Usiku wa jana tumeshuhudia ndoa ya jirani ikivunjika kutokana na masimulizi ya ma-x walokua wakisimuliana....
Alianza mwanaume then akafuata mwanamke akimwambia mumewe, x wangu alikua akipiga show balaa sijapata kuona, kauli hii ilimkasirisha sana mwanaume na kuhisi yeye hawezi kazi.... ndipo ukazua ugomvi na kuamua kumtaliki mkewe.
NB: Wanaume wenzangu tusiulize habari za ma-x kwa usalama wa ndoa zetu
Alianza mwanaume then akafuata mwanamke akimwambia mumewe, x wangu alikua akipiga show balaa sijapata kuona, kauli hii ilimkasirisha sana mwanaume na kuhisi yeye hawezi kazi.... ndipo ukazua ugomvi na kuamua kumtaliki mkewe.
NB: Wanaume wenzangu tusiulize habari za ma-x kwa usalama wa ndoa zetu