Royal Tour
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 250
- 452
Shunie mbona unatupa arosto mamiiiii
Hahhaha basi ngoja pesa zenu nizikubali fanya unitumie kwa tigo pesaUnajua hii hadithi hii dah ina mengi sana aisee yananikumbusha mbali na kunifikirisha sana || SHUNIE popote ulipo tunatambua kazi yako japo pesa zetu umekataa
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeAsante sana shunie. Kumbe moja ya kupendeza ni kuwa na kitambi
Kwanza wakati mwingine ni bora kukubali kuwa mjinga na kumove on, kama jamaa angekubali mkewe hayupo naye tena akafocus na kazi zake taratibu angepona na angepata mke mwingine. Lakini pia nimejua kuwa kumbe ukianza safari za kwenda kwa waganga ndo umeanza yaani safari yako inaweza isiwe na mwisho ukajikuta umefika mpk kuzimu kwa shetani mwenyeweImekufundisha nini mkuu