Simulizi ya 'GERANIMO' kwenye front page za magazeti..

Habibu B. Anga

JF-Expert Member
May 7, 2013
6,557
25,670
Leo asubuhi nilipofika kwenye meza ninayo nunua magazeti siku zote jicho langu likanasa kwenye gazeti la KISIWA.

Kwenye ukurasa wa mbele habari iliyopewa uzito wa juu inasomeka; USIYOYAJUA KUHUSU KIFO CHA OSAMA BIN LADEN.
Nikawa curious kidogo, so nikanunua hilo gazeti nione kama 'yaliyomo yamo?'.. Kufungua ndani duuuuuuuuuuuuhhh gazeti la kisiwa sio 'watu wa mchezo mchezo' yani 'wamekopi na kupesti' 100% makala yangu ya 'GERANIMO E.K.I.A: Kutoka makao makuu ya CIA, Langley..'

Sio mbaya though binafsi nimefurahi kuwa makala zetu JamiiForums zimeshiba ndio maana JF imekuwa kimbilio la vyombo vya habari kupata news na makala kama hizi ila ninachowaomba gazeti la KISIWA na wengineo wakumbuke kutoa credit kwa JF kuwa ndio source ya makala yao na mwandishi The Bold.. Fanyeni hivyo wakuu nimeona pale mwishoni mmeandika 'itaendelea toleo lijalo' kwahiyo toleo lijayo toeni credit wakuu (najua mpo humu)..... na kingine nasubiria mnirushie 'ya vocha', LOL
 
1476443774705.jpg
1476443785187.jpg
1476443804145.jpg
 
Leo asubuhi nilipofika kwenye meza ninayo nunua magazeti siku zote jicho langu likanasa kwenye gazeti la KISIWA.

Kwenye ukurasa wa mbele habari iliyopewa uzito wa juu inasomeka; USIYOYAJUA KUHUSU KIFO CHA OSAMA BIN LADEN.
Nikawa curious kidogo, so nikanunua hilo gazeti nione kama 'yaliyomo yamo?'.. Kufungua ndani duuuuuuuuuuuuhhh gazeti la kisiwa sio 'watu wa mchezo mchezo' yani yani 'wamekopi na kupesti' 100% makala yangu ya 'GERANIMO E.K.I.A: Kutoka makao makuu ya CIA, Langley..'

Sio mbaya though binafsi nimefurahi kuwa makala zetu JamiiForum zimeshiba ndio maana JF imekuwa kimbilio la vyombo vya habari kupata news na makala kama hizi ila ninachowaomba gazeti la KISIWA na wengineo wakumbuke kutoa credit kwa JF kuwa ndio source ya makala yao na mwandishi The Bold.. Fanyeni hivyo wakuu nimeona pale mwishoni mmeandika 'itaendelea toleo lijalo' kwahiyo toleo lijayo toeni credit wakuu (najua mpo humu)..... na kingine nasubiria mnirushie 'ya vocha', LOL
hiyo stori yako niliisha isoma sehem ...sikumbuki gazet...na ilimuhusisha jamaa mmoja mzanzibar aliekua mpishi wa osama..kipind anahukumiwa kifungo cha maisha marekani
 
Ni kwa sababu Bongo hatuna utaratibu wa kusimamia sheria ya maudhui. Ndiyo maana wamepata ujasiri wa kukopi.

Halafu tuna maradhi mengine, Watu wengi wakikopi jambo wanakopi kwa 100%. Wanashindwa hata kuadjust hapa na pale. Ni kama wapiga chabo mitihani au kazi
 
Leo asubuhi nilipofika kwenye meza ninayo nunua magazeti siku zote jicho langu likanasa kwenye gazeti la KISIWA.

Kwenye ukurasa wa mbele habari iliyopewa uzito wa juu inasomeka; USIYOYAJUA KUHUSU KIFO CHA OSAMA BIN LADEN.
Nikawa curious kidogo, so nikanunua hilo gazeti nione kama 'yaliyomo yamo?'.. Kufungua ndani duuuuuuuuuuuuhhh gazeti la kisiwa sio 'watu wa mchezo mchezo' yani yani 'wamekopi na kupesti' 100% makala yangu ya 'GERANIMO E.K.I.A: Kutoka makao makuu ya CIA, Langley..'

Sio mbaya though binafsi nimefurahi kuwa makala zetu JamiiForum zimeshiba ndio maana JF imekuwa kimbilio la vyombo vya habari kupata news na makala kama hizi ila ninachowaomba gazeti la KISIWA na wengineo wakumbuke kutoa credit kwa JF kuwa ndio source ya makala yao na mwandishi The Bold.. Fanyeni hivyo wakuu nimeona pale mwishoni mmeandika 'itaendelea toleo lijalo' kwahiyo toleo lijayo toeni credit wakuu (najua mpo humu)..... na kingine nasubiria mnirushie 'ya vocha', LOL
Vocha

 
Makala ya kifo cha Osama iliwahi kuandikwa katika gazeti la Mwananchi kwa muendelezo. Ilinisisimua kiasi cha kunifanya kutafuta kitabu ambacho ningeweza kupata story nzima bila mafanikio. Kwenye gazeti la mwananchi waliingia dip namna ambavyo wenzetu wana uwezo wa kuchambua taarifa na viashiria vyake kwa muda mrefu na kisayansi zaidi.
 
Nlikopi na kupesti kutoka wapi??
Labda kilichotokea ni hivi: Wewe ulisoma mahali ukatafsiri kwa kiswahili. Na wao wakasoma mahali nao wakatafsiri kwa kiswahili. Hivyo ni lazima zitafanana. Nimeshangaa na wewe unasema hiyo ni ''makala yako'' wakati hii habari imeandikwa siku nyingi tena kwa kiingereza na kwa undani zaidi.
 
Nlikopi na kupesti kutoka wapi??
Oh kwahiyo ndo kusema ulikuwepo ama? ulihusika upande upi labda kule hall alipoketi obama au ulikuwa kwa battle arena?! au ndo kusema we ndiye uliilipua ile helkopta iliyogonga ukuta?!
Sema hivi gazeti la kisiwa wamekopi simulizi ya kisa cha shambulizi dhidi ya osama ambayo nimeitafasili kwa kiswahili.
Hata hivyo nipo upande wako mkuu ya kwamba "kisiwa" walipaswa waku credit kwa tafsili na simulizi jadidi yenye msisimko kuhusu hiki kisanga.
 
Labda kilichotokea ni hivi: Wewe ulisoma mahali ukatafsiri kwa kiswahili. Na wao wakasoma mahali nao wakatafsiri kwa kiswahili. Hivyo ni lazima zitafanana. Nimeshangaa na wewe unasema hiyo ni ''makala yako'' wakati hii habari imeandikwa siku nyingi tena kwa kiingereza na kwa undani zaidi.
Ubaya ni kwamba haiko hivyo? Mimi nimefanya 'research' yangu kutoka vyanzo mbali mbali na nikaandika kwa mtazamo wangu.. Wao pia walipaswa kufanya research yao na kuandika makala yao but kama wanachukua makala niliyoandika mimi walipaswa kutoa credit..
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom