Simulizi Ya Kahaba

FaizaFoxy anavyokomaa kupinga mapenzi nje ya ndoa wengi humuona nuksi humu, sasa tazameni hata Shy tuliekuwa nae JF miaka na miaka na yeye yuko kweny kundi la huyo dada na katajwa jina.

Jamani, wacheni huu upuzi, Jamii inawahitaji. Tena bora uumwe ufe, lakini ile sasa ya kukaaa kuhangaisha ndugu, jamaa na marafiki kukushughulikia kwa maradhi ya kujitakia? bora uumwe magonjwa ambayo hukujitakia na hayako kwenye uwezo wako kuyazuwia, lakini haya ya ngono yanazuilika jamani na njia ni moja tu "abstinence".

Nakumbuka jamaa yetu mmoja alikuwa akiumwa sana kwa muda mrefu, "complications" za UKIMWI na neno lake kila tukienda kumuona ni "nisameheni jamani", nna uhakika alikuwa anaona vibaya anavyotutesa kwa raha zake.
 
Sote tukapime afya zetu mara tatu au nne. Tukishajijua, tujipangie maisha salama zaidi yasiyo na maambukizi ya ukumwi. Inawezekana. Tusiambukize wengine kwa makusudi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom