Kanyigoboy
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 529
- 1,311
Hii hadithi ni nomaa aseee
Sehemu ya 99
Wazazi kutotambua kipaji cha mtoto na kusimamia ndoto zake ipasavyo ni matokeo ya kuvurugikiwa maishani ni kama tu mtoto huyo ataamua kupuyanga peke yake kuzikimbilia ndoto zake. Soka la ushirikina lilinikutanisha na shetani, dunia yangu ya soka ikavurugika, maisha nayo yakanichapa. Hadi sasa ninaposimulia mkasa huu naishi kwa mateso kutokana na uchawi niliojihusisha nao maishani. ****
Nakushukuru kwa kuchukua muda wako kusoma mkasa huu wa kweli, ninapoweka kalamu chini naamini kuna mengi umejifunza kupitia simulizi hii ya kweli.
Mwisho..
Ahsante kwa muda wako.
Sehemu ya 99
Wazazi kutotambua kipaji cha mtoto na kusimamia ndoto zake ipasavyo ni matokeo ya kuvurugikiwa maishani ni kama tu mtoto huyo ataamua kupuyanga peke yake kuzikimbilia ndoto zake. Soka la ushirikina lilinikutanisha na shetani, dunia yangu ya soka ikavurugika, maisha nayo yakanichapa. Hadi sasa ninaposimulia mkasa huu naishi kwa mateso kutokana na uchawi niliojihusisha nao maishani. ****
Nakushukuru kwa kuchukua muda wako kusoma mkasa huu wa kweli, ninapoweka kalamu chini naamini kuna mengi umejifunza kupitia simulizi hii ya kweli.
Mwisho..
Ahsante kwa muda wako.
Hahahahaha imeisha bwana halafu mbona imeisha vizuri tu
Ila Lawalawa hana kosa sanaAjibu kaptwa na maswahiba ya kukatwa mguu, mzazi wake mmoja kufariki, mwingine kumkuta mzee...
Lawalawa kugundua michezo ya ushirikana ya Ajibu na kumkataa...
Aliyekua mke wa Ajibu kuolewa na mwanaume mwingine...
Hapo bado lawalawa hajafunzwa adabu na walimwengu au ulimwengu kisawa sawa... dunia imemuhurumia sana...
Cc: mahondaw