fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
watu mnapotoka nje ya mada na kuanza kutema povu kama mmemeza OMO.Nimesoma maoni ya wengi ila maoni ya huyu ni utaahira mtupu,sasa Kenya ni nini mpk lazima wafanyacho na ss tufanye?
Hlf acha udini,kumbuka wapigania uhuru walikuwa watu kutoka Pwani ambao hat Jk alipokelewa nao,so ni lazima walikuwa waislam ss issue cyo udini ila historia ya nchi lazima iwatambue mashujaa wake wawe waislamu au wakrist cyo muhimu,babu yako kumbuka hakuwa anajua chochote kule kwenu Miliman hata kusoma hakusomaga,nchi zingine ukienda makumbusho hata sanamu zao mashujaa wetu tungeziona..we unaropoka tuu wakat hata ukimtumia mtu vocha unamuuliza umepata unataka asante wakati jina lake lilisoma ktk simu yako kuwa amefikiwa na salio . Na hata mchango wa maafa bukoba hukutoa hlf unadhani kujitoa kwa ajili ya watu usiowajua ni kitu kidogo .
Tena ss hv upo Dar kwann usirud kwenu ukawa mzalendo kutengeneza uhuru wa mawazo wa wanakijiji wenu mkaukomboa tuu mji wenu uwe unadhalisha ili uje kuwa mji huru kiuchumi na vizazi vyenu vikafaidi,ila kwakuwa ni mbinafsi unang'ang'na na jiji ili kuikomboa familia yako tuu,thamin walichofanya wale wazee,ww huwez hata uish milele