Simulizi: Tamaa ilinipeleka Kisiwa Cha Najini

bioto

JF-Expert Member
Oct 1, 2017
1,261
2,095
SIMULIZI; TAMAA ILINIPELEKA KISIWA CHA MAJINI
SEHEMU YA KWANZA
Jina langu naitwa Jackson Abell ni mzaliwa wa
tanga shughuli zangu ni biashara kawaida huwa na
chukua mzigo Zanzibar kwa bei nafuu na kuja kuuza
Tanzania bara biashara hii nimefanya kwa muda
mrefu kwani ni biashara inayonifanya niendeshe
maisha yangu ya kila siku, sitasahau mwaka 2017
mwezi wa 6 tarehe 10 SAA sita usiku nilipopigiwa
simu na rafiki yangu Abdulazaki kuwa kuna contena
lililokosa mmiliki kwani tunatakiwa tuka badili
documents na lile contena tulimiliki sisi( hii ni tabia
ya wafanyabiashara wengi sana ya kugeuza
documents ya mzigo Fulani eiza mmiliki wake
akiwa amekufa au hana uelewa ndio maana
unaweza kuta watu Fulani wakilalamika macontena
yao kupotea na utajiuliza inakuwaje) basi taarifu
hiyo ilinifanya moyo uripuke kwa furaha kwani
niliona utajiri unanivamia kwa kasi ya ajabu
"Nakuja sasa ivi" nilisema kwa kuongozwa na hisia
kuwa nikichelewa basi naweza pishana na gari la
mshahara hivi hivi.
"Babu utapanda ungo au? Aliuliza Abdul
" wewe niache nakuja sasa ivi tuweke mipango
sawa ilikesho asubuhi tujue tutafanyaje Mimi apa
usingizi usha nitoka"
"OK sawa Mzee na kusubili" alinijibu Abdul
Haraka haraka nikajiandaa nika chukua ufunguo
wagari fasta nikaondoka kuelekea zangu bandarini
dakika chache nilikuwa nishafika ila nilishangaa
kuona watu wengi wakiendelea na shughuli zao basi
nikafanya utaratibu wote nikajiandaa kuingia ndani
ya boti kuwahi kwenye dili, niliona boti mpya nzuri
japo kuwa ilikuwa usiku lakini ilionekana vizuri kwa
uzuri wake nikaona sio mbaya nikizama ndani ya ile
boti KWANZA nilijisikia furaha kupanda boti mpya
kabisa kwani tusha zoea kupanda boti ambazo
wanatumia kwanza wazungu alafu wanatuletea,
niliingia ndani nikaa kwenye siti nikaanza kukagua
mlendani
"Ee babu kubwa " nilijisemea mwenyewe baada ya
kuona mlendani mnavo vutia, boti ikaanza kuondoka
taratibu kuelekea Zanzibar sasa kila nikitupa macho
mlendani niliona abiria karibu wote wanaasili ya
kiarabu
 
MKASA; TAMAA ILINIPELEKA KISIWA CHA MAJINI
SEHEMU YA PILI
Inaendelea.. Nilipo zidi kutupa macho mlendani
ndipo hofu sasa ikaanza kuniingia maana kila niliye
muona mlendani hakuwa mtu mwenye mwonekano
kama wangu na maanisha hakukuwa na mtu
mweusi lakini hakuna mtu aliyekuwa na habari na
Mimi kila mtu aliendelea na mambo yake pembeni
yangu alikaa mwanamke mwenye mtoto mdogo
aliyekuwa amempakata akichezacheza naye
niligeuka sasa kumtazama ilinimuulize maana
nilihisi Wenda nimechanganya mambo, sasa nilipo
mwangalia macho yalitua kwa kile kitoto chake
nilipomtizama nilishtuka kuona katoto kadogo vile
kana kwato ndogo kama za ndama mchanga
nilifikiri Wenda niviatu lakini viatu gani vile mtu
anaweza vaa naasiumie miguu
"Vipi kaka mbona unamshangaa mwanangu?
Aliniuliza yule mama wa mtoto na kunishtua kutoka
kwenye mawazo.
" aah..a..nikawa nashindwa kujieleza nikabaki na
mtolea macho yule mtoto miguuni.
"Unashangaa izi mbona Mimi ninazo si izi apaa"
alivuta gauni lake kidogo kwa juu na kunionesha.
"Tobaa" nilishtuka sana alikuwa na miguu iliyo jaa
vinyweleo vingi kama manyoya na chini alikuwa na
kwato kama mnyama.nilisimama nikaondoka pale
kwenye kiti maana nikajua sasa mambo yameanza
nikaenda kukaa kwa jamaa mmoja ivi japokuwa
naye alikuwa ni mwenye hasili kama yule
mwanamke na mtoto wake, nilienda kukaa maana
pia nilimuona nikijana kama Mimi ivyo anaweza
kunisaidia au nikimwambia kitu anaweza kunisaidia.
"Kwema rafiki? Aliniuliza baada ya kukaa nilihisi
aliweza kunisoma maana nilionekana
nimechanganyikiwa.
" sio kwema kabisa kaka hii hatari ndani ya hii boti
kuna majini niamini kaka" niliongea vile kwa haraka
haraka bila breki kwani nilikuwa nimechanganyikiwa
sana haikuwa rahisi kwangu kuvumilia jambo lile
maana nimezoea kusikia na kusoma tu hadithi na
stori za majini sasa kweli ndio naona wazi kabisa
kwa kweli nilichanganyikiwa nilijua maisha yangu
yalikuwa hatarini bila kujua kwa kukaa na yule
mwanamke.
" tulia rafiki umesema kuna majini humu? Aliniuliza
 
SEHEMU YA TATU
Inaendelea.. Aliniuliza kwa upole uku amenishika
bega langu la kulia
"Ndio kaka humu ndani kuna majini walepalee"
nilimwonesha kwa kuwanyoshea kidole yule mama
na mtoto wake lakini hajabu ni kuwa hata yule
mama aliponiona nikimnyooshea kidole hakujali
aliendelea tu na mambo yake.
" umejuaje kuwa ni majini rafiki? Aliniuliza kwa sauti
ya chini sana kama ya mtu anaye jali
" aaa nimewaona kaka wana kwato miguu kwao na
manyoya kama mnyama vile" nilieleza
"Kwani izo kwato zao zina fananaje au kama izi?
Alinyanyua mguu wake moja akanionesha.
Nilishtuka sana nikahisi kama nipo ndotoni kwani
jamaa na yeye alikuwa na kwato kama za yule
mwanamke na mtoto wake.
" vipi mbona umeshtuka rafiki kwani uko kisiwani
unakoenda ni Mara yako ya kwanza? Aliniuliza.
" hapana, sio Mara ya kwanza" nilijibu kwa sauti ya
kitetemeshi.
Nilinyanyuka pale tena nikaenda kukaa siti ambayo
haikuwa na mtu kwani niliamini kila kilichopo
mlendani sio salama na kama ningekuwa kwenye
gari ningeomba kushuka sasa kwenye boti baharini
nitafanyaje nikaona nivumilie tu hali ile, nilikaa pale
uku nikiwa sina hamani moyoni hata kidogo uku
mikono ikinitetemeka kama nimekaa kwenye
chumba cha barafu chenye baridi Kali.
" kwema mjuu wangu" nilishtuliwa kutoka kwenye
mawazo na sauti ya kizee.
"Kwema tu" nilijibu kwa mkato inimladi.
"Aisee nashukuru kupata boti mapema nilidhani
nitachelewa na hii ndio boti ya mwisho sijui
ningeikosa ningefanyaje" alikuwa akinongelesha yule
Mzee uku akikaa kwenye siti pembeni yangu.
"Boti ya mwisho hii kivipi na wakati ndio kuna
kucha? Nilimuuliza.
" ee ya mwisho kwani kuna boti nyingine inaelekea
kisiwa cha majini? Aliniuliza.
"Zanzibar sikuizi ni kisiwa cha majini?" Nilijiuliza
mwenyewe kichwani.
" hapana sio Zanzibar ni kisiwa cha majini " alinijibu
nikabaki na shangaa aliwezaje kujua mawazo
yangu. Nilisimama tena nilitaka nimuhame yule
Mzee lakini akanizuia akanambia wala nisisumbuke
mle ndani hakuna binadamu kama Mimi..
 
SEHEMU YA NNE
Inaendelea.. Nilimtizama yule Mzee lakini moyo
uligoma kukubali kukaa na majini nikampita yule
Mzee nikaenda sasa kukaa nyuma sasa ambako
niliona hakuna watu na nilipo fika nikakaa.
"Wewe vipi huoni, unajikalia tu! Ilikuwa ni sauti
iliyosikika kutoka kwenye ile siti, nilishtuka
nikasimama haraka nikaangalia pale kwenye ile siti
ajabu sikuona mtu aliye kuwa akinisemesha,
nilipotupa macho mbele nilimwoma yule Mzee
akiniangalia huku akitikisa kichwa kuonesha
ananizuia nisiendelee na kunifanyia ishara ya mkono
kama ananiita lakini nilimpuuza nikarudi kwa nyuma
kidogo toka kwenye ile siti niliyoona mauzauza
niliiangalia siti niliyotaka kukaa ilionekana nyeupee
haina mtu kabisa, nilipofika nikakaa lakini kabla
sijakaa vizuri niliguswa mgongoni nilipo simama
nilipigwa Kofi kisha nikasukumwa chini.
" unajifanya umechanganyikiwa!" Iliongea sauti
ikionesha kukasirika sana, nilibaki nimezubaa pale
chini nisijue nifanye nini na ajabu hakuna mtu
aliyeonesha kujali kilichotokea zaidi ya yule Mzee
ambaye napo alikuwa akiniita nimfuate, nikaona
sasa maji yamenifika shingoni sina ujanja zaidi ya
kumsikiliza yule mzee, nilijinyanyua toka pale chini
nikarudi kwa yule Mzee kisha nika kaa.
"Kweli binadamu ni vibuli na wabishi hamsikii lolote
na Ndio maana hata manabii wenu hamuwasikilizi
mpaka ya wakute " alisema yule Mzee kwa huzuni.
"Samahani Mzee wangu", nilimwambia kwa aibu
kwani siku sikiliza na sasa nimerudi mwenyewe.
" hahahaha!, samahani, ! Tena kijana ushukuru
maana pale ulikuwa unawakalia na kuwabuguzi
walinzi wa mwana mfalme wa kijini na kama
ungesimama uendelee ungeenda kukaa kwa Mwana
ufalme na Leo nakuambia ungeongezwa kama
kitoweo kwenye sherehe ya kijini kwa utovu wako
wa nidhamu." Alisema yule Mzee wa kijini niliye kaa
naye pale.
"Mwana mfalme Mimi mbona sijaona watu ila
mauzauza ya kichawi!"? Nilisema.
" sindio maana tunasema nyie binadamu amsikii
mpo kama kenge yaani mpaka masikio yenu yatoke
damu ndio mnaelewa, Yale sio mauzauza ni walinzi
wa mwanamfalme" alisema yule Mzee.
"Unataka uwaone? Aliniuliza
 
SEHEMU YA TANO
Inaendelea.. Unataka uwaone? Aliniuliza.
" ndio..ndio!" Nilijibu haraka.
Alifungua kibegi chake alichokuwa amekivaa akatoa
chupa ndogo yenye mafuta akanambia nipakae
machoni na nifumbe macho na nifumbue Mara tatu,
nilipofanya hivyo ghafla niliona hali ya tofauti
mlendani yaani mwanga haukuwa mweupe kama
nilivyo kuwa naona awali sasa mwanga uliokuwamo
mlendani ni mwanga mwekundu kabisa na nilipo
geuka sasa kuangalia kule nyuma kwenye zile siti
niliona majoka yakiwa kwenye zile siti zilizokuwa
zinaonekana hazina watu, majoka hayo yalikuwa
yakitisha sana kwani kichwani yalikuwa binadamu
wa kawaida ila kuanzia shingoni kushuka chini
walikuwa ni nyoka na rangi za ngozi yao ilikuwa
ikibadilika badilika, na nilipo angalia mbele zaidi
nilishtuka nilihisi kizunguzungu baada ya kumuona
kiumbe cha ajabu ambacho sikuwa sikia stori zake
kokote kwani alikuwa akitisha sana alikuwa ni joka
kabisa kichwani kichwa chake kilikuwa ni kichwa
cha nyoka kikubwa na juu yake alikuwa na nywele
tena alivaa taji ya kifalme juu ya kichwa chake na
chini alikuwa ni nyoka tena mkubwa mwenye
mikono kama mikono ya binadamu, kwa kweli yule
mtoto wa mfalme wao alitisha sana adi kikaona
kichwa kinaniuma na nashindwa kuhimili
kumuangalia haraka yule Mzee akaniwekea mkono
usoni akanifanya kama mtu anaye ufuta uso wa mtu
mwengine alipo utoa ghafla hali ikarudi kama awali
na nilipo angalia kule nyuma sikuona kitu chochote
isipokuwa siti zikiwa wazi, jambo ilo lilinitisha sana.
"Nilikuambia wewe binadamu utulie lakini wewe
ukajiona jeuri yaani pale ungepiga hatua moja tu
nakuambia uko duniani wangekusahau" alisema yule
Mzee.
"Nashukuru Mzee" nilishukuru lakini muda wote
nilikuwa nikigeuka nyuma hovyo hovyo tu maana
hali ya kujiamini iliniisha kabisa.
" tulia kijana ayo mawenge yako yatamfanya ajisikie
vibaya akuue na ukumbuke wewe saivi ndio
humuoni ila yeye anakuona vizuri tu tena toka
unaingia" alisema yule Mzee.
" nimekuelewa mzee " nilisema lakini napo nilijikuta
nikigeuka nyuma kwani nilikuwa nikihisi Wenda wale
viumbe wanaweza kunifuata. Sasa nilipo tupa
macho dirishani nilishangaa na nikaanza kupiga
kelele kwani niliona sasa maji yanagusa kioo yaani
tulikuwa tukizama...
 
SEHEMU YA SITA
Inaendelea.. Hofu kubwa ilinijaa nilipata
kumbukumbu mbaya sana ya ajari zilizotokea basi
hofu ilinitawala sasa nikajua mwisho wa maisha
yangu umefika, lakini katika jambo lisilo la kawaida
na nilishangaa sana ni pale abiria wenzangu pamoja
na yule Mzee walibaki wametulia tu wakinishangaa
Mimi kwa jinsi nilivyokuwa na piga kelele kuwa
taadharisha kuwa boti inazama tutakufa.
" kijana naona unasahau sana humu ndani binadamu
ni wewe peke yako na sijui hayo mambo ya kufa
unayajua wewe sisi hatuelewi kitu kama hicho"
alisema yule Mzee.
" nisikilize tena kijana hapa sasa tunaelekea kisiwa
cha majini " alinieleza.
"Kisiwa cha majini! Mimi mbona siendi huko"
nilijibu. Mara kila aliye kuwa ndani ya ile boti
aliangua kicheko.
" kijana umeamua kuburudisha humu ndani sasa na
wengine wanakuona mwendawazimu maana
unaongea ongea mambo ya ajabu ambayo hata
mtoto wakijini wa miaka mia moja hawezi ongea
hayo" alilongea yule Mzee
" Mzee umesema nani wa miaka mia moja?
Nilimuuliza maana niliona mambo anayoongea
siyaelewi
" mtoto, mdogo mdogo wa miaka mia moja kama
yule uliye mkimbia kwenye siti na mama yake"
alinijibu lakini nilibaki na shangaa kale katoto kana
miaka mia moja sasa uyu Mzee atakuwa na umri
gani maana anaonekana kama anamiaka kwenye
themanini na tisini hivi" nilikuwa najiwazia.
"Hahahaha! Shida kubwa ya binadamu kila kitu
huona kwa vile wanavyo amuwa kuona wao, lakini
kwa vile tuna karibia kufika huko utajua mambo
mengi lakini lazima uwe mtii na msikivu usilete
mambo yako ya kibinadamu na tabia zenu za
duniani, huku hawata chelewa kukumaliza, huku
ukitumwa sehemu yoyote hata kwa ndugu yako
hupaswi kutoa Maelezo kujadiliana na aliyekupa
amri wewe unacho paswa nikutii, na pia wakazi wa
huku ni wakarimu sana na ukikaribishwa chakula au
kinywaji hupaswi kukataa kula au kunywa ukikataa
basi utashtakiwa kwa kosa lako na adhabu yake ni
kifo kwa maana huku hakuna magereza na
mahabusu kama huko kwenu duniani. Umenielewa
kijana!? Japokuwa unaona mambo ni mepesi
sana.....itaendelea
 
..Tulipo toka nje nilishangaa kuona maji
ya bahari ni mekundu sana tena mekundu kama
damu na ardhi ya kule ni kama majivu kwa
muonekano na hakuna jua ila kuna mwanga.
"Nifuate utakuwa mgeni wangu" alisema yule Mzee
kwani hata siku jua bila yule Mzee Mimi ningeenda
wapi kule kwani ni kisiwa cha ajabu sana.
"Nashukuru Mzee ata sijui ningeenda wapi?
Nilisema.
" kwani unadhani umekuja huku kwa bahati mbaya?
Aliniuliza yule mzee.
"Ndio nilichanganya tu boti wakati naelekea Zanzibar
kikazi" nilieleza.
"Hahahaha hahahaha, kijana ulikuwa unaenda
Zanzibar kikazi au ulikuwa unaenda Zanzibar kufanya
zuruma? Aliniuliza. Niliinamisha kichwa chini hata
siku jua nimjibu nini. Karbu sanakaribu mzee
mustapha karibu sana" aliongea kiumbe kilicho
kuwa kinatisha sana kilicho tokea kwenye mazingira
tatanishi yaani kiumbe hiki kilikuwa na manyoya
mwilimzima kama sokwe mtu kilikuwa kikubwa
sana na kichwa chake kili jaa manyoya matupu na
meno yake yalikuwa marefu sana na alikuwa na
mkia kama wa nyani nyuma yake, nilirudi nyuma
kidogo kama kumkwepa yule kiumbe.
"He! Mzee mustapha huyu mwanadamu umemtoa
wapi? Aliuliza yule kiumbe.
" nimemtoa duniani, ni amri kutoka kwa mkubwa
Beelze" aliongea yule mzee.
"Ha! Anaitajika na wakubwa aisee basi sawa sasa
karibu nyumbani upate chochote ndio uelekee
kwako" alimkaribisha yule kiumbe sasa kwa upande
wangu nilianza kuona hatari ya maisha yangu
kwanza nimesikia nahitajika na mkuu wa mapepo
cha pili niende nyumbani kwa kwa kile kiumbe kwa
kweli nilijisikia vibaya sana.
"Hivi mzee ichi kiumbe nacho si jini ili" niliongea na
mzee mustapha kwa kunong'ona baada ya kuona
yule kiumbe ametangulia mbele na niliuliza ili
nithibitishe mawazo yangu kuwa yule kiumbe kuwa
kweli ni jini.
"Ndio Mimi ni jini pia kama tu uyo mzee" alinijibu
kile kiumbe jambo ambalo lilinishtua sana.
" karibu na wewe kwangu ujipatie chochote kabla
haujaenda huko uliko itiwa sawa? Alisema yule
kiumbe .
" sawa nashukuru sana" nilijibu hivyo kwani
nilikumbuka alivyo niambia yule Mzee.

" vizuri sana" alijibu yule Mzee niliye kuwa naye
yaani Mzee mustapha na kile kiumbe cha ajabu tena
walijibu kwa pamoja. Tulipiga hatua kama tatu tu
nilijikuta nipo sehemu yenye giza sana ambako hata
nilikuwa siwezi kuona kabisa.
"Nyoosha mkono wako mbele" ilikuwa ni sauti ya
Mzee mustafa. Niliunyosha nikahisi kama
nimemgusa mtu vile.
" nishike nguo yangu na usiniachie mpaka nitakapo
kuambia niachie" alisema tena.
"Sawa" niliongea lakini hajabu ni kuwa sauti
haikutoka kabisa. Nilianza kuingiwa na shaka sasa
nikajisemea moyoni inamaana nimeshakuwa bubu
nini? Nilishangaa sauti ikitawanyika lile eneo lote na
kusikika kama mwangwi.
" hivyo ndio staili ya kuongea huku na sio kama
duniani huku utaongea kinyume chake hutatumia
ulimi ila nafsi sawa" aliniambia Mzee mustafa.
" sawa" nilijibu tena kama nilivyo zoea na sauti
haikutoka.
"Nakuuliza sawa" alihoji tena Mzee mustafa.
" sawa" niliongea kimya kimya na sauti ilisikika kwa
nguvu sana na kwa mwangwi.
" lakini Mzee mustafa vipi mbona Mimi nikiongea
sauti inasikika ya juu sana? Nilihoji
" kwa sababu wewe umetoka duniani kwenye
makelele ndio maana unaongea sana na wala wewe
sio mtulivu ukikaahuku utajua utulivu ulivyo."
Alinieleza.basitukawa tunatembea mpaka tuka toka
mle gizani na kutokea sasa eneo lenye mwanga
ambapo nilikuta watu wengi sana wakiendelea na
shughuli zao ila ajabu wale watu walikuwa warefu
sana na walikuwa na mapembe na miguuni mwao
walikuwa na kwato.
" vipi ulinikimbia lakini mbona umekuja kwetu?
Alikuwa ni yule mwanamke mwenye mtoto niliye
wakimbia kwenye boti. Nilikaa kimya kwa vile
sikuwa na jibu la kumpa na ku endelea na safari
yangu Mimi yule Mzee na yule kiumbe cha ajabu
ajabu tulitembea kwa miguu kwa muda mrefu
mpaka tuka tokea mbele ya nyumba moja iliyo
jengwa kwa mafuvu ya binadamu.
" karibuni jamani" alitukaribisha yule kiumbe pale
nyumbani kwake, nilishindwa nifanyeje kwani moyo
ulikuwa unagoma kabisa kuingia ndani ya ile
nyumba ambayo ilitisha sana kiasi kwamba nikawa
natetemeka tu pale nje.
tuingie" alisema Mzee mustafa.
"Misiendi" nilimwambia.
" basi kama huta ingia majira haya haya ndugu zako
wataokota gogo wakizani kuwa ni mwili wako
watauzika lakini wewe utafia huku na kuliwa nyama
na mifupa yako itakuwa kama tofali ya kujengea
nyumba za uku"aliongea yule Mzee uku akinikazia
macho kwamba jambo lile sio utani. Niliona liwalo
na liwe sina jinsi isipokuwa kuingia ndani ya
nyumba ya yule kiumbe kwani hata kama
ningekataa ningekufa na Wenda pia nikiingia
naweza pia kufa nilikata tamaa kuwa kama kufa
wacha nife maana hata nikisema nikimbie kule
nitakimbilia wapi na eneo lenyewe tulifika
kimaajabu. Tuliingia ndani ambapo nilikuta karibu
kila kitu kimeundwa kwa mifupa tu yaani kuanzia
fenicha mpaka vikombe na sahani vyote ni vya
mifupa tu.
"Karibuni mkae" alisema yule kiumbe wa ajabu
akituonesha sehemu ya meza na viti.
"Asante!" Tulijibu kwa pamoja Mimi na yule Mzee
na kisha nika kaa juu ya viti vilivyo tengenezwa kwa
mifupa ya binadamu, tulikaa kama sekunde chache
kikaletwa chakula ambacho sikupata kukishuhudia
kwa macho yangu zaidi ya kusikia tu kuwa wachawi
wanakula nyama za watu lakini sikuwahi ona ilo
jambo lakini kwa sasa lipo mbele yangu na
nawajibika kukila.
*karibuni mpate nguvu* aliongea yule kiumbe kwa
tabasamu.
"Huu si mkono wa mtu jamani? Niliongea kwa
mshtuko.
" we kula kwani wewe sio mchawi? Aliniuliza yule
kiumbe.
* Nooo! Mimi sio bwana afu nyama yenyewe mbichi
na inadamu kabisa sasa Mimi nitakulaje ivi*
niliongea kwa kulalamika maana moyo wangu
uligoma kabisa kula ile nyama.
" kwa hiyo bwana mgeni unakataa kula au?
Aliniuliza yule kiumbe huku Mzee mustapha
akinitolea macho kwa ishara ya nikumbuke kile
alicho niambia kabla.
"Sio kuwa nakataa ila chakula chenyewe kibichi
Mimi sijazoea aya" niliongea ini mladi nijitoe
kwenye lawama ya kugoma kula chakula.
"aha! Kumbe tatizo ni chakula kibichi basi
nikuambie tu sisi huwa atupiki tukisha chinja tu
huwa tunakula hivyo hivyo
 
Basi ngoja ni sisitize sisi huku hatupki chochote na
hivi ndivyo tunavyo kula nautazoea tu na kuwa kama
wenzio wachawi
" Mmi siwez kuwa mchawi ni dhamb bwana"
nilijisemea tu
" hahahaha sawa bwana tutaona" walicheka kwa
pamoja Mzee mustapha na yule kiumbe na
kunieleza kuwa nitaona, nilibaki nashangaa kuwa au
wataniingiza uchawini kwa nguvu au?
" hapana hutaingizwa kwa nguvu ila unajukumu la
kufanya ndio maana uko hapa mda huu" aliongea
Mzee mustafa
"Jukumu gani kwani ilo mnalo lisema? Niliuliza
maana niliona sielewi
" kula kwanza alafu tuondoke mda unazidi kwenda
kasi sana na lengo linaweza kuharibika" aliniambia
hivyo Mzee mustafa badala ya kujibu swali langu
Nilijitoa ufahamu il kuokoa maisha yangu
nikakamata ile nyama na kuanza kuila huku nikiwa
nimefumba macho na kuimeza haraka haraka
ilimladi nimalizane na ilebalaa ya kula nyama za
watu
" kula taratibu kijana ukatakabwa" aliniambia yule
kiumbe, na kweli hata hakuimaliza kauli yake
nikaona kipande cha nyama kime nikwama shingoni
na nilikuwa nashndwa kabisa kuhema
" kunywa hii" alileta kikombe ambacho
nilipokipokea nilikipeleka haraka sana mdomoni
kwani nilidhani n maji, baada ya kunywa na kujiskia
vzuri nilipo tupa macho kuangalia ndani ya kikombe
nliona ni damu tupu.nilihisi tu kuwa walinifanyia
mazingaombwe ni kabwe ili ninywe ile damu kwa
makusudi
"Simama tuondoke" alisema Mzee mustafa uku
akimuaga mwenyeji wetu ambaye ni kile kiumbe cha
ajabu
Natulipo toka nje Mzee mustafa aka chora mstari
chini akanambia niuruke na nilipo uruka nilishangaa
tume tokea sehemu moja ambayo hata sijui
niielezeje maana niseme tu ni ndani ya jengo
ambalo sakafu yake chini ilikuwa ni kioo kitupu na
na ukuta ulikuwa ni dhahabu tupu juuu ya lile jengo
hata sielewi kuliezekwa na kitu gani maana nilipo
angalia kwa Mara ya kwanza niliona ni kama maji
mengi ambayo unaweza fikiri yanakuja kujaa mle
ndani na nilipo angalia tena niliona kama giza tu
kule juu kwa kweli lile eneo lilikuwa la ajabu sana.
Na watu wa mlendani wote walikuwa warefu sana na
walivaa nguo nyeupe sana na migongoni mwao
walikuwa na mabawa makubwa kila mmoja na juu
ya vichwa vyao walikuwa na mapembe mawili
madogo kama ya mbuzi na miguu yao ilikuwa na
kwato kama za ng'ombe walikuwa ni viumbe vya
ajabu ambao hawaeleweki heleweki
" huku wapi? Niliuliza
" huku ndiko kule kwa mashetani unako kusikia kila
siku na hao unao waona ndio malaika wenyewe
uliosikia walikuwa na mapambano mbinguni na
wakatupwa chini
..Ngoja nirudie tena huku ni kwa
mashetani na hao unao waona ni mashetani
wenyewe wale unao wasikia na Mara nyingi huwa
mnawataja mkiwa duniani"
Alisema Mzee mustafa.
"Sasa huku ndio anakaa shetani? Niliuliza kwa
taadhari maana ninavyojua Mimi shetani ana roho
mbaya sana na anatisha vibaya sana.
" Ndio uku ndiko anakokaa shetani mwenyewe na ili
kumfikia itakupasa ufike matabaka mengi sana ndio
umfikie" aliongea Mzee mustafa.
" awa wapo kwa shughuli moja tu nayo ni
kuiangusha dunia na kwa vile walikuwa na malengo
ya kuwa wakubwa kwa vile kama ni viburi na
majivuno hawa ndio wenyewe na kama ni kuua
hawa ndio wenyewe, basi matendo yao
yalimkasirisha yule mkuu sana naye akatuma
malaika wake ambaye uyo mkuu wa malaika ana
simamia amri ya yule mkuu sana ya kuwalinda
binadamu wema ndipo mbingu ilibadilika baada ya
eneo walilo kuwa hawa kuzingilwa kila upande na
vikosi vya yule malaika mkuu basi hapo mbingu
ikatikisika na mapigano makali yaka tokea kati ya
wale wanaomuunga mkono yule mkuu sana na wale
Wa upande wa mashetani kwanza watizame vizuri
ao malaika" alisema Mzee mustafa.
" ndio nimewatizama" nilijibu.
"Ukiiwaangalia mabawa yao unaona nini? Aliniuliza.
" naona kama yameungua vile? Nilijibu.
" basi huko kuungua ni vile wale jeshi la yule
malaika mkuu walikuwa na nguvu sana ambazo
walipokea kutoka kwa yule Mkuu sana na walikuwa
wakifanya mashambulizi ya hatari huku wakitumia
moto mkali sana hivyo mashetani hawa waliumizwa
vibaya sana kama wangekuwa wanamiili kama yako
wangekuwa ni maiti muda uleule" alinieleza Mzee
mustafa.
"Unaelewa kwanza neno shetani linamaana gani?
Aliniuliza.
" ndio najua? Nilijibu.
" nini maana yake? Aliniuliza
" ni mkuu wa majini na wachawi na kiumbe mwenye
roho mbaya na wakutisha sana" nilimwambia.
" hapana iyo sio maana ya shetani japo kuwa kuna
ukweli juu ya maneno yako, shetani maana yake ni
mshtaki wa wanadamu yeye uwashtaki kila siku
mbele ya yule mkuu sana anawashtaki kwa
matendo yenu maovu subiri utajua mambo mengi
utakapo kutana na mwenyeji wako wa uku Mimi
muda wangu umeisha mwenyeji wako anasogea
kwa kasi sasa amekwisha pita kwenye geti la
mwisho anakuja kukulaki ni mmoja pia wa awa
malaika jina lake tamaa na muuaji"alisema ayo
Mzee mustafa na kutoweka mbele yangu na
nisimuone tena uku nikibaki na tazamana na wale
mashetani ambo hawakusema na Mimi kitu
chochote...... Itaendelea
 
Basi ngoja ni sisitize sisi huku hatupki chochote na
hivi ndivyo tunavyo kula nautazoea tu na kuwa kama
wenzio wachawi
" Mmi siwez kuwa mchawi ni dhamb bwana"
nilijisemea tu
" hahahaha sawa bwana tutaona" walicheka kwa
pamoja Mzee mustapha na yule kiumbe na
kunieleza kuwa nitaona, nilibaki nashangaa kuwa au
wataniingiza uchawini kwa nguvu au?
" hapana hutaingizwa kwa nguvu ila unajukumu la
kufanya ndio maana uko hapa mda huu" aliongea
Mzee mustafa
"Jukumu gani kwani ilo mnalo lisema? Niliuliza
maana niliona sielewi
" kula kwanza alafu tuondoke mda unazidi kwenda
kasi sana na lengo linaweza kuharibika" aliniambia
hivyo Mzee mustafa badala ya kujibu swali langu
Nilijitoa ufahamu il kuokoa maisha yangu
nikakamata ile nyama na kuanza kuila huku nikiwa
nimefumba macho na kuimeza haraka haraka
ilimladi nimalizane na ilebalaa ya kula nyama za
watu
" kula taratibu kijana ukatakabwa" aliniambia yule
kiumbe, na kweli hata hakuimaliza kauli yake
nikaona kipande cha nyama kime nikwama shingoni
na nilikuwa nashndwa kabisa kuhema
" kunywa hii" alileta kikombe ambacho
nilipokipokea nilikipeleka haraka sana mdomoni
kwani nilidhani n maji, baada ya kunywa na kujiskia
vzuri nilipo tupa macho kuangalia ndani ya kikombe
nliona ni damu tupu.nilihisi tu kuwa walinifanyia
mazingaombwe ni kabwe ili ninywe ile damu kwa
makusudi
"Simama tuondoke" alisema Mzee mustafa uku
akimuaga mwenyeji wetu ambaye ni kile kiumbe cha
ajabu
Natulipo toka nje Mzee mustafa aka chora mstari
chini akanambia niuruke na nilipo uruka nilishangaa
tume tokea sehemu moja ambayo hata sijui
niielezeje maana niseme tu ni ndani ya jengo
ambalo sakafu yake chini ilikuwa ni kioo kitupu na
na ukuta ulikuwa ni dhahabu tupu juuu ya lile jengo
hata sielewi kuliezekwa na kitu gani maana nilipo
angalia kwa Mara ya kwanza niliona ni kama maji
mengi ambayo unaweza fikiri yanakuja kujaa mle
ndani na nilipo angalia tena niliona kama giza tu
kule juu kwa kweli lile eneo lilikuwa la ajabu sana.
Na watu wa mlendani wote walikuwa warefu sana na
walivaa nguo nyeupe sana na migongoni mwao
walikuwa na mabawa makubwa kila mmoja na juu
ya vichwa vyao walikuwa na mapembe mawili
madogo kama ya mbuzi na miguu yao ilikuwa na
kwato kama za ng'ombe walikuwa ni viumbe vya
ajabu ambao hawaeleweki heleweki
" huku wapi? Niliuliza
" huku ndiko kule kwa mashetani unako kusikia kila
siku na hao unao waona ndio malaika wenyewe
uliosikia walikuwa na mapambano mbinguni na
wakatupwa chini
..Ngoja nirudie tena huku ni kwa
mashetani na hao unao waona ni mashetani
wenyewe wale unao wasikia na Mara nyingi huwa
mnawataja mkiwa duniani"
Alisema Mzee mustafa.
"Sasa huku ndio anakaa shetani? Niliuliza kwa
taadhari maana ninavyojua Mimi shetani ana roho
mbaya sana na anatisha vibaya sana.
" Ndio uku ndiko anakokaa shetani mwenyewe na ili
kumfikia itakupasa ufike matabaka mengi sana ndio
umfikie" aliongea Mzee mustafa.
" awa wapo kwa shughuli moja tu nayo ni
kuiangusha dunia na kwa vile walikuwa na malengo
ya kuwa wakubwa kwa vile kama ni viburi na
majivuno hawa ndio wenyewe na kama ni kuua
hawa ndio wenyewe, basi matendo yao
yalimkasirisha yule mkuu sana naye akatuma
malaika wake ambaye uyo mkuu wa malaika ana
simamia amri ya yule mkuu sana ya kuwalinda
binadamu wema ndipo mbingu ilibadilika baada ya
eneo walilo kuwa hawa kuzingilwa kila upande na
vikosi vya yule malaika mkuu basi hapo mbingu
ikatikisika na mapigano makali yaka tokea kati ya
wale wanaomuunga mkono yule mkuu sana na wale
Wa upande wa mashetani kwanza watizame vizuri
ao malaika" alisema Mzee mustafa.
" ndio nimewatizama" nilijibu.
"Ukiiwaangalia mabawa yao unaona nini? Aliniuliza.
" naona kama yameungua vile? Nilijibu.
" basi huko kuungua ni vile wale jeshi la yule
malaika mkuu walikuwa na nguvu sana ambazo
walipokea kutoka kwa yule Mkuu sana na walikuwa
wakifanya mashambulizi ya hatari huku wakitumia
moto mkali sana hivyo mashetani hawa waliumizwa
vibaya sana kama wangekuwa wanamiili kama yako
wangekuwa ni maiti muda uleule" alinieleza Mzee
mustafa.
"Unaelewa kwanza neno shetani linamaana gani?
Aliniuliza.
" ndio najua? Nilijibu.
" nini maana yake? Aliniuliza
" ni mkuu wa majini na wachawi na kiumbe mwenye
roho mbaya na wakutisha sana" nilimwambia.
" hapana iyo sio maana ya shetani japo kuwa kuna
ukweli juu ya maneno yako, shetani maana yake ni
mshtaki wa wanadamu yeye uwashtaki kila siku
mbele ya yule mkuu sana anawashtaki kwa
matendo yenu maovu subiri utajua mambo mengi
utakapo kutana na mwenyeji wako wa uku Mimi
muda wangu umeisha mwenyeji wako anasogea
kwa kasi sasa amekwisha pita kwenye geti la
mwisho anakuja kukulaki ni mmoja pia wa awa
malaika jina lake tamaa na muuaji"alisema ayo
Mzee mustafa na kutoweka mbele yangu na
nisimuone tena uku nikibaki na tazamana na wale
mashetani ambo hawakusema na Mimi kitu
chochote...... Itaendelea
Mkuu mbona umestop tena!
 
Nilibaki na waangalia tu wale malaika waasi lakini Mara nikaona mlango mkubwa sana ukifunguliwa na wale mashetani walipisha kama walimpa nafasi yule anaye ingia aweze kupita, na Mimi nikaona niwafuatishe tu wale mashetani kupisha njia na Mara mtu ambaye sikumtegemea kabisa alitokea kwani kwa namna wale mashetani walivyotawanyika nilitegemea nimuone mtu anaye tisha sana na mkatili lakini badala yake alitokea mwanaume mrefu sanaa kama wale viumbe na alikuwa na mabawa kama wale mashetani wengine na alikuwa na mapembe kama wale mashetani wengine lakini uyu shetani alionekana mpole sana na mwenye sura ya kupendeza nilibaki nashangaa kuwa kumbe kuna adi mashetani yanakuwa hivi".
"Naitwa tamaa na muuaji" aliongea yule kiumbe nikabaki nashangaa huyu mbona hafanani na ayo mambo.
"Jackson Abell mjukuu wa Denis njoo kwangu" aliongea yule kiumbe akiniita.
Taratibu nilianza kumfuata bila woga wala shaka lolote ndani ya moyo wangu na nilipo mfikia aligeuke kama ishara nimfuate kule kwenye ule mlango. Nilipo ingia mlangoni mlango ukajifunga tukaanza kutembea kuelekea mbele ambapo sikujua ni wapi huko,
"Twende ndani ya chumba kile kwanza" alisema yule shetani.
Tuliingia ndani ya chumba juu kilicho andikwa DUNIA nilipoingia nilikuwa kama nimesimama mbele ya kioo kikubwa sana na naitazama dunia yote mbele yangu.
"Umekuja huku kama adhabu" alisema yule kiumbe.
" adhabu gani, kwani Mimi nimefanya nini? Niliuliza.
" ndio maana nilikuambia tuingie huku" alisema.
Akanyoosha mkono juu ya kile kioo ghafla nikatokea Mimi kipindi kile nikiwa kijijini kwetu wakati maisha ni magumu sana ambapo baadae nikaamua kwenda mjini uko nikakutana na marafiki mbali mbali na kubwa zaidi nilijiona wakati najiingiza kwenye makundi ya kijambazi siku tulipo panga njama tukavamia nyumba moja tukaiba tukapola na kukimbia niliona kila kitu siku ya tukio ilivyokuwa na ambapo yule raia mwema aliyetoa taarifa polisi alipokuwa nilishangaa ilikuwaje tulimpita namna ile bila ya sisi kuhisi uwepo wa mtu nilimuona akipiga simu polisi na tulipoingia kwenye gari hatukufika umbali mrefu tukaona tumezingirwa na polisi na mapigano makali yalitokea na wenzetu wa wili waliuawa pale pale na sisi tulifanikiwa kutoroka na pesa zetu ambazo tulizipola.
" sasa umeona kwanini upo hapa" alisema yule shetani
Sasa umejua sababu ya kwanini upo apa"alisema yule shetani. Nilijiinamia tu atanisijue nisemenini maana tayari nimeshaingia kwenye kumi na nane za shetani hata sikujua nitafanyaje japokuwa nilifikiria niombe lakini nilijitisha mwenyewe kuwa naweza jiingiza kwenye matatizo makubwa zaidi niliona bora nijitulize tu, lakini ningerijua ya mbele bora ningeli omba tu.
"Nifuate" alisema yule shetani.
"Twende wapi? Niliuliza kwa uoga maana nilihisi Wenda sasa na kwenda kufa.
" wewe njoo umesahau maelekezo uliyopewa kabla ya kuja uku? Aliniuliza.
" nakumbuka" nilijibu.
"Basi nifuate" alisema tena yule shetani.
Nilimfuata kimya kimya mpaka kwenye eneo lililokuwa kama kunakioo ama maji maana hakikueleweka haraka nini.
"Tuta ingia pale kunasehemu muhimu tunakwenda lakini kabla hatujaingia nisikilize hupaswi utakiwi kutaja jina la yule mkuu mno ama manabii wake umenielewa? Aliongea uku akinitolea macho yake yaliyokuwa kama moto.
" sawa nimeelewa " nilijibu
" pita pale " alinielekeza yule shetani.
Nilisogea lile eneo ambalo lilikuwa na muonekano wa kioo na maji na nilipofika nikahisi kama mtu ananisukuma kwa nguvu sana kuelekea mbele nilijikuta nishaingia ndani ya kile kioo cha maajabu na kujikuta nipo na yule shetani upande wapili sehemu hii ilikuwa na mapambo mengi sana ya dhahabu na sakafu yake ilikuwa ni nyeupe sana na kwenye kuta za lile eneo kuli kuwa na misalaba iliyogeukia chini japo kuwa kulikuwa kumepambwa saba lakini kulitisha sana maana picha za majeneza na watu wanao chnjwa zili kuwa nyingi mle ndani na mbaya zaidi harufu ya damu ilikuwa imetapakaa mle kwenye lile eneo.
" hapa ndio eneo ambalo utajiri wa damu unapatikana, ulimwengu wa mabillioner wa damu huleta sadakazao hapa na tazama pale mbele" aliniambia yule shetani.
" ndio nimetazama" nilijibu.
"Unaona nini? Aliuliza
" na mwona ng'ombe au mbuzi amekaa juu ya kiti cha wa falme" nilijibu.
" hahahaha sio ng'ombe ameketi kwenye kiti cha wa falme yule ni mfalme wa utajiri wa damu na yule ndio mnyama mwenyewe na jina lake ni mia sita sitini na sita ndio mfalme wa utajiri wote Wa damu na anasimamia biashara zote toka ma benki mpaka bidhaa za kawaida
Ha! Mbona sijawahi mwona anatawala vipi? Niliuliza.
" uko duniani ili uweze kuuza kitu kimataifa kuna kitu kinaitwa barcode number hii ni namba ya utambulisho kwa mfano kwenye masupermakert kitu pekee kinacho wajulisha bei ya bidhaa ni hii barcode number na kwenye mifumo yenu ya kibenki kuna kitu mnakiita visa card na wewe unayo hiyo visa kadi ni hesabu rahisi sana za kibinadamu ulisoma shuleni kuwa hii "Vi" ni namba ya kirumi ikisimama badala ya sita 6 ya kwenu na ayo yaliyo baki ni maneno ya lugha ya kigeni yanayo malizia sita mbili zilizo baki ili uwe free kufanya miamala ya kifedha unatakiwa uwe na hii visa card sasa hapo ndipo utaamini kwenye maandiko yenu kuwa hamta uza wala kununua bila chapa ya uyu mnyama,." Alisema yule shetani.
" ha! Kumbe ni mambo ya kichawi tu yamesambaa lakini kwani ayo mambo ya number na izo damu za mabillioner ambao hutoa sadaka inaingilianaje na sisi ambao hata sio wachawi? Nilimuuliza.
"Kule duniani kuna dini inayo itwa illuminant nafikiri maana yake ni mwanga au tuseme tu anayeng'ara unajua nivigumu kukuelezea vizuri lakini utajua hii illuminant ni dini iliyoko duniani ambayo inawafuasi wengi tu na wengi ujiunga kwa lengo la kuwa matajiri ndio inavyoonekana hivyo lakini ukweli ni kwamba sio hivyo aamh! Nimekuchanganya kitu wewe unawaza ni wale wajenzi ndio unadhani ndio illuminant ila ukweli ni kuwa illuminant ni level ya juu zaidi ya ao wajenzi watu wadogo wenye tamaa za pesa wasio jua lengo kuu la hii dini wanajiunga na wajenzi lakini wakisha kuwa wameelewa kuwa dini hii sio ya kugawa utajiri
..basi" aliongea yule shetani.
" nyie mngekuwa sisi mngefanyaje? Niliuliza kwa udadisi maana niliona Wenda kuna kitu cha maana anaficha.
" tunge mtii yule mkuu sana" alisema yule shetani.
" sasa kwanini hamtaki kufanya ivo? Niliuliza tena .
"Sio kwamba hatutaki ila Neema hiyo sisi hatuna" alijibu kwa sauti ya chini kabisa.
" ha! Kivipi yani sisi tuwe naiyo Neema na nyie mkose? Niliuliza tena maana alinishangaza maana Mimi nilifikiri shetani ikitokea akiomba msamaha basi mambo yatakuwa mazuri.
" nyie zamani sana mtu akifa au ngoja kwanza mtu akitenda dhambi huwa mlisikia kuwa ali kuwa anachinja mnyama wa damu afu anamtolea yule mkuu ili apate nafuu ya makosa yake lakini damu ya yule mnyama ilikuwa mnatoa kila mwaka na pia hata mkifariki uwe mwema au mwovu ulikuwa ni lazima ushuke kuzimu kuna nabii wenu mmoja alikufa ali kuwa kuzimu lakini aliletwa duniani na akaongea na mfalme kama unaijua hadithi hiyo basi amini ni kweli kabisa na kwa sababu hiyo yule mkuu sana hakupendezwa na sadaka zenu yaani atende kosa Mwana wa damu na Eva kisha afe mnyama kwa kweli hakupendezwa sana na iyo kitu hivyo akamtuma uyu akaja duniani na alipofika yeye akatolewa sadaka sasa apo ndio dini zote mnamtambua uyu ambaye alimtolea sadaka safi yule mkuu sana hii sadaka ni hatari na nisadaka ambayo sisi tunahakikisha binadamu hafungamani nayo na nadhani ulishawahisikia kuna mtu anaitwa mpinga yule nabii?aliniuliza yule shetani.
"Ndio nilisikia" nilijibu
" enhe! Basi ndio huyu hapa mnyama anayeitwa miasita sitini na sita na yeyote atakaye pigwa chapa ya uyu mnyama ni wakwetu huyo mtu anakuwa hana tofauti na sisi na ile ghadhabu ya yule mkuu sana na mtu wa namna hii atainywa bila kuchanganya na maji.....na maji ndio vipi? Niliingizia katikati yamaelezo yake nikamuuliza swali.
" yaani ata pata adhabu Kali bila nafuu yoyote kwa mtu atakaye kuwa na chapa ya huyu mnyama eiza kwenye paji la uso mkononi au popote pale huyu mtu narudia hatakuwa na tofauti na sisi maana yule mkuu sana ni mwenye wivu mkubwa sana..
mwenye wivu mkubwa hakubali kiumbe chochote kiabudiwe badala yake yeye wala hataki kugawana mamlaka na yeyote basi sasa kwa sisi na yule atakayepigwa chapa ya uyu mnyama hatakuwa na nafuu kule kwenye adhabu maana moshi Wa maumivu ya mtu wanamna hii utapanda juu mbele ya kiti cha enzi cha yule mkuu na mbele ya wale malaika zake." Alisema yule shetani.
" ha! Inatisha sana mbona hii ni hatari basi" nilisema.
"Ndio ni hatari lakini wakupotea hawakosekani hivyo wewe upo hapa iliutusaidie sisi kukusanya wale wanawaupotevu kokote duniani na wakishapigwa chapa ya mnyama hapo kwetu sisi kutakuwa nanafuu kwani siku ya hukumu yetu tutakapotupwa shimoni hatutakuwa peke yetu kupitia binadamu wapotevu angalau tutapata faraja kutoka kwenye maumivu yetu" alisema yule shetani.
" kha! Mimi sifanyi hiyo Kazi naogopa siwezi" nilisema kwani Maelezo yake yalinitisha sana.
" utafanya kwani wewe sisi tumekuchagua ufanye Kazi hii tutakupa utajiri na fahari zote uzitakazo kila kitu kitakuwa chini yako utaishi maisha mazuri hutokaa kuamini na ile tamaa ya kuiba ma kontena ya watu hutakuwa nayo kwani wewe ndie utakuwa mmiliki halali wa asalimia tisini ya makontena yatakayoingia na kutoka katika bandari ya nchi yoyote utakayo taka kuishi, lakini kama utakataa basi kifo chako kitakuwa ni kuchinjwa embu njoo huku" alisema yule kiumbe na Mimi nikaanza kumfuata.
" unaona sasa kama ukikataa kitakacho tokea " alisema yule shetani akinionesha watu wakichinjwa kama kuku na damu zao zikikingwa kwenye mavyungu makubwa na mle ndani kulikuwa na vilio vya kuomba kuhurumiwa lakini hakuna yeyote aliyejari kilio chao.
" nimeona" nilijibu kwa woga sana.
" sasa Fanya uchaguzi utafanya Kazi niliyokuambia au unataka kufa? Aliuliza kwa umakini sana safari hii akionekana alikuwa tayari kabisa kunitoa kwa wale wauaji kama ninge kataa.
" basi naomba nijifikirie" nilijibu nikifikiri akikubali nimuombe niende duniani kisha nimkwepe.
" hatuna muda binadamu hujui kuwa yule mkuu alizipunguza siku za mwisho ziwe karibu zaidi...
hatuna muda binadamu hujui kuwa yule mkuu alizipunguza siku za mwisho ziwe karibu zaidi ili aokoe watu wake? Sikiliza malaika wa mkuu sana wamepewa amri ya kuokoa na watumishi waaminifu pia wa yule mkuu nao wanatuchanganya vichwa sasa wewe unaposema ujinga wakupewa muda ukumbuke wale wapinzani wetu wenyewe hawapotezi muda kwaiyo toa jibu haraka kama ni kifo tujue tunakuua na kama ni Kazi upewe maelekezo ukafanye." Aliongea kama mtu anaye maanisha kwa dhati kile anachokisema wala hakuwa na chembe ya mzaha hatakidogo hapo niliamini kuna tofauti kubwa sana kati ya binadamu na viumbe vingine katika kusimamia kile wanacho amini na kukita kwani sisi tunasubiri na kujipa sababu za kusubiri lakini wenzetu wanajipa sababu ya kuto kusubiri.
" jibu basi sio unanitolea macho kama umeona kituko" alisema yule kiumbe kwa ukali na kufanya hata wale waliokuwa mlendani kugeuka na kututizama sisi.

Kwani nikisema niifanye ndio nitafanyaje sasa? Niliongea hivyo kukwepa kukubali pia ni kama nigafanya iyo Kazi yao basi niifanye kwenye njia ya kutafuta kujiokoa.
" hahahaha wewe unaakili japo mjinga" alinijibu vile yule shetani nikabaki namshangaa kuwa mtu anawezaje akawa mjinga na mwenye akili muda huohuo.
" najua unachowaza iko ivi wewe unaakili ila mjinga sijakosea kusema" alisema yule shetani.
" Kazi yako kwanza ni kuhakikisha kitu ambacho sio tatizo kinakuwa tatizo nitakupa watu wakufanyanao kazi " alisema
"Kitu kisicho tatizo kiwe tatizo ndio kivipi na icho kitu ni kipi sasa? Niliuliza maana niliona sielewi
"
"Usijali utapelekwa kwenye chumba kidogo uko utapewa nguvu kwaizo nguvu utajua unachopaswa kufanya na utafanya mengi kwa maelekezo ya izo nguvu" alisema lakini sikumuelewa alimaanisha nguvu zipi ambazo nitakuwa nazo.
"Usifikirie sana mwanadamu juu ya izo nguvu ni rahisi sana utaenda kuonana na mnyama amabaye atakupa nguvu na wewe utafanya kufuru kuu ambapo wewe na uyo mnyama mtakuwa lenu moja" alinieleza yule shetani.
" ila kufuru tena dah! Si dhambi izo sasa? Niliongea.
"Hahahaha mbona apa tunapoongea ulishafanya kufuru tena nzito tu" alisema yule shetani nakunifanya nibaki nashangaa iyo kufuru niliyoifanya wakati sijasema chochote juu ya yoyote.
.." Mimi nimefanya kufuru wapi"? Nilimuuliza kwa mshangao uku namtolea macho
"Wakati unakula ile nyama ya mtu kule ujui kuwa ni moja ya kufuru mbaya ujui kuwa hupaswi kumla binadamu mwenzako? Aliniuliza.
" najua ila yule Mzee na yule pepo walinitaka nile Mimi sikupenda kabisa kuila" nilimueleza.
"Lakini chamsingi ulikula kwaiyo basi kwa kukubali kwako kufanya vile basi utakubali kufanya mengine mengi" aliniambia kwa jeuri.
"Sasa nifuate" alisema yule shetani namimi nikawa namfuata kwa nyuma
MNYAMA MWENYE JERAHA LA KIFO ndivo kulivyo andikwa juu ya mlango wa chumba chenye rangi nyekundu.
"Tobaa! Nilishtuka baada yakumuona yule mnyama mwenye mwonekano wakutisha sanaa alikuwa na vichwa saba na pembe kumi na kila pembe ilikuwa na taji. Jina la kashfa lilikuwa limeandikwa juu ya vichwa hivyo, mnyama alikuwa kama chui, miguu yake kama dubu na kinywa chake kama cha SIMBA. Na kichwa kimoja wapo cha huyo mnyama kilionekana kama kilikwisha jeruhiwa vibaya sana, lakini jeraha hilo lilikuwa limepona.
" sikiliza mwanadamu uyu mnyama unaye mwona ameruhusiwa kusema maneno ya kujigamba na kumkufuru yule mkuu, ameruhusiwa kuwa na mamlaka kwa muda wa miezi arobaini na miwili, Basi, uyu mnyama ataanza kumtukana yule mkuu sana, kulitukana jina lake, makao yake, na wote wakaao mbinguni, ameruhusiwa kuwapiga vita watu wa yule mkuu. Amepewa mamlaka juu ya watu wakila kabila , ukoo,lugha na taifa. Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale ambao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha uhai cha yule bwana wenu wa ukombozi aliye chinjwa..sasa mwanadamu umeona tulivyo na majukumu mazito na mambo mengi ya msingi tunayopaswa kufanya kwa haraka" alisema yule shetani huku akinitolea macho akinitizama tu......tuseme tu kuwa kama ilivyo andikwa kuwa aliyepangiwa kuchukuliwa mateka lazima atekwe wakuuawa kwa upanga lazima atauawa kwa upanga. Maana niliona hali yamambo sio rafiki hata kidogo kwa namna wale mashetani walivyo jipanga kimkakati kuiangamiza dunia na walizamilia kweli.
"Sasa piga magoti umwabudu uyo mnyama maana ni nani duniani anaweza kushindana na uyu mnyama na akashinda maana uyu mnyama amepewa nguvu na joka na amepewa kiti cha enzi cha joka na uwezo mkuu" alisema yule shetani kwa kujigamba sana mbele yangu..
"Mimi kumuabudu sitaki" nilisema huku natetemeka nikimwangalia yule mnyama aliyetulia na mwenye majina ya makufuru...
...Kama hutaki kumuabudu basi lazima utaipata somo nakuambia utaipata somo" aliongea yule shetani kwa kunisisitizia.
" nyanyua mikono yako kuelekea mbele ya uyo mnyama" alitoa maelekezo, basi namimi nikanyanyua akachukua Pete mbele ya meza alipokuwa yule mnyama kisha akanivalisha huku akiongea maneno yake kwa lugha ambayo toka nizaliwe sikuwahi kuisikia mtu akiongea maana ilikuwa yaajabu sana. Basi baada ya maneno yale akanambia nikae kwenye kiti kimoja kizuri sana kilicho kuwa kulia kwa yule mnyama, nikakaa nilipo kaa yule shetani alitoweka kwa sekunde chache na kurudi na vazi kama mtandio mzito wa kifalme akanifunika pale pale nilipo kuwa nimekaa kwenye kiti, alipokuja kunifunua nilijihisi kama kiumbe kingine kabisa nilijiona mwenye nguvu sana na nilikuwa na hasira sana, nilipotupa macho yangu mbele niliona dunia ikizunguka mbele yangu na niliwaona watu wa kila lugha, ukoo, taifa na kabira wakiwa wanaonekana mbele yangu.
UMEPEWA NGUVU UKAISAMBALATISHE DUNIA, WAKAAJI WA NCHI WAWE WANA WA JEHANAMU" ilisikika sauti nzito sana ikisindikizwa na mtikisiko mdogo wa eneo lile nililokuwapo, nilipoangaza kila upande niliona mamia ya viumbe mbali mbali wakiwa mbele yangu nilisimama nikawa nasogea mbele huku nikiwatizama wale viumbe kwa chuki sana bila hatakujua sababu ya kwanini nipo vile.
" nisikilizeni nyinyi watumwa wa shetani Kazi yenu ipo mbele yenu na nilazima muifanye kwa ufasaha vinginevyo nini kitatokea nafikiri mnakijua na hii ni amri kutoka kwa mkuu wa giza tumeelewana"? Niliongea maneno hayo kwa msisitizo na ghadhabu ya hali ya juu nilikuwa naongea bila hata chembe ya mzaha. Lakini kwa upande mwingine nikawa najishangaa aya mambo ninayoongea nimeyapata wapi Mimi?...
"Muda wakurudi duniani umefika" ilikuwa ni sauti ya mwanamke mrembo ikiniambia kutoka nyuma yangu. Niligeuka nikamtizama kisha nikaachia tabasamu la chuki ambayo hata sikujua kwanini nilikuwa na hasira sana kiasi kile. Basi nilipiga goti moja chini nikaongea maneno ya siri na kufuru kisha nikatoweka kutoka eneo lile.
Ghafla nikawa naibuka taratibu kutoka ardhini uku nkisindikizwa na moshi mzito, nilitokea ndani ya jumba moja kubwa sana na lakifahari kwa muonekano unaweza kusema ni kasri ya kifalme.
" hapa niwapi? Nilimuuliza binti aliye kuwa mbele yangu akitabasamu baada ya kuniona.
" Nairobi Kenya " alijibu kwa bashasha.
" kwanini Kenya nasio Tanzania? Nilimuuliza maana nilijua wazi anajua kwanini Mimi nitokee pale badala ya nyumbani Tanzania na Nilimuuliza kwa vile nilijua fika kuwa hakuwa binadamu wa kawaida kwakuwa macho yake yalikuwa kama ya mdoli yakielea tu na kupepesa bila kupiga kope na alivyo simama alikuwa kama mtu anaye elea angani.
" kuna sherehe inakupasa uiuzurie jioni yaleo kwa vile sasaivi ni mchana inatukubidi upumzike ndani ila jioni utaenda kwenye sherehe" alisema yule mwanamke.
" iyo sherehe inahusu nini? Niliuliza
" kuna wanachama wapya Leo wanasimikwa rasmi kuwa wanachama na kiongozi mpya anaapishwa Leo kwaiyo inakupasa uwepo ili kusimamia zoezi zima lakini nilitaka kusahau kabla hujapumzika ilikuwa ni vizuri kwanza ukatoa kafara kabla jua halijawa Kali" alisema lakini kwangu kuitoa kafara haikuwa stori nzito ila shida wakumtoa ni nani .
" naipata wapi iyo kafara? Nilimuuliza.
" sijajua ila kwa nchi maskini kama izi upatikanaji wa kafara ni rahisi sana tofauti na nchi zilizo endelea" alisema.
" kivipi rahisi sijakuelewa" nilisema.
" hahahaha kitu kdogo tu wazazi wakiafrika huwa awawajali kabisa watoto wao hasa wazazi wakipato kidogo hawa uwaachia watoto zao wasambae mitaani na kwa vile hawa watoto huwa na misongo ya mawazo hutafuta chochote kiburudishacho na huota ndoto za kusaidiwa basi kupitia msaada utakao wapa basi na wao watakupa msaada" alisema hivyo na wote tukaangua kicheko kwani niliona amenipa wazo zuri sana na kwa muda mchache tu stori za mauaji na umwagaji damu zilikuwa zikinivutia sana na kunifanya hata nitabasamu mwenyewe, kwani roho yangu ilijisikia kuchangamka sana pale ninapoona au kusikia matatizo yametokea na watu wameuliwa katika tukio Fulani..
Mazingira ya nyumba ile kwa nje yalinifanya nibabaike kidogo kwani yalikuwa mazuri sana kulikuwa na gadeni nzuri za majani na mauwa, na kwa mbele kidogo kulikuwa napambo la maji likitupa maji vizuri kama maji yanayo toka katika mlima na kushuka chini. Tulipiga hatua mpaka kwenye packing ya gari aisee hapo kulikuwa nagali za kifahari tu jambo lililo ni shangaza nipale nilipoona maybatch presidential car ikiwa moja yagari zilizokuwapo ndani ya ile packing au tuseme yard.
" tutumie presidential car " nilisema uku nikimtizama yule mwanamke usoni.
" usijali yote ni yako aya" alisema .
" yangu Mimi ? Nilimuuliza uku namtolea macho.
"Ndio ujui sasaivi wewe sio mtu wa kawaida " alisema.
" najua aisee sawa basi, basi endesha tuka tafute msaada" niliongea kwa utani na wote tukacheka tena, yaani kiufupi stori za kuua na kumwaga damu zili kuwa zikinifanya nijisikie vizuri sana na mwenye furaha na nilijiona nikichangamka kabisa.
Tuliingia ndani ya ile gari ya kifahari taratibu tukaanza kuondoka tulipo likaribia geti lilijifungua lenyewe na sisi tukatoka kwa mwendo mkali kidogo.
" wapi tunaelekea sasa? Nilimuuliza maana Mimi nilikuwa mgeni Kenya sikujua hata mitaa.
" aaah! Bwana unajali sana usikamie Kazi basi tuifanye taratibu na u relax nchi maskini izi hupaswi kuwa na stress" aliniambia huku akitabasamu na Mimi nilifuatisha kuachia kicheko kwa mbali kama kusapoti, tulitembea kwa umbali kama kilomita tano ivi na akapaki gari pembeni.
" vipi kunashida" nilimuuliza baada ya kupaki gari mtaa usio eleweka ambao ulionekana kweli wanakaa watu maskini lakini nilihisi uwenda tumefika tunapopataka.
" angalia pale" alinionesha kwa kidole kabla hatuja telemka kutoka garini.
Walikuwa ni watoto wakichezea matope kwa muonekano walikuwa wamechafuka sana kama hawana mwangalizi.
" tushuke" alisema yule mwanamke.
" nikafungua mlango nikazunguka upande wake nikamfungulia mlango akatelemka basi kitendo kile kili wavutia wengi walio kuwepo eneo lile
" aisee ayo ndio maisha ya mabwenyenye" alisema kijana mmoja aliye kuwa na wenzake
 
Inaendelea...aisee ayo ndio maisha ya mabwenyenye" aliongea kijana mmoja aliyekuwa na wenzake wakitutizama.
" mambo zenu wakina kaka" alisalimia yule mwanamke jini niliyekuwa naye.
" nzuri tu sister " waliitikia wale vijana. Uku wakimtolea macho kwa jinsi alivyo kuwa akivutia kwa uzuri wake.
" Mimi na mume wangu tulikuwa tunashida" alisema.
" shida gani ? Waliuliza wale Vijana.
" kama hamtajali niliomba tuongozane na Vijana watatu kunakazi kidogo nyumbani" alisema yule mwanamke, na Mimi nilikuwa kimya nikiwatizama tu.
"OK sio mbaya wache tufuatane" walisema wale Vijana huku kila mtu aking'ang'ania kuchukuliwa maana kwao waliona kama fursa, basi Mimi nikawa na tabasamu mwenyewe .
"Wewe, wewe na wewe nifuatani" aliongea yule mwanamke akiwabagua wale Vijana.
" walitufuata mpaka kwenye gari wakaingia lakini sisi tulibaki nje kwani kunakitu nilitaka tujadiliane maana sikuelewa kidogo.
" inakuwaje ubebe hawa Vijana sasa uoni kuwa watatusumbua Mimi nilidhani tutachukua wale watoto "? Nilimuuliza.
" ha! Ujui au ivi utaendaje kuvamia nchi Fulani na usipambane kwanza na jeshi lao la ulinzi"? Sikiliza awa Vijana unao waona tuliowachukua ni Vijana wenye ushawishi hapa na pia hawa wakiwa upande wetu kwenye huu mtaa hakuna kitakacho pona lengo letu sio tu kupata kafara hata kuharibu jamii pia ni lengo letu ona kama sasa tutaua ndege wawili kwa jiwe moja" alisema yule mwanamke.
" sijaelewa" nilisema
"Ingia kwenye gari utaelewa mbele" alisema uku akinitizama nimfungulie mlango.
Nilifungua mlango akaingia ule upande wa abilia nipokuwa nimekaa Mimi awali na akanitaka nikaendeshe Mimi. Tuliondoa gari taratibu kutoka eneo lile mpaka kwenye eneo ambalo yule mwanamke alinielekeza nielekee.
Lilikuwa ni jumba kubwa sana ambalo tuliingia tuseme ilikuwa ni kama hoteli hivi, tulishuka garini na kuelekea kwenye moja ya meza zilizokuwa nje ya lile hoteli.
" Kazi gani? Waliuliza wale Vijana.
" tukae kwanza kisha tuongee taratibu msiwe na moto" niliongea kwa sauti ya chini ya bezi na kuwafanya watulie.

" najua maisha ni magumu ila nataka niwasaidie lakini kwanza na nyinyi mtusaidie" aliongea yule mwanamke kabla Mimi sijafungua mdomo wangu.
" utatusaidiaje au unataka kutupa Kazi" Waliuliza.
" ndio Kazi nataka niwape ila kwanza lazima muwe na ujasiri na uwezo wa kutunza siri" alisema yule mwanamke.
" ilo sio tatizo sisi tunaomba Kazi utupe iyo pesa " walisema.
" Mimi nawapa pesa nyie mfanye Kazi" alisema yule mwanamke uku akiniangalia usoni kuwa niingize mkono mfukoni niwape pesa, lakini katika kumbukumbu zangu Mimi pesa sikuwa nayo kabisa kwa muda ule lakini aliponitazama sana nilifanya alichonitaka nilipoingiza na kutoa nilishangaa ata mwenyewe mabunda ya pesa za Kenya zili kuwa mezani pale.
" chukueni izo ni milioni moja Kenya shillings kwaiyo tunaomba mkatuchulie watoto wa wili pale mataani kwenu na sisi tuta kuwa tukiwasubili kama mita mia kutoka pale mtaani kwenu" alisema yule mwanamke.
" a.a..a.ahainashida" walijibu wale Vijana baada ya kuiona pesa mbele ya macho yao, chukueni muende sisi tutawafuata kama dakika kumi ivi zijazo.basi wale Vijana walinyanyuka wakachukua pesa zao na kuondoka wasiamini kile kilichotokea ndani ya dakika chache vile.
" kama tunge wachukua sisi wale watoto na wasionekane tena basi ungesakwa wewe maana wale Vijana wangetoa siri ya kile walichokiona sasaivi wao ndio watafanya iyo Kazi ya kuwachukua" alisema yule mwanamke na kunifanya nistaajabu alivyo na mbinu zakuvutia. Tuliongea yote ayo tukiwa tume kaa pale pale mezani wa wili tu.
" vipi hoteli lote ili hakuna hata muudumu? Niliuliza maana ninavyojua ukikaa tu hotelini haipiti dakika muhudumu utokea sasa pale karibu dakika tano zinaisha hakuna chochote kinachoendelea.
" subiri ukitoa kafara kuna vitu vitaongezeka utaona vitu vya zaidi ya kawaida" alisema.
" tundoke" nilisema maana ndani ya hisia zangu nilipata taarifa kuwa wale Vijana washawachukua wale watoto na wanatusubili sisi.
" nilipiga goti moja chini na kuongea maneno ya siri na kufuru kisha akafuatayule mwanamke tulitoweka lile eneo kwa nguvu ya upepo na kutokea nyuma ya wale Vijana.
"Hongereni kwa kazi" niliwasabahi
" mama" walishtuka sana kwani kwaujio ule wa ghafla binadamu yoyote yule angelishituka tu kwani hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa kuna sehemu tumetokea maana lile eneo mtu akitokea popote pale ni lazima aonekane maana lilikuwa eneo la wazi sana.
...hongereni kwa kazi" niliwasabahi wale Vijana
" huyu nani uncle Dani? Aliuliza mtoto mdogo aliye kuwa akibembea kwenye mikono wa mmoja wa wale Vijana tulio watuma wakawachukue watoto.
" anhaa uyu ni mjomba na uyu ni shangazi kwani mama na baba hawajakuambia? Kijana dani alimuuliza yule mtoto.
" hawajaniambia" alijibu
" basi wafwateni wakawape pipi na biskuti sawa au hamtaki midoli na magari? Aliuliza tena kijana wa pembeni kati ya wale tulio watuma.
" Mimi na taka" walijibu wale watoto uku wakimkimbilia yule mwanamke jini na kumkumbatia miguuni.
Kwa upande wangu nilijisikia furaha isiyo na kifani yaani kazi inawezaje kuwa rahisi hivi aisee nilifurahi sana.
" twende kwenye gari ile" aliwaonyesha wale watoto gari na kuanza kuondoka, moyoni nilishangaa kidogo kwa vile gari tuliiacha kule hotelini lakini ikatufuata any way nikaachana na mawazo hayo.
" vipi tunaelekea nyumbani au" nilimuuliza baada ya kuingia garini na wale watoto.
" kumbe " alijibu kifupi.
" OK sio shida" nilijibu uku nikiiondoa gari kwa mwendo kasi kwani nilifikiri wale Vijana wanaweza badili mawazo namambo yangu yakaharibika.
Tulitembea kwa zaidi ya kilometer tano mpaka nilipo likaribia geti la nyumbani kwangu na kuliingiza gari ndani.
"Tangulia nikukute sebuleni" aliniambia yule mwanamke.
"Ok" nilijibu ukunikitelemka garini nakumuacha yule mwanamke na wale watoto.nilipiga hatua kuufuata mlango mkubwa wa kuingilia ndani ya jumba lile kubwa la kifahari ambalo nilipewa na mashetani, nilipoufikia ulifunguliwa na ma binti wa wili wazuri sanaa walio vaa nguo zabkitumishi utasema watumishi wa nyumba ya mfalme
"Karibu ndani" zili kuwa nisauti mbili za mabinti warembo walio nifanya nijihisi mwili ukichangamka.
"Asante "nilijibu kwa furaha ukunikielekea kwenye moja ya kiti kizuri cha thamani ya juu kwani kilinakshiwa na dhahabu na almasi kukizunguka kiti kizima, nilipofika nilijitupa juu yake na kukilalia kwani nilijihisi uchovu.
" madam akiingia mkimaliza kutoa kafara basi itabidi uoge upumzike" alikuwa ni mmoja wa wale wanawake walionifungulia mlango
"Aisee kumbe nimezungukwa na majini watupu humu? Nilijiuliza mwenyewe moyoni
" ndio ila sio wote" alisema yule mwanamke uku akitabasamu, na Mimi nilishajua nilipuyanga pale nilipowaza.
...." Anha! Kwani yupo wapi sasa? Niliuliza.
" anawaandaa kule chumba cha kafara" aliniambia na Mimi nikabaki na mwangalia tu yaani hii kiboko nimezingirwa kila kona ya nyumba hii na majini.
" samahani Dada ivi na wewe ni JINI? Nilimuuliza kupata uhakika kwa nilivyo waza
" hahahaha ndioo" alijibu uku akiachia kicheko kidogo.
" anha sawa basi kaendelee na Kazi uko" nilimjibu kisha nikajilaza tena.
"Sawa asante" alijibu na kuondoka.
" mbona unalala sasa? Alikuwa ni yule mwanamke jini niliyetoka naye kutafuta watoto wa kafara.
" nilikuwa najipumzisha siunajua Mimi ni binadamu nachoka" nilijibu.
" OK nifuate alafu baadae nitakufanyia maombi angalau uwe kama sisi usiwe unalala lala sawa" aliniambia uku akitabasamu.
" sawa kama inawezekana basi safi tu" nilijibu.
"Tangulia" alisema yule mwanamke baada ya kuufungua mlango wa chumba cha kafara.niliingia lakini nilishtuka kuona wale watoto wakiwa wanawaka moto
" hii ni nini sasa? Nilimuuliza yule mwanamke jini uku nikimtolea macho.
" kunanini? Aliuliza uku naye anaingia na alipoona alikuwa kama MTU aliye shituka.
"Mmmh! Hii baraa wazazi wao ni wanamaombi sasa apa kunashida" alisema.
" shida gani sasa? Niliuliza.
" wazazi wao wamepata hisia kuwa hawa watoto hawapo salama naona wanafanya maombi ili wawe salaama unajua unaweza zani ni utani lakini maombi yoyote yakiombwa na binadamu kwa moyo usikiwa na yule mkuu na anaagiza uyo mwombaji au Mali ya mtu huyo kulindwa sasa ndio matokeo yake ni haya ndio maana nachukia Mimi watu kuomba AAA!" Aliongea yule mwanamke uku akiwa kama amekata tamaa basi Mimi nguvu ndio zikaniishia kabisa nikaona ili balaagani tena.
" itabidi utume askari wakapambane maana hapa tutashindwa Kazi" alisema.
" askari unakichaa wewe? Nilimuuliza kwa mshangao kwamba niwaite tena askari iyo sikujiloga mwenyewe tena.
" kuwa na nidhamu basi Mimi sio binadamu mwenzako naamaanisha walinzi wakijini wewe Unauwezo uo wakuwatuma angalau waende wakawazuie wazazi wa awa watoto waache kuomba kule" alisema.
" ooh dah! Sorry sikujua. MKUU WA MAJESHI YA KIJINI NAKUAMRISHA NJOO" Niliongea na haikupita dakika kiumbe cha kutisha sana kilitokea mlendani na chumba chote kujaa moshi wa kuzimu alikuwa na mwili wa nyoka mwekundu kichwa cha binadamu chenye pembe ndefu sana na mikononi alikuwa ameshika ngao ya dhahabu na upanga wa shaba
" nakuamrisha uende ukawazuie wazazi wa watoto hawa kuacha Mara moja kusali kabla hakujawa na matokeo mabaya sana kwao.
..niliposema hivyo yule jini alitoweka mbele yangu na nilipo geuka kumuangalia yule mwanamke nilimeona akitabasamu
" anhaa kweli wewe ni mwanaume hukuchaguliwa kama bahati mbaya sasa twendezetu sebuleni tukaangalie vita" alisema yule mwanamke na kuufungua mlango.
"Kwanza nifuate maana hiini vita serious" alisema yule mwanamke namimi nikamfuata mpka kwenye moja ya chumba cha kulala ambapo alifungua moja ya kabati kubwa na kutoa nguo zenye mfanano na nguo za kifalme ambazo ali vaa kisha akanipa namimi zakwangu nikavaa kwa muonekano utasema mfalme na malkia kisha tukaenda sebuleni ambapo tulikaa juu ya vile viti vya dhahabu kama vya kifalme na wale watumishi wakijini walikuja na kutuzunguka walikuwa kama wakifanya ibada kwa muda wa dakika tano baada ya kumaliza walikaa chini ya zuria jekundu kisha yule mwanamke wakijini niliyekuwa naye alinyoosha fimbo yake kuelekea ukutani na kuniambia namimi nifanye vile vile ghafla katika hali isiyo yakawaida kitu kama kioo kilitokea ukutani ikiwaonesha wale viumbe au maelfu ya askari wakijini wakiwa wameshafika katika mtaa ambao wazazi wa wale watoto waliungana kuwaombea watoto wao, walipokuwa juu ya lile anga walibadili maumbo yao kulingana na nature ya mapambano waliyokuwa wakienda kukabiliana nayo waligeuka na kuwa kama moshi uliotanda juu ya anga walizunguka anga ya like eneo kwa zaidi ya nusu saa na baadae wingu zito jeusi lili tanda angani na unaweza sama mvua kubwa sana inaweza shuka kwani mawingu yalikuwa yanatisha kiasi kwamba kivuli kizito kilikumba lileeneo na kulifanya kuwe na giza kama la saa mbili usiku watu waliwasha taa zao majumbani kwani kuli kuwa na giza sana na watu wengi waliona wajikusanye ndani ya majumba yao kwani hali ya hewa ilikuwa mbaya sana, sasa yule mwanamke wakijini alinyoosha tena fimbo yake kuelekea kwenye ile TV ya kijini tuliyokuwa tukitazama tukio zima na katika hali isiyo ya kawaida alitoweka pale kwenye kiti chake nakuonekana juu ya mawingu Yale meusi na mazito alikaa angani pale kwa zaidi ya dakika kumi akitazama dunia kwa chini.
Lakini nilipotuma macho yangu ya tazame ile TV niliona watu wengi wamekusanyika eneo moja na wanashangaa nikahisi pale lazima yule mwanamke atakuwepo amedondoka pale.
"Azhura nenda katizame pale wala usifanye chochote kaangalie kisha uniambie" nilimwambia mmoja wa mabinti wakazi. Basi akatoweka pale ndani namimi nikaa kwenye kiti changu nikimfuatilia kutokea kwenye ile TV na KWELI alitua pale dakika chache tu toka aondoke pale nyumbani, alijipenyeza mbele za watu nakutokea mbele kidogo kisha akageuka nyuma kama anaondoka lakini ghafla akatoweka na sekunde chache akatokea mbele yangu.
"Ni madam yupo pale katika hali ya kutisha jamani wale binadamu wanaweza mfunga daima kamwokoe" alisema yule mwanamke kwa hofu kubwa sana
moto ulinzi wao ulirudishwa lakini walipo kata tamaa nakukimbia walipitishwa nakushauliwa nayule askari wetu hapo ndipo walipo haribu mambo " alieleza sana.
"Usiwe na wasiwasi" nilimpa moyo kwani alionekana amekata tamaa ya kile alicho kishuhudia, nilinyanyuka kutoka pale kitini kwangu nikaelekea chumbani nikachukua fimbo yenye umbo la nyoka yenye urefu wa rula ndogo nikarudi sebuleni nikapiga goti moja chini na kuongea maneno ya makufuru kisha nikajikuta nimetokea eneo lile lakini juu kidogo hewani kwani nilipanga nifanye tukio moja baya sana litakalo waachia wakazi wa pale historia ambayo haitokaa waisahau, nilipo angalia vizuri kwenye lile kundi lawatu niliona baadhi ya Vijana wakimmiminia mafuta ya petrol yule mwanamke wakijini nilitaka nifanye tukio lakini nikaona any way ngoja nitizame kwanza kitakachotokea wataweza kweli au ndio wanajitafutia mabalaa,
"Vuuuuuuuuu" mlio wa kundi kubwa la viumbe wa majini waliwasili upande ule wa anga nilipokuwa Mimi nimesimama nikishuhudia kwanza nini kitamtokea yule mwanamke wakijini maana hata hivyo kuona mtu akifa kwangu ilikuwa kitu cha kuvutia sanaa.
"Nyie vipi nani kawaita? Niliwahoji kwa ukali.
" tumemuona madam yupo hatarini ndio tumekuja kumsaidia" walijibu.
" wakati anapambana nyie mlienda wapi? Niliwauliza
tumemuona madam yupo hatarini ndio tumekuja kumsaidia" walijibu.
" wakati anapambana nyie mlienda wapi? Niliwauliza.
" nguvu iliyo mwangusha madam ndio ilio tusambalatisha lakini sisi tuliweza kukaa sawa kwa vile hatukuwa katika maumbo ya kibinadamu madam yeye alivaa umbo la kibinadamu ndio maana yupo kwenye hali mbaya sanaa " walisema.
"Aya sawa sasa msifanye chochote mpaka nitakapo waambia nini mfanye sawa" nilisema hivyo kwa vile nilihofia kama watatumia mbinu ile ya kuleta giza basi wale wanamaombi watatuangamiza.
Niliamua kutelemka chini na nikaghaili kukaa tu nikimwacha yule mwanamke wakijini achomwe pale chini, nilipo ikanyaga ardhi nilitembea taratibu kuufuata ule umati wawatu wengi walio kuwa wakipiga kelele, nilitazama juu nikawaona wale askari wakijini wakiwa wananitizama niliwapa ishara kuwa baadhi yao wanifuate na palepale askari mia moja wakijini walikuwa na umbo la kibinadamu lakini walio valia mavazi ghali ya walinzi wakifakme yaani mtu akitutizama lazima ata jua Mimi ni mfalme nipo na walinzi wangu.
"Jamani majini wenzake wanakuja" aliongea mwanamke mke mmoja akiitaazalisha ule umani wa watu, niliendelea kupiga hatua huku wale watu wote wakigeuka kututizama na hakuna hata mmoja aliye fikiria kutushambulia zaidi ya kurudi nyuma kwa woga na kwa haraka wakimwacha yule mwanamke wakijini wakiwa amelala pale chini akiwa amelowa mafuta ya petrol huku baadhi ya mapambo yake ya dhahabu akiwa amevuliwa na akiwa na majeraha makubwa sana aliyoungua kutokana na ile vita aliyopigana, nilipomfikia niliinama nikambeba kisha nika piga goti moja chini huku nimemshikilia na kusema maneno ya makufuru kama ilivyo mila yetu nakutoweka waziwazi Mimi na wale askari tulitoweka mbele ya wale wananchi na kufanya watimue mbio hovyo hovyo, ukweli ni kuwa nilipo potea mbele yao nilipaa eneo lile lile nakuitazama kwa umakini ile nyumba kisha nikaondoka kasi kwa nguvu ya upepo na kutokea nyumbani, nilipofika nilimshusha yule mwanamke wakijini na kumlaza juu ya zuria pale sebuleni.
...nilimshusha yule mwanamke wakijini na kumlaza juu ya zuria pale sebuleni.
" mbebe nifuate" aliniambia mtumishi mmoja wakijini.nilifanya kama alivyoshauri ambapo nilimbeba nikampeleka mpaka kwenye moja ya chumba chenye mwanga hafifu na ndani ya jumba hilo kuli kuwa na joka kubwa sana limejiviliga na kutumizama.
" mshushe kwa uyo joka kisha tutoke" alisema yule mwanamke na Mimi nikafanya tena kama alivyo sema. Lakini moyoni mwangu nilikuwa na mawazo yaliyo nijia ghafla sana
" hivii umundani kuna vitu gani zaidi mbona ata siielewi hii nyumba" Nilimuuliza yule mtumishi wakijini tukiwa tunatoka mle chumbani maana sikufikiria kama kunaweza kukawa na chumba cha kutisha vile na ndani yake akawepo joka.
"Vipo vingitu kwani wanaposema majumba makubwa ya mebeba mengi wanamaanisha nini? Aliniuliza.
" jibu basi kunanini umu vya ziada maana sielewi na wewe unaniuliza vitu mbavyo hata sivielewi OK ni hivi uomsemo Mimi nausikia tu huwa siuelewi." Nilimwambia hivyo yule mtumishi.
" anha! Sawa ipo ivi kwa sasaivi huwezi ukalimaliza ili jumba kiufupi ili ni kasri la kishetani ndiko maamuzi yote ya kuitawala Kenya hutoka huku na kwa afrika mashariki lipo Tanzania na kwa afrika lipo Nigeria na kwadunia lipo marekani mji wa malaika waliopotea loss Angel " alieleza yule mwanamke nakunifanya nishtuke kidogo.
" ha! Sasa kiongozi wake anaye ongoza yupo wapi? Nilimuuliza.
" hahahaha siwewe apo huoni yote unayo yatenda ni unatenda kwa amri zako na wote ufuata unayo sema na kupongeza unayo tenda hata ushangai lile jeshi la ulinzi la Kenya nalo linakutii OK na maanisha jeshi la kijini" aliongea yule mwanamke.
" hataivi sema bado hujaanza sawa sawa majukumu yako lakini kwa siku moja tu umeonesha wewe ni sio mtu wa mchezo na ukiendelea hivi utakuwa pelekwa kwenye lodge kuu kule Tanzania " aliongeza yule mwanamke na kunifanya nishangae kumbe shetani mwenyewe ndio Mimi ayayayaya somchezo. Tulikaa toka muda ule mpaka saa tatu usiku nikiwa nimekaa kwenye kiti changu cha ufalme uku nikisomewa kitabu cha masharti na kanuni za kichawi
...nikisomewa kitabu cha kanuni za kichawi na moja wa wazee walio nitembelea muda mchache ulio pita ili kunisindikiza kwenye lodge la pale Kenya kumpandisha daraja mmoja wa wanachama wa dini ya kishetani na kupokea wanachama wapya ambao watalelewa kwa mahitaji maaalumu.
"Za muda huu" Ilikuwa ni sauti ya yule mwanamke wakijini iliyo nishtua vibaya sana kutokana na kutokea katika mazingira tata.
" wewe siulikuwa mgonjwa wewe? Nilimuuliza.
" kwani vipi hukutaka nipone? Aliniuliza.
" OK basi" nilijibu.
" tuondokeni basi muda unakwenda alisema yule mwanamke. Basi wote kwa pamoja tukashikana mikono na kutoweka kutoka eneo lile na kutokea kwenye chumba kimoja chenye mwanga mkali mweupe sana.
" tumefika prince" walisema wale watu na wote wakapiga magoti chini mbele yangu na mbele ya yule mwanamke.
" prince Mimi? Nilijikuta nikiuliza bila matarajio.
" ndio wewe Prince wa giza la Kenya Mwana waufalme wa kuzimu" walisema.
Namimi nikabaki namgeukia yule mwanamke wakijini ambaye muda huo alikuwa akitabasamu aliponiona na shangaa.
" vua nguo uvae hizi" alisema yule mwanamke na kunipa nguo nyekundu sanaa na yeye akavua vua haraka nguo zake na kuvaa joho jekundu kama alilonipa, basi namimi nikavua kisha nikavaa nguo zile nyekundu na kujifunika na kofia zake, kisha nikasikia kengele ndogo ikigongwa mle ndani na taratibu wale wazee walio kuja nami pamoja na yule mwanamke wao walitangulia mbele huku wame shika kisu na bakuli kubwa, lakini kimavazi wao walivaa nguo nyeusi na kujifunika mpaka kichwani kwa kofia zao.
" BOW THE PRINCE OF KENYA IS HERE" sauti ilisikika hivyo na watu wote kwenye ule ukumbi unao tisha waliinamisha vichwa vyao chini kama heshima. Walikuwa wamevaa kila mmoja mavazi meusi yenye msalaba uliogeuka chini au tuseme yenye picha ya jeneza lenye msalaba ila isipo kuwa wale watu wapya wao walivaa nguo nyekundu yenye muonekano kama ya wale wenzao na pia uyu aliye kuwa anapanda cheo nae alikuwa amevaa nguo nyekundu pia ila yeye alikuwa upande tofauti na wenzake.
Basi nilipanda mpaka juu ya eneo la sisi kukaa ambapo kuli kuwa na viti eneo lile nilikaa kwenye moja ya kiti kikubwa cheusi sana kisha nikawa nasubili utaratibu unavyo kwenda lakini pale juu ya kama kwenye stage nilipanda Mimi na yule mwanamke wakijini tu hakupaswa yeyote yule kupanda pale juu. Salam za kumtukuza shetani zilikuwa zikiendelea na watu wakishangilia uku Mimi na yule mwanamke wakijini tukiwa tumejifunika na ile mikofia mpaka usoni uku tukiwa tumeinamisha vichwa vyetu chini kwa vile tulikuwa na mavazi yale yakishetani na nguvu za kishetani zilijaa kwetu najua hakuna alikuwa anatuona pale mbele isipo kuwa wale wazee wachache walio kuwa wanaijua dini vizuri na malengo ya dini kwa ujumla lakini wale waumini wa kawaida hawakuona mtu ila waliambiwa tu kuwa tunaingia. Kwa waumini wa kawaida akitazama mbele ataona kiti cheusi na kile cha pembeni vikiwa vitupu au kuna moshi.
" piteni mbele enyi watu wapya wa shetani."aliongea mshereheshaji kwa sauti ya juu sana naya amri.
Nakuwa Fanya wale watu kusogea mbele mpaka mbele ya ile stage upande wenye kioo kikubwa, walipo fika Mimi na yule mwanamke wakijini tulinyanyua vichwa vyetu kuwa tizama vizuri sasa wale waumini wapya walio kuwa muda ule wakiandaliwa meza na viti ili kutia sahii ya kiapo na hati ya kifo kama watakwenda kinyume na masharti yetu ikiwemo kutoa siri , walipokaa walifanya kama walivyo amriwa na baada ya apo viti viliondolewa na wao kubaki wamesimama.
" mnakubali kujiunga na mwana waufalme wa ulimwengu"? Waliulizwa sasa kukili kwa vinywa vyao. Na wao wakakubali.
" mnakubali kumtii pia prince of Kenya ambaye amepewa mamlaka na Lucifer mwenyewe? Waliulizwa na wao wakakubali.
" mpo tayari kubebe matokeo yoyote kama mtajiendea kinyume na ufalme wa giza" waliulizwa na wao wakakubali na Mimi nikawa na tabasamu huku niki mwangalia yule mwanamke.
Basi yule Mzee akageuka pale nilipokuy nimekaa na kusema.
" wapokee hawa watu ewe Prince waongoze uwatawale na uwajaalie wanayoitaji " alisema.
....wapokee hawa watu ewe Prince waongoze uwatawale na uwajaalie wanayoitaji " alisema.
"Sawa je! Watu hao wanahitaji nini kuja Leo mbele yangu" Niliongea kwa sauti nzito nailiyo sikika kutokea mbali utadhani nilikuwa mbali kweli na sauti yangu ilitisha muda ule kwani nilikuwa na sauti mbili tofauti zilizo kuwa zikiongea muda ule yaani yangu halisi na ile yakishetani kwaiyo ukisikia unaweza kusema ni mwangwi.
"Ombeni chochote mbele ya prince atawapa" alieleza yule Mzee .
" tunaomba Mali utajiri na umaarufu" waliomba.
" KINGINE" niliuliza kwani pale wewe omba chochote lazma upate.lakini apo kwenye kingine walikuwa kimya kila mtu akiwaza aombe nini basi mmoja alinifurahisha alipoomba apendwe na wanawake wote kila anapopita lakini kwakuwa Ilikuwa ni ombi alipata .
"CHOCHOTE MLICHO OMBA MMEPATA " nilisema na wote walipiga magoti mbele ya ile stage.
" funikeni vichwa vyenu " aliwaambia yule Mzee aliye kuwa akiwaongoza na wao wakafanya hivyo.
" SASA NIWAKATI WAKUTOA KAFARA ENYI WANADAMU MLIO MCHAGUA BABA YENU SHETANI " Alisema yule mwanamke wakijini aliye kuwa pembeni yangu.
" mbona walisema hakuna kafara? Aliuliza mmoja wa wale waliokuwa wakipokelewa kwenye ile lodge .
" hahahaha hahahaha hahahaha " lodge nzima lili jaa vicheko hata Mimi nilicheka ikabidi nimwambie.
" MWANADAMU HAKUNA UPENDO BILA KAFARA WEWE UMEMPENDA SHETANI MWONESHE UNAVYO MPENDA NJOO MWANANGU NIPEKILE UKIPENDACHO NIKUPE UNACHOPENDA PIA"nilisema.
"MTOE YULE UMPENDAYE SANA KUONESHA UPENDO WAKO USIO NAKIPIMO KWA SHETANI NAYEYE ATAKUPA UTAJIRI USIO NA KIPIMO SHETANI SIO MCHOYO NA HAWEZI KUKUDHULUMU" aliongezea yule mwanamke wakijini.
Walipewa kila mmoja kisu na mmoja mmoja walikuwa wakikisogelea kile kioo na kutaja watu wanao wapenda kisha wakachoma pale kwenye kioo ambapo ndugu yake anakuwa ametokea. Sherehe ilienda vizuri kabisa tulimaliza vizuri ila tulikubaliana ijumaa ya tareh 9 ni lazima tukutane saa sita usiku tukiwa na Kazi maaalumu.
" unaweza kwenda kujipumzisha" Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kutoka kwenye lodge la kishetani.
" sawa na wewe ukajipumzishe pia " nilijibu ukunikipiga hatua kukifuata chumba nilichooneshwa kuwa Nita lala mle.
" sisi huwa hatulali umu ndani unaye lala ni wewe peke yako " alinijibu yule mwanamke wakijini na kunifanya nisimame kwanza..
 
Inaendelea...sasa mnafanya nn usiku wote huu"? niliuliza nikimgeukia.
" tunaenda kuzimu kupanga mipango ya siri" Alisema.
" siri ipi" Nilimuuliza
" hapana kalale wewe ni binadamu mengine kujua haitawezekana" Alisema .
" isiwezekane kivipi na wakati tunafanya kila kitu pamoja vipi tena tunaanza kutengana" nilisema ayo kwa lengo lakutaka kujua tu wanachofanya.
" unakifua wewe"? Aliniuliza.
" ndio ninacho" nilisema.
" basi nifuate " Alisema.
Nilimfuata tukaingia ndani ya moja ya chumba ambamo ndani yake kuna viumbe vinatisha sana walikuwa wekundu kama damu na wembemba sana walikuwa hawana nguo wala hawana jinsia kama binadamu walikuwa na jicho moja katikati ya kipanda uso na mikono myembamba yenye kucha ndefu kama zatai, miguuni Ilikuwa kama desturi yao walikuwa na kwato na pua walikuwa na tundu moja nalo lilikuwa kama tundu la fuvu la mtu walikuwa na meno marefu kama ya simba , walipotuona tunaingia walirudi nyuma wote wakawa wanatutizama
" fungueni mlango enyi mashetani wekundu" Alisema yule mwanamke wakijini na Mimi hapo ndio nikafahamu kuwa wale ndio red devil, mlango ulifunguliwa kutokea chini ambako kuli kuwa kunafuka moshi mzito sana kama kule chini kuna moshi.
" sasa ndio tunaenda wapi" niliuliza maana niliona pale apapitiki na atapita nani kwenye moto.
" iyo ndio njia nauo unaouogopa ni moshi wakuzimu lakini kwa sasa usijali hauna shida labda baadae " Alisema yule mwanamke.
" baadae kivipi wakati wa kurudi au? Nilimuuliza.
" hapana bwana tuachane na ayo ngoja nitangulie" Alisema yule mwanamke na kuingia mlendani na Mimi nikifuata kwanyuma. Tulipoingia tulijikuta tukielea juu kwa muda wa kama dakika 30 na baadae kutua eneo tulivu lililotulia sana,
" unaliona ilojengo refu"? Alisema yule mwanamke.
" ndio naliona mbona lipo ivyo? Nilisema maana lilikuwa kimuonekano ni jengo lakini ukilitazame tena ni kama mtu yaani halikueleweka ni kitu gani maana lilikuwa likibadilika badilika.
" iyo nyumba ndimo baadhi ya watu Fulani ambao hawataki kujiunga na dini yetu ila wanataka miujiza huja hapa kupokea izo nguvu
.....sasa nifuate" Alisema tena.namimi nikawa namfuata baada kama ya atua kadhaa nilishangaa kuona joka kubwa likiwa mbele yetu nikisema kubwa na maanisha kubwa kweli basi ilinibidi nisimame tu nikilitazama
" ngoja baada ya muda ataufungua mdomo wake nayeye atatupeleka mpaka ukumbini maana wenzangu wameshawasili " Alisema yule mwanamke na kweli baada ya izo dakika akafungua mdomo na sisi tunaingia kama tunaingia pangoni na kisha akaufungu mlango, nilitarajia kuona giza mlendani lakini mambo yalikuwa ni tofauti na mategemeo yangu kwani miale ya moto Ilikuwa ikiangaza mlendani ya mdomo wa lile joka utasema tumboni mwake anawaka moto.
" usishangae huyu sio nyoka wakawaida" alinieleza yule mwanamke wakijini
"Ni jini na yeye ? Niliuliza.
" ndio ila yeye yupo kwenye sekta ya usafirishaji" Alisema .
" ha! Kwaiyo sekta ya usafirishaji wewe mwenyewe ndio unakuwa msafirishaji? Niliuliza.
" ndio uku sio kama uko duniani mtu akipewa nafasi basi ni mapumziko kwake badala ya wajibu" Alisema yule mwanamke.
" anha! Sawa bwa....niliishia hapo baada ya kuona mdogo walile joka unafunguka.
" tumefika? Niliuliza.
" hapana ila nahisi kunashida " Alisema yule mwanamke wakijini.
" shida! Kivipi? Niliuliza.
" mmh tutoke kwanza" Alisema yule mwanamke. Tulitoka nje lakini nilishtuka baada ya kuona moto ukitoka juu unashuka chini.
" tukimbie" nilisema baada ya kuona ali sio nzuri.
" hapana usijalibu kukimbia tulia hapo ngoja tuone kitakacho tokea" Alisema yule mwanamke wakijini. Moto ule ulikuja kwa nguvu ya ajabu na kuingia chini ya shimo lililokuwa mbele yetu na kurudi juu kwa kasi ile ile na kusababisha wote kutupwa pembeni maana ule moto ulikuja kwanguvu ya ajabu ambayo ili tutawanya wote tuliokuwa tukishangaa.
" amekombolewa tayari" Alisema yule mwanamke wakijini kwa masikitiko.
" nani? Niliuliza uku nikijinyanyua kutoka pale chini nilipokuwa nimetupwa Mimi na viumbe waliokuwa kule chini.
" acha bwana sio muhimu kwa sasa" Alisema yule mwanamke akiwa amejilaza pale chini alionekana amekata sana
acha bwana sio muhimu kwa sasa" Alisema yule mwanamke akiwa amejilaza pale chini alionekana amekata sana tamaa kwa kile kilicho kuwa kimetokea.
"Mbona unaonekana umefadhaika sana" niliuliza ili nione atajibu nini.
" alikuwa ni muhimu lakini kabla hatujaja kumjadili namna ya kumtumia Bwana wa roho zote ametuma nguvu imuokoe dah! tumepoteza apa dah" aliongea kwa masikitiko makubwa sana na nilipotupa macho kutizama kila upande niliona pia wale viumbe wa kuzimu wakiwa wamekaa chini uku wamejiinamia na kunifanya NA Mimi kuwa na hamu ya kujua ni nani aliye twaliwa apa na alikuwa anaumuhimu gani adi asababishe huzuni kutawala uku kuzimu,
" twende basi uko kikaoni muda siunaenda" nilisema hivyo maana nilijua nikifika uko ukumbini ningejua nini kinaendelea maana nilijua swala lile lazima lingejadiliwa kikaoni mle.
" turudi tu duniani" Alisema yule mwanamke wakijini uku akijinyanyua.
" kwaiyo kikao hakipo? Niliuliza.
" ndio sasa apa tujadili nini?alijibu.
" kwanza tukio pili ajenda iliyo takiwa kujadiliwa" nilisema maana nilikuwa na hamu ya kuwajua vizuri mashetani.
" hapa sio duniani kama kitu kikitokea unaweza kutafuta njia ya kukitatua huku tatizo likitokea ujue lipo nje ya uwezo wetu na halina njia ya kulilekebisha kama ambavyo tulikosea tulipokuwa mbinguni na hakuna njia ya kupona basi ujue hata ili lililotokea ujue hakuna njia na kama ukijitia unauchungu sana kama ni mwanadamu ujue umekufa na kama ni shetani ujue unafungwa kwenye giza la kiroho maisha yako yote ukisubiri ili siku na kuhusu ajenda ndio iyo iliyoondolewa mbele ya macho yetu wote na usiniulize alitwaliwa vipi maana umeona" Alisema yule mwanamke wakijini na kunifanya ni baki na shangaa tu huyu Bwana wa roho zote basi anatisha sanaa maana kilicho tokea ni hatari tupu.
"Tulitembea hatua kama kumi kisha wazo likanijia kuhusu wale watoto wawana maombi tulio wachukua kwaajili ya kafara.
" vipi kuhusu wale watoto kule nyumbani? Nilimuuliza.
" nyumba ipi yenye watoto? Aliniuliza kwa kunishangaa.
" he! Unashangaa
..."he! Unashangaa nakuniuliza wapi kwenye watoto kwani umeshasahau kilichotokea Leo mchana? Namimi nilieleza kwa njia ya swali huku nikimshangaa.
" kama kuna watoto nyumbani ngoja tukawaone"aliongea yule mwanamke wakijini na kunifanya ni baki namshangaa.
"Au kile kichapo alichokipata pale kwenye mapigano kimemuondolea kumbukumbu vizuri nini"? Niliwaza mwenyewe.
" Mimi kumbukumbu ninazo vizuri ila nataka na Mimi nikaone ao watoto" alijibu yule mwanamke wakijini akijibiza mawazo yangu.
"Mmmmmh" niliguna baada ya kuona amegundua mawazo yangu.tulitembea kwa umbali Fulani kisha tukashikana mikono na kuanza kupaa taratibu tukirudi duniani, tulipo fika umbali wa kama mita mia toka kwenye ardhi ya kuzimu tuliongeza kasi na ghafla tukajikuta nje la lango ambalo lilifunguliwa na wale mashetani wekundu.
" twende tukawaone ao watoto " Alisema yule mwanamke wakijini.
"OK twende kule kwenye kile chumba" nilisema na kuanza kuelekea mle chumbani.
" vipi mbona una shangaa" Aliniuliza yule mwanamke wakijini baada ya kuona nimepigwa na butwaa kushangaa kile kilicho kuwa kule ndani.
" inamaana hawa watoto waliondolewa humu ndani? Niliuliza.
" yaani mambo yote yale ulitegemea uwakute umu ndani kama wewe nani" Alinijibu hivyo lakini sikupendezwa na namna alivyokuwa akinijibu nilijua Wenda mambo yaliotokea kule ndio maana kajikela.
" naenda zangu kulala wewe kawange" nilijibu na Mimi kwa hasira maana alinikera kwa majibu yake.
" unanambiaje" aliuliza.
" umesikia achakiburi basi" nikajabu uku naingia zangu chumbani.
" mfyuuuuuuu" alisonya kwa hasira lakini wala hatasikugeuka nikaingia chumbani na kujirusha kitandani. Haikupita dakika usingizi ulinipitia maana nilikuwa nimechoka sana.
" mpaka saivi unalala amka unywe chai" Alisema yule mwanamke wakijini na kunishtua kutoka usingizini.
"Ooh za asubuhi? Nilimsalimia.
" mbaya kiasi kunamtu anareta mchezo kati ya wale wanachama wapya mmoja analeta utani anasahau kiapo chake" Alisema yule mwanamke.
" nani uyo na kwani kafanyaje? Niliuliza.
Amekiuka kiapo chake usiku wa kuamkia Leo amekusanya wa chungaji akidai kuwa amebadilika na mbaya zaidi wamekubaliana kutoa ushuhuda kwenye kanisa lao kesho kwenye ibada yao ya jioni" Alisema yule mwanamke wakijini uku akinitazama usoni.
"Nini!? Niliuliza kwa hamaki kwani niliona kijana anampango wakunipanda kichwani.
" ndio hivyo" alijibu yule mwanamke wakijini.
Nilisimama kwa hasira nikapiga goti kama ilivyo kawaida nikaongea maneno ya kufuru kuu kisha nikatoweka kutoka mle ndani.
"Sasa ndio unafanyaje? Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kutokea nyuma yangu ndani ya lodge.
" nataka nimfuate uyu mjinga hawazi tupanda kichwani ivi" nilisema kwa jazba.
"Usijali swala lake Lucifer mwenyewe kaliona ataagiza nguvu zaidi na baadae utaiongoza iyo nguvu uko kwenye ibada yao watakayo ifanya nanafikiri wataifurahia maana wameyakoroga nauyo mpuuzi akitiwa mikononi itabidi achinjwe mbele ya member wa hii lodge" Alisema yule mwanamke wakijini na kuja kunishika mkono na Mara tukatokea nyumbani.
"Kunywa kwanza chai alafu punguza hasira maana ukiwa na hasira utashindwa kuwa na maamuzi mazuri " aliongea yule mwanamke wakijini nikabaki namshangaa toka lini mashetani yakahimiza mtu asiwe na hasira.
"Wewe kunywa chai usiwaze sana" alijibiza mawazo yangu yule mwanamke wakijini kisha akaniaga anatoka Mara moja hato kawia kurudi kisha akatoweka, nilimaliza kunywa chai nikaoga nikatoka nje kwenye bustani nzuri ya maua nikaenda kukaa chini ya mti uku nikisoma kitabu cha kishetani cha mashujaa wakishetani nilikaa pale mpaka nilipoitwa kuwa chakula cha mchana tayari nilikula lakini ajabu yule mwanamke wakijini haukuwepo bado nyumbani, moyoni nilianza kuingiwa na hofu Wenda amekumbana na wanamaombi uko au mtu anayesali akawa kwenye kwenye matatizo.
" ili jini lipo wapi lakini? Nilijiuliza mwenyewe.
"Mimi hapa" alitokea yule mwanamke wakijini nyuma yangu.
" ulikuwa wapi wewe? Niliuliza kwa ukali kiasi kwani Mimi mtu kunifanya nimhofie huwa sipendi kabisaa.
....." nilienda kufwatilia wale wachungaji na yule kijana" Alisema.
"Haya umegundua nini sasa? Niliuliza.
" sio nilienda nigundue kitu ila nilitaka kufwatilia mienendo yao wote ili baadae saa kumi na moja wakikutana tuwaoneshe nguvu " Alisema yule mwanamke.
"Sasa ungesema ungechelewa basi maana nikajua tayari uwenda ushakutwa na matatizo uko" nilisema.
" matatizo ni kawaida ila Mimi usiniofie sana siwezi kufa" Alisema yule mwanamke wakijini. Basi tulikaa tukipiga stori za kawaida mpaka pale tulipoona nyumba inatikisika kama kuna tetemeko kubwa.
" nini hii" nilijisemea huku nikijinyanyua kwatabu nikitaka nikimbilie nje kukwepa kudondokewa na nyumba.
" usijali tulia tu izo ni nguvu tayari zimetumwa kwaiyo ngoja kutulie kisha unifuate" alisema yule mwanamke wakijini na baada ya kama nusu saa ivi kukatulia na yule mwanamke wakijini alinyanyuka na kunipa ishara nimfuate, nikamfuata mpaka ndani ya chumba kimoja kilichokuwa mle ndani tulipoingia nilishangaa kidogo kuona kila kitu mle ndani ni chekundu kwanzia kuta adi sakafu na vyote vilivyokuwapo kule ndani.
" vua izonguo zako vaa izi" alisema yule mwanamke wakijini uku akinipa nguo nyekundu sana ambazo zipo kama joho Fulani lakini uo ni muonekano tu lakini kulivaa ni kama ovaloli lakini ukinitazama nikama nimevaa joho.
" hii ninguo ya namna gani!? Niliuliza
" hii ni nguo ya ushindi nguo ya nguvu ambayo uvaliwa siku za hatari kubwa sana kwaajili ya vita kubwa na kwa vile wale wachungaji hawana nguvu sana basi Leo wataifurahia nguvu yetu wao niwatu wania mbili basi watajutia kupita kwenye njia iliyofungwa" alisema yule mwanamke wakijini. Basi nilivaa nikavaa na viatu vilivyoundwa kwa ngozi ya binadamu na ya nyoka kwa muonekano viatu ivi vilikuwa kama buti za askari ila tofauti ya izi buti nikuwa hazina soli kiufupi kiatu kizima kili kuwa kama nimevaa soksi tu.
"Vaa ichi kitambaa " Alisema yule mwanamke wakijini.
" mbona kinamatusi matupu? Nilimuuliza yule mwanamke.
" ndio kwani yule mnyama umemsahau yule aliye vaa vile vilemba? ALIULIZA..
"Vaa ichi kitambaa " Alisema yule mwanamke wakijini.
" mbona kinamatusi matupu? Nilimuuliza yule mwanamke.
" ndio kwani yule mnyama umemsahau yule aliye vaa vile vilemba vya makufuru? Alisema.
" nmekumbuka" nilisema.
" basi yule aliruhusiwa kupigana vita juu ya watu wayule mkuu nakuwashinda, alipewa mamlaka juu ya kila kabila,ukoo,lugha na taifa. Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale amabao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha yule mkombozi wao , basi aliye na masikio na asikie , yule aliye pangiwa kuchukuliwa mateka lazima atatekwa, wakuuawa kwa upanga atauawa kwa upanga. Hivyo watu wa yule mkuu wanapaswa wawe na uvumilivu na imani.
" beba na hii" Alisema yule mwanamke wakijini uku akinipa fimbo ya dhahabu ambayo nilijua Kazi yake.
" haya tutoke" Alisema baada na yeye kuvaa kama Mimi.
Tulitoka nje nilichokiona uzalendo ulinishinda nilitamani kurudi ndani kwa woga.
Kulikuwa na watu kama maiti walikuwa wameviligwa sanda mwili mzima adi usoni hakuna kilicho kuwa kikionekana zaidi ya macho ambayo yalikuwa yanawaka moto, kila saa walikuwa wakitoa sauti za ngurumo za kutisha sanaa na nyuma yao walikuwa na mikia kila mmoja.
" tuondoke wanatusubili sisi ao " Alisema yule mwanamke wakijini.
" aisee mbona wanatisha sana" nilisema.
" achana na ayo wewe upaswi kuogopa" Alisema.
" haya tuondokeni jamani" nilisema uku nikijikaza kama mwanaume lakini wale viumbe walinitisha sana maana toka mdogo naogopa sana viumbe wanao onekana ivi.
Walianza wao kuondoka kwa kasi ya ajabu na kusababisha upepo kuvuma sana eneo la pale nyumbani na kila walikokuwa wakipita wali sababisha vumbi na upepo mkali sana.
Wakati wao wapo mbele sisi tupo nyuma tunawafuata kwa kasi ile ile.
Lakini moyoni nikiwaza namna ya kumfanya uyu kijana aliyetusaliti na kutaka kutoa siri zetu kama ushuhuda mbele ya waamini wenzake na mbele ya wachungaji.
"Tubadili uelekeo kunja uku kushoto" Alisema yule mwanamke wakijini uku nayeye akifanya kama alichonambia nifanye.
"tunaelekea wapi? Niliuliza.
" kunamtu tunapaswa kumzuia kabla hajafika kule kanisani maana kama atafika basi hakuna tutachokifanya" Alisema yule mwanamke wakijini.
" nani? Niliuluza.
" ni muumini ambaye sasa ivi tunamkaribia lakini huyu ni hatari kwetu na inapaswa tumzuie na hivi ndivyo tunavyo Fanya" Alisema yule mwanamke wakijini na kutua katikati ya barabara ya rami ambapo magari yalikuwa yakipita kwa kasi.
" nishike mkono " Alisema yule mwanamke baada ya Mimi pia kutua pale pale katikati ya barabara.
Nilipomshika mkono Mara kitu kama shimo likatokea katikati ya barabara na moja ya gari la abiria basi lilipojaribu kukwepa lile shimo moja kwa moja liliserereka na kudondoka na kuiziba njia ambapo ili sababisha foleni kubwa sana.
" sasa jigeuze binadamu na ukachomoe Betrii kwenye ile pale gari yenye (no.K...) Nilijigeuza binadamu kama kawaida nikaifwata ile gari ambayo dereva wake alishuka kwenda kuangalia ajali iliyotokea ambayo ili sababisha foleni.
Nilifungua boneti nikachomoa nyaya kwa uangalifu kisha nikatoa betri nikarudi mpaka pale alipokuwepo yule mwanamke.
" haya Kazi nzuri sasa tuondoke wenzetu wameshafika kanisani tayari" Alisema yule mwanamke wakijini.
" sasa ili betri lanini Mimi? Niliuliza uku tukiwa angani taratibu tukianza safari ya kuelekea kanisani.
" utalitupa mbele ila kazi imeenda vizuri" Alisema yule mwanamke.
" kwani yule ni nani na kwanini tumefanya yote haya" niliuliza
" yule ni muumini wa kawaida ila hakuna anaye jua uhatari wake kwaiyo pale tumesababisha foleni ambayo itamchelewesha kuja kanisani na pia kuchomoa betri ni kumkatisha kabisa tamaa kuwa hawezi kuja kanisani kwa vile gari yake vyovyote vile haiwezi kutembea bila betri na hawezi kuiacha pale barabarani kwaiyo atatakiwa aivute mpaka nyumbani na wakati wote uo sisi tunamaliza Kazi kule bila shida" Alisema yule mwanamke wakijini na kunifanya nijue kuwa sio kila kitu kinacho tokea ni bahati mbaya ila huwa kinakuwa kinapangwa kwa ustadi mkubwa tu.
"Unaweza kuliachia" Alisema yule mwanamke wakijini baada yakufika mita chache kutoka kanisa lilipo..
Unaweza kuliachia" Alisema yule mwanamke baada ya kufika mita chache kutoka kanisani.
Nikaliachia na kuendelea na safari kufika pale kanisani.
"NIKWELI UPO TAYARI KUYAPOTEZA MAISHA YAKO ULIYO MZAWADIA LUCIFER KIRAHISI HIVYO" Niliongea katika mazingira ya kutoonekana lakini kimsingi nilikuwa Mimi na wale mashetani tulikuwa tayari tumejazana mle ndani na kusababisha joto Kali kwa wote walio kuwa mle ndani maana hata feni hazikumudu kitu zilipo washwa.
Yule kijana msaliti alipo sikia hivyo alikurupuka mpaka kwa wachungaji ambao muda ule walikuwa wanajiandaa kwaajili ya neno baada ya kusifu na kuabudu kumalizika.
Kila mtu pia mle ndani alinyanyuka kwani waliingiwa na hofu baadaya kusikia sauti nzito na yakutisha iliyoongea kwa utaratibu sana.
" hamuwezi kumchukua Mwana wa aliye juu nyinyi mashetani waovu" Alisema mmoja wawachungaji.
" hahahaha unamjua uyo kijana vizuri au unaongea tu" alijibu yule mwanamke wakijini kwa swali.
" nawaamuru mtoke kwa jina la.....puuuuuuuuuuuuuu! Moto ulifuka mle ndani na moshi mzito ulio mfanya yule MCHUNGAJI na wenzake washindwe kumalizia sentence yao maana walichotaka kutufanya kilikuwa ni kitu kibaya sana.
" muue yule MCHUNGAJI kisha tuondoke na target yetu" nilimwambia yule mwanamke wakijini afanye vile maana niliona mambo yatakuwa magumu kama yule MCHUNGAJI jeuri atabaki hai.
"Slash" yule mwanamke wakijini Alisema na Mara kichwa na kiwili wili cha yule mchungaji vikatengana.
" muwahi adui kabla haja kuwahi" Niliongea huku nikitabasamu niliona nimepata mafanikio makubwa duniani ambayo nilikuwa hata sijui niyasemeje.
" tuondoke wale mashetani wengine watamalizana na wale waimbaji wanao sumbua pale" Alisema yule mwanamke wakijini uku akiwa amemviriga yule kijana kwa mkia uliomuota nyuma yake.
Sekunde chache tulikuwa nje yakanisa tukitokomea zetu baada ya kufanya tukio la kutisha sana.
" mfungie umo ndani" Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kufika kwenye lodge ndani ya chumba cha kafara. Basi nilimfungia kisha tukaondoka zetu kwenda
mfungie umo ndani" Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kufika kwenye lodge ndani ya chumba cha kafara. Ee nilimfungia kisha tukaondoka zetu kwenda nyumbani uku moyoni nikiwa mwenye furaha sana.
"Tulikaa nyumbani tukisubiri muda ufike mida ya saa tano usiku member wote wanapaswa washuhudue kifo cha msaliti.
" KANISA LA..... LAVAMIWA NA WATU WANAO SHUKIWA KUWA MAGAIDI WALIMUUA MCHUNGAJI MWENYEJI NA KUWAUA WACHUNGAJI WAGENI NA KULICHOMA MOTO KANISA ZIMA NA KUUWA WATU WANAOKADILIWA KUFIKIA MIATATU" moja ya channel ili kuwa ikieleza tukio la kutisha ambalo lilitokea kanisani pale ambapo tulienda kupambania mtu wetu.
" Leo nitofauti na sikuile" nilisema uku nikimtazama yule mwanamke wakijini.
" ndio ni tofauti kutokana hatukufanya kosa alafu pia ni kutokana na nia za wale wachungaji yaani walikosea pa dogo sana ndio maana tumeshinda Leo" Alisema yule mwanamke wakijini.
"Walikosea wapi? Niliuliza.
" walitaka wawemaarufu kupitia uyu kijana msaliti walisahau sheria ya yule mkuu kuwa hapendi mtu kujikweza ndio maana umeona tumeweza kuwapa kipigo cha haja wale wachungaji na waumini wao" Alisema yule mwanamke wakijini.
" basi balaa inamaana watu wote wale mtu aliye imara ni yule jamaa tulio mzuia kule barabarani" nilisema
" ndio unajua wengi wao huenda kule kanisani wakiwa wanamatatizo yao sio kuwa wanamwabudu yule mkuu sana ila wao uenda kupata uponyaji tu nje ya apo ni wachache sana wanao enda kwaajili ya kumshukuru na kujifunza vitu vipya na maagizo mapya kutoka kwa yule mkuu sana" Alisema yule mwanamke wakijini. Tuliendelea kupiga story mpaka saa tano usiku ambapo tuliondoka nyumbani kwa njia za kishetani adi kwenye lodge letu la ibada kwa shetani.
" mleteni yule kijana msaliti apewe haki yake na kwahaki yake litakuwa funzo kwenu na kwa yoyote atakaye kiuka kiapo chake"Niliongea baada ya nusu saa toka tufike pale lodge na kuingia mle ndani kuendesha ibada za kishetani.
Aliletwa yule kijana akiwa amevalishwa joho jeusi lenye picha ya Lucifer aliye chukuia mbele ya kifua chake kisha..
Aliletwa yule kijana akiwa amevalishwa joho jeusi lenye picha ya Lucifer aliye chukuia mbele ya kifua ya lile joho.
" Leo damu ya uyu msaliti itafanywa kinywaji ndani ya lodge hili na atachinjwa kama njia ya kuongeza wafuasi wapya kwa kila tone la damu yake italeta mtu mpya kwa Lucifer " Alisema yule mwanamke wakijini katika mazingira tuliyo zoea yakutoonekana kwa wale member wa ile jamii ya siri ya kishetani.
Alipigishwa magoti yule kijana na bakuli kubwa jekundu likawekwa mbele yake akainamishwa kichwa kuelekea kwenye bakuli lile na kisu kikali chenye mpini wa mifupa ya mtu kilitolewa na kumeremeta kwa mng'ao wake, basi mchinjaji alikinyanyua juu na kisha kukipeleka taratibu shingoni mwayule kijana na kuanza kumchinja yule kijana mpaka alipokitenganisha kichwa na kiwili wili cha yule kijana na kukinyanyua juu uku akiacha damu za kile kichwa zikimwagika chini ya sakafu ya lile lodge la shetani, aliweka kichwa chini na kumshika vizuri yule kijana aliye chinjwa uku akielekeza shingo yayule kijana ndani ya lile bakuli ambalo lilijaa damu ambayo ilikuwa ikiruka kutoka kwenye mishipa ya shingoni ya yule kijana aliye chinjwa. Kitendo kile kilinifanya nijisikie vizuri mpaka kufikia hatua ya kumnyanyua yule mwanamke wakijini na kumkubatia mlendani ya lodge.
"Jamani mmeona kilichotokea hii sio kwa wenyeji ila nikwenu wageni ivi ndivyo msaliti anavyopaswa kutendewa hakuna upendo kwa yeyote asiyempenda Lucifer nakuyafanya maislahi ya Lucifer kuwa kwenye tisho uyo atakatwa kichwa tu na hakuna namna" alisema yule Mzee mwongoza ibada ambaye anaonekana.
" kila mmoja wetu atakunywa damu ya uyu mwenzetu na kesho asubuhi itabidi wote tukauzulie mazishi yake uko kwao ambapo taarifa za kifo chake kilisha tangazwa tayari kwaiyo prince of Kenya na madam wasio onekana kesho wataonekana wakiwa mochwari kuuanda mwili kwaajili ya maziko na pia watakuwapo kila hatua mpaka uyu mwenzetu atakapozikwa kisha jioni tutafanya maziko yetu humu kwenye lodge" aliongeza kusema yule Mzee kiongozi wa ibada..
Basi baada ya yote yale tulirudi nyumbani na asubuhi kama kawaida yule mwanamke wakijini alikuja kuniamsha nikaoga nikanywa chai tayari kwa safari ya kuelekea mochwari kwaajili ya kumuandaa marehemu.
" unajua Mimi aya mambo sijawahi Fanya ujue" nilimweleza yule mwanamke wakijini baada ya kufika mochwari.
" sio wewe tu ata watu wengine wa kawaida hawajawahi Fanya ila sasa wewe utafanya" alisema yule mwanamke wakijini. Alimgeuza yule marehemu akamlaza kifudifudi aka mchana kwenye uti wamgongo na kumwingiza nyoka maeneo ya mgongoni kisha akaniambia niambia nimshone yule marehemu kwa kutumia nyuzi zilizokuwamo mule ndani, basi nilimshona kama alivyonielekeza na yeye akawa anachanganya vitu atasikufwatilia alichanganya nini na baada ya kama nusu saa nilimaliza na yule mwanamke wakijini alimgeuza tena yule marehemu na kumpasua kifuani upande wa moyo kisha akachomoa moyo na kunikabizi nishike alafu akachukua nyoka mwengine akamweka pale ulipokuwa moyo kisha akanipa Kazi ya kumshona, nilimaliza kumshona kisha tuka chukua maji ambayo yalichanganywa na Dawa tukaanza kumuosha na kukinga maji yanayo mwagika kutoka kwenye ule mwili tunao uosha, tulipo maliza yule mwanamke wakijini alitoweka na kurejea kama dakika tano baadae.
" weka uo moyo umu alafu tumvike suti hii nyeusi yenye nembo yetu na Pete kisha, basi nilifanya kama alivyo sema na kuanza kumvalisha suti na pete, baada ya ayo alichuku ule moyo yule mwanamke na kutoweka na tena ndani ya dakika tano alirudi akiwa na jeneza kichwani nikampokea kisha tuka mweka yule marehemu mule ndani na kulifunga jeneza.
" ha! Unajua tumesahau kitu" alisema yule mwanamke.
"Kitu gani? Niliuliza.
" fimbo ni muhimu ile itazuia watu wasione maeneo ya shingo kuwa alichinjwa" alisema Yule mwanamke wakijini.
"Nenda lodge kachukue ile fimbo utakuta imechorwa alama nyekundu katikati ujue ndio iyoiyo ilete nakusubiri" alisema yule mwanamke wakijini na Mimi nilitoweka kama kawaida yangu.
"Nipofika kwenye chumba cha kafara nikakuta iyo fimbo ikiwa pembeni kidogo ya fimbo nyingine basi nikachukua na kutoweka kurudi mochwari sasa ile naingia nilibaki kushangaa kile nilichokiona.
" walifika wachungaji atasijui ilikuwaje maana tulisha toa angalizo maziko tungefanya sisi kama wazamini lakini hata sikujua pale wachungaji walifwata nini na mbaya zaidi walilifungua jeneza kabla ya sisi atujaweka ile fimbo mle ndani.
Nilitupa macho kuangalia vizuri mlendani kumtafuta yule mwanamke wakijini nilimwona amejikunja kwenye kona akinitingishia kichwa kunizuia nisifanye chochote kile. Basi niliganda wale nilipokuwa uku nikitazama wale wachungaji wanachofanya.
" he hiii shingo yake vipi? Aliuliza mmoja wa wachungaji.
" ha! Alichinjwa inamaana? Alijibu mchungaji mwengine uku akishangaa.
" kwani yule nesi tuliekuja naye yupo wapi? Aliuliza mchungaji wa kwanza.
" alitoka ila uyo anaingia" alisema mchungaji watatu na kunifanya nitupe macho mlangoni kuangalia. Aliingia nesi kweli na mwanaume mwingine aliyevalia kama daktari.
" uyu marehemu aliletwa apa akiwa amechinjwa au? Aliuliza mchungaji wa kwanza.
" hapana sisi tulimpokea kutoka kwawasamalia wema tukamleta uku" alisema daktari.
" kwaiyo huwa amumwangalii mtu akiletwa sasa hamuoni mnaweza mleta mochwari mtu aliye zimia? Aliuliza Yule yule mchungaji wa kwanza.
"Hapana bwana mchungaji sisi tulimwangalia ila ukweli kuhusu kuchinjwa ilo na Mimi naliona saizi" alisema daktari.
" aha! Lakini ndugu tunaomba radhi kwa kilicho tokea mtusamehe sana kwakuto kugundua tatizo Ilo mapema" alisema tena daktari.
"OK haina shida ila huu uzembe usijirudie bwana" walisema kwa pamoja wale wachungaji.
" lakini kuna wazamani walikuja kufanya maandalizi ya maziko kwa marehemu mmekutana nao?" aliuliza nesi.
" hapana mbona sisi hatujakuta mtu humu" walisema wale wachungaji.
" lakini tulisikia kuwa kuna wazamini ndio maana tumekuja ila tumekuta marehemu ameshaandaliwa kwaiyo tunatakiwa tuondoke na mwili kwaajili ya ibada " waliongeza wale wachungaji.
Basi milipomtizama yule mwanamke wakijini alinifanyia ishara tuondoke kweli nikaondoka nikatokea nyumbani na sekunde tu na yule mwanamke wakijini akawa naye anaingia.
" tutafanyaje sasa? Nilimuuliza uku nikijua mambo tena yanataka kuwa magumu.
" tuwaache waubebe waupeleke nyumbani kwa marehemu kisha sisi tutaenda lodge kule kuchukua members wengine na tutaita jeshi la ulinzi litakaa angani kwani hii ni vita sasa " alisema yule mwanamke wakijini..... Itaendelea
 
Inaendelea...sasa mnafanya nn usiku wote huu"? niliuliza nikimgeukia.
" tunaenda kuzimu kupanga mipango ya siri" Alisema.
" siri ipi" Nilimuuliza
" hapana kalale wewe ni binadamu mengine kujua haitawezekana" Alisema .
" isiwezekane kivipi na wakati tunafanya kila kitu pamoja vipi tena tunaanza kutengana" nilisema ayo kwa lengo lakutaka kujua tu wanachofanya.
" unakifua wewe"? Aliniuliza.
" ndio ninacho" nilisema.
" basi nifuate " Alisema.
Nilimfuata tukaingia ndani ya moja ya chumba ambamo ndani yake kuna viumbe vinatisha sana walikuwa wekundu kama damu na wembemba sana walikuwa hawana nguo wala hawana jinsia kama binadamu walikuwa na jicho moja katikati ya kipanda uso na mikono myembamba yenye kucha ndefu kama zatai, miguuni Ilikuwa kama desturi yao walikuwa na kwato na pua walikuwa na tundu moja nalo lilikuwa kama tundu la fuvu la mtu walikuwa na meno marefu kama ya simba , walipotuona tunaingia walirudi nyuma wote wakawa wanatutizama
" fungueni mlango enyi mashetani wekundu" Alisema yule mwanamke wakijini na Mimi hapo ndio nikafahamu kuwa wale ndio red devil, mlango ulifunguliwa kutokea chini ambako kuli kuwa kunafuka moshi mzito sana kama kule chini kuna moshi.
" sasa ndio tunaenda wapi" niliuliza maana niliona pale apapitiki na atapita nani kwenye moto.
" iyo ndio njia nauo unaouogopa ni moshi wakuzimu lakini kwa sasa usijali hauna shida labda baadae " Alisema yule mwanamke.
" baadae kivipi wakati wa kurudi au? Nilimuuliza.
" hapana bwana tuachane na ayo ngoja nitangulie" Alisema yule mwanamke na kuingia mlendani na Mimi nikifuata kwanyuma. Tulipoingia tulijikuta tukielea juu kwa muda wa kama dakika 30 na baadae kutua eneo tulivu lililotulia sana,
" unaliona ilojengo refu"? Alisema yule mwanamke.
" ndio naliona mbona lipo ivyo? Nilisema maana lilikuwa kimuonekano ni jengo lakini ukilitazame tena ni kama mtu yaani halikueleweka ni kitu gani maana lilikuwa likibadilika badilika.
" iyo nyumba ndimo baadhi ya watu Fulani ambao hawataki kujiunga na dini yetu ila wanataka miujiza huja hapa kupokea izo nguvu
.....sasa nifuate" Alisema tena.namimi nikawa namfuata baada kama ya atua kadhaa nilishangaa kuona joka kubwa likiwa mbele yetu nikisema kubwa na maanisha kubwa kweli basi ilinibidi nisimame tu nikilitazama
" ngoja baada ya muda ataufungua mdomo wake nayeye atatupeleka mpaka ukumbini maana wenzangu wameshawasili " Alisema yule mwanamke na kweli baada ya izo dakika akafungua mdomo na sisi tunaingia kama tunaingia pangoni na kisha akaufungu mlango, nilitarajia kuona giza mlendani lakini mambo yalikuwa ni tofauti na mategemeo yangu kwani miale ya moto Ilikuwa ikiangaza mlendani ya mdomo wa lile joka utasema tumboni mwake anawaka moto.
" usishangae huyu sio nyoka wakawaida" alinieleza yule mwanamke wakijini
"Ni jini na yeye ? Niliuliza.
" ndio ila yeye yupo kwenye sekta ya usafirishaji" Alisema .
" ha! Kwaiyo sekta ya usafirishaji wewe mwenyewe ndio unakuwa msafirishaji? Niliuliza.
" ndio uku sio kama uko duniani mtu akipewa nafasi basi ni mapumziko kwake badala ya wajibu" Alisema yule mwanamke.
" anha! Sawa bwa....niliishia hapo baada ya kuona mdogo walile joka unafunguka.
" tumefika? Niliuliza.
" hapana ila nahisi kunashida " Alisema yule mwanamke wakijini.
" shida! Kivipi? Niliuliza.
" mmh tutoke kwanza" Alisema yule mwanamke. Tulitoka nje lakini nilishtuka baada ya kuona moto ukitoka juu unashuka chini.
" tukimbie" nilisema baada ya kuona ali sio nzuri.
" hapana usijalibu kukimbia tulia hapo ngoja tuone kitakacho tokea" Alisema yule mwanamke wakijini. Moto ule ulikuja kwa nguvu ya ajabu na kuingia chini ya shimo lililokuwa mbele yetu na kurudi juu kwa kasi ile ile na kusababisha wote kutupwa pembeni maana ule moto ulikuja kwanguvu ya ajabu ambayo ili tutawanya wote tuliokuwa tukishangaa.
" amekombolewa tayari" Alisema yule mwanamke wakijini kwa masikitiko.
" nani? Niliuliza uku nikijinyanyua kutoka pale chini nilipokuwa nimetupwa Mimi na viumbe waliokuwa kule chini.
" acha bwana sio muhimu kwa sasa" Alisema yule mwanamke akiwa amejilaza pale chini alionekana amekata sana
acha bwana sio muhimu kwa sasa" Alisema yule mwanamke akiwa amejilaza pale chini alionekana amekata sana tamaa kwa kile kilicho kuwa kimetokea.
"Mbona unaonekana umefadhaika sana" niliuliza ili nione atajibu nini.
" alikuwa ni muhimu lakini kabla hatujaja kumjadili namna ya kumtumia Bwana wa roho zote ametuma nguvu imuokoe dah! tumepoteza apa dah" aliongea kwa masikitiko makubwa sana na nilipotupa macho kutizama kila upande niliona pia wale viumbe wa kuzimu wakiwa wamekaa chini uku wamejiinamia na kunifanya NA Mimi kuwa na hamu ya kujua ni nani aliye twaliwa apa na alikuwa anaumuhimu gani adi asababishe huzuni kutawala uku kuzimu,
" twende basi uko kikaoni muda siunaenda" nilisema hivyo maana nilijua nikifika uko ukumbini ningejua nini kinaendelea maana nilijua swala lile lazima lingejadiliwa kikaoni mle.
" turudi tu duniani" Alisema yule mwanamke wakijini uku akijinyanyua.
" kwaiyo kikao hakipo? Niliuliza.
" ndio sasa apa tujadili nini?alijibu.
" kwanza tukio pili ajenda iliyo takiwa kujadiliwa" nilisema maana nilikuwa na hamu ya kuwajua vizuri mashetani.
" hapa sio duniani kama kitu kikitokea unaweza kutafuta njia ya kukitatua huku tatizo likitokea ujue lipo nje ya uwezo wetu na halina njia ya kulilekebisha kama ambavyo tulikosea tulipokuwa mbinguni na hakuna njia ya kupona basi ujue hata ili lililotokea ujue hakuna njia na kama ukijitia unauchungu sana kama ni mwanadamu ujue umekufa na kama ni shetani ujue unafungwa kwenye giza la kiroho maisha yako yote ukisubiri ili siku na kuhusu ajenda ndio iyo iliyoondolewa mbele ya macho yetu wote na usiniulize alitwaliwa vipi maana umeona" Alisema yule mwanamke wakijini na kunifanya ni baki na shangaa tu huyu Bwana wa roho zote basi anatisha sanaa maana kilicho tokea ni hatari tupu.
"Tulitembea hatua kama kumi kisha wazo likanijia kuhusu wale watoto wawana maombi tulio wachukua kwaajili ya kafara.
" vipi kuhusu wale watoto kule nyumbani? Nilimuuliza.
" nyumba ipi yenye watoto? Aliniuliza kwa kunishangaa.
" he! Unashangaa
..."he! Unashangaa nakuniuliza wapi kwenye watoto kwani umeshasahau kilichotokea Leo mchana? Namimi nilieleza kwa njia ya swali huku nikimshangaa.
" kama kuna watoto nyumbani ngoja tukawaone"aliongea yule mwanamke wakijini na kunifanya ni baki namshangaa.
"Au kile kichapo alichokipata pale kwenye mapigano kimemuondolea kumbukumbu vizuri nini"? Niliwaza mwenyewe.
" Mimi kumbukumbu ninazo vizuri ila nataka na Mimi nikaone ao watoto" alijibu yule mwanamke wakijini akijibiza mawazo yangu.
"Mmmmmh" niliguna baada ya kuona amegundua mawazo yangu.tulitembea kwa umbali Fulani kisha tukashikana mikono na kuanza kupaa taratibu tukirudi duniani, tulipo fika umbali wa kama mita mia toka kwenye ardhi ya kuzimu tuliongeza kasi na ghafla tukajikuta nje la lango ambalo lilifunguliwa na wale mashetani wekundu.
" twende tukawaone ao watoto " Alisema yule mwanamke wakijini.
"OK twende kule kwenye kile chumba" nilisema na kuanza kuelekea mle chumbani.
" vipi mbona una shangaa" Aliniuliza yule mwanamke wakijini baada ya kuona nimepigwa na butwaa kushangaa kile kilicho kuwa kule ndani.
" inamaana hawa watoto waliondolewa humu ndani? Niliuliza.
" yaani mambo yote yale ulitegemea uwakute umu ndani kama wewe nani" Alinijibu hivyo lakini sikupendezwa na namna alivyokuwa akinijibu nilijua Wenda mambo yaliotokea kule ndio maana kajikela.
" naenda zangu kulala wewe kawange" nilijibu na Mimi kwa hasira maana alinikera kwa majibu yake.
" unanambiaje" aliuliza.
" umesikia achakiburi basi" nikajabu uku naingia zangu chumbani.
" mfyuuuuuuu" alisonya kwa hasira lakini wala hatasikugeuka nikaingia chumbani na kujirusha kitandani. Haikupita dakika usingizi ulinipitia maana nilikuwa nimechoka sana.
" mpaka saivi unalala amka unywe chai" Alisema yule mwanamke wakijini na kunishtua kutoka usingizini.
"Ooh za asubuhi? Nilimsalimia.
" mbaya kiasi kunamtu anareta mchezo kati ya wale wanachama wapya mmoja analeta utani anasahau kiapo chake" Alisema yule mwanamke.
" nani uyo na kwani kafanyaje? Niliuliza.
Amekiuka kiapo chake usiku wa kuamkia Leo amekusanya wa chungaji akidai kuwa amebadilika na mbaya zaidi wamekubaliana kutoa ushuhuda kwenye kanisa lao kesho kwenye ibada yao ya jioni" Alisema yule mwanamke wakijini uku akinitazama usoni.
"Nini!? Niliuliza kwa hamaki kwani niliona kijana anampango wakunipanda kichwani.
" ndio hivyo" alijibu yule mwanamke wakijini.
Nilisimama kwa hasira nikapiga goti kama ilivyo kawaida nikaongea maneno ya kufuru kuu kisha nikatoweka kutoka mle ndani.
"Sasa ndio unafanyaje? Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kutokea nyuma yangu ndani ya lodge.
" nataka nimfuate uyu mjinga hawazi tupanda kichwani ivi" nilisema kwa jazba.
"Usijali swala lake Lucifer mwenyewe kaliona ataagiza nguvu zaidi na baadae utaiongoza iyo nguvu uko kwenye ibada yao watakayo ifanya nanafikiri wataifurahia maana wameyakoroga nauyo mpuuzi akitiwa mikononi itabidi achinjwe mbele ya member wa hii lodge" Alisema yule mwanamke wakijini na kuja kunishika mkono na Mara tukatokea nyumbani.
"Kunywa kwanza chai alafu punguza hasira maana ukiwa na hasira utashindwa kuwa na maamuzi mazuri " aliongea yule mwanamke wakijini nikabaki namshangaa toka lini mashetani yakahimiza mtu asiwe na hasira.
"Wewe kunywa chai usiwaze sana" alijibiza mawazo yangu yule mwanamke wakijini kisha akaniaga anatoka Mara moja hato kawia kurudi kisha akatoweka, nilimaliza kunywa chai nikaoga nikatoka nje kwenye bustani nzuri ya maua nikaenda kukaa chini ya mti uku nikisoma kitabu cha kishetani cha mashujaa wakishetani nilikaa pale mpaka nilipoitwa kuwa chakula cha mchana tayari nilikula lakini ajabu yule mwanamke wakijini haukuwepo bado nyumbani, moyoni nilianza kuingiwa na hofu Wenda amekumbana na wanamaombi uko au mtu anayesali akawa kwenye kwenye matatizo.
" ili jini lipo wapi lakini? Nilijiuliza mwenyewe.
"Mimi hapa" alitokea yule mwanamke wakijini nyuma yangu.
" ulikuwa wapi wewe? Niliuliza kwa ukali kiasi kwani Mimi mtu kunifanya nimhofie huwa sipendi kabisaa.
....." nilienda kufwatilia wale wachungaji na yule kijana" Alisema.
"Haya umegundua nini sasa? Niliuliza.
" sio nilienda nigundue kitu ila nilitaka kufwatilia mienendo yao wote ili baadae saa kumi na moja wakikutana tuwaoneshe nguvu " Alisema yule mwanamke.
"Sasa ungesema ungechelewa basi maana nikajua tayari uwenda ushakutwa na matatizo uko" nilisema.
" matatizo ni kawaida ila Mimi usiniofie sana siwezi kufa" Alisema yule mwanamke wakijini. Basi tulikaa tukipiga stori za kawaida mpaka pale tulipoona nyumba inatikisika kama kuna tetemeko kubwa.
" nini hii" nilijisemea huku nikijinyanyua kwatabu nikitaka nikimbilie nje kukwepa kudondokewa na nyumba.
" usijali tulia tu izo ni nguvu tayari zimetumwa kwaiyo ngoja kutulie kisha unifuate" alisema yule mwanamke wakijini na baada ya kama nusu saa ivi kukatulia na yule mwanamke wakijini alinyanyuka na kunipa ishara nimfuate, nikamfuata mpaka ndani ya chumba kimoja kilichokuwa mle ndani tulipoingia nilishangaa kidogo kuona kila kitu mle ndani ni chekundu kwanzia kuta adi sakafu na vyote vilivyokuwapo kule ndani.
" vua izonguo zako vaa izi" alisema yule mwanamke wakijini uku akinipa nguo nyekundu sana ambazo zipo kama joho Fulani lakini uo ni muonekano tu lakini kulivaa ni kama ovaloli lakini ukinitazama nikama nimevaa joho.
" hii ninguo ya namna gani!? Niliuliza
" hii ni nguo ya ushindi nguo ya nguvu ambayo uvaliwa siku za hatari kubwa sana kwaajili ya vita kubwa na kwa vile wale wachungaji hawana nguvu sana basi Leo wataifurahia nguvu yetu wao niwatu wania mbili basi watajutia kupita kwenye njia iliyofungwa" alisema yule mwanamke wakijini. Basi nilivaa nikavaa na viatu vilivyoundwa kwa ngozi ya binadamu na ya nyoka kwa muonekano viatu ivi vilikuwa kama buti za askari ila tofauti ya izi buti nikuwa hazina soli kiufupi kiatu kizima kili kuwa kama nimevaa soksi tu.
"Vaa ichi kitambaa " Alisema yule mwanamke wakijini.
" mbona kinamatusi matupu? Nilimuuliza yule mwanamke.
" ndio kwani yule mnyama umemsahau yule aliye vaa vile vilemba? ALIULIZA..
"Vaa ichi kitambaa " Alisema yule mwanamke wakijini.
" mbona kinamatusi matupu? Nilimuuliza yule mwanamke.
" ndio kwani yule mnyama umemsahau yule aliye vaa vile vilemba vya makufuru? Alisema.
" nmekumbuka" nilisema.
" basi yule aliruhusiwa kupigana vita juu ya watu wayule mkuu nakuwashinda, alipewa mamlaka juu ya kila kabila,ukoo,lugha na taifa. Wote waishio duniani watamwabudu isipokuwa tu wale amabao majina yao yameandikwa tangu mwanzo wa ulimwengu katika kitabu cha yule mkombozi wao , basi aliye na masikio na asikie , yule aliye pangiwa kuchukuliwa mateka lazima atatekwa, wakuuawa kwa upanga atauawa kwa upanga. Hivyo watu wa yule mkuu wanapaswa wawe na uvumilivu na imani.
" beba na hii" Alisema yule mwanamke wakijini uku akinipa fimbo ya dhahabu ambayo nilijua Kazi yake.
" haya tutoke" Alisema baada na yeye kuvaa kama Mimi.
Tulitoka nje nilichokiona uzalendo ulinishinda nilitamani kurudi ndani kwa woga.
Kulikuwa na watu kama maiti walikuwa wameviligwa sanda mwili mzima adi usoni hakuna kilicho kuwa kikionekana zaidi ya macho ambayo yalikuwa yanawaka moto, kila saa walikuwa wakitoa sauti za ngurumo za kutisha sanaa na nyuma yao walikuwa na mikia kila mmoja.
" tuondoke wanatusubili sisi ao " Alisema yule mwanamke wakijini.
" aisee mbona wanatisha sana" nilisema.
" achana na ayo wewe upaswi kuogopa" Alisema.
" haya tuondokeni jamani" nilisema uku nikijikaza kama mwanaume lakini wale viumbe walinitisha sana maana toka mdogo naogopa sana viumbe wanao onekana ivi.
Walianza wao kuondoka kwa kasi ya ajabu na kusababisha upepo kuvuma sana eneo la pale nyumbani na kila walikokuwa wakipita wali sababisha vumbi na upepo mkali sana.
Wakati wao wapo mbele sisi tupo nyuma tunawafuata kwa kasi ile ile.
Lakini moyoni nikiwaza namna ya kumfanya uyu kijana aliyetusaliti na kutaka kutoa siri zetu kama ushuhuda mbele ya waamini wenzake na mbele ya wachungaji.
"Tubadili uelekeo kunja uku kushoto" Alisema yule mwanamke wakijini uku nayeye akifanya kama alichonambia nifanye.
"tunaelekea wapi? Niliuliza.
" kunamtu tunapaswa kumzuia kabla hajafika kule kanisani maana kama atafika basi hakuna tutachokifanya" Alisema yule mwanamke wakijini.
" nani? Niliuluza.
" ni muumini ambaye sasa ivi tunamkaribia lakini huyu ni hatari kwetu na inapaswa tumzuie na hivi ndivyo tunavyo Fanya" Alisema yule mwanamke wakijini na kutua katikati ya barabara ya rami ambapo magari yalikuwa yakipita kwa kasi.
" nishike mkono " Alisema yule mwanamke baada ya Mimi pia kutua pale pale katikati ya barabara.
Nilipomshika mkono Mara kitu kama shimo likatokea katikati ya barabara na moja ya gari la abiria basi lilipojaribu kukwepa lile shimo moja kwa moja liliserereka na kudondoka na kuiziba njia ambapo ili sababisha foleni kubwa sana.
" sasa jigeuze binadamu na ukachomoe Betrii kwenye ile pale gari yenye (no.K...) Nilijigeuza binadamu kama kawaida nikaifwata ile gari ambayo dereva wake alishuka kwenda kuangalia ajali iliyotokea ambayo ili sababisha foleni.
Nilifungua boneti nikachomoa nyaya kwa uangalifu kisha nikatoa betri nikarudi mpaka pale alipokuwepo yule mwanamke.
" haya Kazi nzuri sasa tuondoke wenzetu wameshafika kanisani tayari" Alisema yule mwanamke wakijini.
" sasa ili betri lanini Mimi? Niliuliza uku tukiwa angani taratibu tukianza safari ya kuelekea kanisani.
" utalitupa mbele ila kazi imeenda vizuri" Alisema yule mwanamke.
" kwani yule ni nani na kwanini tumefanya yote haya" niliuliza
" yule ni muumini wa kawaida ila hakuna anaye jua uhatari wake kwaiyo pale tumesababisha foleni ambayo itamchelewesha kuja kanisani na pia kuchomoa betri ni kumkatisha kabisa tamaa kuwa hawezi kuja kanisani kwa vile gari yake vyovyote vile haiwezi kutembea bila betri na hawezi kuiacha pale barabarani kwaiyo atatakiwa aivute mpaka nyumbani na wakati wote uo sisi tunamaliza Kazi kule bila shida" Alisema yule mwanamke wakijini na kunifanya nijue kuwa sio kila kitu kinacho tokea ni bahati mbaya ila huwa kinakuwa kinapangwa kwa ustadi mkubwa tu.
"Unaweza kuliachia" Alisema yule mwanamke wakijini baada yakufika mita chache kutoka kanisa lilipo..
Unaweza kuliachia" Alisema yule mwanamke baada ya kufika mita chache kutoka kanisani.
Nikaliachia na kuendelea na safari kufika pale kanisani.
"NIKWELI UPO TAYARI KUYAPOTEZA MAISHA YAKO ULIYO MZAWADIA LUCIFER KIRAHISI HIVYO" Niliongea katika mazingira ya kutoonekana lakini kimsingi nilikuwa Mimi na wale mashetani tulikuwa tayari tumejazana mle ndani na kusababisha joto Kali kwa wote walio kuwa mle ndani maana hata feni hazikumudu kitu zilipo washwa.
Yule kijana msaliti alipo sikia hivyo alikurupuka mpaka kwa wachungaji ambao muda ule walikuwa wanajiandaa kwaajili ya neno baada ya kusifu na kuabudu kumalizika.
Kila mtu pia mle ndani alinyanyuka kwani waliingiwa na hofu baadaya kusikia sauti nzito na yakutisha iliyoongea kwa utaratibu sana.
" hamuwezi kumchukua Mwana wa aliye juu nyinyi mashetani waovu" Alisema mmoja wawachungaji.
" hahahaha unamjua uyo kijana vizuri au unaongea tu" alijibu yule mwanamke wakijini kwa swali.
" nawaamuru mtoke kwa jina la.....puuuuuuuuuuuuuu! Moto ulifuka mle ndani na moshi mzito ulio mfanya yule MCHUNGAJI na wenzake washindwe kumalizia sentence yao maana walichotaka kutufanya kilikuwa ni kitu kibaya sana.
" muue yule MCHUNGAJI kisha tuondoke na target yetu" nilimwambia yule mwanamke wakijini afanye vile maana niliona mambo yatakuwa magumu kama yule MCHUNGAJI jeuri atabaki hai.
"Slash" yule mwanamke wakijini Alisema na Mara kichwa na kiwili wili cha yule mchungaji vikatengana.
" muwahi adui kabla haja kuwahi" Niliongea huku nikitabasamu niliona nimepata mafanikio makubwa duniani ambayo nilikuwa hata sijui niyasemeje.
" tuondoke wale mashetani wengine watamalizana na wale waimbaji wanao sumbua pale" Alisema yule mwanamke wakijini uku akiwa amemviriga yule kijana kwa mkia uliomuota nyuma yake.
Sekunde chache tulikuwa nje yakanisa tukitokomea zetu baada ya kufanya tukio la kutisha sana.
" mfungie umo ndani" Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kufika kwenye lodge ndani ya chumba cha kafara. Basi nilimfungia kisha tukaondoka zetu kwenda
mfungie umo ndani" Alisema yule mwanamke wakijini baada ya kufika kwenye lodge ndani ya chumba cha kafara. Ee nilimfungia kisha tukaondoka zetu kwenda nyumbani uku moyoni nikiwa mwenye furaha sana.
"Tulikaa nyumbani tukisubiri muda ufike mida ya saa tano usiku member wote wanapaswa washuhudue kifo cha msaliti.
" KANISA LA..... LAVAMIWA NA WATU WANAO SHUKIWA KUWA MAGAIDI WALIMUUA MCHUNGAJI MWENYEJI NA KUWAUA WACHUNGAJI WAGENI NA KULICHOMA MOTO KANISA ZIMA NA KUUWA WATU WANAOKADILIWA KUFIKIA MIATATU" moja ya channel ili kuwa ikieleza tukio la kutisha ambalo lilitokea kanisani pale ambapo tulienda kupambania mtu wetu.
" Leo nitofauti na sikuile" nilisema uku nikimtazama yule mwanamke wakijini.
" ndio ni tofauti kutokana hatukufanya kosa alafu pia ni kutokana na nia za wale wachungaji yaani walikosea pa dogo sana ndio maana tumeshinda Leo" Alisema yule mwanamke wakijini.
"Walikosea wapi? Niliuliza.
" walitaka wawemaarufu kupitia uyu kijana msaliti walisahau sheria ya yule mkuu kuwa hapendi mtu kujikweza ndio maana umeona tumeweza kuwapa kipigo cha haja wale wachungaji na waumini wao" Alisema yule mwanamke wakijini.
" basi balaa inamaana watu wote wale mtu aliye imara ni yule jamaa tulio mzuia kule barabarani" nilisema
" ndio unajua wengi wao huenda kule kanisani wakiwa wanamatatizo yao sio kuwa wanamwabudu yule mkuu sana ila wao uenda kupata uponyaji tu nje ya apo ni wachache sana wanao enda kwaajili ya kumshukuru na kujifunza vitu vipya na maagizo mapya kutoka kwa yule mkuu sana" Alisema yule mwanamke wakijini. Tuliendelea kupiga story mpaka saa tano usiku ambapo tuliondoka nyumbani kwa njia za kishetani adi kwenye lodge letu la ibada kwa shetani.
" mleteni yule kijana msaliti apewe haki yake na kwahaki yake litakuwa funzo kwenu na kwa yoyote atakaye kiuka kiapo chake"Niliongea baada ya nusu saa toka tufike pale lodge na kuingia mle ndani kuendesha ibada za kishetani.
Aliletwa yule kijana akiwa amevalishwa joho jeusi lenye picha ya Lucifer aliye chukuia mbele ya kifua chake kisha..
Aliletwa yule kijana akiwa amevalishwa joho jeusi lenye picha ya Lucifer aliye chukuia mbele ya kifua ya lile joho.
" Leo damu ya uyu msaliti itafanywa kinywaji ndani ya lodge hili na atachinjwa kama njia ya kuongeza wafuasi wapya kwa kila tone la damu yake italeta mtu mpya kwa Lucifer " Alisema yule mwanamke wakijini katika mazingira tuliyo zoea yakutoonekana kwa wale member wa ile jamii ya siri ya kishetani.
Alipigishwa magoti yule kijana na bakuli kubwa jekundu likawekwa mbele yake akainamishwa kichwa kuelekea kwenye bakuli lile na kisu kikali chenye mpini wa mifupa ya mtu kilitolewa na kumeremeta kwa mng'ao wake, basi mchinjaji alikinyanyua juu na kisha kukipeleka taratibu shingoni mwayule kijana na kuanza kumchinja yule kijana mpaka alipokitenganisha kichwa na kiwili wili cha yule kijana na kukinyanyua juu uku akiacha damu za kile kichwa zikimwagika chini ya sakafu ya lile lodge la shetani, aliweka kichwa chini na kumshika vizuri yule kijana aliye chinjwa uku akielekeza shingo yayule kijana ndani ya lile bakuli ambalo lilijaa damu ambayo ilikuwa ikiruka kutoka kwenye mishipa ya shingoni ya yule kijana aliye chinjwa. Kitendo kile kilinifanya nijisikie vizuri mpaka kufikia hatua ya kumnyanyua yule mwanamke wakijini na kumkubatia mlendani ya lodge.
"Jamani mmeona kilichotokea hii sio kwa wenyeji ila nikwenu wageni ivi ndivyo msaliti anavyopaswa kutendewa hakuna upendo kwa yeyote asiyempenda Lucifer nakuyafanya maislahi ya Lucifer kuwa kwenye tisho uyo atakatwa kichwa tu na hakuna namna" alisema yule Mzee mwongoza ibada ambaye anaonekana.
" kila mmoja wetu atakunywa damu ya uyu mwenzetu na kesho asubuhi itabidi wote tukauzulie mazishi yake uko kwao ambapo taarifa za kifo chake kilisha tangazwa tayari kwaiyo prince of Kenya na madam wasio onekana kesho wataonekana wakiwa mochwari kuuanda mwili kwaajili ya maziko na pia watakuwapo kila hatua mpaka uyu mwenzetu atakapozikwa kisha jioni tutafanya maziko yetu humu kwenye lodge" aliongeza kusema yule Mzee kiongozi wa ibada..
Basi baada ya yote yale tulirudi nyumbani na asubuhi kama kawaida yule mwanamke wakijini alikuja kuniamsha nikaoga nikanywa chai tayari kwa safari ya kuelekea mochwari kwaajili ya kumuandaa marehemu.
" unajua Mimi aya mambo sijawahi Fanya ujue" nilimweleza yule mwanamke wakijini baada ya kufika mochwari.
" sio wewe tu ata watu wengine wa kawaida hawajawahi Fanya ila sasa wewe utafanya" alisema yule mwanamke wakijini. Alimgeuza yule marehemu akamlaza kifudifudi aka mchana kwenye uti wamgongo na kumwingiza nyoka maeneo ya mgongoni kisha akaniambia niambia nimshone yule marehemu kwa kutumia nyuzi zilizokuwamo mule ndani, basi nilimshona kama alivyonielekeza na yeye akawa anachanganya vitu atasikufwatilia alichanganya nini na baada ya kama nusu saa nilimaliza na yule mwanamke wakijini alimgeuza tena yule marehemu na kumpasua kifuani upande wa moyo kisha akachomoa moyo na kunikabizi nishike alafu akachukua nyoka mwengine akamweka pale ulipokuwa moyo kisha akanipa Kazi ya kumshona, nilimaliza kumshona kisha tuka chukua maji ambayo yalichanganywa na Dawa tukaanza kumuosha na kukinga maji yanayo mwagika kutoka kwenye ule mwili tunao uosha, tulipo maliza yule mwanamke wakijini alitoweka na kurejea kama dakika tano baadae.
" weka uo moyo umu alafu tumvike suti hii nyeusi yenye nembo yetu na Pete kisha, basi nilifanya kama alivyo sema na kuanza kumvalisha suti na pete, baada ya ayo alichuku ule moyo yule mwanamke na kutoweka na tena ndani ya dakika tano alirudi akiwa na jeneza kichwani nikampokea kisha tuka mweka yule marehemu mule ndani na kulifunga jeneza.
" ha! Unajua tumesahau kitu" alisema yule mwanamke.
"Kitu gani? Niliuliza.
" fimbo ni muhimu ile itazuia watu wasione maeneo ya shingo kuwa alichinjwa" alisema Yule mwanamke wakijini.
"Nenda lodge kachukue ile fimbo utakuta imechorwa alama nyekundu katikati ujue ndio iyoiyo ilete nakusubiri" alisema yule mwanamke wakijini na Mimi nilitoweka kama kawaida yangu.
"Nipofika kwenye chumba cha kafara nikakuta iyo fimbo ikiwa pembeni kidogo ya fimbo nyingine basi nikachukua na kutoweka kurudi mochwari sasa ile naingia nilibaki kushangaa kile nilichokiona.
" walifika wachungaji atasijui ilikuwaje maana tulisha toa angalizo maziko tungefanya sisi kama wazamini lakini hata sikujua pale wachungaji walifwata nini na mbaya zaidi walilifungua jeneza kabla ya sisi atujaweka ile fimbo mle ndani.
Nilitupa macho kuangalia vizuri mlendani kumtafuta yule mwanamke wakijini nilimwona amejikunja kwenye kona akinitingishia kichwa kunizuia nisifanye chochote kile. Basi niliganda wale nilipokuwa uku nikitazama wale wachungaji wanachofanya.
" he hiii shingo yake vipi? Aliuliza mmoja wa wachungaji.
" ha! Alichinjwa inamaana? Alijibu mchungaji mwengine uku akishangaa.
" kwani yule nesi tuliekuja naye yupo wapi? Aliuliza mchungaji wa kwanza.
" alitoka ila uyo anaingia" alisema mchungaji watatu na kunifanya nitupe macho mlangoni kuangalia. Aliingia nesi kweli na mwanaume mwingine aliyevalia kama daktari.
" uyu marehemu aliletwa apa akiwa amechinjwa au? Aliuliza mchungaji wa kwanza.
" hapana sisi tulimpokea kutoka kwawasamalia wema tukamleta uku" alisema daktari.
" kwaiyo huwa amumwangalii mtu akiletwa sasa hamuoni mnaweza mleta mochwari mtu aliye zimia? Aliuliza Yule yule mchungaji wa kwanza.
"Hapana bwana mchungaji sisi tulimwangalia ila ukweli kuhusu kuchinjwa ilo na Mimi naliona saizi" alisema daktari.
" aha! Lakini ndugu tunaomba radhi kwa kilicho tokea mtusamehe sana kwakuto kugundua tatizo Ilo mapema" alisema tena daktari.
"OK haina shida ila huu uzembe usijirudie bwana" walisema kwa pamoja wale wachungaji.
" lakini kuna wazamani walikuja kufanya maandalizi ya maziko kwa marehemu mmekutana nao?" aliuliza nesi.
" hapana mbona sisi hatujakuta mtu humu" walisema wale wachungaji.
" lakini tulisikia kuwa kuna wazamini ndio maana tumekuja ila tumekuta marehemu ameshaandaliwa kwaiyo tunatakiwa tuondoke na mwili kwaajili ya ibada " waliongeza wale wachungaji.
Basi milipomtizama yule mwanamke wakijini alinifanyia ishara tuondoke kweli nikaondoka nikatokea nyumbani na sekunde tu na yule mwanamke wakijini akawa naye anaingia.
" tutafanyaje sasa? Nilimuuliza uku nikijua mambo tena yanataka kuwa magumu.
" tuwaache waubebe waupeleke nyumbani kwa marehemu kisha sisi tutaenda lodge kule kuchukua members wengine na tutaita jeshi la ulinzi litakaa angani kwani hii ni vita sasa " alisema yule mwanamke wakijini..... Itaendelea
dondosha mawe mkuu!
 
INAENDELEA...
" twende kwenye kile chumba alafu tunafanya kama
tulivyofanya sikuile" alisema yule mwanamke
wakijini na tukaenda kwenye kile chumba cha nguo
za wafalme tukavaa tukachukua fimbo tukaenda
sebuleni tukakaa na kunyoosha fimbo mbele ya
ukuta na ghafla picha ya kama video ikawa
inaonesha wale wachungaji na ndugu wameuchukua
ule mwili na kuupeleka nyumbani na kama nusu saa
hivi wakawa wanaingia nyumbani.
" tuondoke twende lodge usisahau na ile fimbo
uliyochukua kule lodge nilazima pia azikwe nayo"
alisema yule mwanamke wakijini.
Tulitoweka na kutokea lodge ambapo kila member
alipotuona alibaki akitushangaa maana Ndio Mara
ya kwanza kutuona na namna tulivyo vaa
tulipendeza sana kila aliye tuona lazma ajue
kupendeza kule sio kwa watu wa kawaida
" tuingie kwenye magari msafara uanze" aliongea
Mzee ambaye ni kiongozi wa ibada. Basi Mimi na
yule mwanamke wakijini tukaingia ndani ya gari yetu
ambayo atasijui ilifika saa ngapi.
" onhoo! Umewaona wale askari wakijini wale palee"
nilimwonesha yule mwanamke wakijini kupitia
dirishani.
" niliwaita, derava washa gari" alisema yule
mwanamke wakijini uku akimwambia dereva aondoe
gari, basi msafara wa magari ya members yalianza
kuondoka uku sisi tukiwa katikati, yalikuwa nimagari
meusi kulingana na suti walizo vaa kwa upande
wetu walipendeza sana ila kwa mtu wa kawaida
ilikuwa ni shida kidogo kwa kuwatizama wale
members. Tulipofika karibu kabisa na nyumba ya
marehemu kwa nguvu za kichawi tuliwasiliana kuwa
wote wanapaswa kufungua milango yao ya upande
wa kushoto na kushuka kwa mguu wa kushoto
kisha kusimama palepale ilikufanya watu wanao
tuona wajue kuwa sisi sio watu wakawaida.
"Jamani angalieni kule" watu walio kuwa pale
msibani walishtuana kutuangalia.
"Nini kinafuata? Nilimuuliza yule mwanamke
wakijini.
" jeneza lipo ndani kwaiyo toa ishara kwa members
waingie ndani na sisi tukifuata" alisema yule
mwanamke wakijini.
Nilinyanyua mkono na kuongea kwa sauti ya chini
na kuwafanya members wote waelekee ndani yaani
walikuwa kama wanakuwacontrolled na remote.
" hawa sio Freemason jamani " alisema
mwombolezaji mmoja pale msibani.
" mmmh! Kweli we wacheki mambo yao yanatisha
angalia walivyo vaa tena waone wale wawili"
aliongea mwombolezaji mwingine uku
akitunyooshea vidole Mimi na yule mwanamke
wakijini na pale msibani kukaibuka minong'ono,
lakini yote hayo tulipuuza kwamaana hawakuwa na
lolote lakututisha ila akili yetu ilikuwa kwa wale
wachungaji ambao...
Akili yetu ilikuwa kwa wachungaji ambao macho na
akili za wale majini yalikuwa juu yao kuwachukulia
uangalifu wasije wakaharibu utaratibu.
Tuliingia ndani tulimkuta mama wa marehemu, baba
yake na ndugu zake na watu wa chache wakiwa
wamelizunguka jeneza.
" tunaomba mtupishe kidogo" alisema yule
mwanamke wakijini na kuwafanya wale wazazi wa
marehemu na ndugu kutushangaa.
" nyie niakina nani" aliuliza baba Wa marehemu
akionesha ujasiri maana wengine wao waliingiwa na
woga.
" vizuri sisi ndio tulio muua uyu kwakuto fuata
masharti tuliyo wekeana na niongeze kitu apo tu uyu
kijana wenu ni member wa devil worship alijiunga
ila kuna shida kidogo ili tokea ndio maana
ameuawa kama ilivyo Sera yetu" alisema yule
mwanamke wakijini bila kuficha kitu na kunifanya
nimshangae kidogo.
" tunaomba sasa kwa ustaarabu mtumpishe tufanye
yetu kisha tutawaruhusu mka zike ila ibada yoyote
ya kikanisa hapaswi kufanyiwa" alisema zaidi yule
mwanamke wakijini na kusababisha mama wayule
kijana na Dada zake wapoteze fahamu kwa yale
maneno. Walikubali kutoka nje uku wale walio zimia
wakibebwa kutolewa kutupisha sisi tufanye mambo
yetu kisha wakazike. Tulipo hakikisha hakuna mtu
waziada nje ya sisi na wale members
waliochaguliwa kuingia ndani maana wengine
tuliwaacha nje kusaidiana na wale majini wengine
kama kutatokea hitaji la kufanya hivyo. Basi jeneza
likafunguliwa na ule mwili ukatolewa na kulazwa
chini kisha ibada ndogo ya kishetani ikafanyika na
Mara mtikisiko ukatokea katika lile eneo wakati
nguvu za kuzimu zikija kutwaa nafsi iliyo ndani ya
yule kijana maana kulingana na mkataba Alisha
saini kuwa roho yake ni ya shetani milele basi
lazima nafsi ichukuliwe iende kwa shetani kwaajili
ya siku ile kuu. Kitu kama kivuli kili toka ndani ya
ule mwili na kusimama pembeni ambacho hutoka
kabisa ndani ya mwili baada ya kufa kwa siku
arobaini lakini sisi pale tulikitoa ili kukipeleka
kuzimu kwa shetani mkuu, Beelzebub mwenyewe
aliingia pale na mtikisiko wake uliwafanya hata wale
walio kuwa nje wakijadiliana umbea kukimua mbio..
Beelzebub mwenyewe aliingia pale na mtikisiko
wake uliwafanya hata wale walio kuwa nje wakijadili
umbea kutimua mbio kutokana na kuhisi hali isiyo
ya kawaida, alifika Beelzebub na kukitwaakile kivuli
akakivisha vazi kama joho fupi lalangi ya kakhi joho
hili alipovikwa alitokea katika mwonekano halisi
kama roho na kumfanya Beelzebub kubadilika
umbile kutoka mtu wa kawaida adi kuwa wakutisha
sana alikuwa na mapembe marefu sana nyuma ya
mgongo wake alikuwa na mambawa kama yaliyo
ungua na miguuni alikuwa na kwato kama za
mnyama na sura yake ilikuwa na manyoya mengi
sana ambayo pia yalitapakaa mwili mzima na
macho yake yalikuwa kama moto alitisha sana kwa
ule muonekano wake.
"KAZI NZURI KIJANA UTAPATA ZAWADI YAKO"
alisema Beelzebub akinitazama na kutoweka na
kivuli au nafsi ya yule kijana.
Ibada iliishia pale na kisha tukaurudisha tena mwili
kwenye jeneza kisha tukaweka ile fimbo ndani ya
lile jeneza na kuwaita wazazi na ndugu wa
marehemu na kuwaonya wasilifungue lile jeneza
wala watu hawapaswi kufanya buriani vinginevyo
kutakuwa na matokeo mabaya sana.
"Nyie manasema hivyo kama nani" mmoja wa
wachungaji alisema.
" kama tulio muua" nilijibu hivyo maana sipendi
maswali sana tena yanayo ashiria ubabe.
" sisi tutafanya ibada na hakuna wakutuzuia"
alisema tena yule mchungaji.
" sikiliza baba Karen mtoto wa Mzee Daudi unaitwa
mchungaji Sebastian ila nani anajua mwengine kuwa
ulipokuwa kijana uliua mtu na kwasababu ya wivu
wako wakimapenzi ndio ulimuua na kukimbilia mjini
ambapo ulikaa na baadae ulipata uzamini
wakusoma chuo cha teolojia na sasa mchungaji je
ivi nikiuliza kuwa nani anajua mama stela
unatembea naye ndio yule mama Mzee wakanisa ee
uyo ivi mkeo anajua aya" alisema ivo yule
mwanamke wakijini na kumfanya yule mchungaji
achanganyikiwe.
" we..we..we ni nani? Alihoji yule mchungaji
akionesha kuchanganyikiwa sana.
" hahahaha ulizani humu ndani walioingia
nibinadamu kama wewe au unazani uyu marehemu
unamjua vizuri wewe? Aliuliza yule mwanamke
wakijini.
Basi kwa maneno yale sio tu wale waombolezaji
walio anza kurudi baada ya kukimbia
walichanganyikiwa Bali hata wachungaji wenzake na
mchungaji Sebastian walichanganyikiwa na
kumshangaa mwenzao.
" alafu sasa zingatieni hili hatuondoki hapa mpaka
maziko yamefanyika inaonekana mnaviburi sana
nyie" alisema yule mwanamke wakijini lakini wakati
wote uo wale majini bado waliendelea kuwaandama
wale wachungaji..
twendeni pale" alisema yule mwanamke wakijini na
si tukawa tunamfuata kuelekea sehemu yenye
matent maana yalikuwa hayana watu kwasababu
wengi walikimbia na wa chache wakawa wanarudi.
" kwanini umemsema vile mchungaji? Niliuliza
maana nilipenda alichokifanya.
" nilitumia uovu wake na siri yake kuzuia Neema
yake na kwa hatia aliyo tenda nyuma ndio hiyo
inamuhukumu na kwakuiangalia hatia hiyo hataweza
kuiona Neema aliyo nayo" alisema yule mwanamke
wakijini.
"Sijaelewa" nilisema.
" yaani pale ni kama nimemuumbua na kwauzaifu
wa binadamu amekwisha na Ndio maana ata wale
wachungaji wenzake wametulia kama unavyojua kila
binadamu anaile siri ambayo anajua yeye, shetani
na yule mkuu basi iyo hatia ndio inamletea mtu
shida ikitoka kama hivi" alisema yule mwanamke
wakijini.
"OK sasa nimeelewa" nilisema.
" Dawa ya watu ni kutoa siri zao" Niliongea.
" ndio ila kuna dini Fulani wao huwa wanasema ile
siri kwa mtumishi wa aliye juu kikawaida akisema
pale ile hatia anayoihisi utoweka na Ndio baadae
hufanya mapatano na muumba lakini iyo kwetu sio
muhimu" alisema yule mwanamke wakijini.
"Kama awa wachungaji wataleta shida shida kuna
hatari ya ile nafsi kurudi na ikirudi wote tutapata
adhabu kwa kushindwa kuwachukulia uangalifu"
alisema yule mwanamke wakijini.
" hii! Maneno gani sasa hayo" nilisema maana
niliona yule mwanamke wakijini kama anaombea
mabaya tu.
" nikweli ndio maana nakutaka uwe makini na ujue
tutafanyaje " alisema yule mwanamke wakijini.
" OK ngoja " nilisema uku nanyanyuka nilipokaa
kwani kichwani kuna wazo lilinijia, nilipo nyanyuka
kwa nguvu ya kishetani nilijigeuza kuwa mchungaji
katika mavazi yangu na kugeuza fimbo yangu kuwa
kitabu ambacho ukikitazama utazani ni biblia
kumbe hakuna kitu kama icho, nilipiga hatua mbele
nikaingia katikati ya majini walio wazunguka wale
wachungaji na Mimi nikajiunga na wale wachungaji.
" bwana asifiwe" niliongea kuwasalimu.
" amen" waliitikia wale wachungaji.
" samahanini jamani nimechelewa ila nahisi mambo
hayaja haribika nyie kuwepo hapa" nilisema.
samahanini jamani nimechelewa ila nahisi mambo
hayaja haribika nyie kuwepo hapa" nilisema ili nijue
nini wamepanga kutenda kwa muda ule na nizuie
kama kitakuwa hatari kwa maslahi yetu.
" kunashida bwana kubwa tu apa tulipo kuna nguvu
za giza zinatuandama" alisema mchungaji mmoja na
kunifanya nishtuke kidogo.
" unamaanisha nini"? Niliuliza.
" inamaana ujasikia kwanza apa tulipo huoni uzito
usio wa kawaida na pili angalia kule" alisema
mmoja wa wachungaji na kunyooshea kidole kule
alipokuwa yule mwanamke wakijini na member
wengine wa waabudu shetani.
" ndio naona kuna shida kwani pale"? niliuliza.
" ndio ipo wale sio watu wa kawaida ni waabudu
shetani " alisema yule mchungaji.
" tobaa! Sasa inakuwaje wawepo apa japo kuwa
najua marehemu alikuja kwangu akitaka ushauri
wakujitoa kwenye lile genge lakini sijui nini
kikatokea na Leo ndio nmepata habari amekufa
dah" nilisema kujifanya tu.
" inasemekana marehemu hakuacha kabisa ushirika
na lile kundi la shetani ndio maana wamemuua
kutokana na kuja kuomba uo msaada unaousema"
aliongeza mchungaji mwingine uku mchungaji
Sebastian akiwa kajiinamia hana chakuchangia.
" mmmmh hii hatari kama hakujiondoa sasa sisi
inamaana kuwepo hapa nimakosa kwa maana uyu
alimkataa bwana na kama alijivika mavazi ya
kondoo uku ndani ni mbwa mwitu mkali unadhani
bwana ata shuhulika naye kweli" nilisema ili
kuvuruga mambo.
" mmh sidhani ndio maana wale mapepo
yamesema hakuna ibada ya kikanisa wala yanini
maana uyu alikuwa wao wanajua" alisema sasa
mchungaji Sebastian.
" kweli kabisa sasa tutafanyaje kuondoka itaonekana
tumeshindwa" alisema mchungaji Sebastian tena.
" natukibaki pia tunaweza shindwa kama bwana
asipo tembea nasi maana uyu marehemu alimkataa
na yeye atamkataa tu" nilisema kuvunja nguvu
kabisa wazo la msingi.
" kama ndio hivyo tufanye nini" aliuliza mchungaji
mwengine.
" tukae tu tone mpaka mwisho apa kuna
chakujifunza" nilisema.
" nikweli mtumishi" walijibu wachungaji wote kwa
pamoja.
" basi twendeni pale tukakae" nilisema
basi twendeni pale tukakae" nilisema uku tukienda
eneo la pembeni kidogo nikiwa na wale wachungaji.
Basi mwongozaji wa mazishi alipoona watu
wamerudi na alipofanya mawasiliano na watu
waliokuwepo makaburini aliongea na ndugu na
kukubaliana wakazike, basi watu wakaingia kwenye
magari na msafara wa kwenda mazishini ukaondoka
kabisa ukiwa chini ya uangalizi wa yule mwanamke
wakijini na members waabuduo shetani na baadhi
ya majini ambayo yaliamua kupungua baada ya
kuona nimefanikiwa kwa kiasi Fulani kuwashawishi
wale wachungaji wasifanye balaa pale. Mimi na
wachungaji tulibaki nyumbani pale kwani
tulikubaliana kuwa kwenda mazishini nikukubali
masherti ya shetani basi tulibaki nyumbani uku
tukipiga story za kifo cha uyu kijana, tuliongea
mpaka pale waombolezaji waliporudi kutoka
makaburini na kisha Mimi na wale wachungaji
wengine tuliwaita wanafamilia na ndugu kuwauliza
kisa cha wao kukubali mtoto wao azikwe kishetani
namna ile.
" sisi tuliamriwa na wale watu na walitueleza kuwa
mwanetu alikuwa mwanachama wao kwaiyo
alishamkataa bwana" alisema baba mzazi wa yule
kijana.
" Mimi sikukubali jamani ila naomba tufanye
maombi angalau kidogo jamani na siku ya arobaini
naomba mfike tumfanyie ibada" alisema mama wa
marehemu akiungwa mkono na mabinti zake.
" haiwezekani uko nikumjaribu bwana na hakuna
Neema kwa waliokufa haipo kabisa jamani"
nilisema kwa msisitizo maana niliona kama watasali
basi hii ni shida.
" kama nyie hamta Fanya basi Mimi nitaenda ata
kwa Islamic kuomba msaada wamaombi.
" hata uende kwa malaika nani hakuna njia mama
kijana mwenyewe kaamua kuchagua njia yake wewe
huwezi leo kumfanya mkristu au Islamic" nilisema
maana niliona anataka kuleta matatizo yule
mwanamke.
Basi yule mama aliangua kilio cha kukata tamaa
pale pale akadondoka chini na kuzimia maana
alionekana mwenye uchungu mkali sana. Lakini
jambo ambalo wale wachungaji walifeli ni kuamini
Mimi ni mchungaji na kutokuwa na imani juu ya
sauti walizokuwa wakizisikia kwa maana Mimi
nilikuwa na onywa kila saa juu ya mabadiliko ya
wenzangu.
" jamani apelekwe sasa hospital " nilisema baada ya
yule mwanamke kuanza kutoka damu.
" nikweli tufanye hivyo" waliongea wale watumishi.
"Ngoja Nipige simu kuna doctor namjua atakuja na
ambulance" nilisema lakini kichwani nilikuwa
nimepanga kumpigia member wa devil worship
anaye miliki hospital ili..
kumpigia mmoja wa member wa devil worshippers
ambaye anamiliki hospital kubwa pale mjini.
Baada ya kuongea naye haikupita muda mlefu
ambulance ikawa imefika na kweli yule doctor
ambaye ndio mmiliki wa ile hospital alifika na
kumchukua yule mama ambaye alisindikizwa
hospital na mumewe na mabinti zake uku nyuma
wakituacha sisi YAANI Mimi na wale wachungaji.
"Uyu ni tajiri sana vipi mnajuana" aliuliza mchungaji
mmoja.
" hahahaha nimuuni wangu bwana ndio maana
ameona aje mwenyewe huu ni upako na neema
iwejuu yake" nilisema
" amen" waliitikia wale wachungaji na baada ya
muda kidogo mchungaji Sebastian aliamua kuaga
kuondoka na kufuatia na wachungaji wengine nao
kuniacha pale Mimi peke yangu.
Lakini baada ya muda kidogo kabla ile familia haija
rudi alikuja yule mwanamke wakijini n akujigeuza
naye kuwa ni mmoja ya wachungaji walioondoka.
" Kazi nzuri sana yaani umefanya kwa viwango
ndugu safi sana" aliongea yule mwanamke wakijini
na kunikumbatia kwa furaha.
" ila nimechoka nataka nirudi nyumbani namimi
nikapumzike siumeona umu ndani nipo mwenyewe"
nilisema
" upo peke yako ndani ila nje mbona bado wapo
watu wanao kaa kuanua matanga" alisema yule
mwanamke wakijini.
" sasa siwezi ongea na kila mtu tu maana Kazi
niliyo ifanya ni nzito nilitamani kufa apa mwili
umechoka sana" nilisema.
" sawa basi subiri warudi na sisi tuondoke" alisema
yule mwanamke wakijini.
Tulikaa pale kwa muda mrefu mpaka wale walio
enda hospital walipo rudi.
" mgonjwa anaendeleaje? Niliuliza.
" bado madaktari wamesema tunaweza kuondoka
wao wanamuhudumia haina shida " alijibu mume
wayule mama.
" OK sawa sasa Mimi na mwenzangu ngoja
tuwaache Mara moja tutazidi kuja kujuliana hali"
niliaga kwa staili hiyo.
"Sawa karibuni sana" walisema sasa yule baba na
binti zake.
"*Asante " tulijibu uku tukitoka nje na tulipo wapita
watu kadhaa waliokuwa pale nje tuli toweka na
moja kwa moja kutokea nyumbani.
nilijitupa juu ya kiti kwa uchovu.
" kaoge kwanza ndio ulale" alisema yule mwanamke
wakijini.
" OK " nilijibu.
niliinuka nikaenda bafuni nikaoga kisha nikaingia
chumbani nikajitupa kitandani na usingizi
ukanichukua nilikuja kuamka majira ya saa tatu
usiku nilipo amshwa kula na wale dada wakazi
wakijini.
" kuna siku uliniambia umundani wote ni majini
lakini sio wote ivi ulimaanisha nini? nilimuuliza uku
naamka kutoka kitandani.
" ndio sio wote maana wewe ni binadamu" alisema.
"ina maanisha mimi peke yangu ni binadamu
umundani? niliuliza tena nipate uhakika.
" ndio ni wewe peke yako" alijibu sasa yule
mwanamke wakijini kwa kuingilia mazungumzo.
basi nilikula na kuludi tena kulala mpaka asubuhi
niilipo amshwa na yule mwanamke wakijini
nijiandae kwenda kusaini ujenzi wa barabara.
" umesema nikasaini? nilimuuliza kwa mshangao.
"ndio ukasaini maana kwa sasa umepewa umiliki
kampuni kubwa ya ujenzi na kama utaendelea
kumfurahisha lucifer basi uta yafurahia maisha"
alisema yule mwanamke wakijini na kunifanya niwe
mwenye furaha sana kwa taarifa ile.
"ila na mashaka kidogo mimi sina elimu ya biashara
izo kubwa maana mimi nilikuwa zamani nafanya
kwa ujanja ujanja tu" nilisema ukweki japo nilifurahi
niliogopa pia kushindwa kuiendesha biashara.
"iusiogope sio wote unao waona wanamiliki
biashara kubwa wote wamesoma sana kuna
wengine wanasaidiwa na hekima ya yule aliye juu
maana yeye ndie kiongozi wa yote na pia kuna wale
wanaoongozwa nasisi ao pia majini ndio huwa
waamuzi wakila kitu kama ivi tenda walikutafutia
majini wewe ukasaini tu leo mbele ya rais" alisema
yule mwanamke wakijini.
"rais tena hii mbona kubwa " nilijibu kwa furaha
sana niliona zile ndoto zangu zakuwa tajiri mkubwa
zinatimia sasa.
"usijali sana sasa amka kajiandae unywe chai kisha
tuondoke " alisema yule mwanamke wakijini
nakunifanya kuruka kutoka kitandani adi bafuni
nilioga haraka nikanywa chai kisha nikawa nasubiri
muda ufike niondoke maana niliandaliwa vizuri na
wale wanawake wakijini na kunifanya muonekano
wangu uwe kama mtu aliyeshiba pesa kwa vile
nilivyokuwa.
"muda umefika tuondoke" alisema yule mwanamke
wa kijini. tulisimama na kutoka nje nilikuwa wale
wanawake wakijini ambao ni wahudumu wa kazi
wamevaa visuti vyeusi ambavyo vili wapendeza
sana.
"vipi na hawa tunaenda nao ? niliuliza .
"ndio hawa watakuwa kama wafanyakazi wa iyo
kampuni ndio watakao kuwa na document zote"
alisema yule mwanamke wakijini kisha tuka ingiia
ndani ya magari yetu ya kifahari na msafari
wakwenda kwenye ikulu ya kenya ulianza tulitembea
kwa muda wa saa kadhaa mpaka tulipoingia ndani
ya ikulu ya kenya lakini kwanza tulisimamishwa na
walinzi waikulu maaana mifumo yao ya ulinzi
ilishindwa kuonesha gari yetu ilipoingia wala idadi
ya watu kiufupi mifumo ya ulinzi haikutambua
chochote kilichofanyika katika mazingira yale ya
ikulu na kuwafanya walinzi kuingiwa na shaka na
gari yetu kwani walidhani imefungwa vifaa maalumu
vyakukwepa ulinzi. tlikaapale mpaka nilipo shuka
ndani ya gari kwenda na walinzi kwenye chumba
cha mahojiano maaana walikosa imani kabisa na
mimi, lakini ndani ya chumba chamahojiano
nilipofika kabla sijaulizwa chochote mmoja wawale
walinzi alipokea mawasiliano kuwa mifumo ipo
sawa na gari imeshafanyiwa uchunguzi shida ilikuwa
kwenye mifumo yenyewe. basi niliachiwa na
kuombwa radhi maana waliogopa kama nitasema
basi itaonekana wao kuwa niwazembe lakini ukweli
niliujua mwenyewe. baada ya ayo tuliingia ikulu
ndani ambapo tulilakiwa na waziri wa ujenzi wa
kenya ambaye alitupeleka mpaka ndani ambako
kwa mara yakwanza nilisalimiana na rais wa kenya
kwa bashasha na furaha ambapo kabla ya kuingia
mkataba na serikali yake tuliongea mambo mengi
sana yamaendeleo na pia yule mwanamke wakijini
aliahidi kuendeleza ushirikiano na serikali na kuahidi
kama kampuni tutapeleka maji kwenye moja ya
maeneo eldoreti na trukana na maeneo ya mkoa ya
pwani ambapo tuliahidi maeneo pia ya kisumu
tungejenga hospital kubwa sana, nilimweleza rais
kuwa nimeipenda kenya na ninamakza pale kenya,
rais alifurahi sana tulipoongea nae na baadae
tukaingia mkataba serikali yake kujenga iyo
barabara lakini hofu iliniingia pale nilipowaza kama
tukishindwa kutekeleza maana tuliahidi mambo
mengi sana mbele ya rais na mambo yenyewe ni
pesa nyingi na ukiangalia pesa zenyewe na tegemea
kwa majini.
"usiogope ayo tuliyo ahidi tutatekeleza" alisema yule
mwanamke wakijini maana aliyasoma mawazo
yangu.
"itabidi sasa utoe kafara"alisema yule mwanamke
wakijin.
"kafara!" nilishtuka maana nilishaingia na woga
nilijua kile ninachowaambia sikuzote wale
wanachama leo kinaenda kunitokea namimi.
"kwani na mtoa nani sasa mimi" niliuliza kipindi
icho tupokwenye gari tunaondoka zetu kutoka ikulu.
"kwani wewe ulitaka kumtoa nani" aliuliza yule
mwanamke wakijini.
" mimi sijui namtoa nani alafu kwa yote aya
niliyofanya napotu mnataka nitoe kafara? niliuliza
kwa kulalamika.
"kwani uoni makubwa yaliyo mbele yako pia huoni
leo mpaka umekutana na rais basi kama utajitoa
zaidi utapata makubwa zaidi" alisema yule
mwanamke wakijini.
" sasa mimi sina mtu wakumtoa nitafanyanyaje"
nilisema.
" unaye yule rafiki yako" alisema yule mwanamke
wakijini
"umaaanisha abdul" niliuliza kwa mshangao maana
abduli alikuwa ndio rafiki ndio ndugu ndio kila kitu
kwangu hata hii habari ya kufanikiwa kwangu
nilitaka aijue ili tufanye kufuru kwa stalehe alikuwa
kila kitu kwangu kiufupi
"hapana bwana badilisha mimi huyo hapana bwana
siwezi lazima ufikirie vizuri mimi kwa apo
nitashindwa" nilisema uku roho inaniuma sana
maana nilijua kitakacho mkuta abdul ni kuchinjwa.
" basi ukishindwa apo utawapoteza ndugu zako
wote" alisema yule mwanamke wakijini sasa akiwa
hana mchezo
Nipoteze familia yangu? Nilishtuka kutokana na
maneno ya yule mwanamke wakijini.
" ndio familia yako na heshima ulizopata
zitapukutika" alisema tena.
" kweli nimeamini kwanini huu utawala wa shetani
huwa unaanguka" nilisema.
" angalia maneno yako ayo" alisema yule
mwanamke wakijini.
" iyo kafara inaitajika leo usiku kama upo tayari
sema tuka mchukue" alisema yule mwanamke
wakijini.
" sipo tayari " nilisema.
" basi unaiponza familia yako" alisema yule
mwanamke wakijini.
" sikiliza wewe Mimi aya nafanya Mimi kama
mnahasira niguse Mimi nasio ndugu zangu"
nilisema.
" kama kuua nimeua sana kama roho za watu
nimezipeleka sana kuzimu lakini bado mnataka
mnipe hasara ya kuua watu wangu haiwezekani "
nilisema bila hata chembe ya mzaha uku kichwani
akili ikianza kugongana.
" hahahaha kwani maisha uliyokuwa ukiishi siku zote
unajua niya gharama kiasi gani? Aliuliza.
" maisha kwani unanipa wewe yupo anaye nipa ila
sio wewe" nilijibu kwa jeuri kama kufa nife tu lakini
sikuwa tayari kuua mtu wangu mwenyewe.
" unataka kuelekea kubaya" alisema yule mwanamke
wakijini na kunishika mkono na kutoweka ndani ya
gari hadi kisiwani Zanzibar ndani ya ofisi moja ya
kisasa.
" siwezi nmesema" nilimwambia yule mwanamke
wakijini baada ya kutokea mbele ya Abdul ndani ya
ofisi yake.
" hapana hatuna muda" alisema yule mwanamke
wakijini.
" kafara gani unalazimisha" nilisema.
" silazimishi ila ni lazima itolewe" tulibishana ndani
ya ofisi ya Abdul bila kuonekana wala kusikiwa na
abduli mwenyewe. Basi yule mwanamke wakijini
alipiga hatua kumfuata Abdul nikaona kama
nitacheza kidogo basi uyu mwanamke wakijini
anaweza Fanya kitu kibaya kwa jamaa yangu. Nika
ruka mpaka mbele kumzuia asipite lakini aliyeyuka
mbele yangu na kutokea nyuma yangu. Niliwaza
haraka sana nikaona nimshambulie kwa moto yule
mwanamke angalau kumzuia asifanye anachotaka,
nilirusha moto lakini ulipomkuta aligeuka kwa
hasira na kwa kasi ya ajabu akanikumba na kunitupa
chini uku akiwa amenikaba shingoni. Nilijitahidi
kujitoa lakini
Nilijitahidi kujitoa lakini hali ikawa ngumu
nikakumbuka kile walichokuwa wanakifanya
wanamaombi kule tunapo wafata kupambana nao
niliona nitumie njia yao kujikomboa maana ile
mbinu na maombi yao ni hatari kwa viumbe wa
kuzimu.
" usijalibu icho kutakuwa na matokeo mabaya sana"
alisema yule mwanamke wakijini uku akiniachia
shingo yangu.
Nilibaki nikikohoa tu pale chini uku nguvu zikiwa
zimeniishia. Nilimuona yule mwanamke wakijini
akimsogelea Abdul na kutaka kumgusa ili nibidi
nigeuke kama mtu wa kawaida ili angalau Abdul
anione.
" Abdul salii" Niliongea kwa kujivuta baada ya
kuonekana mbele ya Abdul lakini kama isivyo bahati
Abdul alishtuka kuniona mlendani nikiwa chini na
kutaka kusimama kukimbia akijua Mimi ni mzimu.
Lakini kabla ajasimama sawa sawa kwenye kiti
chake yule mwanamke wakijini alimgusa kichwani
na dakika hiyohiyo Abdul akashuka chini kama
mzigo na kupoteza fahamu.
" huyu ni sadaka usisahau hilo ila kwa matendo
yako nakuambia utaadhibiwa"alisema Yule
mwanamke wakijini. Basi yule mwanamke wakijini
akaja akanishika mkono na kuniinua juu.
" kabebe iyo sadaka yako muda ushaenda sana
tunatakiwa tukaitoe members wote wanatusubiri"
alisema yule mwanamke wakijini. Basi nilisogea
mpaka alipo lala abdul nikamnyanyua nikamweka
begani kisha yule mwanamke wakijini akaja
akanishika mkono wa kushoto na kwapamoja tuka
tokea lodge.
" kamweke chumba cha kafara" alisema yule
mwanamke wakijini, nikafanya ayo yote nikiwa
kimya bila kusema kitu.
Baada ya kumuweka mle nikaingia chumba cha
kubadili nguo nikavaa mavazi ya ibada kisha
tukatoka na yule mwanamke wakijini mpaka ukumbi
wa ibada na kuketi juu ya viti vyetu. Baada ya ayo
aliingizwa Abdul akiwa amwevikwa joho jeupe na
mikono yake ikiwa imefungwa kwa kamba ngumu,
nilipomuona roho iliniuma sana, basi alipigishwa
magoti na kuinamishwa kichwa chake na mchinjaji
akamsogelea nyuma yake tayari kwa amri yangu
Abdul achinjwe.
" LEO NAMTOA ABDUL RAFIKI YANGU
WAKIBINADAMU KAMA SADAKA" nilisema kujikaza
kama mwanaume tu ila roho iliniuma sana.
" Ha! Jack nimekufanyia nini ndugu yangu" alisema
Abdul baada ya kuisikia sauti yangu.
"HAKUNA ULICHOFANYA ABDUL ILA DAMU YAKO
INAMPENDEZA BWANA SHETANI" nilimjibu Abdul.
"Nisamehe ndugu yangu niachie jack nakuomba."
Alijitetea Abdul.
"SIWEZI KUKUSAIDIA ABDUL NENDA SHEOL
( KUZIMU)" nilijibu kwa mwangwi. Na baada ya
mchinjaji kusikia Sheol hakuwa na cha kupoteza
alimkanyaga Abdul mgongoni na kumfanya Abadul..
Baada ya IYO kafara tulirudi nyumbani kama
kawaida ila safari hii nikiwa nahofu kubwa moyoni.
" vipi mbona huna raha Leo? Aliuliza yule
mwanamke wakijini.
" nipo sawa mbona" nilijibu.
" unahofu ya kumtoa kafara rafiki yako? Aliuliza.
" ivi Leo yeye kesho simtasema ndugu yangu ?
Niliuliza.
" ee nawe aya mawazo yako tu" alijibu.
" kwaiyo haitatokea kutaka ndugu zangu" niliuliza.
" kunatiketi ya ndege inabidi uende America uko
utafanya kikao kule loss Angel kisha utapokea
adhabu yako" alisema yule mwanamke wakijini.
" adhabu ya nini tena" niliuliza.
" kwani ukuona ulivyokuwa unataka kuvunja
masharti ya ulimwengu huu" alisema na kunifanya
nikae kimya. Siku zilisogea mpaka siku ambayo
nilipanda ndege mpaka marekani ambapo tulishuka
kwenye ndege mpaka kwenye moja ya hotel tulio
amua kufikia tulikaa pale kwa siku tano na baadae
tulielekea kwenye moja ya mahall makubwa sana
ambako uko tuliingia kwenye hall la waabudu
shetani. Tulipoingia tu nilipokea kitabu kidogo na
kuongozwa mpaka viti vya mbele na kuketi,
nilipoketi nilikifungua kitabu ambacho kilijaa nyimbo
nyingi za kumtukuza shetani. Basi tulikaa mle ndani
kama masaa manne ambapo baada ya ayo masaa
wote tulinyanyuka na nyimbo sasa zikaanza
kuimbwa, kulikuwa na jopo la wanakwaya kabisa
ambao walikuwa wakituongoza kuimba zile nyimbo,
tuliimba na kadri muda ulivyokuwa unaenda
tulikuwa tukibadilika maumbo wote mle ndani na
sauti zetu zilizidi kuongezeka na mioyo yetu ilijaa
chuki isiyo ya kawaida na wala isiyo na sababu
yoyote dhidi ya binadamu wa kawaida.
" na damu ya mwanadamu imwagike milele "
ilikuwa moja ya shairi la wimbo ambao tulikuwa
tukiimba na kutujaza chuki dhidi ya binadamu
wakawaida. Tuliimba mpaka sasa tulipoanza kusikia
kama kinanda cha wimbo mzurii kikisikika, kwa
upande wangu niliacha kuimba ili nisikie uo wimbo
mzuri ni nani anaye taka kuimba maana mlio wake
ni mzuri hatari lakini hajabu ni kuwa kuta zote za
lilejengo tulilo kuwamo lilijaa mwanga mkali sana
na Mara mwanaume mrefu wa kadri aliingia
mwanaume mrefu wa kadri aliingia uku akiwa
amezingirwa na Vito vya thamani kila upande
alikuwa na mwendo wa taratibu sana na pozi nyingi,
hakuwa mwenye wasiwasi hata kidogo na alikuwa
mchangamfu sana, nilibaki kumshangaa kwani
sikuwahi ona mtu anaye pendeza namna ile japo
kuwa yule mwanamke wakijini alikuwa mzuri sana
lakini yule mwanaume aliyeingia pale alimzidi
kabisa yani, sikuwahi jua wala kuona mwaume
mwenzangu ni handsome nilikuwa sijui lakini yule
niliye muona kweli kati ya wanaume mahandsome
yule jamaa ni handsome.
" achakushangaa uyo Ndio shetani mwenyewe "
alisema mwanamke wakijini.
" mbona haendani na jina lake mbona anaonekana
mpole sana mstarabu na mwenye kupendeza"
nilijibu .
" ee basi uyu ndio shetani huu ndio muonekano
wake halisi" alisema yule mwanamke wakijini.
Wakati tunajadili ayo Mara mwanamke mmoja
mrembo wa kawaida akaingia kwa stahili ileile
aliyoingia nayo shetani.
" uyo mwanamke anaye enda karibu na shetani ni
nani au ni mke wa shetani " niliuliza.
" hapana sio mke wa shetani ila uyo ni Lilith
mwanamke wa kwanza kudai haki sawa mbele ya
mwanaume, uyo ni binadamu wakawaida kama
ulivyo wewe lakini tofauti yenu ni kuwa yule hafi"
alisema yule mwanamke wakijini.
" hafi! Kuna binadamu asiye kufa?niliuliza wakati
shetani bado yupo mbali kule akilakiwa kwa
shangwe.
" ndio hafi kwasababu uyo mwanamke alikataa
kumtii adamu akaondoka zake kwa vile yeye na
Adam waliumbwa sawa basi akaona kumtii
mumewe uyo sio sawa akaondoka na kujiunga na
shetani na basi baada ya Adam kuwa mpweke
ikabidi Eva aumbwe katika moja ya ubavu wa Adam
ili akatoka apo ataweza kumtii mumewe uyo lakini
kama unavyojua mwanamke Eva hakuwa na
mumewe hapo ndipo mmoja wa wenzangu
alimfuata na kumlaghai ale tunda na alipokula
akampelekea na mumewe ambaye ni adam lakn
adam hakushawishiwa na sisi ila yeye mwenyewe
aliamua kula kwa hiyali yake kwani aliogopa
kuendelea kuwa mpweke baada ya kujua Eva kala
lile tunda alijua lazima Eva atakufa tu Ndio adam
baba yenu akamua na yeye ale ili
Ndio adam baba yenu akaamua na yeye ale ili afe
na alipo kula tu wote walifunuliwa" alisema yule
mwanamke wakijini na kunifanya nishangae.
" lakini wakati uo yule Lilith hakuwepo sindio?
Niliuliza.
" ee hakuwepo alikuwa tayari amejiunga na shetani
na kuwa huru kutoka kwa mumewe wa kibinadamu "
alisema yule mwanamke wakijini.
" duh uo msala sasa! Kwaiyo saizi anaishi wapi uyu
mwanamke maana sijawahi sikia stori zake"
niliuliza.
" anaishi kuzimu na shetani " alijibu yule mwanamke
wakijini.
" hio ni baada ya Mimi na jeshi langu kukosea
kidogo tu na kupoteza ile vita mbinguni " aliingilia
shetani aliye kuwa amesimama umbali mlefu ndani
ya lile jengo na kwa maneno yake ukumbi mzima
ulitulia.
" vita! Vitagani? Nilijiuliza mwenyewe moyoni kwani
niliogopa kumuuliza.
" bado unawaza vita gani! Nitakuambia; Mimi na
wenzangu tuliamua kuchukua utawala wa mbinguni
lakini kuna kosa dogo tulikosea na pia aina ya
mashambulizi makali ya yule malaika mkuu ambaye
anafanya ulinzi kwa watu wako alitushambulia kwa
moto ambao sikupata kuuona kamwe ndio
tulizidiwa nguvu hapo na kusambaratishwa kabisa
mbinguni na mahali petu palifutika kabisa" alisema
shetani.
" mmmh! Ni yule mkuu nini? ndio aliwapiga"?
niliuliza.
" yule mkuu huwa hapigani na yoyote na hakuna
yoyote anaye weza kupigana naye" alisema.
Basi baada ya kusema ayo shetani alikuja mpaka
mbele kabisa aka keti na tafrija ikaanza kulikuwa ni
kuimba na kumtukuza yeye na baadae ripoti ya kila
kilichofanyika dunia ilitolewa ambapo wengine
walipongezwa na kupewa zawadi na wengine
nikiwemo na Mimi tulilaumiwa na kupewa adhabu
kulingana na makosa yetu, yule mwanamke wakijini
alieleza matendo yangu yote na kwa kupitia screen
iliyokuwepo pale ukutani kila kitu nilichofanya
kumzuia yule mwanamke wakijini asimchukue Abdul
kikionekana, basi kutokana na ayo matendo yangu
ambayo angalau yalionekana nafuu nilipewa adhabu
ya kuishi kuzimu kwa muda wa miezi mitatu niishi
kama msukule nikipangiwa Kazi ngumu mpaka
miezi iyo itakapo isha..
nikipangiwa Kazi ngumu mpaka miezi iyo itakapo
isha, upande wa wenzangu walihukumiwa kifo
kutokana na kutoa siri na kugoma kutoa kafara
kabisa waliwaelekeza watu wafanye kinyume kabisa
na sisi hata walio taka kujiunga na chama
waliwazuia kutokana na matendo yao walihukumiwa
kifo , na baada ya hukumu iyo walitokea viumbe wa
sio pungua mia moja walifika ndani ya lile jengo
walituchukua kila mtu kivyake walinifunga kamba
mikononi na miguuni kisha wakanibeba na
kutoweka nao Mimi mpaka kuzimu sehemu moja
ambayo sikuwa kufika wala sikujua kuwa kuna siku
nitafika. Lilikuwa ni eneo lenye mwanga hafifu
ambao ulitokana na giza zito na nguvu ndogo ya
mienge iliyo washwa mle ndani. Kulikuwa na watu
wengi sana mle ndani na wote walionekana
wamechoka mnoo maana walijilaza tu na kulikuwa
na harufu mbaya sana iliyokuwa pale, hewa ilikuwa
nzito sana na harufu mbaya ambayo baada ya muda
kidogo kupita toka niwekwe mle nilianza kuhisi
kuchoka na mwili kuishiwa nguvu na viungo vyangu
kulegea.
" nyanyukeni mkale sasa msipo amka na kula ni juu
yenu" alisema kiumbe ambaye hakuone vizuri
kutokana na hali ya hewa ya ugiza na mwanga
hafifu.
" amka twende tukale" nilimwamsha mtu mmoja
aliye kuwa jirani yangu, aligeuka kwa kujivuta na
kunitazama akajinyanyua kisha akasogea sehemu
mmoja hivi ambayo ilikuwa ni kama mlango au geti
akapita pale uku akipepesuka sana kama mlevi,
basi wengine nao walipomuona jamaa kasimama na
wote walisimama na kumfuata nikifuatiwa na Mimi.
" hiki ni chakula gani jamani? Niliuliza baada ya
kuona ni kama pumba limekorogwa na kupikwa
jikoni na kuchangwanywa na damu kiasi.
"Wewe kula kama hutaki ondoka " ilisikika sauti
nyuma yangu ikisema hivyo nilipo geuka nilistaajabu
kuwa muona mmoja wawale mashetani mekundu
nilikuwa naishi naye kule nyumbani akiniambia
Mimi maneno yale.
" yaani wewe kumbe ni msimamizi wa huku?
Nilisema.
" kula au uondoke" alijibu.
" Mimi sijazoe kula hivi kama mfugo unajua na kula
nini basi nisaidie nipate chakula kizuri" nilisema.
" kula au uondoke" alinijibu yule kiumbe.
kula au uondoke " alijibu tena yule kiumbe.
" lakini..aaaaaa!" Kabla sija maliza kuongea
nilichosema nilitandikwa na mkia wa taa alio kuwa
ameushika yule kiumbe na kunifanya nihisi maumivu
makali sana
" ondoka huku haraka " alisema yule kiumbe na
wakati najivuta kunyanyuka alinitandika tena naule
mkia nilihisi maumivu makali sana ambayo hata
sikuwahi ya hisi kabla alinitandika kila nilipokuwa
najivuta kutoka mle ndani ambapo misukule
mingine ilikuwa ikila. Nilipo fanikiwa kutoka nilienda
kujilaza chini mle ndani nikiugulia maumivu makali
ya kile kipigo.
" ondoka uende nje ungane na wenzako" ilikuwa ni
sauti ya kiumbe asiye onekana akinitaka nitoke,
basi nilijivuta kutoka nje nilipofika nilishangaa kuona
eneo moja kavu sana na kubwa sana kama hekali
elfu sita hivi na wale misukule wakilima huku
wakitandikwa na bakora kwa wale wanao onesha
ulegevu.
" chukua ilo jembe kaungane na wenzako" ilisema
tena ile sauti.
Na kunifanya nibebe jembe na kuungana na
wenzangu kulima. Nililima kwa nguvu nyingi
nikiogopa kupigwa na kuuliwa kama walivyo fanyiwa
wenzangu. Tulilima kwa muda mrefu uku sasa
nikihisi kuchoka na kiu ya maji na njaa Kali sana.
Wakati na endelea kulima kwa kuchoka na kwakiu
na njaa speed yangu ilipungua na uwezo wa kulima
vizuri ulitoweka sasa yule kiumbe msimamizi wa
mashamba alikuja na kunitandika fimbo
akinikazimisha niendelee kulima kwa nguvu na kwa
speed kama awali, lakini bila kujali kuwa
nilimwambia nahisi kiu na njaa na kuchoka.
" acha uvivu binadamu huku mbona utakufa usipo
weza kujisimamia" alisema yule kiumbe uku kipigo
kikiendelea kunihimiza nilime kwa nguvu.
Haliilikuwa mbaya siku ile yakwanza tu nimefika
niliwatizama wenzangu walio kuwa wamelala chini
wamekufa kwa kipigo na na kuchoka sana na kiu.
" kama mtatuua unazani nani atalima huku" nilisema
kwa uchungu na hasira ya maumivu ya kipigo
nilichokuwa nikikipokea na kunifanya ngozi yangu
kuchanika na kuwa na madonda kama wale
wenzangu.
* kwani wewe ukifa nani anajali inuka ulime au ufie
kondeni" alisema yule kiumbe..
kwani wewe ukifa nani anajali inuka ulime au ufie
kondeni umelala" alisema tena yule kiumbe
msimamizi wa mashamba. Basi niliinuka kulima
kwa kujikaza na kujituma huku mwili ukiwa
umechoka sana na unamaumivu makali sana ya
kipigo, nililima nikitegemea kuwa giza litakapo ingia
angalau tutapata nafuu ya kwenda kupumzika Kazi
ingeendelea siku inayo fuata lakini kwa kweli
haikuwa hivyo maana kule kuzimu hakukuwa na
usiku wala mchana na kulima ilikuwa ni bila
kupumzika zaidi ya kama dakika ishirini tu za
kwenda kula na kurudi kuendelea na kulima.
Baada ya kufanya Kazi ngumu na mateso ya kipigo
na chakula kisicho kuwa cha kawaida siku moja
nikiwa najiandaa Mimi na wenzangu kwenda kupata
chakula ili kuendelea na Kazi ambayo kimsingi
haiishi na wala hammalizi kuifanya nilimuona yule
mwanamke wakijini akiwa amesimama mbele
yangu akiwa mwenye uso wenye mashaka kiasi.
" kunanini mbona unaonekana hivyo" nilimfuata
kumuuliza maana niliona uwenda anataarifa mbaya
kuhusu Mimi.
" unahitajika kurudi duniani harka " alisema yule
mwanamke wakijini na kuufanya moyo wangu
kujawa na furaha isiyo ya kawaida ni kama vile
mkombozi amekuja kuniokoa. Basi alikuja na
kunishika mkono na moja kwa moja tulikokea kule
kule nyumbani .
Nilipofika duniani nilibaki kuangaza macho
kushangaa vitu maana japo nilikaa kwa muda
mchache kule kuzimu lakini ni kama nilikaa miaka
mingi kwa muda mchache mtu huweza kusahau vitu
vingi kuhusu dunia.
" kaoge kwanza baada ya apo utapokea jukumu
jipya" alisema yule mwanamke nikaenda kuoga
nilipo maliza walikuja wale Dada wakazi wakijini
kwaajili ya kuniandaa niwe na mwonekano mzuri
japo kuwa nilikuwa na nywele ambazo sasa zilianza
kupoteza mwonekano wake wa kawaida lakini
zilitengenezwa vizuri na kuwa safi na zakung'aa,
niliandaliwa vizuri nikavalishwa suti safi na kisha
nikatoka mpaka sebuleni alipo kuwa ameketi yule
mwanamke wakijini akitizama kipindi cha dini
kilichokuwa kikirushwa na kituo kimoja cha
television.
" umependeza sasa ila achana na makosa ya kijinga
maana...
umependeza sasa ila achana na makosa ya kijinga
maana kutoka kule ni kama bahati tu ila ukirudia
ukiambiwa ukae kwa siku ni sawa na umewekwa
kule mpaka ufe" alisema yule mwanamke wakijini.
"Sitofanya tena nimejutia! Haya nipe ilo jukumu sasa
nione nafanyaje" nilisema.
"Inatakakiwa ufuatilie sadaka za yule kijana alizo
ahidi kutoa na kuna watu wanapaswa kutengenezwa
kama wachungaji ilo la kwanza na lapili ni muhimu
alafu kuna jingine muhimu zaidi ambalo ndilo
utaanzanalo baadae kidogo ambalo ni muua
mchungaji Alex huyu kama ataendelea kuwepo
itakuwa ni shida ivi ninavyokuambia wanachama
nane wapo pale na tayari hatuwawezi ila kama ata
kufa basi hakutakuwa na hasara nyingine" alisema
yule mwanamke wakijini na kunifanya nishushe
pumzi kwa nguvu maana jukumu lililombele yangu
ni gumu mno.
" mchungaji mwenyewe ndio uyo kwenye TV ?
Niliuliza.
" ndio uyo baadae anatakiwa abaki story tu sawa?
alisema.
" sawa haina shida " nilijibu. Basi tulikaa mpaka
mida ya saa tatu usiku ambako tulitoka sasa mpaka
kwa yule mchungaji Alex kumtenganisha mwili na
roho yake. Tulipoingia tulimkuta yupo bize sana na
familia yake akiwaelekeza watoto wake maswala ya
shule basi yule mwanamke wakijini kwa nguvu ya
upepo alijigeuza joka kubwa linalowaka moto na
kutoka kwa kasi ya risasi kwenda kumvaa yule
mchungaji lakini ghafla alikuwa kama amegonga
chuma na kurushwa kwa nguvu ya ajabu na
kutoweka mle ndani. Nilipoona vile nijua kuwa sasa
inahitajika nguvu zaidi kumwangamiza uyu
mchungaji nilisogea mbele na Mimi kwa umbo la
nyoka lakini kabla sija mfikia nilisita baada ya
kuwaona wanaume wa wili waliovaa nguo nyeupe
sana wakiwa wamesimama mbele yangu na
mikononi mwao wakiwa wameshika mapanga
yanayo waka moto.
" hilo umbo sio lako na tabia hizi sio zilizokusudiwa
uzifanye" walisema wale wanaume wa wili kwa
pamoja na kunifanya ni rudi nyuma taratibu na
kutoweka ukunikiwaza kurudi muda mwingine
kwanza nikaangalie hali ya yule mwanamke wakijini
kisha tujadiliane juu ya wale wanaume wanaomlinda
yule mtu....
wetu.nilitoweka na kurudi nyumbani ambapo
nilimkuta yule mwanamke wakijini akiwa amelazwa
chini akiwa na majeraha mabaya sana mwilini
mwake.
" itabidi uongeze watu yule mchungaji anatakiwa afe
usiku huu" alisema mmoja wa wale watumishi
wakijini walio kuwa wamemzingira yule mwanamke
uku wakimtizama kwa huruma.
" msaidieni sasa apone uku Mimi nikipndoka na
kikosi kwenda kupambana" nilisema vile maana
niliona nikigoma basi nitarudishwa kuzimu kwenye
adhabu ambako nitateseka kule.
" huyu haponi tena atachukuliwa tena sio muda na
kwenda kufungwa kwenye gereza la roho hatatoka
huko mpaka kaiama" alisema tena yule mtumishi
wakijini na kunifanya moyo kunilipuka maana partner
wangu ndio anakwenda zake. Wakati tukiongea ayo
na kuwaza joto Kali mno ililikumba ile nyumba na
moto mkali unaotembea kwa kasi sana ulikuwa
ukitufuata na wote tulikimbia pembeni na kumwacha
yule mwanamke wakijini pale chini na moto ulipo
mfikia ulimtiwesha kabisa hapo ndio nikaamini hizi
Kazi za kichawi zinahatari sana na wakati
nikishuhudia hayo Mara joto lilizidi kutawala mle
ndani na Moto mkubwa mwekundu wenye kasi ya
ajabu ukawa unatufuata sisi pia kwa kasi.
" umechelewa tayari usinge rudi nakuambia
tutakwisha umelipoteza lodge la Freemasonry katika
Nairobi na watu watatakiwa kusali kwenye hall la
Tanzania ume leta madhara kwa kushindwa kwako
umekosea tunapoteza nguvu yetu Kenya" sauti ya
lawama niliisikia wakati hali mle ndani imeisha
kuwa mbaya sana nilicho waambia tu wale
wanawake wakijini ni kukimbia kila mtu kivyake
lakini hajabu hakuna aliye kimbia wote walipiga
magoti na kuinama chini na kuliwa na ule moto uku
wakinieleza kuwa saa imefika. Lakini kwangu
nilikuwa na ubinadamu wangu sikuona shida
nilitoweka mle ndani mpaka nyumbani Tanzania
tanga ndani ya nyumba ya wazazi wangu nilifika
ndani ya chumba changu na kukaa mle chumbani
lakini katika hali isiyo ya kawaida moto ulifumuka
kutoka ardhini juu ya bati na kwenye kuta za moto
kunishika mwilini. Nilikuja kushituka nikiwa
hospitalini..


MKASA; TAMAA ILINIPELEKA KISIWA CHA MAJINI
MWISHO
Nilikuja kushituka nikiwa hospitalini nikiwa
nimezungukwa na ndugu zangu wate. Marehemu
Jackson akiwa hospital aliwaadisia ndugu zake
mkasa huu na siku chache baada ya kuadisia na
kupatiwa matibabu aliamishiwa hospitali ya
muhimbili kwa matibabu zaidi juu ya kuharibika
vibaya kwa mwili wake na December 12 mwaka
2018 Jackson abel aliaga dunia akiwa hospitali.
Mkasa huu umehadisiwa na kaka yake mkubwa kwa
kuficha nakupunguza baadhi ya matukio ya kutisha
ila umeletwa kwetu angalau kujifunza mawili matatu
japo kuwa umefupishwa na kukata matukio ambayo
sio yote yanaweza kuandikwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom