Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

You are a medical doctor doctor you are just saying what you were fed, period. wake up do your own researches. to me doctors are nothing but sleeping 'big pharma' agents
 
nilisikiaga ukiona watu mtandaoni au hata mtaani wanajifanya kuukandia sana huu mchezo basi hao ujue ndio watumiaji wakuu..

hata sasa kupitia huu uzi nimeshajua watumia tigo wanaojificha kwenye kivuli cha kupinga na waliwa tigo pia 😂😂 nawazoom tu
 
Pamoja na UTUNDU wangu wote.

TAKO ni tofauti na MIMI.

Sijawahi kula TAKO.

Na sitothubutu kula TAKO
Wengine wanabadili gea angani
Wakati unachochea bahati mbaya ukatoka ukirudishwa unarudishwa sipo
Na kama huna uzoefu unaendelea kula mavi
Na wengine wakishakosea njia wananyamaza hawatoki
Anafanya kama hakujua vile
 
Hapo vip!!
Kiukweli kwa nyakati hizi wanaume ambao tunania yakuoa tunawakati mgumu na changamoto kubwa sana.

Naamini kwa mwanaume mwenye maadali na mwenye hofu ya Mungu, akimuoa mwanamke mwenye tabia ya kutoa kinyume na maumbile Mungu aliyohalalisha, itakuwa ni fedheha kubwa na laana hata katika watoto mtakao wazaa.

Kwa siku hizi, hii tabia inaonekana ni kwenda na wakati au ujanja fulani kwa msichana au mwanaume kufanya hivyo..

Hii tabia haitaacha, hii new generation salama,kwasababu inaenea kwa kasi kama moto wa petroli.

Inasikitisha sana, tena sana fikiria umemuoa mtu mwenye tabia kama hizi nawanasema kama alishazoeshwa lazima atamtafuta mwanaume mwenye kutumia kule ili awezekuridhika,sasa hii ndoa itakuwa salama kweli ,anyway kwa baadhi ya wanaume mnaependa kutumia kule kwenu sawa tu..

Sasa ili kuepuka kuingia kwenye ndoa na mwanamke mwenye tabia kama hizi utafanyaje uweze kugundua mapema..?
 
Watu wanaongelea hili kama kitu cha kawaida, tunaiga tu kila kitu lakini kwa mujibu wa Ripoti za kitabibu wenzetu walioanzisha haya wako vizuri sana katika ku maintain usafi na kwa hali ya juu kabisa hospitali zao zimejaa madawa ya kutibu magonjwa yanayotokana na athari za tendo lenyewe. Kibaya zaidi nyuma kuna nerves nyingi ambazo zinampa mtu raha ya ajabu lakini pia kuna mamilioni ya bacteria na athari zake ni kubwa mno. Rafiki yangu mmoja daktari aliwahi kuniambia hakuna kisichotibika ila matibabu yake sasa gharama kubwa mnona alinipa stori za jinsi watu na hasa wadada wanavyokwenda Muhimbili na vilio, wanapata maumivu na wengine wanashindwa hata kukaa, na wengi tayari dalili za kansa zimeanza kuonekane. Tunatakiwa tuwatahadharishe sana mabinti zetu ndugu jamaa na marafiki juu ya mchezo huu umeingia kwa kasi na sasa hauzuiliki tena
 
Back
Top Bottom