakaetoboa.
 
Mwanangu una pwenti. Kimsingi, wakenya walio wengi wana roho nyepesi, mbaya, chafu, waroho, wachovyo, wabinafsi na wasio na utu hata kidogo. Hata hivyo, wapo wakenya safi kabisa hasa wale waliookolewa na Tanzania wakati wakikimbia uimla wa Moi. Pia wanapenda kujipendekeza kwa management na watu wenye fedha. Hiyo ndiyo legacy ya muingereza kuwakalia sana. Kwa Tanzania naona tunaokaribiana nao ni Wamalawi, Zambia na Uganda waliobaki makapi.
Uongo
 
Back
Top Bottom