Simulizi ya kweli "Lucid dreams and an imaginary world"

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,698
9,775
Simulizi ni ya kweli, Inahusu matukio ya kiroho yaliyonikuta mwaka 2016 hadi 2018 kabla ya kutenganishwa na nguvu za kiroho zilizokuwa tayari zimeamshwa ndani ya mwili wangu, yaani Godnes Power!

"Ndoto tulivu / shwari na ulimwengu wa kufikirika machoni pa binadamu"

Simulizi iliyosheheni mambo ya kutisha na kustaajabisha ambayo hayakupaswa kuonwa kwa jicho la mwanadamu, lakini niliwahi yashuhudia!

Matukio kama vile vita kali inayoendelea kati ya kundi zima la Lucifer na Maraika watakatifu, roho za wafu zinazoranda randa duniani, viumbe visivyo vya kawaida, virefu lakini mfano wa binadamu! Maongezi na wanyama kama vile paka na mbwa! Yote haya utayapata ndani ya simulizi hii!

Mwanamke ni nani, na je ni kivipi maamuzi yake yanakuwa si ya kueleweka? Siri yote niliipata huko! Na je ubavu sahihi wa kila mwanaume u wapi? Yote haya yalifunguliwa huku! Kwanini meditation (tahajudi) na kwanini viumbe tunaishi maisha ya kufikirika ambayo hayana uhalisia wa yale tunayoyaona? Programmes zote zinazotu control nilipatiwa fumbuzi zake!

Nahisi mwisho wa simulizi hii kila mtu hatotamani tena kufanya YOGA, tahajudi (MEDITATION) na AUSTRAL PROJECTION kwa ajili ya amani ya moyo wake!

Je, kuna maisha baada ya kifo?

Kaa mkao wa kula na kujifunza!
Soon simulizi hii itaanza rasmi!

NB: Replies za neno CHAI zitakapokuwa too much zitauvunja moyo wa msimulizi, na simulizi kuishia njiani!

yoga-2176668__480.jpg
 
NB: Replies za neno CHAI zitakapokuwa too much zitauvunja moyo wa msimulizi, na simulizi kuishia njiani!

acha kutujambisha wee hebu lete hiyo chai ya manjano.
 
tafadhali mkuu.

umeamua kwa utashi wako kutushirikisha jambo lako,wala hatukuwa na taarifa nalo tukiwa tumechill kwa aman kabisa.

mambo ya inaendelea hatuyataki maana dalili zimeshaanza,kama unaona huna muda wa kuileta na una kazi nyingi better futa utaileta siku nyingine.
 
Simulizi ni ya kweli, Inahusu matukio ya kiroho yaliyonikuta mwaka 2016 hadi 2018 kabla ya kutenganishwa na nguvu za kiroho zilizokuwa tayari zimeamshwa ndani ya mwili wangu, yaani Godnes Power!

"Ndoto tulivu / shwari na ulimwengu wa kufikirika machoni pa binadamu"

Simulizi iliyosheheni mambo ya kutisha na kustaajabisha ambayo hayakupaswa kuonwa kwa jicho la mwanadamu, lakini niliwahi yashuhudia!

Matukio kama vile vita kali inayoendelea kati ya kundi zima la Lucifer na Maraika watakatifu, roho za wafu zinazoranda randa duniani, viumbe visivyo vya kawaida, virefu lakini mfano wa binadamu! Maongezi na wanyama kama vile paka na mbwa! Yote haya utayapata ndani ya simulizi hii!

Mwanamke ni nani, na je ni kivipi maamuzi yake yanakuwa si ya kueleweka? Siri yote niliipata huko! Na je ubavu sahihi wa kila mwanaume u wapi? Yote haya yalifunguliwa huku! Kwanini meditation (tahajudi) na kwanini viumbe tunaishi maisha ya kufikirika ambayo hayana uhalisia wa yale tunayoyaona? Programmes zote zinazotu control nilipatiwa fumbuzi zake!

Nahisi mwisho wa simulizi hii kila mtu hatotamani tena kufanya YOGA, tahajudi (MEDITATION) na AUSTRAL PROJECTION kwa ajili ya amani ya moyo wake!

Je, kuna maisha baada ya kifo?

Kaa mkao wa kula na kujifunza!
Soon simulizi hii itaanza rasmi!

NB: Replies za neno CHAI zitakapokuwa too much zitauvunja moyo wa msimulizi, na simulizi kuishia njiani!

View attachment 2268396
Mkuu..Tunasubiri hii simulizi kwa hamu sana.Maana yako mengi ya kujifunza hapa..Kwanza kufahamu vile uliactivate Godnes power na kwamazingira gani ulipoteza..Hawa wa chai sijui nini wewe wapotezee tu Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom