Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 908
bro usibishane nao wengine ndio waandishi wenyewe wa hilo gazeti.Ubaya ni kwamba haiko hivyo? Mimi nimefanya 'research' yangu kutoka vyanzo mbali mbali na nikaandika kwa mtazamo wangu.. Wao pia walipaswa kufanya research yao na kuandika makala yao but kama wanachukua makala niliyoandika mimi walipaswa kutoa credit..