Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Huu upimaji na kugundua kuwa hawana marinda umefanyika lini au tu ni kutafta vichwa vya habari.
Kweli kabisa ingawa viongozi wa dini wapo busy sana.Dini zimezidiwa speed na utandawazi. Wabadili mbinu za kuifanya jamii iwe na hofu ya Mungu.
Kweli kabisa ingawa viongozi wa dini wapo busy sana.Dini zimezidiwa speed na utandawazi. Wabadili mbinu za kuifanya jamii iwe na hofu ya Mungu.
Daaah. wamewaona wapi hao waarabu. 😂😂Wamewaiga Waarabu
Ndio michezo yao hii
Chnanzo ni TwawezaWanawasingizia tu! Wamejuaje? Mkurugenzi sio daktari amehakikishaje?
Na kweli usemali Ses waweke Password au kama vipi wasiwape tu tu hiyo simu.Halafu wazazi wa kike ndio wanakosaga umakini katika hili la kuacha mambo yao wazi kwenye simu na watoto wanaazima kucheza games wanakutana na hayo mambo
Mtu kama unamambo yako ambayo sio vizuri watoto waoyaone si unaweka password tu?
Huo ni mchezo wao,utaigaje kitu,bila kukiona?Yaonyesha huo mchezo upo toka mababu na mabibi huko Mwanza,ila ilikuwa hajapatikana wa kuyasemea.Wamewaiga Waarabu
Ndio michezo yao hii
Huko Mwanza,ni.mchezo wao,toka mababu na mabibi,ila sasa kumepatikana wa kuyakemea.Sasa ikitolewa kuhusu Zanzibar kutakuwa na Uajabu gani?
Yaani uongelee habari ya samaki na kuiitaja bahari au ziwa iwe ajabu?
Ua not serious.
Wanaume hawatoagi simu zao kwa watoto wachezee game, sijui kwanini😃😃😃Na kweli usemali Ses waweke Password au kama vipi wasiwape tu tu hiyo simu.
Hahahaaa. Kwanza hata kuzowea kuzigusa huwa hawazigusi.Wanaume hawatoagi simu zao kwa watoto wachezee game, sijui kwanini😃😃😃
Tunakua wakali sababu kuna ma "file nyeti'' kwenye simu wasije wakaharibuHahahaaa. Kwanza hata kuzowea kuzigusa huwa hawazigusi.
Ukali wenu huo itakuwa ndo sababu.
Wacha weeee! Haya endeleeni kuyatunza tu hayo mafile. 😜😜Tunakua wakali sababu kuna ma "file nyeti'' kwenye simu wasije wakaharibu
Halafu watoto walivokua karibu na mama zao ukiwapa simu hawakawii kuwaonyesha mafile nyeti mwisho yanaweza kuingia virus bureeWacha weeee! Haya muyatunzage tu hayo mafile. 😜😜
Baadhi ya wanafunzi wa kike katika Shule za Msingi na Sekondari jijini Mwanza, wamedaiwa kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile, kwa kile kilichoelezwa kukwepa kubeba mimba na kupelekea kufukuzwa shule.
Hayo yamebainika mkoani Mwanza kwenye kikao cha wadau wa elimu, kilicholenga kujadili mkakati wa kutokomeza mimba za utotoni ikiwemo kutoa elimu juu ya madhara ya kufanya mapenzi, katika umri mdogo.
Matoke Jackson ni Mkurugezi wa Asasi ya Usaidizi wa Kisheria ya Wilaya ya Ilemela (ILABU) ameibainisha kuwepo kwa tatizo hilo kwa changamoto hiyo kwa wanafunzi hasa wa shule za msingi kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile.
“Kwenye utoaji wa elimu hii tumegundua mpaka Shule za Msingi sasa ni tatizo, mpaka watoto wa Darasa la nne wanajua namna ya kufanya mapenzi, tena hasa ya mapenzi ya kinyume na maumbile, yamelipuka sana kwenye Shule za Msingi kuliko za Sekondari” amesema Mateko Jackson