The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,218
- 4,533
Naomba kuuliza, Mrisho mpoto aliwahi kuimba tabia ya mtu ni kama ngozi ya mwili hauwezi kuibadili, Mbona hapo mzee baba kafanikiwa kumdalisha tabia huyo mwanadada, so ukweli ni upi hapo unaweza kubadili tabia ya mtu?