Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

Jaman mwandishi anatoa kitabu siku si nyingi jiandaeni huu mwezi
IMG_20190502_145244.jpeg
 
Amesema itakuwa kwa mfumo Wa hard copy softy copy haina faida
asingeleta basi@!
kwani humu wanaosoma wanafika elf ngapi?
Wenzie wanaleta na wanamaliza riwaya humu na vitabu vinauzika...maana humu wasomaji ni wachache sana ..
Asilete humu kujaza sever bure...atoe huko mitaani anotaka atanunua lakini si kufanya hivi..sio ustaarabu!

Si yeye tu na wengine wote wenye ila kama yeye!
 
Well say, ni heri angeiuza tu kwa mfumo wa soft copy mana sometime hard copy sehemu nyingine huwezi pata zinakuwa chache
asingeleta basi@!
kwani humu wanaosoma wanafika elf ngapi?
Wenzie wanaleta na wanamaliza riwaya humu na vitabu vinauzika...maana humu wasomaji ni wachache sana ..
Asilete humu kujaza sever bure...atoe huko mitaani anotaka atanunua lakini si kufanya hivi..sio ustaarabu!

Si yeye tu na wengine wote wenye ila kama yeye!
 
asingeleta basi@!
kwani humu wanaosoma wanafika elf ngapi?
Wenzie wanaleta na wanamaliza riwaya humu na vitabu vinauzika...maana humu wasomaji ni wachache sana ..
Asilete humu kujaza sever bure...atoe huko mitaani anotaka atanunua lakini si kufanya hivi..sio ustaarabu!

Si yeye tu na wengine wote wenye ila kama yeye!
Well say, ni heri angeiuza tu kwa mfumo wa soft copy mana sometime hard copy sehemu nyingine huwezi pata zinakuwa chache
Aliyekuwa anaieleta humu si yeye mwandishi lakini
 
Back
Top Bottom