Abubakari M N

Member
May 6, 2020
17
39
KINU CHA MAMA

Mussa N. Abubakari

UTANGULIZI.
Hii ni bunilizi tu. Usijaribu kugeuza maoni kuwa ukweli na kuharibu maisha ya watu.

ZINDUKO;
Moja ni jibu,
Ngono hutibu.

1. Romantic Star
Alishuka. Akasimama, kisha akaangalia kushoto na kulia. Erick Kupaza alifurahi kurudi nyumbani kwao. Sio tu kwakuwa alikuwa hakufika kwa muda mrefu, lakini pia ulikuwa ni wakati wa likizo ya majira ya joto kutoka chuoni alikokuwa akisoma. Kutokana na kozi yake ya sayansi kuwa ngumu, mara nyingi amekuwa bize na masomo. Lakini furaha yake haikusababishwa na shauku ya kuwaona marafiki zake wa zamani au jiji ambalo alikuwa amekulia. Ni kisengerenyuma.

Katika wiki chache zilizopita, Erick alikuwa amekutana na mwanamke mtandaoni. Kwenye wavuti ya watu wazima "WebXXX", iliyohusu kuwaunganisha watu kimahusiano. Erick alisajili kwa jina la 'Kiss Lover'. Mwanamke huyo aliyejitambulisha 'Romantic Star' kiwasifu alijikuta anaperuzi kurasa ya Kiss Lover na kuanza kupiga naye soga. Mazungumzo yaliponoga, walifahamiana. Walipofahamiana, Erick akaanza kumpenda mwanamke huyo. Alipata mvurugo wa akili hasa alipokuwa na wakati mgumu kuonana na Romantic Star. Masomo yalimvika wehu wa kuheshimu muda na mbilinge zake.

Huyo mwanamke alikuwa amemzidi umri, ambao ulikuwa mwishoni mwa miaka ya thelathini. Lakini kutokana na picha ambazo alikuwa amemtumia. Erick aliweza kuona kuwa alikuwa mzuri sana na mwenye kuvutia umbo. Fauka ya kutowahi kumuona uso wake haikufanya wasione miili ya kila mmoja wao. Erick alipenda matiti yake yaliyojaa na chuchu nene, ambayo yalivutia zaidi kuliko madogo ya msichana wake chuoni. Alikuwa mkubwa kuliko wasichana wengi wa chuoni alikosoma Erick. Cha kushangaza ni kuwa Erick, mwenyewe, alijigundua mapema kuwa alikuwa akipenda sana wanawake watu wazima kuliko wasichana. Kamwe kuwahi kuvutiwa na wasichana wa umri wake. Wote kwake walionekana kuwa ni wakembe na washamba wa mahaba, haswa ukilinganisha na Romantic Star.

Hilo halikuwa jambo la kumpendeza Erick sana. Kwani alishawahi kushambuliwa na uvumi wa kujihusisha kimapenzi na matroni wa hosteli chuoni kwao. Uvumi ni kama nzige huambaa wakipiga kelele, ulipoanza ulijivuta kufuata kingo zote za madarasa ya chuo. "Suga Kidi" walimwita hivyo rafiki zake wa karibu na baadhi ya waliojua skendo ile. Tabia yake ya kupenda watu wazima ilichochewa hasa na baada ya kutoka na Sauda.

'Hapana dhakari yako ni kubwa! Hakuna namna inayoweza kunikaa vyema. Sidhani kama inatosha kunyonywa na mdomo wangu pia', Erick aliwaza wakati akitoa mzigo wake kwenye teksi. Tarehe yake mbaya kwenye diary yake ilikuwa ni hiyo siku ambayo ilianza vizuri na kuishia vibaya na kurudi hosteli. Walipelekana mpaka nyumba ya wageni, wakakingisana kwa kupapasana. Kisha mkono wa Sauda ukashuka kwenda kwenye suruali ya Erick na kuanza kufungua zipu, ghafla joka likacharuka kwa nje. Ghafla macho yake yaliona kitu kipana. Akajikuta anaropoka tusi ikifuatiwa na lalama ya ukubwa. "Acha nione," aling'aka. Erick akasimama akiacha jengelele huru.

Ilikuwa ndefu, karibu inchi kumi na nene pande zote kama mkono. Sauda alihishiwa hamu ya tendo, alinywea ghafla na kukaa chini na kuegemea kitanda. Katika chumba walichokuwepo kilikuwa na meza pekee na kitanda tu. Erick akajitahidi kum'bembeleza, lakini haikufua dafu. Alijaribu hila zote ili kumzuia, akimwahidi kwamba anaweza kufanya naye pasipo kumuumiza lakini Sauda alivunga. Tarehe ile ilimwishia vibaya akishuku kuwa huenda Sauda akaeneza uvumi kwamba yeye ana nyeti kubwa. Wanawake wanapaswa kukaa mbali naye

Alipomuhadithia Romantic Star kisa hiko, alitaraji ingekuwa sababu ya kutoswa. Badala yake, akamuomba kuona dhakari yake. Kwa kusita alimtumia picha na mara moja akamrudisha picha ya tupu yake. Ilikuwa ina unyevunyevu. "Sijawahi kufanya tendo na saizi hiyo ya jogoo...", alimwambia. "Lakini nataka, kufanya na wewe." Kauli hiyo ilimpa ujasiri mkubwa na furaha. Erick alifunga mlango na kuangaza macho katika chumba alichokulia. Akafungua begi na kutoa nguo zake kwenye begi na baadhi ya riwaya zake kadhaa. Hakuweza kudhibiti hamu yake ya kukutana na Romantic Star.

Kinyume chake ni kuwa mwanamke huyo anatoka katika mtaa wao. Hivyo alikuwa na mashaka kuwa huenda akawa rafiki wa mama yake. Kwavile mtandaoni watu hawatumii majina halisi, akakosa uhakika. Walakini, ukweli utathibitika usiku wa leo. Walikuwa wamepanga kukutana kwenye hoteli ambayo ilikuwa kama dakika thelathini na tano kwenda kwa mguu; kuelekea hafifu ya mji. Kimyani, Erick alifurahi sana. Mara mlango wake wa chumbani uligongwa. "Vipi uko pouwa, mpenzi?", aliuliza mama yake alipoingia.
Rose Kupaza, alikuwa mwanamke mrembo wa kukata na shoka.

Ana miaka arubaini na mbili, lakini ameweza kudhibiti kasi ya mmomonyoko wa mwili wake. Alikuwa na nywele ndefu kiwastani, nyeusi tii ambazo zilisukwa mbinjuo na kuupamba uso wake. kawaida yake hupenda staili ya mafungu. Matiti yake makubwa ambayo mumewe wa zamani alikuwa akiyapenda hasa, yalisimama vyema na kupakwa rangi ya mvuto na sidiria iliyokuwa ikionyesha michirizi fulani juu ya mabega. Kiuno chake cha wastani kiliupokea mteremko mdogo wa makalio yaliyoungwa na mapaja nono yaliyoshindwa kuikataa miguu minene ya kuvutia. Mgongo wake ulivyochongwa kiusanifu, huwapa hiba ya wivu shoga zake. Mara kadhaa Alice amekuwa akishuhudia vijana wa mji wake wakitazama umbo lake anapowapita; akajifanya hawaoni.

"Ndiyo mama, nilikuwa najaribu kupanga vitu vyangu", Erick alimwambia mama yake huku wakikumbatiana. "Eeh! Una mipango yoyote wakati utakapokuwa hapa?", aliulizwa. "Hapana!Lakini leo usiku nina miadi na mtu". Baada ya kusema kauli hiyo tabasamu pana likaambaa usoni pake akifikiria raha ya usiku utakaofata. "Haina shida", Rose alisema huku akiinuka kutoka kitandani.
"Ni msichana?"

"Mmmh!", aliitika kwa kutingisha kichwa, "...ni rafiki niliyekutana naye mtandaoni. Ndiyo itakuwa mara ya kwanza leo kukutana". Mama yake akamwambia, "Sawa, natumai utakuwa mwangalifu na muungwana. Kwa maana matapeli wengi sikuhizi mitandaoni huko", Rose alisisitiza kiuzito wa damu. "Ninajua jinsi vijana wadogo mnavyokuwa mbele ya wasichana".
"Ah, unamaanisha nini mama?", Erick alihoji.

"Unajua nini namaanisha! Usikurupuke kufanya naye ngono hadi umjue huyo msichana kwa muda", mama yake akakanya.

"Sawa mama", Erick alisema kwa kejeli ya kifichoni wakati mama yake akigeuka na kutoka chumbani. Alimtamani Romantic Star hadi kifo, ingawa alikuwa muaminifu kwa mama yake lakini sio kuacha utundu wa ngono.

***
Erick ni mjinga wa mama yake, kwani ni haiba ya wazazi kuwaficha watoto wao kurasa chafu za maisha yao. Alifurahi kusikia Erick alikuwa na miadi ya usiku wa leo. Kwa njia hiyo hakuuliza maswali yoyote ili yeye akitoka kusiwe na mazingira hoji. Alijitahidi kuendelea na shughuli za nyumbani. Tangu aachane na mumewe wa zamani, maisha ya kingono hayakuwa vyema sana. Hakuridhishwa abadani. Hivyo amekuwa akijifanyia nyeto sirini. Hivyo hakufurahi hata siku moja kushiriki tendo na mumewe, alikuwa akifanywa mwosha samaki anayelazwa na shombo kila siku.

Lakini uhusiano wake na mpenzi wake wa sasa, ulionekana kukua na kupendeza vyema kuliko awali. Nishati ya furaha iliyopotea, ikaanza kurejea taratibu. Alimwomba Mola amwepushie unafiki na fitna za vizabizabina ili pendo lake liendelee kumea. Faraja ikawa kituo cha mhanga wa mahangaiko akaimba viitikio vyote vya nyimbo za kimapenzi. Akajisemeaga tu, 'picha hubeba maneno elfu'. Akivuta picha fulani, kibumbu chake huvimba na mwili kumtanuka.

Kinyuki mahaba akishiba nta, huhaha kutafuta pa kunyea asali ya huba.

***
Mshale wa sekunde ulikuwa wa dakika, na wa dakika ukawa wa saa - masaa yakawa hayaendi. Erick alitumia muda uliobaki kuzungumza na mama yake. Wote wakipendezwa na stori zao juu siku zilivyowaachanisha kwa muda mrefu. Mshale wa saa ulirudi kuwa wa saa tena pale ulipogota saa moja kamili usiku. Erick akajiondosha kwenda kuoga. "Umepata miadi naona moyo unakuwaka moto, mwanangu", Rose alichombeza. "Mama nawe? huna dogo...usilolifanya kuwa ngonjera!", Erick akasema akielekea chumbani.

Erick binafsi alikuwa akijua kuwa mama yake hakuwa akitoka na mtu yeyote tangu baba yake aondoke, miaka kadhaa iliyopita. Kisa ni fumanizi la ugoni. Alice alifumaniwa na mumewe akila uroda na kijana wao wa usafi. Ndipo James Kupaza aliamua kuachana naye. "Huu, ndo uzuri wa mama yangu. Anajiheshimu", alijisemea wakati akitoka bafuni akenda kujiandaa. Kwani hakujua kisa cha mama na baba yake kuachana.

***
Erick alishusha pumzi nzito wakati akiingia mapokezi ya hoteli. 'Romantic Star' alikuwa tayari ameshafika hotelini na kupata chumba. Alikuwa amemtumia picha aliyopiga alipofika tu chumbani. Ilimwonyesha kuanzia magotini akiwa amevaa nguo nyekundu aliyokuwa amenunua, maalumu kwa hafla hiyo kama alivyodai.

Alipofika ghorofa ya pili alifuata ukumbi mwembamba unaotenganisha mshazari wa vyumba vya kulia na kushoto. Akasimama katika chumba cha pili kulia, akatoa ufunguo ambao karani wa mapokezi alikuwa amempa. Upande mwingine wa mlango huu kulikuwa na mwanamke wa kushangaza ambaye, alikodoa macho yote mlangoni. Akiwaza mambo yaende kama ilivyopangwa ili aweze kukwea na mkwezi wake. Tayari alishaupata ujasiri, kwani dakika alizotumia kumsubiri zilishamtuliza wahaka. Aliwaza wazimu wa ngono utakavyolipotosha bongo lake.

Mlango ukagongwa. Akasisimka. Akainuka. Akakaa, asijue hata la kufanya. Akainuka na kwendea mlango, wakati huo mtu aliye nje aliamua kuingiza funguo kwenye kitasa. Alipofika mlango akashika kitasa. Akavuta pumzi kwa nguvu halafu akaishusha, ...akafungua mlango. Ikawa kama sadfa, wakati anavuta mlango nje ulikuwa unasukumwa kwa ndani. Mlango ukawa wazi. Wote wawili walipigwa na butwaa.

Itaendelea wiki ijayo....
 
2. Lahaula!
Kwa aibu Erick aliangalia chini. Mama yake kwa mshtuko alijikuta akipiga magoti kwa mbele, akiwa amevaa nguo zenye kutamanisha kimahaba. "Ina maana...!?", Erick alishindwa kuunda sentensi iliyo thabiti.

Baada ya Rose kupona kutokana na pumbao la kumuona mwanawe akiingia mlangoni, haraka akavuta shuka kutoka kitandani na kujifunika. "Umechanganyikiwa...Kiss Lover?", aliuliza, asiamini akionacho.

"Ni wazi", Erick alisema huku akiketi kitini.
"Je! Hii imetokeaje-tokeaje?"
"Kweli, sisi sote tunakosa kitu fulani maishani mwetu. Kiasi cha programu ya kompyuta inadhani tunalingana", Rose alisema.

"Lakini huo ni uwendawazimu, sivyo?"
Erick alinyamaa, na asijue cha kuongea. Akajikuta bila ya kuamua akili yake ikaanza kuumba mtiririko wa kumbukumbu za tangu mwanzo. Alikumbuka wiki kadhaa zilizopita, alipokuwa akipiga soga na na mwanamke aliyejiita 'Romantic Star' kumbe ni mama yake mzazi. Akapiga falaki juu ya tumaini alilolipata dhidi ya dhakari yake.

"Labda...", Erick alisema kwa kusita, "...labda WebXXX haikukosea."
"Huwezi kuwa serious..!", Rose alishtuka kusikia maneno hayo yakitoka kinywani mwa mwanawe. Alikuwa jasiri kiasi, ilidhihirika kuwa ni sehemu ndogo ya nafsi yake iliyokuwa inashangaa jambo kauli hiyo.

"Sijui..., lakini ninachojua katika maisha yangu sijawahi kuwa na furaha kama kuliko majuma kadhaa yaliyopita. Baada ya kujichunguza pasipo kuona aibu, dhakari yangu imekuwa ikiwashangaza sana wanawake niliowahi kuwa nao faragha." Erick alijikuta akitumia lugha isiyo na mipaka mbele ya mama yake mwenyewe. Mwanamke ambaye alikuwa amemtambua kama mteuliwa kuwa mama yake. Ni dhahiri kuwa alikuwa anakosea kutumia hiyo lugha; yenye kuhukumu kutokana na mavazi aliyokuwa amevaa mama yake.

"Na ni kweli kwamba umekuwa kitovu kikuu cha mawazo yangu yote mpaka sasa. Nataka yawe halisi", akakingiza hoja zaidi, "Je, wewe haujisikii hivyo?". Rose hakuweza kujibu kwa muda. Alipokuwa akimsikiza Erick akiongea, alichoweza kufikiria ni jinsi alivyokuwa na furaha ya kupata mtu waliyeendana. Mtu ambaye hakumfanya ahisi tahadhari ya kutokumwonyesha sehemu zake nyeti, kiasi cha kumwonea haya. Chini ya zipu ya suruali ya jinzi iliyo mbele yake, ilificha muhogo wa Jang'ombe alioutamani. Wa mtoto wake.

"Mi sijui.., Erick", mwishowe alisikika.
"Kiimaadili kila mtu asema ni vibaya, na ikiwa mtu yeyote amegundua, tunaweza kuwa katika shida kubwa", Rose alimaka.

"Ni nani atakayeruhusu mtu yeyote kujua?. Nakuthibitishia kuwa itakuwa siri yangu mimi na wewe pekee", Erick alisema huku ushupavu wa kuongea ukirejea katika sauti yake.

"S...a..wa..lakini ni lazima tuone ikiwa hiyo ni nzuri kama ilivyokuwa mtandaoni. Kwani sipendi kutumia maisha yangu yote kukosa furaha ya dhati kwa sababu tu niliogopa watu watasema nini ikiwa watajua", Rose alisema akionyesha zipu ya Erick kwa kidole chake cha shahada. Rose hakuweza kujidhibiti. Alibaki akatikisa kichwa wakati wote ambao Erick alikuwa akiongea.

Sauti ya Erick ilisikika kuwa yenye mamlaka na nzito kidogo, sauti iliyomvumvumua pochi lake manyoya. Gauni jekundu la kitani alilovaa hakuliona uwekundu wake tena, akilini mwake ulishafifia muda mrefu. Alijaribu kuyashinda mawazo ya kutaka jengelele la mtoto limponye nafsi. Lakini nafsi iliishinda nguvu akili.

"Niko", Erick alitamka wazi pasipo uwoga tena huku akifungua . Akasisitiza, "Baada ya usiku wa leo, ikiwa hatufurahii juu ya jambo hili basi hatutaendelea. Lakini uwe wangu, hadi kukuche". Kusikia hivyo, Rose alihisi mchomo mkali wa msisimko ukihama kama elektroni ya umeme kutoka katika moyo ukielekea ukeni. Macho-uke yakimuhaha kutafuta tulizo.

"Wakati tunapokuwa katika hoteli hii, naomba tuwe sisi halisi..pasipo kuzingatia mipaka yetu. Je! wanielewa?", Erick aliongea kwa sauti ya kusikika. "Sawa, Nahodha wangu. Punguza maneno, ngalawa yako itenda mrama", Rose alisemea puani huku jicho likinyumbuka mithili ya goroli inayojibiringita sakafuni. Haijulikani hata alikotoa ufundi wa lugha wa kunenea kilio cha moyo wake kiasi hiko, alijikuta tu maneno yakipangika kiasili. "Viz....m..mh..," kabla Erick hajamalizia neno lake kwenye sentensi alishavamiwa kinywani. Vita vilianza katika ndimi zao. Ng'ata nikung'ate mpaka damu tutoke! Rose alianza kuhema katika mtindo uliotoa sauti isisimuayo. Tayari kukabiliana na wazimu wa ngono.

Kasi ya kupumua kwa Rose ilikuwa ikipanda na kushuka kwa kadri sauti za mnyonyano wa mabusu zilipotengeneza kiimbo cha muziki tulivu wa mahaba. Huku akiwa amefumba macho kuepuka mano a mano na mwanawe. Mawazo ya mwisho ya kupinga tukio yalidhibitiwa pale Rose alipoingiza mkono ndani ya boxer ya Erick na kushika jengelele.

Uti wa mgongo wa Erick ulisisimka kiasi cha kumfanya ahisi mtiririko wa taarifa unavyofanyika katika ugwe mgongo. Tamaa ikazishinda nafsi mbili zilizopondwa na kuvunjwavunjwa kwa hamu ya kutaka kufika kileleni walikoamini kutatoshelezwa na ukubwa wa maumbile yao. Urazini wao ulizidi kusahaulika huko nje ya mlango wa chumba cha hoteli. Ufahamu ulitelekezwa katika kizingiti cha mlango pia.

Erick mkubwa na mdogo wote walikuwa wamesimama. Erick mdogo alikuwa amechachamaa haswa mithili ya swila aliyekanyagwa na mpitanjia. Erick mkubwa akapitisha mikono yake kiunoni mwa Rose na kuanza kuipandisha kwa juu taratibu. Kucha za vidole vya mkono wake wa kulia viligota kishika-zipu. Kidole cha shahada pamoja na gumba vikakishika na kuiburuza zipu kushuka chini kwa malalamiko huku ikifuata jinsi mgongo ulivyoumba tao kufuata makalio. Macho yake yakikabwa na uzuri wa umbo la mama yake yakatamani zaidi kutaka kuona zaidi ya uzuri wa umbo. "Haki ya nani tena!

Ngozi yako si nyororo lakini teke mithili ya mtoto mchanga...nataka kukutafuna," alimnong'oneza katika sikio lake la kulia huku akishusha gauni baada ya uwazi wa kuvulia kuachamana. Matiti ya mviringo na chuchu zilizokoa zilimpendeza hasa, tumbo lake la wastani, hips zilizotanua vyema na wowowo la kubebea mzinga wa asali. Mwendo wa usiende sokoni huku sauti yake ni ya ukienda njoo tena.

Akaanza kumtomasa matiti huku akizisugua chuchu taratibu kwa vidole vya shahada na gumba. Kwa ya sauti ya upole wa kiume akamwamuru, "Lala kitandani." Akavua nguo alizokuwa bado anazo mwilini.

Rose baada ya kuvua, kwa haraka ya kupumbaa akaanguka kitandani akihema, kutii amri. "U mzuri, mahabibu wangu," Erick alisema akisahau kabisa kuwa ni mama yake. Alitembea kuelekea kwenye sofa moja iliyokuwa pembeni mwa luninga ndogo iliyokuwako katika moja ya kuta za hoteli hiyo. Kuta zilikuwa na wallpaper zenye sanaa za michoro ya maua ya pinki.

Katika sofa kulikuwa na begi dogo alilokuja nalo, akafungua na kutoa chupa ndogo ya asali. Kwa kweli alikuwa amepania. Akaichukua ile chupa ya asali akamfata pale kitandani na kumsisitiza alale kichalichali. Akawa anachukua asali kiganjani mwake halafu anampaka kuanzia masikioni, kwenye chuchu za matiti, wakati anampaka asali kwenye matiti Alice alisisimka mno.

Akaendelea kumpaka kupitia kwenye kitovu mpaka kibumbu. Mwishowe, akamalizia mapajani. Akachukua asali kiasi akavua boxer yake na kumpaka Erick mdogo.
Aliweka kikopo cha asali mezani, halafu akaenda kuwasha luninga iliyoko pale chumbani. Kwa bahati nzuri luningani kulikuwa na wimbo mzuri wenye kumwelezea lofa mmoja asiye na kitu aliyekuwa akibembeleza juu ya penzi lake. Kwa kutumia sauti ya bembelezo akamwinua Rose kitandani. Wakaanza kunyonyana upya huku wamesimama. Wakiwa wamesimama Erick aliendelea kunyonya kilimi cha Rose.

Taratibu Erick akahamisha kinywa chake kuelekea upande lilipo sikio la kushoto. Pumzi nyepesi yenye uvuguvugu ilitoka katika tanuu mbili ndogo za pua kubwa kiasi ya Erick ilipuliza katika pina ya sikio la Rose. Pumzi hii ilipenya mpaka katika mishipa ya fahamu iliyoungana na sikio lake kiasi cha kumwehusha na kuvuruga kasi ya damu kwenye mishipa. Hati-nafsi kwenye mahaba ndiyo huwasukuma kila mmoja katika tendo la kujaamiana kiasi cha kupwekeshwa uimara wa mioyo ya wanaoingiliana.

Wakati Erick alipoanza kuilamba asali aliyoipaka awali, Rose alibaki akigugumia kwa mateso ya kudhibiti kupitiliza kwa kasi ya mapigo yake ya moyo. Eti inasemekana kuwa hali hii ndiyo yenye kutanua mwili na misuli ya moyo na kuleta furaha baada ya tendo. Kutanuka, ni furaha.

"Now, I would like to see your fucking whole body. Give me all of ya", Erick alinong'ona kiasi cha kuchochea pumzi nyingi zaidi ipenye katika sikio la Rose. Ambaye wakati huo alilazimika kufumba macho ili kuhisi kikamilifu kuingia kwa pumzi hiyo. Aliendelea kunyonya sikio la nje, mpaka pale alipouhanikiza ulimi kuingia ndani. Ute na ulaini wa ulimi ukagusa mlango wa sikio la Rose, na kufanya atoe fungu zito la pumzi kuashiria mwitiko wa msisimko ulichochewa na unyevu. Alikosa nguvu na kuzubaa kwa muda, wakati umeme wa usumaku wa mahaba ukimpiga shoku kwenye mwili na kumfanya ababaike kidogo.

Bila ya ufahamu Erick alishusha mkono wake wa kulia mpaka katika pingili ya kiuno kisha akauzungusha kwa nyuma na kupapasa makalio ya Rose. Rose alihisi vazi lake la ngozi likimpa taarifa yenye kumpa raha. Erick alipitisha kidole cha kati katikati ya kijistari kitenganishacho mtaro upitishao maji yatiririkiayo bustani. Kilaaniwe kidole cha kati!

Alikisugua kijistari katika mwanzo wake karibu na mwisho wa uti wa mgongo. Akauparaza katika kalio la kushoto huku ukielekea katika paja, na kuweka kituo hapo. Akalishika paja lake kisha akaliinua kiasi huku akiendelea na zoezi la kufakamia sikio lake la kushoto wakati mkono wa kushoto ukiwa umekishika kiuno cha Rose barabara.

Kadri Rose alivyokuwa akihema, ndivyo misuli ya Erick mdogo ilitanuka maradufu na kufanya bahari ya wazimu kuzidi kutupa mawimbi ya dhoruba kwenye jahazi la starehe. Wakati huo mziki wa taratibu ulianza kusahaulika utaratibu wake na kuonekana kama unaleta kero na uko shaghalabaghala. Erick akasitisha na kuelekea kwenye ile luninga ya Sony iliyokuwa mule chumbani ukutani.

Kitendo hiko kilifanya Rose aachie bonge la msonyo, Erick akamgeukia na kumtazama. Akamkonyeza na kutabasamu. Pasipo kuwa na sababu yoyote akaweka kiongozi luninga mezani na kuisogelea luninga na kubonyeza kitufe cha kupunguzia sauti mpaka ilipoandika asilimia sifuri. Ukimya ukalakiwa kwa kutazamana.

Aliporudi kitandani, shughuli ilikuwa kama ndo inaanza. Mara hii Rose Kupaza alikuwa amekaa kwenye moja ya pembe ya kitanda mithili ya mbuzi aliyeona kisu kitakachotumika kumchinjia. Bila ya tahadhari Erick alipofika kitandani moja moja akamrukia Rose katika matiti na kuanza kunyonya mkabala wa kuzisugua chuchu kwa meno yake ya mbele. Rose akawa anajibiringita mithili ya chatu aliyejeruhiwa.

Erick akamwinua kivuvi na kuanguka naye kitandani msobe-sobe. Rose akiwa chini, na Erick akiwa juu kiasi cha kama walitaka kuingiliana kwa staili ya mama-kuzaa wakawa wanavuta nikuvute kama bedui amlazimishaye kunywa maji ngamia asiyeyataka. Kwa weledi utokanao na utundu wake, Erick alisugua na kunyonya chuchu za Rose kwa ubobevu. Akateremsha mkono mpaka kwenye goti, akainua goti kwa juu. Mguu ukasogea kwa namna.

Erick akatanua vidole vya mkono wa kulia na kuvipitisha kwenye vidole vya mguu wa kushoto wa Rose. Kwa kufanya hivyo akaongeza makali ya msisimko kwenye matiti. Alipoanza kusugua fulani hivi kwenye pachipachi za vidole vya miguu, msisimko kutoka kwenye mguu uliunganika na utokeao kwenye titi la kushoto ambalo kwa wakati huo Erick alikuwa akilinyonya.

Rose alijikuta akikatika kiuno kama pangaboi, kwani kuna raha iliyomtekenya na kukisukuma kiuno chake kizunguke ili kuivuna raha aliyokuwa akilalamikia. Muingiliano huo ulileta fosi iliyomfanya Rose apoteze nguvu na kushindwa kujizuia ugiligili uliokuwa umeanza kutoka katikati ya mapaja yake. Alipojitahidi kuzuia, alijikuta akipiga kelele zilizoambatana na mtetemo wa mwili huku maji meupe yakimtiririka sehemu za siri. Macho yalimrembuka mithili ya mtu akatae roho. Baada ya muda, Rose akawa tuli huku akihema. "A..a..a..h..sa...nte," alisema akiwa amelegea kwa kiasi fulani.

Jambo hili lilimshangaza sana Rose. Hakuwahi kufika mshindo hapo kabla kwa kunyonywa titi na kuchezewa sehemu ya mguu wake pekee. Hii ilikuwa ni rekodi yake ya kwanza kufikishwa mshindo wa kwanza mapema mno. Alijua kuwa mwanamke ana uwezo wa kwenda mshindo zaidi ya mara sita, hasa kutokana na asili ya maumbile yake yalivyo. Lakini yeye hakuwahi kufika hata mara moja, aliposhiriki tendo na wanaume.

Mara kadhaa amekuwa akijifikisha haswa wakati akipiga nyeto. Mwili wake ulifunguka moja kwa moja, na haukuwa na hiyana ya kutokutiririsha nishati ya kiroho inayokuzwa na mapenzi.
Rose alihisi kama vile mwili wake umetua mzigo mzito. Akataka kuchukua kitambaa chake kwenye pochi yake ili ajifute.

Erick akamtuliza munkari, na kumwambia "Raha ya bahari ni kuogelea ikiwa imechafuka, ikiwa tuli itashindwa kuupasua mwamba wa jabali lililo pembeni ya fukwe. Fahari ya baharia ni kutokuogopeshwa na mawimbi, bali kuyapasua". Alimshika mashavu na kumbusu. Akamuhakikishia, "Nitakufuta kwa ulimi, kwani 'usafi wa ngono ni uchafu wa mwili," pasipo kusubiri ridhaa yake akashuka mpaka kwenye mgodi wa chumvi uliokuwa umeangamizwa na mafuriko yake.

Akapenyeza kile kidole kilicholaaniwa, akakitoa na kupeleka ulimi huku akiwa amefumba macho. Kitende cha ncha ya ulimi kugusa tu ule mgodi, kukatoa mlipuko wa taharuki uliofanya Rose apige yowe la ukimyani. Yowe ikafanya sikio la Erick lihisi raha na kumfanya aongeze kuudidimiza katika mgodi wa chumvi.

"Oooh...https://jamii.app/JFUserGuide! Oosh...ta..a...amuuu! ", aliomboleza huku akinengua taratibu.
Wakati wote, Erick alikuwa na kitu kichwani. Aliomba sana Rose asije kuomba kunyonya Erick mdogo. Na ikitokea hivyo, atajitahidi ili amzuie kwani huo ndio ugonjwa wake unaomfikisha mapema bila ya zengwe. Aliendelea zoezi la ulimi mpaka pale kidole uke kiliposimama tena. Hakufanya ajizi akakialika pia kwenye hafla, akafanya kama anataka kuking'ata fulani hivi halafu akakiachia. Hali hii ikawa inaenda sambamba na kutoka kwa mhemo wa sauti ya Rose Kupaza.

Alifanya huo mchezo kwa muda. Akahamia kwenye asali aliyoipaka kitovuni, aliinyonya mpaka kitovu cha Rose ndo kikawa kama kinanyonya ulimi wake. Kama kifuniko cha shampeni kinapofunguliwa, tahadhari huhitajika na papara zisiwepo. Ndivyo Rose alivyojitahidi kutoonekana mwenye hamu sana ya kumzamisha nyoka mgodini. Lakini ndani alifurahi sana kumuona 'Romantic Star' amenogewa na mchezo. Mpaka sasa, Rose alikuwa akitaabishwa tu na michezo ya awali katika tendo kwani mwingiliano wenyewe hasa ulikuwa haujaanza. Kiujanja alifanikiwa kujiengua na kumpa denda Erick ili kusudi aweze kuishika bakora yake. Kichwani mwake alijua kuwa bakora inapogusishwa unyevu ukakamavu wake hupotea haraka.

"Ahi mungu wangu", Rose alisema, macho yake yakiiona bakora yenye nchi kumi imekasirika. Akaendelea kumchombeza kwa denda mpaka pale mkono wake ulipoishika. Mwili wa Erick ulitanuka kuonyesha mwitiko wa bakora yake kushikwa. Kitendo cha Rose kugusa tu bakora, midomo yake ilijaa mate zaidi na kufanya afululize kuyatoa kwenda kwenye ndimi ya Erick. "Hii ni nzu..ri..", alisema kwa kugugumia kama mtu anayekunywa maji huku anaongea. Katika hali ya kushangaza ghafla...Erick mdogo akajikuta amezama kwenye mdomo wa Rose.

Alipoichomoa, Rose aliangalia kichwa chake kilivyo kikubwa na kizuri, akatabasamu baada ya kugundua kuwa ya Erick ni kubwa kuliko baba yake. Aliipalaza kwa mikono yake kutoka shinani kwenye makende mpaka kichwani. Wakati Rose alipokuwa akifanya hivyo, kulimfanya Erick ajikute anasimamia vidole vya miguu huku akibwabwaja maneno yasiyoeleweka.

Haikuchukua muda Erick alianza kuhisi mgongo wa kaakaa gumu la kinywa cha mama yake kwenye misuli yake. Zaidi ya nusu ya bakora yake ilikuwa nje ya kinywa chake kiasi cha kuumba sauti ya mnyonyo. Erick alijikuta anamshika kichwa Rose...huku akisimamia vidole na kuanza kuserebuka kwa kuiingiza na kuitoa. Akaitoa, akawa kama aliyekuwa hataki airejeshe tena.

"Kuna shida gani?", Rose alimuuliza.
"Ni kubwa mno!", Erick alisema, akiwa na aibu.
"Hapana, sio", alijibu, "Mimi sio mtoto mdogo niogope hata kujaribu. I'll have it all, bae." Kusikia hivyo Erick alimwangalia mama yake katika mboni akaona jinsi miale ya huba ilivyomtaabisha. "Leo, kondoo dume atafia kooni kwangu. Itajulikana kuwa kati ya fuwele na ulanga kipi hutumika kutengenezea kioo! Nataka unikwangue nikwanguke kama ukoko kwenye jungu lililopikiwa pilau ya sherehe. Nimwagie maji ya mahaba, ili nizioge raha zake," Rose alisema na kisha akafungua kinywa chake kwa upana iwezekanavyo .

Erick hakuamini jinsi mama yake alivyowehuka na kichaa cha ngono. Ujasiri ukamrudia. Alishikilia nywele zake kichwani na akamtia tena nyoka wake kinywani. Akahisi tena kaakaa gumu likigusa nyoka wake chachari kwenye pango la mnyonyo. Wakati huu, alijirudisha nyuma mpaka kichwa cha nyoka kilipogusa kinywa chake, kisha akasukuma mbele. Alifikisha walau inchi tano kwenye kinywa cha Rose. Alirudia mchakato huu mara kadhaa hadi alipofanikiwa kufika kusikowezekana. Jogoo wake mkubwa alionyesha dalili za kuwika kabla ya kukucha. "Holy https://jamii.app/JFUserGuide! Hii..ni...nzurii...", Erick alilia huku akihisi mtelezo wa mate kuongezeka.

Kitambo kidogo akaanza kuhisi kuongezeka urefu wa nyoka huku spidi ya ingia-toka ikiongezeka. Alihisi utamu unaongezeka na kumfanya aendelee kusukuma kana kwamba angeweza kuzama ndani ili akafe kwa maji mbizi. Kibubububu nyoka alipotolewa alikuwa ameshavimba kama moma anachachamaa kutema sumu. Kwa ukelele wa juu, Erick alishusha jua magharibi. Kisha akashusha pumzi kama mbweha.
"Unajisikiaje?," Rose aliuliuza.

"Mwehu," akajibu, "...ngoja nikuonyeshe..!,". Erick pumzi na mapigo ya moyo yalimrejea katika kawaida. Akambinua mgongo Rose kisha akakipanua. Akauinua mchi, tayari kwa kutwanga.

"Ndiyo kwanza kazi ianze," Erick alisema wakati kinu kikimkenulia.

Itaendelea...
 
Mmh kazi kazi mama na mwanae
2. Lahaula!
Kwa aibu Erick aliangalia chini. Mama yake kwa mshtuko alijikuta akipiga magoti kwa mbele, akiwa amevaa nguo zenye kutamanisha kimahaba. "Ina maana...!?", Erick alishindwa kuunda sentensi iliyo thabiti.

Baada ya Rose kupona kutokana na pumbao la kumuona mwanawe akiingia mlangoni, haraka akavuta shuka kutoka kitandani na kujifunika. "Umechanganyikiwa...Kiss Lover?", aliuliza, asiamini akionacho.

"Ni wazi", Erick alisema huku akiketi kitini.
"Je! Hii imetokeaje-tokeaje?"
"Kweli, sisi sote tunakosa kitu fulani maishani mwetu. Kiasi cha programu ya kompyuta inadhani tunalingana", Rose alisema.

"Lakini huo ni uwendawazimu, sivyo?"
Erick alinyamaa, na asijue cha kuongea. Akajikuta bila ya kuamua akili yake ikaanza kuumba mtiririko wa kumbukumbu za tangu mwanzo. Alikumbuka wiki kadhaa zilizopita, alipokuwa akipiga soga na na mwanamke aliyejiita 'Romantic Star' kumbe ni mama yake mzazi. Akapiga falaki juu ya tumaini alilolipata dhidi ya dhakari yake.

"Labda...", Erick alisema kwa kusita, "...labda WebXXX haikukosea."
"Huwezi kuwa serious..!", Rose alishtuka kusikia maneno hayo yakitoka kinywani mwa mwanawe. Alikuwa jasiri kiasi, ilidhihirika kuwa ni sehemu ndogo ya nafsi yake iliyokuwa inashangaa jambo kauli hiyo.

"Sijui..., lakini ninachojua katika maisha yangu sijawahi kuwa na furaha kama kuliko majuma kadhaa yaliyopita. Baada ya kujichunguza pasipo kuona aibu, dhakari yangu imekuwa ikiwashangaza sana wanawake niliowahi kuwa nao faragha." Erick alijikuta akitumia lugha isiyo na mipaka mbele ya mama yake mwenyewe. Mwanamke ambaye alikuwa amemtambua kama mteuliwa kuwa mama yake. Ni dhahiri kuwa alikuwa anakosea kutumia hiyo lugha; yenye kuhukumu kutokana na mavazi aliyokuwa amevaa mama yake.

"Na ni kweli kwamba umekuwa kitovu kikuu cha mawazo yangu yote mpaka sasa. Nataka yawe halisi", akakingiza hoja zaidi, "Je, wewe haujisikii hivyo?". Rose hakuweza kujibu kwa muda. Alipokuwa akimsikiza Erick akiongea, alichoweza kufikiria ni jinsi alivyokuwa na furaha ya kupata mtu waliyeendana. Mtu ambaye hakumfanya ahisi tahadhari ya kutokumwonyesha sehemu zake nyeti, kiasi cha kumwonea haya. Chini ya zipu ya suruali ya jinzi iliyo mbele yake, ilificha muhogo wa Jang'ombe alioutamani. Wa mtoto wake.

"Mi sijui.., Erick", mwishowe alisikika.
"Kiimaadili kila mtu asema ni vibaya, na ikiwa mtu yeyote amegundua, tunaweza kuwa katika shida kubwa", Rose alimaka.

"Ni nani atakayeruhusu mtu yeyote kujua?. Nakuthibitishia kuwa itakuwa siri yangu mimi na wewe pekee", Erick alisema huku ushupavu wa kuongea ukirejea katika sauti yake.

"S...a..wa..lakini ni lazima tuone ikiwa hiyo ni nzuri kama ilivyokuwa mtandaoni. Kwani sipendi kutumia maisha yangu yote kukosa furaha ya dhati kwa sababu tu niliogopa watu watasema nini ikiwa watajua", Rose alisema akionyesha zipu ya Erick kwa kidole chake cha shahada. Rose hakuweza kujidhibiti. Alibaki akatikisa kichwa wakati wote ambao Erick alikuwa akiongea.

Sauti ya Erick ilisikika kuwa yenye mamlaka na nzito kidogo, sauti iliyomvumvumua pochi lake manyoya. Gauni jekundu la kitani alilovaa hakuliona uwekundu wake tena, akilini mwake ulishafifia muda mrefu. Alijaribu kuyashinda mawazo ya kutaka jengelele la mtoto limponye nafsi. Lakini nafsi iliishinda nguvu akili.

"Niko", Erick alitamka wazi pasipo uwoga tena huku akifungua . Akasisitiza, "Baada ya usiku wa leo, ikiwa hatufurahii juu ya jambo hili basi hatutaendelea. Lakini uwe wangu, hadi kukuche". Kusikia hivyo, Rose alihisi mchomo mkali wa msisimko ukihama kama elektroni ya umeme kutoka katika moyo ukielekea ukeni. Macho-uke yakimuhaha kutafuta tulizo.

"Wakati tunapokuwa katika hoteli hii, naomba tuwe sisi halisi..pasipo kuzingatia mipaka yetu. Je! wanielewa?", Erick aliongea kwa sauti ya kusikika. "Sawa, Nahodha wangu. Punguza maneno, ngalawa yako itenda mrama", Rose alisemea puani huku jicho likinyumbuka mithili ya goroli inayojibiringita sakafuni. Haijulikani hata alikotoa ufundi wa lugha wa kunenea kilio cha moyo wake kiasi hiko, alijikuta tu maneno yakipangika kiasili. "Viz....m..mh..," kabla Erick hajamalizia neno lake kwenye sentensi alishavamiwa kinywani. Vita vilianza katika ndimi zao. Ng'ata nikung'ate mpaka damu tutoke! Rose alianza kuhema katika mtindo uliotoa sauti isisimuayo. Tayari kukabiliana na wazimu wa ngono.

Kasi ya kupumua kwa Rose ilikuwa ikipanda na kushuka kwa kadri sauti za mnyonyano wa mabusu zilipotengeneza kiimbo cha muziki tulivu wa mahaba. Huku akiwa amefumba macho kuepuka mano a mano na mwanawe. Mawazo ya mwisho ya kupinga tukio yalidhibitiwa pale Rose alipoingiza mkono ndani ya boxer ya Erick na kushika jengelele.

Uti wa mgongo wa Erick ulisisimka kiasi cha kumfanya ahisi mtiririko wa taarifa unavyofanyika katika ugwe mgongo. Tamaa ikazishinda nafsi mbili zilizopondwa na kuvunjwavunjwa kwa hamu ya kutaka kufika kileleni walikoamini kutatoshelezwa na ukubwa wa maumbile yao. Urazini wao ulizidi kusahaulika huko nje ya mlango wa chumba cha hoteli. Ufahamu ulitelekezwa katika kizingiti cha mlango pia.

Erick mkubwa na mdogo wote walikuwa wamesimama. Erick mdogo alikuwa amechachamaa haswa mithili ya swila aliyekanyagwa na mpitanjia. Erick mkubwa akapitisha mikono yake kiunoni mwa Rose na kuanza kuipandisha kwa juu taratibu. Kucha za vidole vya mkono wake wa kulia viligota kishika-zipu. Kidole cha shahada pamoja na gumba vikakishika na kuiburuza zipu kushuka chini kwa malalamiko huku ikifuata jinsi mgongo ulivyoumba tao kufuata makalio. Macho yake yakikabwa na uzuri wa umbo la mama yake yakatamani zaidi kutaka kuona zaidi ya uzuri wa umbo. "Haki ya nani tena!

Ngozi yako si nyororo lakini teke mithili ya mtoto mchanga...nataka kukutafuna," alimnong'oneza katika sikio lake la kulia huku akishusha gauni baada ya uwazi wa kuvulia kuachamana. Matiti ya mviringo na chuchu zilizokoa zilimpendeza hasa, tumbo lake la wastani, hips zilizotanua vyema na wowowo la kubebea mzinga wa asali. Mwendo wa usiende sokoni huku sauti yake ni ya ukienda njoo tena.

Akaanza kumtomasa matiti huku akizisugua chuchu taratibu kwa vidole vya shahada na gumba. Kwa ya sauti ya upole wa kiume akamwamuru, "Lala kitandani." Akavua nguo alizokuwa bado anazo mwilini.

Rose baada ya kuvua, kwa haraka ya kupumbaa akaanguka kitandani akihema, kutii amri. "U mzuri, mahabibu wangu," Erick alisema akisahau kabisa kuwa ni mama yake. Alitembea kuelekea kwenye sofa moja iliyokuwa pembeni mwa luninga ndogo iliyokuwako katika moja ya kuta za hoteli hiyo. Kuta zilikuwa na wallpaper zenye sanaa za michoro ya maua ya pinki.

Katika sofa kulikuwa na begi dogo alilokuja nalo, akafungua na kutoa chupa ndogo ya asali. Kwa kweli alikuwa amepania. Akaichukua ile chupa ya asali akamfata pale kitandani na kumsisitiza alale kichalichali. Akawa anachukua asali kiganjani mwake halafu anampaka kuanzia masikioni, kwenye chuchu za matiti, wakati anampaka asali kwenye matiti Alice alisisimka mno.

Akaendelea kumpaka kupitia kwenye kitovu mpaka kibumbu. Mwishowe, akamalizia mapajani. Akachukua asali kiasi akavua boxer yake na kumpaka Erick mdogo.
Aliweka kikopo cha asali mezani, halafu akaenda kuwasha luninga iliyoko pale chumbani. Kwa bahati nzuri luningani kulikuwa na wimbo mzuri wenye kumwelezea lofa mmoja asiye na kitu aliyekuwa akibembeleza juu ya penzi lake. Kwa kutumia sauti ya bembelezo akamwinua Rose kitandani. Wakaanza kunyonyana upya huku wamesimama. Wakiwa wamesimama Erick aliendelea kunyonya kilimi cha Rose.

Taratibu Erick akahamisha kinywa chake kuelekea upande lilipo sikio la kushoto. Pumzi nyepesi yenye uvuguvugu ilitoka katika tanuu mbili ndogo za pua kubwa kiasi ya Erick ilipuliza katika pina ya sikio la Rose. Pumzi hii ilipenya mpaka katika mishipa ya fahamu iliyoungana na sikio lake kiasi cha kumwehusha na kuvuruga kasi ya damu kwenye mishipa. Hati-nafsi kwenye mahaba ndiyo huwasukuma kila mmoja katika tendo la kujaamiana kiasi cha kupwekeshwa uimara wa mioyo ya wanaoingiliana.

Wakati Erick alipoanza kuilamba asali aliyoipaka awali, Rose alibaki akigugumia kwa mateso ya kudhibiti kupitiliza kwa kasi ya mapigo yake ya moyo. Eti inasemekana kuwa hali hii ndiyo yenye kutanua mwili na misuli ya moyo na kuleta furaha baada ya tendo. Kutanuka, ni furaha.

"Now, I would like to see your fucking whole body. Give me all of ya", Erick alinong'ona kiasi cha kuchochea pumzi nyingi zaidi ipenye katika sikio la Rose. Ambaye wakati huo alilazimika kufumba macho ili kuhisi kikamilifu kuingia kwa pumzi hiyo. Aliendelea kunyonya sikio la nje, mpaka pale alipouhanikiza ulimi kuingia ndani. Ute na ulaini wa ulimi ukagusa mlango wa sikio la Rose, na kufanya atoe fungu zito la pumzi kuashiria mwitiko wa msisimko ulichochewa na unyevu. Alikosa nguvu na kuzubaa kwa muda, wakati umeme wa usumaku wa mahaba ukimpiga shoku kwenye mwili na kumfanya ababaike kidogo.

Bila ya ufahamu Erick alishusha mkono wake wa kulia mpaka katika pingili ya kiuno kisha akauzungusha kwa nyuma na kupapasa makalio ya Rose. Rose alihisi vazi lake la ngozi likimpa taarifa yenye kumpa raha. Erick alipitisha kidole cha kati katikati ya kijistari kitenganishacho mtaro upitishao maji yatiririkiayo bustani. Kilaaniwe kidole cha kati!

Alikisugua kijistari katika mwanzo wake karibu na mwisho wa uti wa mgongo. Akauparaza katika kalio la kushoto huku ukielekea katika paja, na kuweka kituo hapo. Akalishika paja lake kisha akaliinua kiasi huku akiendelea na zoezi la kufakamia sikio lake la kushoto wakati mkono wa kushoto ukiwa umekishika kiuno cha Rose barabara.

Kadri Rose alivyokuwa akihema, ndivyo misuli ya Erick mdogo ilitanuka maradufu na kufanya bahari ya wazimu kuzidi kutupa mawimbi ya dhoruba kwenye jahazi la starehe. Wakati huo mziki wa taratibu ulianza kusahaulika utaratibu wake na kuonekana kama unaleta kero na uko shaghalabaghala. Erick akasitisha na kuelekea kwenye ile luninga ya Sony iliyokuwa mule chumbani ukutani.

Kitendo hiko kilifanya Rose aachie bonge la msonyo, Erick akamgeukia na kumtazama. Akamkonyeza na kutabasamu. Pasipo kuwa na sababu yoyote akaweka kiongozi luninga mezani na kuisogelea luninga na kubonyeza kitufe cha kupunguzia sauti mpaka ilipoandika asilimia sifuri. Ukimya ukalakiwa kwa kutazamana.

Aliporudi kitandani, shughuli ilikuwa kama ndo inaanza. Mara hii Rose Kupaza alikuwa amekaa kwenye moja ya pembe ya kitanda mithili ya mbuzi aliyeona kisu kitakachotumika kumchinjia. Bila ya tahadhari Erick alipofika kitandani moja moja akamrukia Rose katika matiti na kuanza kunyonya mkabala wa kuzisugua chuchu kwa meno yake ya mbele. Rose akawa anajibiringita mithili ya chatu aliyejeruhiwa.

Erick akamwinua kivuvi na kuanguka naye kitandani msobe-sobe. Rose akiwa chini, na Erick akiwa juu kiasi cha kama walitaka kuingiliana kwa staili ya mama-kuzaa wakawa wanavuta nikuvute kama bedui amlazimishaye kunywa maji ngamia asiyeyataka. Kwa weledi utokanao na utundu wake, Erick alisugua na kunyonya chuchu za Rose kwa ubobevu. Akateremsha mkono mpaka kwenye goti, akainua goti kwa juu. Mguu ukasogea kwa namna.

Erick akatanua vidole vya mkono wa kulia na kuvipitisha kwenye vidole vya mguu wa kushoto wa Rose. Kwa kufanya hivyo akaongeza makali ya msisimko kwenye matiti. Alipoanza kusugua fulani hivi kwenye pachipachi za vidole vya miguu, msisimko kutoka kwenye mguu uliunganika na utokeao kwenye titi la kushoto ambalo kwa wakati huo Erick alikuwa akilinyonya.

Rose alijikuta akikatika kiuno kama pangaboi, kwani kuna raha iliyomtekenya na kukisukuma kiuno chake kizunguke ili kuivuna raha aliyokuwa akilalamikia. Muingiliano huo ulileta fosi iliyomfanya Rose apoteze nguvu na kushindwa kujizuia ugiligili uliokuwa umeanza kutoka katikati ya mapaja yake. Alipojitahidi kuzuia, alijikuta akipiga kelele zilizoambatana na mtetemo wa mwili huku maji meupe yakimtiririka sehemu za siri. Macho yalimrembuka mithili ya mtu akatae roho. Baada ya muda, Rose akawa tuli huku akihema. "A..a..a..h..sa...nte," alisema akiwa amelegea kwa kiasi fulani.

Jambo hili lilimshangaza sana Rose. Hakuwahi kufika mshindo hapo kabla kwa kunyonywa titi na kuchezewa sehemu ya mguu wake pekee. Hii ilikuwa ni rekodi yake ya kwanza kufikishwa mshindo wa kwanza mapema mno. Alijua kuwa mwanamke ana uwezo wa kwenda mshindo zaidi ya mara sita, hasa kutokana na asili ya maumbile yake yalivyo. Lakini yeye hakuwahi kufika hata mara moja, aliposhiriki tendo na wanaume.

Mara kadhaa amekuwa akijifikisha haswa wakati akipiga nyeto. Mwili wake ulifunguka moja kwa moja, na haukuwa na hiyana ya kutokutiririsha nishati ya kiroho inayokuzwa na mapenzi.
Rose alihisi kama vile mwili wake umetua mzigo mzito. Akataka kuchukua kitambaa chake kwenye pochi yake ili ajifute.

Erick akamtuliza munkari, na kumwambia "Raha ya bahari ni kuogelea ikiwa imechafuka, ikiwa tuli itashindwa kuupasua mwamba wa jabali lililo pembeni ya fukwe. Fahari ya baharia ni kutokuogopeshwa na mawimbi, bali kuyapasua". Alimshika mashavu na kumbusu. Akamuhakikishia, "Nitakufuta kwa ulimi, kwani 'usafi wa ngono ni uchafu wa mwili," pasipo kusubiri ridhaa yake akashuka mpaka kwenye mgodi wa chumvi uliokuwa umeangamizwa na mafuriko yake.

Akapenyeza kile kidole kilicholaaniwa, akakitoa na kupeleka ulimi huku akiwa amefumba macho. Kitende cha ncha ya ulimi kugusa tu ule mgodi, kukatoa mlipuko wa taharuki uliofanya Rose apige yowe la ukimyani. Yowe ikafanya sikio la Erick lihisi raha na kumfanya aongeze kuudidimiza katika mgodi wa chumvi.

"Oooh...****! Oosh...ta..a...amuuu! ", aliomboleza huku akinengua taratibu.
Wakati wote, Erick alikuwa na kitu kichwani. Aliomba sana Rose asije kuomba kunyonya Erick mdogo. Na ikitokea hivyo, atajitahidi ili amzuie kwani huo ndio ugonjwa wake unaomfikisha mapema bila ya zengwe. Aliendelea zoezi la ulimi mpaka pale kidole uke kiliposimama tena. Hakufanya ajizi akakialika pia kwenye hafla, akafanya kama anataka kuking'ata fulani hivi halafu akakiachia. Hali hii ikawa inaenda sambamba na kutoka kwa mhemo wa sauti ya Rose Kupaza.

Alifanya huo mchezo kwa muda. Akahamia kwenye asali aliyoipaka kitovuni, aliinyonya mpaka kitovu cha Rose ndo kikawa kama kinanyonya ulimi wake. Kama kifuniko cha shampeni kinapofunguliwa, tahadhari huhitajika na papara zisiwepo. Ndivyo Rose alivyojitahidi kutoonekana mwenye hamu sana ya kumzamisha nyoka mgodini. Lakini ndani alifurahi sana kumuona 'Romantic Star' amenogewa na mchezo. Mpaka sasa, Rose alikuwa akitaabishwa tu na michezo ya awali katika tendo kwani mwingiliano wenyewe hasa ulikuwa haujaanza. Kiujanja alifanikiwa kujiengua na kumpa denda Erick ili kusudi aweze kuishika bakora yake. Kichwani mwake alijua kuwa bakora inapogusishwa unyevu ukakamavu wake hupotea haraka.

"Ahi mungu wangu", Rose alisema, macho yake yakiiona bakora yenye nchi kumi imekasirika. Akaendelea kumchombeza kwa denda mpaka pale mkono wake ulipoishika. Mwili wa Erick ulitanuka kuonyesha mwitiko wa bakora yake kushikwa. Kitendo cha Rose kugusa tu bakora, midomo yake ilijaa mate zaidi na kufanya afululize kuyatoa kwenda kwenye ndimi ya Erick. "Hii ni nzu..ri..", alisema kwa kugugumia kama mtu anayekunywa maji huku anaongea. Katika hali ya kushangaza ghafla...Erick mdogo akajikuta amezama kwenye mdomo wa Rose.

Alipoichomoa, Rose aliangalia kichwa chake kilivyo kikubwa na kizuri, akatabasamu baada ya kugundua kuwa ya Erick ni kubwa kuliko baba yake. Aliipalaza kwa mikono yake kutoka shinani kwenye makende mpaka kichwani. Wakati Rose alipokuwa akifanya hivyo, kulimfanya Erick ajikute anasimamia vidole vya miguu huku akibwabwaja maneno yasiyoeleweka.

Haikuchukua muda Erick alianza kuhisi mgongo wa kaakaa gumu la kinywa cha mama yake kwenye misuli yake. Zaidi ya nusu ya bakora yake ilikuwa nje ya kinywa chake kiasi cha kuumba sauti ya mnyonyo. Erick alijikuta anamshika kichwa Rose...huku akisimamia vidole na kuanza kuserebuka kwa kuiingiza na kuitoa. Akaitoa, akawa kama aliyekuwa hataki airejeshe tena.

"Kuna shida gani?", Rose alimuuliza.
"Ni kubwa mno!", Erick alisema, akiwa na aibu.
"Hapana, sio", alijibu, "Mimi sio mtoto mdogo niogope hata kujaribu. I'll have it all, bae." Kusikia hivyo Erick alimwangalia mama yake katika mboni akaona jinsi miale ya huba ilivyomtaabisha. "Leo, kondoo dume atafia kooni kwangu. Itajulikana kuwa kati ya fuwele na ulanga kipi hutumika kutengenezea kioo! Nataka unikwangue nikwanguke kama ukoko kwenye jungu lililopikiwa pilau ya sherehe. Nimwagie maji ya mahaba, ili nizioge raha zake," Rose alisema na kisha akafungua kinywa chake kwa upana iwezekanavyo .

Erick hakuamini jinsi mama yake alivyowehuka na kichaa cha ngono. Ujasiri ukamrudia. Alishikilia nywele zake kichwani na akamtia tena nyoka wake kinywani. Akahisi tena kaakaa gumu likigusa nyoka wake chachari kwenye pango la mnyonyo. Wakati huu, alijirudisha nyuma mpaka kichwa cha nyoka kilipogusa kinywa chake, kisha akasukuma mbele. Alifikisha walau inchi tano kwenye kinywa cha Rose. Alirudia mchakato huu mara kadhaa hadi alipofanikiwa kufika kusikowezekana. Jogoo wake mkubwa alionyesha dalili za kuwika kabla ya kukucha. "Holy ****! Hii..ni...nzurii...", Erick alilia huku akihisi mtelezo wa mate kuongezeka.

Kitambo kidogo akaanza kuhisi kuongezeka urefu wa nyoka huku spidi ya ingia-toka ikiongezeka. Alihisi utamu unaongezeka na kumfanya aendelee kusukuma kana kwamba angeweza kuzama ndani ili akafe kwa maji mbizi. Kibubububu nyoka alipotolewa alikuwa ameshavimba kama moma anachachamaa kutema sumu. Kwa ukelele wa juu, Erick alishusha jua magharibi. Kisha akashusha pumzi kama mbweha.
"Unajisikiaje?," Rose aliuliuza.

"Mwehu," akajibu, "...ngoja nikuonyeshe..!,". Erick pumzi na mapigo ya moyo yalimrejea katika kawaida. Akambinua mgongo Rose kisha akakipanua. Akauinua mchi, tayari kwa kutwanga.

"Ndiyo kwanza kazi ianze," Erick alisema wakati kinu kikimkenulia.

Itaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
3. Pingili mbili.
Alfajiri ya saa kumi na moja Erick Kupaza alikuwa wa kwanza kuamka haswa kutokana na jinsi alivyopagawishwa na usiku huo unaomuaga kimasikitiko. Alikaa kwenye sofa baada ya kujifunga taulo, huku akimwangalia mama yake akiwa bado amelala pale kitandani. Aliwaza mengi kwa wakati huo na hata kujutia juu ya kitendo cha kuzini na mama yake mzazi wa kumzaa. Kwa kuwa tasliti hushinda shuruti, basi, shuruti ya yeye kuwa mtoto kwa Rose ilipigwa mweleka na nguvu ya tasliti kati yao. Katika msawaziko wa uhai duniani, shuruti hufuata kanuni asili lakini tasliti hufuata vionjo vya moyo na uchache wa urazini. Hii ilijithibitisha kutokana na tendo lililotokea katika usiku huo. Kulikuwa na nafsi ya hatia iliyokuwa ikimshambulia Erick wakati akiwa bado ameketi pale kwenye kochi lenye michirizi ya mraba kama bushati alilokuwa amevaa usiku wa jana.
Ni kanuni isiyoepukika kuwa kwa asili nafsi ya binadamu ina uwezo wa kujua jema na baya hata pasipo kushika Msahafu au Biblia Takatifu. Muunganiko wake kihisia na kihatia ndiyo ulimpa wazo la kuoga mapema ili aondoke kabla ya mama yake kuamka. Erick aliinuka na kwenda zake bafuni. Akajivua taulo na kulitunduka katika kitundikio chake kilichoko kule bafuni. Akazungusha kwa wastani koki iliyokuwa na doti jekundu kisha akazungusha pia akafanya vivyo hivyo koki iliyokuwa na doti buluu ili kusawazisha hali ya maji na kuwa ya uvuguvugu.
Wakati akiwa ameanza kufurahia ladha ya maji mwilini mwake.
Mlango ukagongwa.
****
Rose Kupaza alishtuka saa tisa na kuelekea maliwato. Aliporudi alimkuta Erick yuko macho. Wakatamaniana tena, wakapeana dozi ya kibabe. Walipokuwa wanatwanga aliye na mchi alihisi utavunjika na mwenye kinu alihisi kinu kinaelekea kupasuka. Hata pale vilipovunjika walijikuta wakipiga kelele kama wanaogelea bahari ya raha. Walipumuliana, wakaogeshana janaba, na wakapotea kabisa kwenye wimbi kubwa la bahari ya ukichaa cha ngono. Walibadilishana harufu ya jasho la miili yao mpaka walipotimiza jumla ya mitwango minne kwa usiku kucha.
Baada tu ya kusombwa na wimbi la mshindo, Erick alichoka na hivyo alipatwa na usingizi kwa haraka zaidi. Ilikuwa ni kisengerenyuma kwa Rose. Alikuwa amechoka kiasi cha kutokuweza kunyanyua hata wembe mpya uliovuliwa ganda katika meza ya kioo. Kimaumbile na kisaikolojia mwanamke huenda mshindo zaidi ya mara sita. Hii huendana na kiwango cha raha aipatayo, husemekana ni mara saba ya mwanaume. Kwani tendo la jimai hufanyika ndani ya mwili wa mwanamke na si ndani ya mwanaume. Mlundikano wa maswali katika akili yake haukumpa nafasi ya kuchukuliwa na usingizi. Mpaka wakati ambao Erick aliamka Rose alikuwa macho. Alijikausha tu kitandani, huku akimdonoa kwa kumchungulia kiaina.
Alipohisi kuwa Erick ameenda bafuni alijiinua. Akajisotesha kwa matako mpaka kwenye pembe ya kitanda. Nyayo zikiwa sakafuni akajinyoosha kwa kutupa mikono huku akipiga mwayo. Akatupa shuka kitandani. Akasimama akiwa mtupu. Umbo lake maridhawa lilitenganishwa na kiuno cha wastani kilichofanya mapingili mawili ya mwili wa kike yaonekane waziwazi. Ada ya mwili wa mwanamke umegawanyika katika Pingili la Kusisimua na Pingili la Buraha. Pingili la Kusisimua huanzia kwenye kibumbu mpaka utosini, kiini chake ni matiti, kwani hapo ndo kwenye kituo cha kumsisimua hasa mwanamke. Lakini Pingili la Buraha huanzia mwisho wa kibumbu chake mpaka nyayo za miguu. Pingili hii yote huwa inaleta raha ya hali ya juu kwa mwanamke hasa ikitumiwa vyema wakati wa tendo. Kiini cha Pingili ya Buraha ni kisimi, uke na kinyo...hivi ndio hubeba mchokoo mkuu wa ugwe mgongo kuvujisha nishati ya starehe wakati wa jimai. Mara nyingi Pingili ya Kusisimua hutumika kuandaa mwili uwe tayari kupokea vionjo vya Pingili ya Buraha na kuumba mwendo kasi kuelekea mshindo. Ikitokea Pingili hizi hazijahusianishwa kiweledi hupelekea mwanamke asifike mshindo mapema, au asifike kabisa. Na kilio kubaki kilioni.
Kwa kuwa msisimko wenyewe huchochewa na akili na kuipa Pingili ya Kusisimua jukumu dogo, hivyo humwezesha mwanaume mtundu kuanza kucheza na Pingili ya Buraha moja kwa moja awapo faragha na mchuchu kabla ya kukimbilia Pingili ya Kusisimua. Hii hufanya isishindikane kwa mwanamke kufikishwa. Burudiko hisi lenye kububujisha asali ya mahaba hupatikana kutokana na weledi wa mlume kuvitumia viungo vya mwanamke katika kila pingili.
Rose akachukua taulo na kujivingirishia katika Pingili la Buraha, kisha akaelekea mlango wa bafu. Akaugonga, pasipo kusubiri ufunguliwe akajitoma ndani.
*****
"Umekuja kunisugua?," Erick aliuliza katika hali isiyotegemeka.
"Punguza maneno, Waridi langu. Kila mwerevu hujua kuwa urefu wa mchi humpa uhuru wa kutwanga mtwangaji. Na atwangapo maji huyafanya yaruke kwa kasi na kukilowesha kinu chote. Jua kuwa kina halisi cha kinu hujulikana tu pale kinapolazwa. Baada ya kulazwa kinawezekana kuwekwa katika mtindo mwingine wowote wa utwangaji, kwani kina cha kinu huwa kimeshajulikana," Rose alisema kwa sauti ya chini huku akimpapasa-papasa Erick. Akamwangalia usoni Erick kwa macho aliyoyarembua kihila.
"...hakika, lakini wewe unajua namna bora ya kukifinya na kukitanua kinu chako. Hikoo.. ndicho hukutofautisha na wengine niliyobahatika kutwanga nao," aliweweseka Erick kutokana na mkono wa Rose kulishika jiti lake.
Rose aliendelea kumpapasa huku bomba la mvua la mzungu likitiririsha maji vuguvugu katika miili yao. Miili ikawatanuka kwa ari ya kurejewa na nguvu iliyowapotea. Pasipo adabu wala tahadhari yoyote, kwa haraka Rose akachukua mchi, akajikenulisha na kuuingiza kisengerenyuma. Kwa taratibu kama mtu mwenye tahadhari akawa anakatika katika mtindo wa kusukuma nyuma kwenye jengelele. Kazi ikabaki kwa Erick kutwanga kwa kuingiza zaidi mchi na kuuchomoa. Ni mithili ya fundi seremala anapokuwa akikata mbao ya mpingo, hukata mbele na nyuma kwa kasi isiyopoteza umakini wake kwani ndipo pa kuonyesha uhodari wake.
Naam kama nguli wa taarabu Issa Matona alivyolalama katika kibao chake cha kale kiitwacho Msumeno. Alisema, wanojua kiingereza hawawezi kuutumia. Laah! Issa Matona angekuwepo na kushuhudia jinsi Erick alivyojishughulisha kwa miuno bidu bidu pengine angetengua kauli.
Erick alihisi utamu ukiongezeka kwa kadri alivyotelezesha jogoo wake ndani ya Rose kiasi cha kumfanya ajihisi kama kizazi kinataka kumtoka. "Tafadhali, kojoa ndani yangu. Rose wangu mdogo ana hamu ya maji yako ya mahaba", Rose alisemea puani huku akiubana mchi wa Erick ndani yake na kumfanya Erick ahisi raha zaidi. Kasi ya mauno ya Erick yaliongezeka maradufu. Akakikamata kiuno cha Rose barabara bila ya kusitisha uchimbaji wake wa madini ya utamu yaliyokuwa karibu kupatikana ndani ya mgodi wa Rose. Mgodi ambao ulishajisalimisha katika sururu la mchimba chumvi machachari.
"...nipe...nipee...nipeee..nipeee..! Nakuuuu-u-jaaaa-aa-a!," Rose alitoa ukunga mkali ulioambatana na utetemeshi wa sauti. Akajikuta akidansi mkabala wa kuhisi ute mwepesi unamtiririka mapajani kutokea ndani. Akaganda kwa muda, mwili ulipokuwa ukimzadiwa alichopaswa kukipata baada ya 'shika nikushike'. Erick naye hakuwa mbali, mara tu, akaanza kutoa mlio kama beberu aliyetelekezwa na mbuzi jike. Sauti ya Rose iliongezeka zaidi kwa kujiachia kwani alijua kuwa 'Mchuzi wa beberu unywe ungali moto'. Kujiachia ndio siri ya mchezo huu, na kuenenda na mapigo ya mwenzio; akilia na wewe lia, akiongea na wewe ongea, yaani jino kwa jino. Wakati Erick alipojisikia kuingia ndani zaidi ndivyo Rose alipojisikia kutaka aingiwe zaidi, mpaka walipojikuta wanakuwa bubu wakipumuliana kwa pumzi. Kwa nukta kadhaa wote waliganda. Na wote walifika salama walikoenda. Wakabusiana huku wakitabasamiana kama wakembe wa jinsi tofauti wachezapo pamoja.
*****
Rose anakuja kushtuka, ilikuwa saa tatu unusu asubuhi. Alikuwa pekee, alidhani Erick atakuwa bafuni. Aliamka baada ya muhudumu wa hoteli kugonga mlango akihitaji kufanya usafi. Alimfungulia wakasemezana kidogo. Rose akaenda zake kuoga, alipotoka alijiandaa kwa haraka. Wakati anachukua handbag yake ndipo alipoona memo iliyoandikwa, "Ahsante kwa penzi. Umeniburudisha mtima. Nakupenda". Akakichukua kikaratasi kile akakitia kwenye mkoba wake. Dakika nne baadae alikuwa nje ya hoteli akiita bodaboda impeleke nyumbani kwake.

Itaendelea...
 
4. Oedipus Complex
"Nadhani hakuna sababu ya wewe kuwa unalala chumbani kwako!", alisema Rose akionyeshwa kukerwa na maamuzi ya Erick kung'ang'ania kulala chumbani kwake. "Lakini mama, wageni waki......," alikatishwa ghafla na mama yake. "Wageni? Wageni kitu gani. Wewe nisikilize mimi na kila kitu kitakuwa sawa," alisema akiishusha sauti yake. Ilikuwa imeshafika majuma mawili tangu Erick Kupaza aanzishe uhusiano wa kimapenzi na mama yake. Kwakuwa Erick amekuwa akimpenda mama yake akaamua kukubaliana na matakwa yake ili asimkwaze. Lakini anajua kuwa mama yake huwa na desturi ya kutembelewa mara kwa mara na rafiki zake. Hivyo alihisi hiyo ingekuwa ni hatari kwao kwani 'Kuta zina masikio'. Akili ya mtu ipo kwenye kile adhanicho ni chake hata kama ikiwa sicho.
"...lakini nikuombe kitu kimoja. Niwe nalala usiku tu lakini mchana niwe nafanya pilika zangu chumbani kwangu. Kusudi ikitokea jambo lolote au mtu yeyote akajua ni rahisi kutengeneza utetezi,"
"Hapo umeongea!," alisema Rose huku akiinuka na kumkumbatia Erick.
"Ahsante...., bae," alimalizia huku akijitabasamisha mbele ya Erick, naye Erick akarejesha tabasamu tuli.
Akajiengua, akaanza kuelekea chumbani kwake. Punde Rose akagutuka kama mtu aliyekumbuka kitu akageuka. "Halafu nina zawadi yako. Usiku utakapokuja nitakupa, natumaini utaifurahia," Rose alisema huku akichezesha macho kwa madaha mithili ya kahaba aliyeanza kulewa mvinyo. Erick aliitikia kwa kutikisa kichwa huku tabasamu likiendelea kumwandama usoni pake. Baada ya kusema hayo Rose akageuka kuelekea chumbani. Erick akainuka haraka haraka na kumwahi kwa nyuma na kumpiga kofi dogo sehemu ya makalio. Rose kuhisi amepigwa makalioni akajiliza fulani hivi kimakusudi kwa sauti kana kwamba ameumia.
"Nini bhanaaa! Mi sitakiii..," alisema kwa sauti ya kitoto huku akijivigaviga kuomba bembelezo.
"...najua hutakiii. Lakini kila ninapokuona huniishi hamu kama mkate wa kumimina au kitumbua cha moto. Kweli nimeamini kuwa kitumbua cha wizini ni kitamu kuliko cha halali," Erick alinena huku akielekeza kwa macho katika wowowo la Rose. Rose hakusema kitu alibaki kumwangalia tu, kisha akenda zake chumbani. Alipofika tu chumbani kwake akasogelea kioo na kujitazama kwa umakini. Kwa mara ya kwanza katika maisha yake akajikuta anajihisi kufurahia uzuri wake. Kwani mwarobaini wake umeshaipuliwa jikoni, kwasasa ni mwendo wa dozi vikombe kwa vikombe. Utamu wa towashi anaujua mwanamke mgumba, kwani mvaa kikoi sio mwenye kuvutiwa nacho.
Alipoendelea kujiangalia katika kioo, taswira yake ikaanza kubadilika na kumwonyesha sura yake asiyoipenda. Alijiona mwanamke asiye na haya na adabu, kwa kitendo cha kutembea na mtoto wake wa kumzaa. Akajihisi kama amezeeka mno, kutembea na Erick. Ni sawa na kuchanganya lila na fila kwenye ugonezi wa ndoto. Alijiona mchafu na kituko katika jamii. Lakini kila mara anapopepesa macho yake pembeni ya kioo hujikuta anasahau taswira hiyo na kuanza kuwaza mchi wa Erick. Hiyo ilipelekea juma la mwanzo lote wawe wakishinda kutwa nyumbani wakiwa na nguo za ndani na mataulo tu. Rose Kupaza alifanikiwa kuacha biashara zake zikisimamiwa na binamu yake baada ya kumwambia angesafiri kibiashara mpaka atakaporudi. Kumbe binamu alidendeka kwa mipango ya Rose kujipa raha na mwanawe wa kumzaa kabisa.
Ikawa kipindi chote ambacho binamu yake Dastan amekuwa akijua dada yake yuko safarini kumbe alikuwa anapandwa na mpandaji. Mapenzi ni utumwa, asiyekubali kuwa mtumwa hawezi kupenda. Kwani atakuwa mzigo kama kikando cha mavi kwenye shati jeupe kama theluji. Shati lenye doa lawezaje kuwa safi? Ndivyo fumbo la mapenzi linavyofumbuliwa na dhana ya utumwa. Hiyo ndiyo gharama kubwa ya mapenzi ambayo watu hawawezi kuigharamia ndiyo maana wanapenda kupendwa kuliko kupenda. Hakuna binadamu ambaye yuko tayari kuwa mtumwa wa mwingine; hapo ndipo mapenzi hukwama. Binadamu apaswa kujua dhana ya mapenzi haitengani na dhana ya ujinga, utumwa na makuzi/upuuzi wa kimapenzi ambao unakaribia tabia za utoto. Tabia hizo ndiyo huumba hali ya uhatia katika mahaba wenye kuleta hali ya kujifunza namna hasa ya kumpenda mtu kuliko kumchukia.
Mapenzi ni upendo. Upendo ni kujifunza. Kwa kawaida ni vigumu kumpenda mtu ghafla tu kwa asilimia mia bali huanzia chini mpaka juu. Cha kushangaza ni kuwa asilimia huwa juu mwanzoni mwa mahusiano na kupungua kwa kadri watu wanavyozoeana. Bwana eeh! Mapenzi ni mada pana sana yenye kuhusianisha saikolojia, seksolojia, dendrojia, theolojia, biolojia na vipengee vingine vyote vya kimaisha. Hii hutokana na kiini cha mapenzi kuwa ndo muhimili wa kukua na kustawi kwa jamii imara. Ieleweke hivyo.
Lakini kuna mwanasaikolojia mmoja aliyeibuka mwishoni mwa karne ya 19 kutoka Australia bwana Sigmund Freud alituambia kuwa kiasili mpenzi wa kwanza wa mtoto wa kiume ni mama yake. Hali hii akaiita 'Oedipus Complex' kuwa mtoto wa kiume kisaikolojia huwa na hisia za kingono kwa mama yake hata kumuumbia wivu dhidi ya baba yake. Ikitokea hali hii haikudhibitiwa vyema basi ni rahisi sana kwa mtoto wa kiume kuangukia mtegoni mwa kufanya tendo la jimai na mama yake. Kwani hisia zisizoelezwa huwa hazifi, ila huwa zinazikwa zikiwa hai na kufufuka baadaye katika namna mbaya zaidi. Neno lenyewe Oedipus limetoka katika ngano za Kigiriki. Inasimuliwa kuwa baada ya Oedipus kuokolewa na mchungaji mifugo kwenye milima alikoachwa na baba yake alirejea nyumbani baada ya miaka mingi kupita. Aliwasahau wazazi wake na kupelekea kumuua baba yake Laius na kumuoa mama yake Jocasta.
Hivyo mwanauchambuzi-nafsi huyo aliipa jina hilo nadharia yake ni kutokana na mapenzi yake dhidi ya ngano hizo. Lakini hata tafiti za mtandaoni zaonyesha vijana wengi huvinjari mno picha za ngono za MILF* kuliko zingine zote. Tabia ya Erick kufanya ngono na mama yake ilitokana na baada ya kushindikana kudhibitiwa kwa 'Oedipus Complex' ambayo ilifumuka ipasavyo. Hakuna aliyejihisi hatia kati yao si Erick wala Rose, ingawa wakati fulani walijikuta nafsi zikiwajuta kivyaovyao.

***

Ilikuwa ni jioni tulivu. Sebule ilibembelezwa na muziki wa trap, wimbo wa Young Thugher uitwao 'Con Man'. Mistari chafu ya wimbo huo ndio iliyoumba hali ya kimapenzi katika sebule hiyo iliyotelekezwa. Chumba cha Rose kilikuwa kimebadilika kidogo tu tangu alipoachana na mumewe. Kitanda kikumbwa cha sita kwa sita, ambacho kwa mbele yake kimetandikiwa zulia kubwa la manyoya jeupe. Pembezoni mwa mlango, kulikuwa na rafu ya viatu iliyojaa viatu vya kike. Upande uliotazamana na rafu ya viatu kulikuwa na Meza ya Kujipambia kubwa iliyonakshiwa kiustadi. Ilikuwa na droo nne zilizopangana kiana. Sehemu ya chini ilikuwa na milango mikubwa ya sanduku la kuwekea vipodozi vikubwa na bidhaa zingine za unadhifu. Kulikuwa na dirisha kubwa, lililofichwa vyema na pazia lenye mapambo ya uchoraji yaliyokuwa yakimetameta fulani hivi.
Rose aliinuka na kwenda kwenye ule mlango wa chini wa Meza ya Kujipambia. Akafungua na kutoa mkoba mweusi wa ngozi wenye mkanda mmoja. Wakati akifanya hivyo simu yake iliita kuashiria kuingia kwa meseji. Alirudi kitandani akiwa ameushika ule mkoba, Erick akampatia simu yake ambayo ilikuwa ni vigumu Rose kuifikia. Akaipokea na kukimbilia kashani, na kukuta meseji ya shoga yake. Akataka kutokuijibu, lakini Erick alimuhimiza tu kuwa angepiga naye soga tu hakukuwa na shida yoyote kwani yeye alikuwepo tu.
"Shosti'angu vipi?", ujumbe wa shoga yake Haika ulisema.
"Poa shosti. Mzima wewe?", alimjibu.
"Poa tu. Enhe nipe mchapo, bibie?," alihoji Haika.
"Mhh! Shoga'angu sijui nikuambiaje? Ule ushauri wako ulinifaaje!, nimepata kitibu roho sasa ni mwendo wa asteaste kama hatua za kikongwe jangwani,"
"Wacha wee! Usin'tie wazimu mwenzio nikataka kurudi huko kabla ya wiki ijayo? Umepata shababi hasa, au ndo mambo yaleyale?," alirejesha Haika.
"Yale yale wapii...yaani najisikia kama nyoka anayejihisi kuurudia ujana baada ya kujivua gamba lililochakaa".
Baada ya kutuma meseji hiyo Rose aliacha simu na kuanza kufungua ule mkoba wa ngozi. Akatoa suruali za jinzi mbili na mashati mawili pamoja na boxer ya rangi nyeupe. Akawa anamwonyesha jinsi zilivyo. Rose akamwamuru ajaribu kama zitamtosha. Kwa furaha sana Erick akachukua jinzi na kuanza kuivaa. Simu ya Rose ikaingia tena meseji. Rose akaisoma, "Shosti'angu mtu mbaya wewe! Hata usiniambie kuwa umeshapata hawafu wa mapenzi huko mwenzangu!,"
"Hapana mwaya. Nilidhamiria nikwambie sema si unajua mijeledi ya huyo bwana huwa inanisahaulisha!," alimjibu.
"Teh...teh...teh! Ukidhibitiwa ipasavyo kitandani huwa una maneno wewe? Basi poa shosti yangu. Wiki ijayo mi narudi huko!,"
"Sawa, mkweo amekuruhusu au ndo umelazimisha?," aliuliza Rose huku akijua tabia ya mkwewe. Mara kwa mara, Haika amekuwa akimlalamikia kuwa mkwewe huwa king'ang'anizi asiondoke anapoenda kusalimia ukweni.
"Eeeh bwanae! Shauri yake...mi naishia zangu," ndo meseji ya mwisho aliyoipokea kwa Haika siku hiyo.
"Hapo vipi?," Rose aligutushwa na sauti ya Erick akiwa ameshavaa moja ya jozi ya mavazi yale akiwa amesimama mbele ya kioo kikubwa cha Meza ya Kujipambia.
"Umependeza, Laazizi wangu," akainuka kitandani na kumfuata pale kwenye kioo. Akasimama nyuma yake wote wakawa waonana kupitia kioo.

Itaendelea....
 
5. Balaa La Kisketi
Haika R. Lymo alifika nyumbani kwa rafiki yake baada ya wiki kama alivyoahidi. Alifurahi kuonana na rafiki yake kipenzi. Mwendo ulikuwa ni kupiga soga na vicheko visivyoisha. Lakini katika mazungumzo yao yote Rose hakuthubutu hata thumni kumropokea shoga yake kuwa alikuwa akitoka na mwanawe. Alimbemba tu shogaye kuwa mwanaume mwenyewe anaishi mbali, lakini pia Haika asingeweza kumjua.
Kwa hakika Haika naye alikuwa ana namna yake alivyofinyangwa. Alikuwa ni mwenye umbo dogo, kitako kilichochomoza cha kusimamia ukucha wa miguu, mwenye macho makali yenye kuonya ole wako unishobokee! Rangi yake ya manjano hufanana na zingifuri au zabibubata huku midomo yake mipana ikikoa kwa wekundu uliofanya ahisiwe amepaka Lip Stick hata pasipo kufanya hivyo. Mdomo huo ulipambwa kwa pua ya wastani iliyofuata mgongo wake ulioshikamana na miinuko ya nyusi. Chini ya nyusi hizo kulikuwa na macho makubwa kiasi ang'avu kama wingu jeupe. Mboni zake za rangi ya kahawa zilikuwa na uwezo wa kumuhadaa hata fundi wa nyeto.
Urafiki wa mrembo huyu na Rose ulianza tangu shule ya sekondari ya awali, na wakenda chuo pamoja. Walikuwa wakienda shule na kurudi nyumbani kwa pamoja. La Haika lilikuwa la Rose nalo lake likawa la Haika. Maisha hayo ndio yaliyowafanya wawe na tabia zinazofanana kiasi fulani. Kwa maana wote walizijua kona za mitaa kuliko pembe za majumbani mwao. Ilishatokea mara kadhaa wazazi wao kuupinga urafiki wao kwa maana kila mmoja alihisiwa ndio anayemuharibu mwenzie. Malezi ya mtoto wa kike mmoja ni sawa na watoto wa kiume kumi, hasa kutokana na mazingira ya utakatifu anayotakiwa kulelewa nayo huyo mtoto wa kike. Mtoto wa kike ndo kitovu cha jamii, astahili kulelewa kwa tahadhari kubwa kuliko wa kiume.
Bado wakawa wanafatana na kusindikizana majiani kutwa kucha. Basi wazazi iliwabidi tu waubariki uhusiano ule hata bila ya kupenda. Kwavile walikuwa hawafichani nyeti zao, Haika akajua tatizo linalomsibu mwenzie. Hata mgogoro wake wa kinyumba na mumewe kabla ya kuachana naye alishaambiwa na Rose. Rose alishashiriki tendo mara kadhaa na watu tofauti tofauti lakini hakutosheka. Ndipo Haika R. Lymo akaja na wazo la kuingia mtandaoni ili kutafuta rafiki wa kimapenzi. Walijaribu katika wavuti mbali mbali lakini hawakufanikiwa. Ndipo siku moja wakaingia WebXXX, wakafungua akaunti waliyoipa wasifu wa 'Romantik Star'. Nao ndiyo wasifu uliomuunganisha na Erick, mtoto wake wa kumzaa.
Haika alimwangalia shosti'ake kama anavyomwita akiwa na furaha na tabasamu pana. Alionyesha kila dalili ya furaha yake kutokuwa batili. Haika akajikuta wivu unamnyemelea taratibu. Sio kwamba alikuwa na hali duni kiasi cha kulalamika. La hasha! Haika alikuwa na mume mzuri ambaye alikuwa akimpenda sana na alipewa chochote alichokitaka. Nguo za mitindo ya kisasa na kupendeza, magari ya dizaini mpya, na jumba lenye dimbwi la kuogelea lenye kina cha mita 2.5. Alikutana naye wakati alikuwa anasoma chuo kikuu ambacho mumewe alikuwa akifundisha. Lakini mumewe aliyekuwa profesa wa chuo hiko bwana Edson Kamugisha alikuwa zumbukuku kitandani. Daima Haika akawa anaboeka kwenye tendo. Yaani raundi moja tu, kidume anahema kama kuku anayeandaliwa kuchinjwa.
Na sio kwamba bwana Edson alikuwa mvivu bali alikuwa anaishia mbio zake kwenye kingo za karibu sana. Nundu la ng'ombe halifichiki hata akiinama. Siku zote amekuwa akitumia mitindo ile ile kwa miaka zaidi ya kumi. Hakujua kuwa ngono ni sanaa inayohitaji ubunifu na umaridadi wa mchapaji bakora. Na Haika alitamani mno ladha mpya, sio kwamba hakuwa mwaminifu bali kutokana na kukifu mchezo wenyewe. Lakini ilibidi apange njama fulani. Alipotumiwa picha ya Erick kwenye Whatsapp ambayo Rose aliidownload kutoka WebXXX alishikwa wazimu na kutamani kumuona huyo kijana. Ilikuwa kama kuna nguvu ya umeme ilikuwa ikimkata matumbo kutokana na msisimko alioupata baada ya kuziona picha zenye kuonyesha tupu ya Kiss Lover. Sirini aliazimia kumpata iwe isiwe. Kiukweli Profesa Kamugisha alikuwa nayo ndogo...na siku zote alionekana kuwa na msongo wa mawazo utokanao na kazi za huko chuo afanyiako kazi.
Kibiriti cha gesi kikiishiwa gesi, ndo mwashaji hukumbuka njiti za baruti.

***

Erick alikomeaa chumbani kwa Rose pasipo kutoka kutokana na kuzuiwa na Rose. Ikafika wakati fulani Rose akawa anamtenga Haika kwa kumtoroka na kutokomea chumbani kwake. Ili awe anapata wakati wa kubembelezana na kipenziche. Hiyo haikuwa ngumu sana kwani alishamwambia shoga yake kuwa mpenziwe yupo, na asingependa aonane naye kwa siku hiyo. Ikawa ni kung'ata na kupuliza. Dunia uwanja wa mapuuza. Haika alimuuliza shoga yake kuwa mbona vaavaa yake imebadilika kwa maana huwa hajiachii kiasi hicho anapokuwa nyumbani. Kipi hasa kinachomyumbisha. Rose alifurahi kwa madaha sana kisha akamwambia kwa sauti ya kupayuka, "TASLITI HUSHINDA SHURUUUTIIIIII, BIBI WEWEE!!". Akamalizia na bonge la cheko. Haika alibaki akifurahi na kujitabasamisha asijue rafikiye aweje na cheko bila sababu. Akamwambia kuwa sheria mpya ya nyumbani kwake akiwepo ni lazima avae nusu uchi, kujisitiri mabararani. Kwanini majumba huwekewa uzio? mtu kwake. Hiyo ni kumweka huru mpenzi wake dhidi yake, hataki kumtia mashaka mtoto wa watu. Faragha haitaki ubalagha. Hutaka lugha ya mwili (Body Language), ndo sababu ya kuvaa kasketi kafupi na kyepesi. Akitembea, huko nyuma ananyumbuka bila kunyumbulishwa. Pili, kwa sasa ana furaha na amani moyoni, na hana sababu ya kujipa jakamoyo. Hizo ndo kanuni zake mbili za kimsingi.
Wakati fulani Rose alipoenda chumbani aliacha simu yake katika kochi alilokaa. Haikuwa na nywila kwakuwa jana yake alilumbana na Erick juu ya kuweka nywila. Hivyo pasword haikuwepo...ikawa rahisi kwa Haika kuichukua na moja kwa moja akaenda kwenye gallery na kuangalia picha zilizokuwepo. Cha kushangaza ni kuwa aliona picha za Erick zikiwa nyingi kwenye simu ya Rose. Mwanzoni haikuwa hivyo. Akiwa bado anajiuliza juu ya zile picha, akapata wazo la kuingia Whatsapp. Lakini kabla hajafanya hivyo akasikia miguu ikiburuzwa ikijia sebuleni. Akatoa mwanga wa simu na kuiweka kwenye meza. Rose akarudi akakaa pale pale alipoketi awali kabla ya kwenda chumbani. Dakika mbili kutuama, akaanza kuitafuta simu yake kwenye kochi. Hakuiona, lilifanyika kosa moja pale Haika alipomwambia kuwa simu yake iko mezani. Rose kama aligutuka fulani hivi lakini akapuuzia. Hiyo hali Haika aliiona, akajibaraguza kuuliza swali.
"Vipi, uko sawa wewe?," Haika aliuliza katika namna ya kujishuku fulani.
"Hapana. Nilidhani simu niliiacha kwenye kochi. Nashangaa imefikaje hapo mezani?,"
Ikawa kama Haika anataka kujitetea, lakini Rose alimtoa wasiwasi kwa kumwambia kuwa asijali atakuwa aliisahau yeye mwenyewe. Rose akairejesha mwanga simu, baada ya kutoa wallpaper simu ilijionyesha kuwa ipo kwenye gallery. Moyo ukamfanya paah! akihisi Haika atakuwa aliishika simu yake. Akawa anajisemea huyu mwanaharamu ajaingia kweli Whatsapp?, akaenda mpaka Whatsapp kuikagua. Akajiridhisha kuwa hakukuwa na dalili ya Haika kuingia Whatsapp, kwa kuwa simu ilikuwa online.
"Enhe! Kwa hivyo unasema jana usiku ilikuwa kizazaa?", Haika aliuliza, akijaribu kuondoa ile hali ya kujihisi hatia.
"We acha tu kipenzi. Nilipewa dozi kavu bila hata ya supu ya pweza. Ilikuwa 'wa juu ashuke chini na wa chini apande juu' yenye balaa yake. Kitu kinachonipa raha zaidi ni mchi wake", baada ya kufika hapo akajihisi kuwa alitaka kuvuka mipaka. Ghafla akakaa kimya. Ni heshima ya mapenzi kutokuweka wazi mambo yenu ya faragha. Kuelezea wazi wazi unavyofanyiwa na mpenzi wako sio busara, kwani unajivua nguo. Pia unatoa mianya kwa maadui kujua tamu ya tunda la pendo lako. Utawaumbia shauku ya kutaka kuonja tamu zako. Enyi wanawake, ni marufuku kuelezea jinsi mwenzi wako anavyokufikisha ikiwa anakufikisha hasa. Usielezee mzinga wako unavyokupa asali nyingi, utakaribisha vizabizabina ohooo!.
"Mzuri eeh? tell me everything, tafadhali", Haika alisema akijiweka makini kumsikiliza zaidi Rose.
"Jongoo lenyewe hasa, jeusi tii na laini kwa kuteleza kwenye kuta za mgodi wa mate", Rose alisema huku akicheka kimaskhara.
"How can I believe you? ulichukua ile kitu ukaweka kwenye kinywa?"
"Yeah. Kuna wakati lazima tukubali mabadiliko na sio kung'ang'ania uhafidhina tu, shosti. Nimelamba yote kichwani mpaka shinani na masalia yake," Rose alisema huku akiinuka na kutembea kwa madaha sebuleni.
"Kwa hivyo, ni lini unamuona tena", Haika aliuliza.
"Kwa kweli, yuko bafuni anaoga. Si nilishakwambia lakini kuwa yuko chumbani. Au wadhani nakutania?", Rose alisema huku koo likimfurukuta akitamani kumweka bayana ya mambo Haika. .
"Ni kweli, ulinambia. Sema kujizubaisha tu, si unajua tena!! Ila mimi pale nyumbani ule mzoga wangu sijui nifanye nini? Haugeuki wala haupinduki, kazi kuninyumbua mtoto wa watu halafu nalala na mnyumbuko wangu bila kuyeyushwa. Nimechoka", Haika alisema akionyesha kero ya kutopendezwa na kile anachokisema yeye mwenyewe.
"Je! Ulishawahi kufikiria kuhusu labdaa...kutafuta kidumu hivi..penginee!!?",
"Sijawahi, na sitawahi pia", Haika alisema, kisha wote wakacheka.
"Usijali. Najua wajisikiaje shosti'angu. Labda pengine atabadilika na kuwa mtwangaji bora. Lakini kwa sasa, lazima ukiri ya 'cha mtu kuliwa na mtu'," Rose alisema.
"Sawa shoga, lakini naogopa yule mwanaume ni mkorofi sana!"
"Usijali bhana, kwani we ndo utakayemwambia?,"
"Hapana!" Haika alisema huku akishusha pumzi.
"Kwa sasa mimi nashukuru kila jambo kwa maana nimeshapata kile nilichotafuta kwa muda mrefu sana",
"Heri yako, unayejilia vyako hatakama upofuni. Nimefurahi sana juu yako kwani sikutegemea siku ile tulipokuwa tunachat ingekuwa kweli", Haika alielezea mshangao wa kutoamini kwake ulivyokuwa. Wakiwa wapo kwenye kiini cha mazungumzo yao. Mara kikasikika kitu chenye asili ya udongo kikilia sakafuni Paa! kuashiria kuvunjika! Wote wakashtuka na kutazamana. Rose aliinuka na kuelekea ndani huku Haika akiachwa kwenye mtanziko.
Rose alienda mpaka chumbani. Akaingia, na kutupa macho moja kwa moja kwenye pembe zote. Ndipo alipoona bilauri ndogo ya maji ikiwa imepasuka chini. Akamwita Erick, kukawa kimya ile anataka kugusa mlango wa bafu. Erick akatokea na kumnyakua kwa kiunoni na kufanya mikono yake yenye unyevunyevu wa maji aliyokoga imtekenye Rose. Akachukua taulo alilojizungushia na kumzungushia Rose kupitia kiunoni. Halafu akamvuta kumwelekea yeye. Akamparamia mdomo na kuanza kumnyonya kiasi cha kuwapumbaza. Kutokana na kupoteza umakini Erick akakanyaga kipande cha chupa, kati ya vile vilivyovunjika kutoka katika bilauri ya kioo.
Badala ya kuugulia, wao ndio kwanza wakatupana kitandani hobelahobela. Rose aligutuka baada ya kuona damu katika shuka. Ndo akamgutua Erick na kuanza kukaguana miguu. Ndipo walipogundua kuwa Erick aliumia vibaya sana na chupa, lakini hiyo hali hakuihisi kutokana na kimuhemuhe cha mahaba. Rose aliinuka kitandani na kwenda kwenye kabati la nguo. Akatoa moja ya khanga zake kuukuu na kuichana kiasi. Akainua mguu wa Erick na kuufunga vyema. Ingekuwa mama na mwana pengine lile jeraha lilikuwa dogo kupelekwa zahanati. Lakini kwakuwa ni mtu na kipenzi chake, jeraha lilionekana kuwa kubwa. Hivyo Rose akapendekeza waende zahanati. Akawaza juu ya Haika na wangewezaje kutoka bila ya yeye kujua.
Rose alirejea sebuleni, ambako alipokelewa na jozi za maswali kutoka kwa Haika. Akamwambia kuwa ni bilauri ya maji ilianguka na kuvunjika. Kisha akamdanganya kuwa alikuwa na miadi muda si mrefu. Akamwomba amsindikize ili yeye ajiandae aende huko kwenye miadi yake. Ilikuwa ni majira ya alasiri.
"Vipi kuhusu huyo bwana?," Haika aliuliza akimrejea bwana'ke Rose.
"Achana naye mwaya. Anajiweza," Rose alisisitiza.

Mchunga mbuzi, ndiye hunuka kama beberu.
***
Ni moto uliokuwa ukimuwaka Haika, hakutaka kuondoka bila kujua mpenzi wa Rose yukoje. Hili ndo lililomfanya avute mafuta na kuachia gia kisha akapaki kwenye moja ya mwamvuli wa kibanda cha M-Pesa. Akashuka halafu akaenda kwa mwenyeji wake mwenye kibanda cha M-Pesa na kununua vocha ya elfu mbili, halafu akamwambia anaacha gari mara moja atarejea hivi punde. Akakwangua vocha na kuanza kuingiza tarakimu zake taratibu. Alikaa pale kwenye kibanda kwa muda wa dakika kama tano hivi. Taratibu akaanza kurudi kule alikotokea.
Kwa vile aliamini kuwa Rose alikuwa na miadi, asingemkuta. Nia yake hasa ilikuwa ni kuonana na huyo bwana'ke. Akaenda mpaka kwenye nyumba ya Rose, akachungulia kwenye kiuwazi cha kuingizia mkono kutokea nje ili kuwezesha kushika kitasa cha getini kwa aliye nje. Kulikuwa kimya sana. Akafungua geti na kuingia, lakini kadri alivyokuwa akisogelea mlango mkubwa wa nyumba, akawa anasikia sauti za kimahaba zikitokea mahali fulani pasipo kujua sauti zilikuwa zikitokea wapi kwani yeye alikuwa upande unaotazamana na geti.
Kwa taratibu, akafungua mlango.
Hamadi!
***
Ni kama vile majani makavu yanavyosontwa katika maji ya jaa. Ndivyo ilivyo ndoa au uhusiano unaovunjika kwasababu ya kutokutoshelezwa kingono. Baada ya Rose kumsindikiza Haika. Erick alijua kuwa wametoka, kwa mwendo wa kuchechemea akatoka akiwa amevaa boxer pekee kuelekea sebuleni kuchukua kinywaji katika jokofu. Alipochukua kinywaji chake, akaketi katika kochi huku akiliburudisha koo lake kwa kinywaji chake hiko murua. Ilikuwa ni sharubati ya mchanganyiko wa karanga mbichi, maziwa ya mbuzi, asali, tangawizi na iriki. Mchanganyiko huo maridhawa, ulikuwa ni kinywaji tosha kwa mwanaume anayetaka kuutetea urijali wake ipasavyo anapokuwa faragha na mtoto wa kike. "Ulaji wa namna hii hufaa uwe ni utaratibu wa kila siku kwa mwanaume shababi, na sio kusubiri mpaka uadhirikike kutokumtendea haki mwanamke!", alijisemea Erick.
Mbali ya kuwa na mimea tele yenye kuongeza nyege na wahaka wa kingono. Pia kuna matunda mbalimbali ambayo yana sifa ya kuwa mkuyawiti. Mkuyawiti ni kinywaji au chakula chenye kuongeza hamu ya tendo la jimai. Matunda mathalani komamanga, parachichi, embe, na stafeli husisimua sana mwili na kuuongezea ashiki ya tendo. Matunda huisuuza na kuiboresha ngozi iwe na uwezo mkubwa wa kupokea vichokoo vya mahaba kirahisi. Ngozi ndio kiungo kikuu katika tendo. Ikitumiwa ipasavyo hutosha kumkinaisha muhibu mwenzi.
Wakati mwingine watu hujikimbiza zahanati kutafuta tiba kimakosa, huku tiba wakiziacha majumbani mwao. Na hapo ndo kuna tofauti kubwa kati ya walioenda jando na wasoenda, walioenda unyago na wasioenda. Kuhusu unyago, sio namna ya wadada wanavyokeketwa bali mafunzo yale yaliyokuwa yakitolewa kwa mama zetu waliotukuka. Mafunzo ya kumjua mwanaume nje na ndani. Siku hizi wanawake hawawajui wanaume kiundani. Kiburi, madeko yasiyo ya lazima ndio hutawaliwa na wanawake wa siku hizi. Siku hizi kwa mwanamke kufikishwa mshindo imekuwa ndo muhimu sana kuliko kujua namna bora ya ufikishwaji. Yaani wanasema 'Siku hizi watu hutaka ngono bora, na sio mapenzi bora'. Na penzi bora ni lile lililopikwa na kuboreshwa katika misingi ya kiAfrika. Mama wa Kiafrika, ndiye mama hodari duniani kwa mapenzi na ngono pia. Hainenwi kwakuwa ni mama zetu tu. Hapana, ndiye mama mwenye kufungamana sana na familia yake duniani.
Lakini hayo ya heshima ya mama wa Afrika, haikujulikana kwa Erick. Akili yake iliyoongozwa na 'Oedipus Complex' iliwaza ngono tu. Mara mlango ukafunguliwa Rose akaingia akitoka kumsindikiza shosti'ake Haika. Akaenda mpaka kwenye kochi alilokaa Erick, wakiwa washasahau kuhusu uhusiano wa kidonda na zahanati. Akamkalia juu ya mapaja huku akimwangalia usoni akaichukua bilauri kutoka mikononi mwa Erick, akanywa kidogo. Akahisi ladha murua ikishuka katika koo lake palazo. Akaanza kumkatikia pale pale kwenye kochi huku akiiweka bilauri, ukingoni mwa meza. Wakajikuta wanazidi kuhema. Kuhemeana.
Ilikuwa ni kupandisha kisketi cha Rose kwa juu, na kuchokonoa kwa mkono kuipandisha bikini sehemu ya juu ya kalio la kulia. Ulisikika mguno mkubwa, baada ya mpiga mbizi kupiga mbizi ndani ya Rose. Ikawa pumzi kwa pumzi. Guso kwa guso. Papaso kwa papaso. Kilio kwa kilio. Limuradi huyu yupo ndani ya yule. Yule anamkatia huyu.
Wakati Rose anahisi ardhi inatikisika kutokana na kukaribia kufika mshindo. Alipenda hisia na utwangaji wa Erick, ilikuwa ndani kwa ndani wafie kisimani. Alipewa mambo machafu. Ambayo hapo kabla hakuwahi kuchafuliwa kwayo.
Ghafla, kutokea mlangoni ikasikika, "Ah mungu wangu". Haraka akaangalia nyuma na kumuona Haika amesimama hapo. Muda ukagandishwa kwa sekunde kadhaa kutokana na butwaa.
Haika akafunga mlango haraka. Hakuamini alichokiona ya kuwa Rose anatembea na kijana wake wa kumzaa mwenyewe. Sasa akawa ameelewa kuwa ni kwanini Rose alikuwa akimzungusha zungusha kumuona huyo bwana wake mpya. Rose akiwa amesawajika aliinuka haraka na kumfuata shoga yake.
"Haika, tafadhali subiri", aliita huku akikosa la kuelezea kinachoendelea.
Haika alisimamishwa mlangoni, mkono wa Rose ukiwa begani kumzuia. Rose akiwa kwenye kisketi chake alimwangalia Haika akiwa amesimama sasa kumsikiliza.
"Kiss Lover ni mtoto wako? au ni mwingine?", Haika alisema kwa ghadhabu bila sababu ya kujua anachoghadhibikia. "Kuna maelezo mengi wayaacha."
"Ninajua. Samahani, lakini sikuona jinsi ya kuelezea, nilidhani ungeniona wa ajabu", Rose alisema.
"Ni nini cha kueleza? Unadate na mtoto wako? Rose, tena wa kumzaa?", Haika aliongeza, "Unawezaje kufanya hivyo?"
"Najua nitasound kama mwendawazimu. Lakini ni kwasababu, ananielewa na ananipa kile ninachohitaji", Rose alisema.
"Sawa, lakini watu wakijua watakufikiriaje rafiki yangu? Sawa anaweza akawa na mvuto kwako na hata kukufikisha, lakini itakufaidia nini ikiwa jamii itakudharau?," akashusha sauti kidogo na kusema "Ingawa ni kweli mwanaume mashine!"
Haika alisema, akifikiria juu ya kile alichokiona wakati Rose alipojichomoa kutoka kwa Erick.
"Tafadhali, naomba ukae chini na tuzungumze juu ya hili suala", Rose alisema, akimshika mkono Haika na kumwongoza sebuleni. Haika alisita kidogo kabla ya kumfuata rafiki yake kwenda ndani. Rose aliendelea kumweleza mambo ambayo hakumweleza hapo kabla.
"Ndo hivyo shoga yangu," alimalizia Rose baada ya kumwelezea kila kitu Haika.
Haika aliitika kwa kutikisa kichwa. Akilini wazo la kutaka kuonja penzi la mtoto wa shoga yake likianza kuumbika. Aliishuhudia kwa macho yake jengelele la Erick. Akiivuta taswira, anajihisi kusisimka mwili mzima.
Mstari huanza na nukta.

Itaendelea......
 
6. Tamaa Haifi. Hunyumbuka.
Erick Kupaza alistaajabu sana kwa namna gani mama yake aliweza kumwambia shoga yake juu ya uhusiano wao. Alijihisi fedheha kila alipokuwa akimuona Haika. Lakini hiyo hali haikudumu naye kwa muda mrefu kwa maana alianza kuendana nayo. Hisia ni duara. Leo furaha kesho huzuni. Kesho huzuni keshokutwa uchungu. Uchungu mara fadhaa. Na saikolojia ya binadamu ilivyo huwa na uwezo wa kudilika ili kuendana na hali inayokuwepo kwa wakati huo. Basi masiku ya likizo yakawa yanakimbia kuelekea ukingoni. Hata sijui ilikuwaje Erick kuna wakati akawa anapata hisia za jinsi macho ya Haika yalivyo, akivuta picha jinsi ambapo akiyaona huwa anahisi kama yakimdondokea. "Haidhuru..! Inalika....lakiniii...," alijiwazia tu akiwa pekee.
Akiwa amekaa katika gazibo iliyoko uwani mwa nyumbani kwao anasoma riwaya yenye mafundisho adhimu ya mahaba iliyoandikwa na nguli wa fasihi, Mussa N. Abubakari iitwayo Falsafa Ya Ngono. Hiyo riwaya ilikuwa mpya mikononi mwake hivyo alisisimikwa kuanzia kwenye utangulizi wa mwandishi; alimakinika. Utangulizi huo ulimfanya Erick atambue werevu wa mwandishi katika darasa lake huru kwa kutumia lugha ya umaharajani. Alivyoanza sura ya kwanza tu, akajikuta anazama moja kwa moja kwenye Bahari ya Profesa Wa Mahaba anavyohawilisha taamuli ya kukiponya kizazi. Kumbe, sio tu madawa ya kulevya lakini kuna taarifa za kulevya pia. Taarifa za kulevya maana yake kuna taarifa zinazotumiwa vibaya kinyume na makusudio. Kwa mfano elimu anayojifunza Erick katika Falsafa Ya Ngono, inamuharibu baada ya kumjenga kwa kuwa dhamiri yake ni kushiriki ngono na wadada tofauti. Hiyo sio tu kwa Erick Kupaza pekee bali kila mwanaume kwa asili huwa na 'Don Juan Complex'; hali ya kupenda kushiriki ngono na wanawake tofauti tofauti.
Elimu ya kuzinusuru ndoa za watu na yenye kuwajenga kisaikolojia imeangukia katika mikono ya mtu mbaya Erick ambaye anaitumia kutii kichaa chake cha ngono. Ndiyo maana kuna umuhimu mkubwa sana wa udhibiti wa maarifa kutokana na umri na mipaka mingine ya kijamii. Hii itasaidia kutetea utamaduni na maadili ya jamii pasipo kuingilia uhuru wa elimu. Kwa maana baadhi ya mambo yakiachwa yasijadiliwe kwasababu ya kuogopa uvunjifu maadili au tamaduni za kiafrika, hupelekea kudumaa au kufubaa kwa elimu na kuchochea migogoro isiyo ya lazima. Kuwe na madarasa huru ya wanandoa wawe wanafundishwa elimu za unyagoni na makavani, jandoni na vitandani. Elimu ya mwanamme kumjua mwanamke ndani na nje, na ya mwanamke kuukamilisha vyema utupu kike upatikanao ndani ya nafsi ya mwanaume. Kwa vile elimu hiyo imekosa kipaumbele siku hizi ndio moja ya kuyumba kwa taasisi ya kwanza katika jamii. Familia. Mgogoro wa kimalezi, kisaikolojia, na hata kibiolojia unaotokea kwa binadamu huanzia katika familia ya mtu husika. Na tutakuwa tunajidanganya kudhani kuwa hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uundwaji wa familia na ngono. Tabia ya kingono ya mtu ndio ikisari ya mienendo yake mingine yote. Kwa maana jinsi binadamu anavyojitabia kwenye ngono, ndiyo humuumbia tabia zake zingine zote.
Mara ngapi unaanza kuijua tabia ya mtu halisi baada ya kushiriki nae tendo la jimai, baada ya hapo huja kuachana?. Kutokana na asili ya tendo lenyewe lilivyo la sirini linamtupia mtu picha bongoni ya kujienenda kwa uhuru. Ngoja tujifunze, yaani kuna asilimia kubwa sana ya kuijua tabia ya mtu baada ya kufanya naye ngono kuliko kabla ya kufanya naye. Sijui kuna nguvu gani lakini kuna namna ambavyo itawafanya msiwe na uwoga juu ya udhaifu wenu dhidi ya kila mmoja wenu. Hivyo huakisi na kuivuta tabia ya asili ya mtu bila ya huyo mtu mwenyewe kujijua. Watu hushindwa kujua kwasababu tu hawajui namna gani udhaifu huo huthibitika kiurahisi. Hivyo unaweza kuonekana wa ajabu kama hautajua hulka za asili za mtu uliyeshiriki naye tendo la faraghani baada ya miezi kadhaa.
Mintarafu ya ngono na tabia kukurubiana. Ngono ina usumaku uunganishao watu, ndiyo maana hakuna udugu hasa wa damu ambao haukuumbwa kwa ngono. Mama zetu waliobahatika kwenda unyago kuna mengi waliyojifunza, ikiwa msichana ana bahati ya kuwa karibu na mama aliyepitia huko basi na aandamane naye ili aweze kujua, elimu ya ngono waliyokuwa wakipewa kule kambini. Wenyewe wanafundwa namna ambavyo wanaweza kutumia ngono kugundua uongo, hila, na usaliti wa kimapenzi kutoka kwa mwanaume. Lakini pia wanafundishwa namna ya kujiheshimu na kuitumia ngono vilevile kujenga familia bora na yenye hadhi. Sio kwamba migogoro haikuwepo la hasha bali ilidhibitiwa kwenye pembe za chaki. Ukamilifu wa ndoa ulikamilishwa kiroho hasa kuliko kimwili. Ndivyo hivyo vivyo ngono hushawishi kwa kiwango kikubwa sana kuharibifu au kuimarisha maadili na tamaduni zetu.
Erick aliendelea kufunua kurasa baada ya kurasa akidurusu kwa umakini maandishi yale ambayo yalimsisimua kuliko Kama Sutra. Alipomaliza sura ya kwanza, akafunika kitabu chake na kuanza kuyatembeza macho yake akiangalia mazingira ya nyumbani kwao hapo. Katika gazibo hiyo ndiko baba yake alikuwa akipenda kukaa mara kwa mara. Baba yake alikuwa ni mpenzi sana wa kujisomea magazeti. Siku za wikendi ndio ilikuwa sehemu yake aliyokuwa akiipenda, ilikuwa hata baadhi ya wageni waliomtembelea mzee James Kupaza mwenye umri wa miaka arubaini na saba nyumbani aliwakaribisha katika gazibo yake. Gazibo ndo ilikuwa banda la nafsi yake.
Mzee James kupaza alikuwa amesomea Uandishi wa Habari. Baba yake mzee Aloyce Kupaza alikuwa ni mmiliki mgodi mkubwa sana huko kwao. Aloyce Kupaza alipofariki kwa ugonjwa wa Homa Ya Ini, mgodi wake ulirithishwa kwa James; kwa kuwa alikuwa pekee, wadogo zake wawili walishakufa katika vipindi tofauti tofauti. Kwao walizaliwa watatu tu, baada ya vifo vya ndugu zake akabaki pekee. Hakudumu sana na mgodi kwani alishindwa kuusimamia ndipo alipoamua kuuza kwa shilingi milioni mia saba na sabini na kuanzisha kituo cha uandishi wa magazeti na redio. James Kupaza hakulelewa kishida, hata baadae alipotengana na mkewe Rose Mboya akamwachia nyumba moja kubwa na maduka ya jumla kadhaa. Maduka ambayo yanamuweka mjini Rose.
Kwahiyo ikawa Rose na hamsini zake na James njia yake. Lakini hawakuekeana mipaka ya kutembeleana. Walikubaliana kuwa kila mtu kwa mwenzake ni kwake kwani wao ni wazazi wote. Watawatengenezea hali gani watoto wao wawili waliozaa pamoja ikiwa watapingana wao wao?. Hata kama wanatofauti basi wawe na kitu kinachowaunganisha kama baba na mama, nacho si kingine bali ni watoto wao, Erick na Esta. Erick anasomea shahada ya kwanza katika kozi ya Usanifu Majengo katika moja ya chuo kikuu mashuhuri cha sayansi jijini Mbeya huku mdogo wake Esta akisoma boarding school, kidato cha tatu katika shule ya Hekima Girls. Esta hurudi nyumbani kwao katika siku za likizo ndefu, ingawa imetokea mara kadhaa hufatwa katika likizo fupi na mama yake. Akidai kuwa huwa ana hamu na binti yake.
Kengele ya mlango ilipogongwa, alikereka mno kwani alilazimika kupoteza utulivu wa kufikiria mafunzo ayapatayo kutoka kwenye kitabu alichokuwa anasoma. Aliinuka akisonya na kwenda getini. Hakukuwa na mlinzi siku hiyo kwani alikuwa amepata dharula ya kwenda kwao kwa siku kadhaa baada ya kufiwa na mmoja kati ya ndugu zake. Rose aliweza kumruhusu kijana huyo aende kwenye maziko huku akiahidiwa kuikuta nafasi yake ya kazi. Mji ni kituo cha fujo, kila mtu hukimbiza riziki kama mbio za panya kuufikia ukingo.
Erick alienda mpaka getini, na kulifungua. Alikuwa ni Haika, akamsalimu. T-shirt yake kubwa nyeupe yenye maandishi ya "Rich Sex" ilimfika mpaka magotini, kiasi cha kuacha ngoko zikiwa wazi. Miguu yake ikisitiriwa na raba nyeupe za Adidas zenye michirizi mieusi na mipana mitatu kwa kila upande. Akamwangalia Haika bila neno lolote. Erick tangu arudi kwao hakuwahi kumwona Haika aje nyumbani kwao kwa miguu. Alitamani kumuuliza lakini hakuona sababu ya kufanya hivyo. Akamkaribisha ndani. Huku akiingia ndani Haika akajibaraguza kumuuliza Rose kama alikuwepo. Erick alimwambia kuwa Rose alikuwa ameenda kuonana na Dastan, binamu yake ili aweze kupata ripoti na mrejesho wa mauzo ya maduka kwa maana ana muda hakuonana naye.
"Kwani hukumpigia simu?," Erick aliuliza.
"Nilimcheki wakati fulani, nilidhani angekuwa amesharudi!," alidanganya Haika, kwani alipowasiliana na Rose alimwambia kuwa angechelewa kurudi. Tena alimsisitizia kuwa angepitia kwenye ofisi ya Saccos yao ya wanawake kwani wana kikao. Haika ni mjumbe pia wa Saccoss hiyo lakini alifanikiwa kumwongopea Rose kuwa alikuwa akijisikia vibaya hivyo asingeweza kufika katika kikao.
"Sawa! Kwahiyo utamsubiri au unaondoka akija nimwambie kuwa ulikuja kumwona?," Erick alihoji huku Haika akiwa tayari ameshaingia ndani.
"Usijali, Erick. Nitamsubiri, si unajua mimi ni kwangu hapa?," alitumia kauli ambayo amekuwa akiipenda kuitumia mara kwa mara anapokuwa katika nyumba hiyo ya shoga yake.
"Sawa!," alisema Erick akiwa ametangulia mbele, kama anayemuongoza Haika.
"Mi niko kwenye gazibo! We si kwako hapa? jihudumie mwenyewe tafadhali. Huenda mama yuko njiani," alisema huku akitoka kuelekea uani alikokuwa awali akisoma riwaya yake.
***
Alipotoka kuchukua Savanah kwenye jokofu, akaketi kwenye moja ya kochi la sebuleni. Baada ya kuifungua akapiga mafunda kadhaa kisha akachukua rimoti na kuwasha luninga. Alibadili chaneli kadhaa. Pasipo kujua alikuwa anatafuta chaneli gani au kipindi gani, akajikuta anaghairi zoezi la ubadilishaji chaneli. Akaweka rimoti kwenye meza halafu akainuka na kuelekea kwenye dirisha la sebuleni litoalo umiliki kutokea uwani. Akapekenyua pazia na kuchungulia uwani. Akamwona Erick akiwa kwa mbali ameketi kwenye gazibo akiendelea kujisomea riwaya. Kwenye sekunde kadhaa akarudi tena kwenye lile sofa. Akapiga mafunda kadhaa zaidi...akashika tena rimoti. Akasonya bila sababu kisha akairejesha rimoti mezani.
Bila kusema chochote Haika akainuka. Akasukuma kitasa cha mlango umwongozao uwani.
Akatoka.
***
Wakati anaendelea kusoma riwaya yake. Alikuwa amefika pale Mwanamke alipokuwa anamweleza Mumewe juu ya ladha za wanawake kingono. Akawa anadurusu juu ya Ladha Ya Ugali Mbichi.
"Ladha ya ugali mbichi ni ladha ambayo mtu yeyote mwenye njaa kali huwa na tabia ya kutokuhukumu ladha hiyo mpaka atakapokuwa amekwishakula na kutosheka. Hivyo wanaume wenye njaa kali hula pasipo kujua kuwa ugali ni mbichi mpaka wanapokuwa wametosheka ndio hugundua kuwa ladha ni ya ugali mbichi na kubaki na sononeko"
Akabaki kujiuliza, ikiwa aliazimia kutembea na mama yake. Je alitembea naye kutokana na njaa kali ya ngono au huba la dhati!? Angali yuko kwenye anga la kuhoji, mara ghafla akazibwa macho kutoka nyuma. Hilo lilimshtua mno Erick na kuharakisha kukifunika kitabu, kisha akawa anajitahidi kujinasua. Kwa vile alijua yale manukato tangu ampokee, alijua kuwa alikuwa ni Haika. Kabla hajajibu lolote, Haika alimwachia.
"Sorry, ikiwa nimekukera. Vipi mbona busy? unasoma nini?," aliuliza Haika. Akiwa amesimama sehemu ya nje ya gazibo huku mikono ikiwa kwenye kajiukuta kake.
"Hapana...!," Erick alijibu akiwa ameingiwa na aibu kiasi.
"Hapana nini?,"
"Hapana, nilikuwa nasoma riwaya", alisema huku akibabaika kwa kurudia maneno.
"Riwaya gani hiyo?,"
"I can't tell ya. It is only for funny. Haitakufaidia kitu, ikiwa utajua,"
"Itanifaidia. Yaitwaje hiyo riwaya?," Haika aliendelea kusisitiza juu ya kiu yake ya kutaka kujua.
Wakati Erick akijishaua kutomtajia jina la riwaya yake. Katika hali ya kujiweka sawa alipokaa ili aweze kuificha vizuri riwaya yake. Akaruhusu mwanya kidogo. Haika akaikwapua ile riwaya na kuanza kukimbia nayo. Bila kuelewa kimenyakuliwaje mikononi mwake naye akakurupuka na kuanza kumkimbiza. Katika hali ya tahadhari akajikuta anasitisha kumkimbiza na kurudi katika gazibo. Akiwa amesimama tu ameshika kiuno akimwangalia Haika ambaye alishafika umbali wa mita kadhaa kutoka kwake.
Haika akakipindua kitabu, huku akihema. Akasoma jina la riwaya yenyewe "Falsafa Ya Ngono", kwa haraka akakipindua nyuma ili kusoma tarijama ya mwandishi kwa ufupi na dokezo la uhondo wa riwaya yenyewe. Akataka, kufungua. Lakini akajihisi mkosefu. Akaanza kurudi taratibu kwa hatua za tahadhari kama mtu aliye katika eneo la hatari.
Akafika karibu na Erick akajitabasamisha.
"Kitabu chako ni kizuri, nimekipenda. Kinahusu nini?", Haika aliuliza huku akijihisi kuna uzito kwenye moyo utokanao na hisia za ukosefu.
"Unajua kinahusu nini. Unataka nikuelezee nini sasa?"
"Nimesoma ndiyo, ila mimi ni mzito kuelewa. Nieleweshe, pleeease!," alisema huku akilegeza sauti katika kiwango cha mawimbi ya chini kabisa.
"Kweli? Wataka kujua?," Erick alihoji, huku akiielewa lugha ya mwili wa Haika.
"Kiufupi. Hii riwaya inahusu wataalamu wa sayansi ya mahaba. Kwa muogeleaji na wa kuogeshwa pia. Manjonjo na madaha yote ya ngono na mahaba yako humu. Ukipenda naweza kukuazimisha pindi nitakapomaliza kukisoma!," Erick alidadavua.
"Niko tayari kuazima. Lakini kabla ya kuazima, nataka uniazime kilichoko kati ya mapaja yako!," alisema huku akimwangalia kwa kuzungusha goroli zake nyeupe zilizobeba mboni za rangi ya kahawa nyeusi.
"Mh...mmmh! Umesema?," alijifanya hakusikia kilichosemwa.
Pasipo kukaribisha malumbano ya hoja, Haika akamrukia Erick mdomoni. Na kuanza kunyonya ulimi wa Erick bila ya ridhaa yake. Naye kwakuwa alishawahi kuumba mawazo ya kufanya na Haika, akajibu mapigo. Kwakuwa Haika alikuwa mfupi kidogo, Erick alimuinua kiasi cha kufanya miguu ya Haika izunguke kiuno cha Erick. Walinyonyana hasa, mpaka walipojikuta wanahema juu juu. Haika alikuwa amevaa kipensi kidogo cha jinzi ambacho kilifunikwa kabisa na ile T-shirt yake kubwa.
Kipensi kilitolewa na kutupwa kule. Akabaki na lile T-shirt kubwa, huku unyevuni akiwa mtupu.Yeye pole pole alianza kunengua viuno, kana kwamba kulikuwa na muziki aliokuwa akiusikia. Haika akashika pindo la shati la Erick huku akimvutia kuelekea kwenye matiti yake ambayo yalionekana kuwa madogo lakini yaliyonona vyema ndani ya T-shirt lake, kwani hakuwa amevaa sidiria. Ilikuwa kama alipania juu ya kufanikiwa kwa mtego wake.
Ilikuwa kama mkuki alipopiga kelele kali baada ya kuchomwa nao. Alitoa pumzi nzito, huku mwili ukimtii juu ya kilichomwingia. Akawa anapiga kelele huku akiendelea kukatika viuno haraka haraka huku akitoa sauti iliyomwongeza spidi hayawani wa Erick. Akiwa anahisi jasho sio lake alimminya barabara, huku akimeguliwa kwa mitindo anuwai. Kila mtu alihisi harufu ya nyama za mwenzake. Erick alikifaidi kitumbua cha Haika, ladha yake ikamfanya ahisi ni kama bikira.
Kumbe tamu ya kaukau hutokana na kelele za kutafunwa kwake.
***
Matukio ya mtu, huumbwa na mawazo yake.

Itaendelea....
 
7. Puer Eternus*.
Alihadaika. Alipumbazika. Ni kama mchele bora unapooshwa sana ni rahisi kupoteza ladha yake. Ndivyo ilivyokuwa kwenye penzi la mtu na mama yake. Ilikuwa ni mwendo wa kubiringishana chini ya shuka kila iitwayo leo. Leo ikiwa nibebe mgongoni kesho yake huwa nibebwe kwenye bodaboda. Na Rose alikuwa anajua kukaa sawa sawa kwenye kitako cha bodaboda aliyokuwa akiikalia kuelekea kwenye safari za kuvunjikavunjika.
Jikoni. Rose alikuwa amesimama karibu na meza ya kukatia mazagazaga ya kupikia. Akiwa amevaa aproni chakavu, na suruali nyeusi ya kitambaa laini. Aproni ilifunika sehemu kubwa ya kifua chake, hasa kwa vile blauzi ndogo aliyoivaa ilikuwa imeinuka kiasi na kuacha sehemu ya kiuno usawa wa kitovu kuwa wazi. Akikwangua karoti kwa ajili ya pishi lake. Erick alikuwa pembeni, amekaa sehemu mkabala na karo la kuoshea vyombo akitafuna karoti mfano wa sungura pori. Kachu kachu kachu! Alipomaliza kutafuna ile karoti, akamuuliza mama yake kuwa atupe wapi kikonyo baki. Akaambiwa aweke kwenye dastibini la takataka lilipo chini kidogo karibu na miguu ya Rose. Akasogelea dastibini ya plastiki yenye rangi ya buluu. Akainama kidogo na kutupa kile kikonyo cha karoti kutoka mikononi. Kwa sadfa, alipoinama kidogo atupe kile kikonyo jicho lake likajikuta likikodolea chini ya kiuno cha mama yake jinsi mkate mahaba ulivyomwinuka kimviringo.
Akaupiga kikofi ule mkate wa nyuma. Rose akasema, "Yalaaah!".
"Kama unataka si useme tu?," alisema Rose katika hali kama ya kupuuzia zoezi lake la kukwangua karoti kwenye kikwanguzi.
"Kama nataka nini?," alijipumbaza kujifanya hajui kuwa Rose alimaanisha nini.
Kabla halijatoka jibu lolote kutoka kwake, Rose alijipindua na kumwangalia mwanawe. Erick akamsogelea karibu. Akazungusha mikono yake katika kiuno cha Rose huku viganja vyote vikiwa vimelala katika mwinuko wa makalio yake. Akamwinua, kishida kidogo na kumuweka juu ya meza ya zege iliyopo pale jikoni. Kisha akaingiza mikono katika kauwazi ka' blauzi iliyoacha kitovu wazi. Vitanga vya Erick vikawa vinapalaza tumbo lake, huku kama ikizunguka sehemu za nyuma. Akaipandisha kidogo blauzi kwa juu. Kwakuwa mpaka wakati huo kinywa cha Erick kilikuwa mkabala na kifua cha Rose.
Akiwa amesimama vile vile akainama fulani ili kukifikia kitovu. Akaanza kumnyonya kana kwamba alikuwa anataka akitafune kitovu chote. Akaendelea na zoezi lake la kukinyonya, huku Rose akigunaguna kutokana na raha zilizoanza kuja kutoka katika uhafifu. Kwavile aproni haikuvuliwa, basi baada ya unsi wa unyonywaji kitovu kumzidia akajikuta akiachanisha aproni yake na mwili hata pasipo utambuzi. Mikiki yao jikoni ikapelekea ndani ya dakika kadhaa Erick akajikuta nyuma ya mgongo wa Rose akiendesha farasi.
Kila mmoja akahisi mwenziwe akiwa ndani yake. Kadiri Rose alivyokuwa akipokea kwa kulalama kile alichopewa ilikuwa kama puto la povu lililokuwa likitanuka mzingo wake mpaka lilipopasuka. Puto la povu likawa majimaji mateke baada ya kupasuliwa na Erick. Ilikuwa kama mbwa wawili waliofikia miezi chachamavu kiuzazi, walikazana ipasavyo. Wakati Erick akiwa ameshaenda kimoja cha hamu. Akajikuta anataka kuongeza cha pili. Ni katika vurumai ya kukitafuta cha pili ndipo waliposikia hodi katika mlango mkubwa wa nyumba.
Ilikuwa ni kitendo cha haraka ya wastani, Rose akapandisha suruali yake ya kitani. Akajiweka sawa blauzi yake wakati Erick akihaha na kufunga zipu ya suruali yake. Mlango uligongwa tena, safari hii ni kwa sauti zaidi. Erick kwakuwa alikuwa shapu akatoka na kuelekea sebuleni. Alipofika sebuleni akajikagua kabla ya kwendea mlango. Baada ya kujilizisha, akendea mlango na kuufungua. Akajikuta uso kwa uso na mzee wake akiwa amevaa suti ya kijivu. Uso wake ukapoteza nuru ghafla.
"Shikamoo, baba?", Erick aliamkia.

***

"Nini? Baba yako? Mzee James?", Rose aliuliza kwa kutaharuki, "...huyo naye. Sijui anataka nini? Anasemaje kwani?,".
"Hakutaka kusema, anadhani hayanihusu!. Kikubwa alichokazia ni kutaka kuzungumza nawe. Yupo sebuleni," Erick alisema kwa sauti ionyeshayo wivu juu ya ujio wa baba yake mzazi.
"Sawa, nitaenda kumuona. Kutiana kichefuchefu tu!", Rose alijipayukia. Hakujuwa kilichomleta mumewe wa zamani katika himaya yake. Walikuwa wameachana kwa miaka mingi na hakuwa na hamu ya kutaka kumuona kwani hatia ya kushiriki tendo na mtoto wake wa kumzaa ilikuwa ikimtafuna. Angewezaje kuhimili mboni za James pachoni mwake, kwani zingemchagiza juu ya pendo lake kwa kijana wake. Aliweza kujiona jazandani kindakindaki wakati ule aliokuwa akifanya ugoni na hata kukamatwa na mumewe na kupewa talaka. Akajiwazia kilichomfanya atoke nje ya ndoa, mbali ya ukubwa wa mcheduara lakini mumewe alikuwa mbinafsi mno kwenye penzi lao. Alijitahidi mara kadhaa kumuonyesha mumewe kwa lugha ya mwili juu ya hisia zake kwenye tendo. Lakini James Kupaza alikuwa kama pono. Akienda raundi ya kwanza tu ya mchezo hupumua juu juu.
"Erick, samahani. Sitaweza kumuona baba yako. Wajua alichonifanyia!", Rose alianza kupandikiza fitna.
"Sawa, lakini hukuwahi kuniambia juu ya kisa cha wewe na baba kutengana. Ijapokuwa sitakuwa tayari mrudiane. Halafu unajua fika jinsi alivyo mbishi. Nitawezaje kumuaminisha vinginevyo, wakati nilishamwambia kuwa upo jikoni? Hatoridhika, nenda ukamsikilize walau atasema nini. Usikatae wito mpenzi, kataa maneno!," alisema kwa kum'bembeleza.
"Najua, lakini moyoni bado nina kisiki dhidi yake. Vinginevyo na wewe uwepo sebuleni", Rose alisema huku akidhihirisha sikitiko lake la kutopendezwa na ujio wa mumewe hapo kwake.
"Sawa. Nitakuwepo...kuna lingine mamaa!?," alisema kimzaha.
"Sina. Midhali utawepo pale basi sina budi kwenda kumsikiliza", alisema baada ya kushusha pumzi, "...ingawa nitalazimika kwenda kuoga. Si wajua?,"
"Haina shida. Tii utakacho", alinena Erick.

***

Nukta kadhaa baadaye, Erick na Rose walikuwa wameketi sofani, wakimwangalia mzee James. Kukiwa na ukimya uliodhibitika, kila mtu aliwaza lake. Wakati Rose akiwaza namna ya kujidhibiti ili kutokuonyesha dalili yoyote ya kutembea na mtoto wake. Erick aliwaza jinsi ambavyo yule Mzee, akigundua kuwa anatembea na mama yake itakuwaje?. Ilihali James Kupaza naye alikuwa na lake kwenye bongo. Huku akiwa ameshika bilauri kubwa ya maji, akaiinua na kuyagigida maji yote kuashiria kuwa alibanwa kiu sana. Huenda ilikuwa ni namna ya kujidhibiti kisaikolojia kutokana na hali iliyokuwako kwenye mazingira hayo.
James baada ya kumaliza kunywa maji, akatoa leso yake ndogo na kujifuta mdomo. Masharubu yake yaliyoendana na mdomo wake, huku pua kubwa ilisapotiwa na mgongo komavu uliopindukia macho ya wastani yenye kubeba ukali wa kiume. Baada ya kumaliza kujifuta, akaangaza angaza ndani ya nyumba. Hakuona tofauti sana tangu kipindi alichokuwa ametengana na Rose.
"James, umefata nini nyumbani kwangu?," Rose alisema huku akijaribu kudhibiti ukali wake.
"Tafadhali Rose, naweza kuongea na wewe faragha bila ya mwanao Erick kuwepo!?," James aliomba faragha.
"Hapana. Tuzungumzie hapa hapa...hamna shida. Erick ni mwanao pia, sidhani kama kutakuwa na tatizo kama tutaongelea hapa!," alikataa ombi la James.
Baada ya kusikia majibizano hayo. Erick aliinuka kutoka kwenye sofa na kutaka kujiondokea zake aelekee chumbani. Rose akamwangalia Erick kwa jicho kali kiasi cha kumfanya ajishtukie kuwa aende au akae.
"Erick usiondoke. Kaa hapa hapa. Ukiondoka na mimi naondoka," Rose akasema huku kama anataka kuinuka. Erick hakuwa na namna, ikabidi arejeshe makalio yake sofani.
"Najua, tulikwazana sana. Na tulikubaliana kusiwepo na masharti juu ya kutembeleana, kwasababu ya watoto. Lakini mimi pia ni binadamu, kwa vile naamini hakuna binadamu aliye mkamilifu. Kutokana na umri wetu na mengi tuliyoyafanya katika kujenga familia, nadhani ni busara turudiane ili tuishi kwa amani kama awali", James alizungumza kwa upole huku macho yake yakithibitisha udhati wa msamaha aliokuwa akiukingiza, huku akijua kuwa mkewe ndiye aliyefanya makosa.
"Khaa! Hapana umemkosea sana mama yangu. Then, wataka akurudie?", Erick alijikuta akiropoka bila staha ili kumtetea mama yake.
"Erick, umekuwa sana mwanangu. Kiasi cha kuingilia mazungumzo ya wazazi wako eeh?", alisema James kwa macho makali kidogo akimwangalia moja kwa moja Erick. "Haya ni mazungumzo kati yangu na mama yako. Naomba ukae kimya!," akamgeukia Rose na kuendelea, "Najua nilikuumiza kiasi cha kutostahili kusamehewa. Hivi sasa nimebadilika sana, Rose. Tangu nilipokupoteza wewe, kandili yangu ya nafsi nahisi inazidi kufifia siku hadi siku. Niko tayari kwa kila kitu, kukuenzi, kukujali, na kukupa vingine ambavyo awali hukuvipata muhibu. Tafadhali sikitikia goti langu kukupigia, mke",
Pasipo sababu ya msingi Rose akaanza kujiliza. Machozi na sauti vikawa vinashindana kujitiririsha kuelekea kwenye utetezi wa mwisho. Machungu yalizidi alipokumbuka matusi na kashfa alizopewa na mumewe wakati wanatalikiana.
"Mke? mke hiyo vipi. Ulichonifanya hustahili kusamehewa na mimi. Mungu ndiye atakayekusamehe. Ulinifedhehesha sana mwanaume wewe. Kiko wapi? Kiko wapi sasa?", Nilishakusahau James, nimeanza kurejea maisha yenye furaha! Umeniletea tu mkosi, nyumbani kwangu. Tafadhali nenda, miguu miwili uliyojia bado ingali imekubeba", Rose alisema huku akitoa kilio chenye kuambatana na malalamiko kede kede.
"Tafadhali, mpenzi. Usinipige konzi la upendo, nafsi yangu inajutia..ubinafsi wangu na kujipenda kuliko kujali hisia na matamanio yako ya kimwili", James alinena.
Erick aliinuka na kusema. "Umesikia baba. Tokaa....!", alisema bila kujali mipaka ya mtoto na baba.
"Tafadhali Rose. Usinifanyie hivyo mpenzi. Tuyamalize laazizi wangu...turejee uhali wetu," alisema kwa kutapatapa akiona tumaini halipo la kurejeana naye. Juhudi zake hazikufua dafu, akaamua kuondoka huku uchungu wa kulilia penzi lake ukimchoma. Alipofika mlangoni, akageuka na kumwambia Rose," Rose, nakupenda na nakuhitaji kuliko unavyofikiri. Heart you!," akafungua kitasa cha mlango na kutoka. Nyuma yake akabamiza mlango.
Erick alihama sofa na kwenda kwenye sofa alilokaa mama yake. Akaanza kum'bembeleza taratibu kama afanyavyo mwanaume kwa mwanamke.
"Pole sana!", alisema.
"Pole ya nini?", Rose aliuliza huku akimwangalia mtoto wake huku akimalizia kujifuta machozi.
"Kwa kilichotokea. Sipendi kukuona ukilia au kuumia kinamna yoyote ile," alisema huku akimshika kichwa na kumbusu katika paji la uso.
"Haya siyo madhila yako. James ndio mwiba ulionikaba kooni. Unapendeza...ukiwa na ghadhabu", Rose alisema akimwangalia macho yake.
Erick alisogeza mkono juu kidogo na kumfuta mashavu yaliyokuwa bado na vichembe vya machozi. Wakati akifanya hivyo, Rose akamshika mashavu yote mawili kwa viganja vyake. Rose akasema, "Nakupenda sana, Erick", alisema huku akirejesha busu la katika paji kwa Erick. Erick hakufanya hiyana naye akamnyonya denda kwa hisia kali huku akivutiwa na upana na lips za midomo ya mama yake.
"Nakupenda pia, na nitajitahidi kufanya kila ninachoweza ili ujisikie vizuri", alisema.
"Tafadhali, nahitaji tu kupumzika kwa sasa", Rose alimwambia.
"Je ungehitaji nikufanyie chochote?"
"Nitakuwa sawa. Usijali!", Rose alinadi.
"Kweli?"
"Yeah! Nenda tu, sihitaji kukuharibia siku yako zaidi," Rose alisisitiza.
"Hata mimi pia, sijihisi vyema", Erick alisema akichukua bilauri ya maji na jagi kutoka mezani alivyotumia baba yake. Akavipeleka jikoni.
"Sawa", Rose alisema huku akiinuka kuelekea chumbani kwake.
Erick alipofika jikoni akaweka bilauri na jagi vilikopaswa kuwekwa. Akatoa simu yake janja na kuperuzi mitandao ya kijamii, video za kuchekesha, alipoona bado ameboeka akajaribu kucheza games za katika rununu. Alichukia ujio wa baba yake.
"Nadhani nina wazo la kumfanya mama ajisikie vyema", alijisemea mawazoni.
Ikawa kama wazo lake ndo limevuta ujumbe kuingia kashani.
"Mambo? Nimekumiss, kipenzi", ndivyo ulivyosema ujumbe wa Haika.

Kipendacho roho...?

***

Hula nyama mbichi!
Erick aliegesha gari ndogo ya mama yake sehemu ya Parking, kisha akatuma ujumbe kwa Haika. "Nimeshafika supamaketi, ile ya siku ile". Akashuka kutoka kwenye gari, na kushika njia ya kuelekea kwenye malango ya Supamaketi. Akaingia ndani, akawa anachagua bidhaa mbalimbali ambazo alitaka kumununulia mama yake kama kipoza nyoyo. Wakati akikagua barakoa za kufanyia usafi meseji katika rununu yake ikaingia. "Okay, ngoja nimtoke huyu mzushi,". Baada ya kuisoma meseji akaikomea tena simu mfukoni. Aliporidhika na bidhaa alizonunua akatoka nje na kuelekea kwenye meza kubwa ya matunda iliyokuwa nje ya supamaketi. Alinunua matufaha matatu.
Alipokuwa akitembea kuelekea kwenye gari, meseji nyingine ya Haika ikaingia, "Geuka nyuma". Alipogeuka akamwona Haika Kamugisha akiwa amevaa sketi iliyoshuka mpaka chini ya magoti na imembana ipasavyo. Kale kanundu kake ka nyuma kakawa kameumbika kabisa na kuonekana kimajaribu. Juu akiwa amevaa tu kifulana chepesi na chenye rangi ifananayo kwa mbali na kale kajisketi. Hakutia neno zaidi ya kumtazama juu na chini, akipenda kile alichokiona. Haika alikuwa amebeba mifuko miwili ya supamaketi, iliyojaa bidhaa mbalimbali alizonunua.
Haika alipovuka barabara tu, akamrukia Erick. Na kuanza kubwabwaja maneno mbali mbali akidai eti amemmisi. Erick hakufanya ajizi alimkumbatia ipasavyo naye.
"Mumeo umemuacha wapi?," Erick aliuliza huku akifungua mlango wa gari ili aingie.
"Aaagh! Achana naye bhana, ameelekea maduka makubwa ya hapo nyuma ya sheli. Ameenda kununua kitambaa cha kushonea suti. Nimemwambia tu natangulia kwa maana yeye akitoka huko anaongozea kazini moja kwa moja," Haika alinena, huku akijivuta mlango wa upande wa pili.
Naye akaingia ndani ya gari. Wakajuliana hali. Haika akaanza kulalamika eti amemsusa na kwanini amfanyie hivyo. Erick alibaki kutabasamu tu huku akikaangalia kale kamamaa kenye macho ya ukorofi. Akamweleza Haika juu ya ziara ya baba yake. Uso wake ukamnyauka baada ya kusikia.
"Siwezi kuamini, unataka kuniambia kwamba James alikuja kwenu adhuhuri ya leo?", alihoji kuonyesha mshtuko wake wazi. "Ndiyo, lakini kwa alichoambiwa na mama nadhani utakuwa ndo mwisho wake kufika nyumbani. Ikiwa ni msikivu", Erick alisema.
"Labda, lakini Erick ujue mapenzi hayana la kusikia. Yana sheria zake zisizotabirika. Ni rahisi sana kwa James kuja kumletea tena zogo", Haika alisema.
"Shauri yake! Iwavyo na iwe!,"
"Mh! Vibaya hivyo, baba yako yule. Usimseme vibaya!," Haika aliitetea kidogo nguvu ya mzazi.
"Bwanaee! Hata konokono naye ana baba!!!"
"Tuachane na hayo bwana. Kwahiyo? vipi, uko peke yako?" aliuliza.
"Ndiyo, nisingeweza kuja na yule bibie. Maana yule mzee amemuharibia ari. So, nikaja chapu ili kuchukua baadhi ya bidhaa na matunda kwa yule mama," alisema huku kidole chake cha shahada cha mkono wa kulia akimwonyesha mama anayehusika na Down Town Fruits. Down Town Fruits ni wauza matunda wakubwa katika eneo hilo ambao huandaa aina tofauti tofauti za matunda. Mama Erick amekuwa ni mteja wa mara kwa mara wa matunda yao. Hivyo na Erick alijikuta anapenda duka alilokuwa amelipenda mama yake.
"Hakujisikia vyema. Alihitaji kupumzika. Pengine matunda na baadhi ya vitu nilivyonunua vyaenda kututoa hiko kifurukuta mahaba!,"
Haika akajua hiyo ndiyo nafasi pekee ya yeye kupewa apendacho. Akaunyoosha mkono wake kama jongoo, na kushika zipu ya Erick kuanza kugusagusa. "Unafanya nini?," Erick aliuliza, huku akijivuta kutokana na mtekenyo wa vidole vya Haika katika bakora lake. Hali hiyo ikaanza kupandisha jotoridi la mwili wa Erick. Kwa sauti ya kupagawa. Akamwambia Haika waende siti za nyuma kwa maana sehemu ya mbele ya kioo haikuwa na tinted. Haika alikubali na kurukia nyuma huku Erick naye akipenya kwenye upenyo wa kati ya siti ya dereva na abiria wa mbele. Alipotua tu, Haika akamzawadia kwa denda shtukizi, huku akirudia hali yake ya awali ya kupekenyua pale kwenye zipu.
Haika alifungua zipu taratibu. Baada ya kufungua akaingiza mkono kwa ndani yake. Madhii yalishatoka tayari, kiasi cha kufanya mkono wa Haika uzidi kumsisimua zaidi Erick. Haika alivyokuwa mkorofi akaendelea kuichezea kwa kupanda na kushuka katika namna kama anapaka yale madhii kwenye kichwa chake. Wakati Erick akifurahia juu juu huku akiinua kiuno kufata mkono. Hamadi! Pipi ya kijiti ikawa mdomoni mwa Haika, akawa anailamba huku akiinyonya.
Wakati Erick hakujua kuwa walikuwa kati au mwanzo. Akasikia tu Shaah! imeingia. Kutahamaki Haika alikuwa ameshaikalia kutokea kwa nyuma kana kwamba alikuwa akikitafuta kitu kimgongomgongo. Leo Haika alijivingirisha kama jongoo aliyeguswa na mti. Kumbe ndo alikuwa akijifaidia kinyumenyume. Erick akaendelea kusukuma mbele, mpaka Haika akawa kama anataabishwa na siti za mbele. Wakati Erick anashughulika nyuma ya uti wa mgongo wa mwenzake, Haika alijikuta anahisi ganzi mwili mzima kama sekunde tano hivi. Baada ya hapo, akajisikia kama kuna mkojo ulikuwa ukimtoka ambayo ulimfanya apige kelele kama mshangiliaji wa mpira wa miguu.
Mapigo yao ya moyo yakawa yanapiga tofauti. Wakabaki wakiangaliana tu, baada ya kimoja cha hamu. Huku akihema, Haika akasema.
"Hiki ndicho nilichokimiss, kupelekwa kule ambako wengine hushindwa kunipeleka hata sudusi ya safari tu. Nafsi yangu sasa imetua mzigo mzito, najihisi kupungua uzito!",
Haika akajifuta kwa leso nyeupe aliyokuwa nayo. Na akamfuta pia Erick.
Akashuka kwenye gari, aliyokuja nayo Erick.
Alipotoka akaona tingatinga ikivuta gari yake ya njano aliyokuwa ameipaki sehemu aliyoamini angeweza kuondoka mapema. Sehemu isiyorasmishwa kwa ajili ya kupaki gari.
Aliweka mifuko yake chini, na kurusha mikono kuashiria kusitishwa kwa uvutwaji gari yake.
Alishachelewa!

Penzi la wizi, ni chachu ya kadhia.

Itaendelea....
 
8. Anima na Animus.
"Nazi mbovu ni harabu kwa nzima," alisema Edson Kamugisha akimwangalia mwanafunzi wake aliyekuwa akiongea naye ofisini kwake. Mara nyingi Yusufu Chandi amekuwa akiomba ushauri wa kimahusaiano kutoka kwake. Na kwakuwa urafiki wao umedumu kwa muda mrefu kiasi cha Edso kumchukulia Yusufu kama mtoto wake. Hiyo ilisababishwa na Yusufu kuwa na busara na heshima (sio hekima) ambayo iliweza kumuimarisha kimaadili dhidi ya watu wazima.
"Lazima akilini mwako ujue kuwa, unapaswa kumiliki kitu bora. Hiyo ndio faida ya kujua unachokijua. Nguvu ya utendaji huanzia katika akili. Akili inapoumba picha na kukubaliana na mazingira husika huumba kani isukumayo utokeaji wa vitendo. Ndiyo maana imani kiasi cha punje ya haradali inaweza kubadili maisha ya mtu,"
"Sawa mwalimu. Lakini mbona kama hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa akili na matukio. Kwani kuna baadhi ya mambo mara kadhaa katika maisha yangu hayakutokea sawa sawa na nilivyowaza katika akili yangu. Hiyo husababishwa na nini?," aliuliza Yusufu Chandi.
"Halahala! Makinika kuwa, katika tendo lolote kuna mawili aidha akili ijiumbie kizingiti cha kufikiri au iumbe mwanya mpya wa ung'amuzi wa mambo. Tuchukulie kwa mfano ngono, yenyewe ni nguvu ya uumbaji ambayo binadamu amepewa ili aweze kuumba. Hii inadhihirisha kuwa ngono inaathari ya moja kwa moja katika akili zetu kwa kuwa ndio tukio tukufu la kiuumbaji.
Hivyo hata utendaji wa kifikra wa mtu anayejihusisha sana na ngono hauwezi kufanana na mtu asiyefanya mno. Kumbuka ngono ni tendo la kiuumbaji, lisipotumika kuumba basi litatumiwa kujibomoa nafsi. Pengine hilo ndo lilisababisha mwanasayansi fulani kuasisi nadharia ya "Man Hypothesis*". Katika dhanifu hilo husemwa kuwa mwanaume ambaye hajaoa ana werevu wa haraka katika kufanya maamuzi yenye kumhatarisha hata yey mwenyewe. Kwani mtu aliyeoa huwa hayuko huru kwenye ufanyaji maamuzi, hufuata mkufu wa maamuzi. Maamuzi yake huathiri wengi, hivyo anakuwa mzito kuamua. Hisia ya muunganiko jamii humtawala wakati anapotaka kufanya maamuzi yenye kuhatarisha.
Dhanifu hilo ndio lilipelekea baadhi ya serikali za mataifa makubwa duniani kuajiri watu wasiooa kwenye baadhi ya vitengo vyao nyeti, kutokana na 'risk' iliyopo katika nafasi hizo. Sihitajiki kubainisha hakika ya uhusiano uliopo kati ya ngono na ndoa. Ngono ni uumbaji, na ndoa ni kitu kinachobariki uumbaji. Kupitia ndoa "Kibali cha Mungu" hulinda na kutoa baraka katika uumbaji. Inapokuwa vinginevyo uumbaji huwa sumu na kumwangamiza anayeufanya au wanaofanyiwa. Hukuwahi kusikia maandiko yakisema, dhambi ya kuzini ni ya kujishambulia mwenyewe?," Profesa Kamugisha alimwambia Chandi ambaye alikuwa akimsikiliza kwa makini tangu awali.
"Nimewahi!,"
"Naam, basi inalezea namna ambavyo nguvu ya uumbaji ikitumiwa vibaya huwa na madhara makubwa sana kwa jamii. Hasa kwa bulughi*. Kwa maana akili zao hazijakomaa hasa kiasi cha kuwa na msuli wa kuhimili mikiki ya ngono na rabsha zake!," Kamugisha alisema.
Mara simu yake ilianza kuita, alikuwa mkewe akipiga simu. "Kumradhi," alitamka, huku akichukua simu na kubofya kitufe chenye alama ya simu ya kijani.
"Halo! Vipi mke upo salama?," aliuliza punde alipopokea simu.
"Niko salama. Dear, huwezi kuamini kilichotokea. Wakati narudi kwenye gari nikakuta watu wa halmashauri wanaivuta kwa tingatinga! Nikajitahidi kuzoza nao bila mafanikio, nikaamua kurudi tu nyumbani," Haika alisema kwa mtiririko wenye mtuo ufuatao kiimbo cha sauti yake.
"Pole, lakini huwa nakuhimiza mara kwa mara mke. Unapaswa kuwa makini sana kwenye safari zako, usipaki gari hovyo hovyo ili tuepuke faini za kujitakia!," aliongea kwa upole katika namna isiyohukumu, "Kwahiyo ulisafirije?."
"Nilip..a..nda ba..jaji mume," mkewe alisema huku, akishambuliwa na saikolojia ya uongo. Siku zote mwongo apaswa kuwa mwerevu ili aweze kujidhibiti kisaikolojia wakati wa utekelezaji wa uongo wenyewe. Alificha ukweli kuwa alipelekwa nyumbani na Erick Kupaza. Na sio tu kumpeleka, kwani hata walipofika huko hawakuwa na uwoga wowote na walipandishana tena mahanjamu* na kupeana tena uroda kabla ya Erick kuondoka.
Profesa alijua kuwa, binadamu hukamatwa katika upigaji chuku kwenye vigezo viwili kwanza macho, pili ni sauti. Kwa mtu unayezungumza naye kwa simu, anapodanganya huwa kuna kusitasita kusikosababishwa na mantiki bali hisia. Mtu ambaye anayeongea ukweli, haitaji nguvu nyingi kuuelezea. Sauti hufuata kiimbo cha kupanda na kushuka kwake, kwa mwongo huwa anashindwa kudhibiti ipasavyo kiimbo cha sauti yake. Kama vile ambavyo macho ya mwongo hutangatanga kudhibiti nishati chafu ya uongo inayokuwa ikimghasi.
"Sawa, haina shida mke. Kesho nitaenda halmashauri kufatilia! Vipi umeshakula lakini?," alimuuliza mkewe.
"Tayari! Sasa hivi najifikirisha jioni tule nini," Haika alisema huku kusita kwake kukiishia.
"Sawa mke, fikiri vyema. Baadae basi, kwa maana hapa nina mazungumzo na mtu. Nikimaliza nitakupigia mpenzi," alisema, kurejea mazungumzo yake na mwanafunzi wake, Yusufu Chandi.
"Sawa, be careful",
"Gonna be," alijibu na kukata simu.

Akatulia kwa muda. Kisha akamwangalia Yusufu aliyekuwa amekaa kwenye kiti cha mbele ndani ya ofisi. Ofisi ambayo ina meza kubwa na viti vitatu vya wageni. Nyuma ya kiti ambacho hukaa mwenye ofisi kulikuwa na picha kubwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Joseph Pombe Magufuli, kwenye sura yake makini na isiyo na mzaha juu ya vinyamkera wa uvunjifu wa haki. Kulia kwake kulikuwa na uwazi unaomruhusu kuzunguka meza wakati anapotaka kukaa. Katika upande huo huo wa kulia kwenye ukuta kulikuwa na shubaka kubwa la vitabu. Katika shubaka hilo kulikuwa na vitabu vilivyopangwa vyema kiunadhifu. Vitabu vingi vilivyohusu fasihi na falsafa vilijaa shubakani ipasavyo.
Profesa Edson Kamugisha akamwangalia kijana wake. Akaendelea kushika simu huku akimwandikia ujumbe, Haika.
"Samahani mpenzi, andaa nyaraka zote zinazohusu gari. Ili kesho, tusijitaabishe!," alimtumia.
"Ok," ndo jibu alilotoa Haika.
"Samahani kijana. Mambo ya familia!," alimtaka radhi zaidi kijana wake.
"Sawa, mwalimu. Naelewa..!,"
"...kama nilivyosema. Kukua kiakili huambatana sana na masuala ya ngono. Hii inatokana na kuwa tafiti za elimu nafsi, zinaeleza kuwa mtu ni jumuiko la mwanamke na mwanaume. Hakuna mtu katika mwanamke pekee wala mwanaume pekee. Mtu, hana jinsia...ni moja kujumlisha moja hasi, ambayo ni sifuri. Mwanamke huwa anaongozwa na hisia na vionjo vya moyo, lakini mwanaume huongozwa na akili. Hivyo mtu kamili, husukumwa na vyote viwili yaani hisia na akili. Lakini huwa inatokea kuwa yule aliye na hisia pekee huwa mtumwa wa hisia zaidi kuliko akili yake.
Sasa basi, katika kila nafsi ya mwanaume, ndani yake kuna kifani/kitu chaitwa 'Anima' ambalo ni neno la kilatini lenye maana ya pumzi au moyo. Anima, ni uanamke ulio ndani ya mwanaume. Sasa basi huu uanamke ulio ndani ya mwanaume, humfanya apende aina ya mwanamke aliye ndani yake. Kuna baadhi ya watu husema, Anima, ni uanamke wa mwanaume aliourithi kutoka kwa mama yake. Basi, ikiwa mwanaume hupenda mwanamke anayefanana na uanamke wake wa ndani (Anima), wanahitimisha kuwa Mwanaume hupenda mwanamke anayefanana na mama yake mzazi. Kwakuwa taswira ya mama ndiyo uanamke ulio mfu ndani yake. Kwakuwa moyo au nafsi ndiyo hubeba hisia, anima ambayo haikudhibitiwa humfanya mwanaume kuwa mwenye hulka za mtoto wa mama," alisema huku akitoa nafasi ya kijana wake aelewe somo.
"Sasa, Profesa hiyo anima ina uhusiano gani na Man Hypothesis?," Yusufu alihoji.
"Bado sijamaliza. Usimiliki tabia za chura kupiga mbizi kwenye chungu chenye mafuta ya mnyonyo yaliyo moto. Ha ha ha!
Hivyo, Mwanamke pia, ndani yake kuna uanaume uitwao 'Animus' ambayo humaanisha roho au urazini. Uwezo wa kutumia akili. Nayo pia husemekana ni baba wa mwanamke husika aliyejificha ndani yake. Hali hii pia humfanya mwanamke awe anavutiwa na mwanaume mwenye vitabia au mfanano fulani na baba yake. Yusufu, naomba uzingatie kuwa nazungumzia hiyari ya mtu kujikabidhi kingono kwa mwingine. Kwa maana iliyo teke ni kuwa binadamu yeyote anaposhiriki ngono, huwa anashiriki na mtu anayemfananisha na mzazi wake wa jinsia tofauti. Na hii hutokea katika pembe za chaki, yaani bila ya hata mhusika kujua kuwa anayeshiriki naye tendo amemfananisha na mzazi wake!
Kwenye Man Hypothesis, kwakuwa anima ni uanamke ambao huwakilishwa kupitia hisia ndani ya mwanaume. Uanamke huo haukamiliki ipasavyo bila ya kuwa na uhusiano na mwanamke mwenyewe. Kitendo cha mwanaume kujihusisha kimahusiano na mwanamke, huwa anakamilisha ule uanamke ulio ndani yake. Ni kama utupu fulani hivi unaokuwa ndanimwe. Ambapo huo utupu unapojazwa na mwanamke ndio huumba mtu kamili. Lakini akidhibitiwa kutokuwa na mwanamke kinachotokea ni kuwa ule uanamke ndani yake (anima) hukosa nguvu. Hisia hutoweka kabisa au kudhibitiwa ipasavyo. Hii hufanya mwanaume kuwa na utumiaji wa akili mkubwa pasipo kufungamanishwa na hofu au rabsha nyingine yoyote ya kihisia!", Profesa Kamugisha alimwambia Yusufu ambaye kwa wakati huo alikuwa akitikisa kichwa kuonyesha kuwa ameelewa alichokuwa akiambiwa.
"Lakini pia, tamaa ya Mwanaume kutaka kufanya ngono au kumpenda mwanamke husukumwa na yule mwanamke wa ndani (Anima). Yaani mwanamke wa ndani (anima) ndiye huwa anamsukuma mwanaume kumuhitaji mwanamke wa nje (Halisi). Vivyo hivyo pia kwa mwanamke, husukumwa kumpenda mwanaume na ule uanaume wake wa ndani (Animus). bwana Chandi, natumaini unanielewa."
"Nimeelewa mwalimu. Lakini kwanini haya mambo wengi wetu hatuyajui?," aliuliza Yusufu.
"Haya mambo yamekuwa kama shubuha*. Hivyo hufichwa kwa watu, ikidhaniwa kuwa mijadala ya ngono ikifanyika hadharani ni kukiuka miiko na maadili ya Mwafrika. Ingawa kuna haja hasa ya Wanandoa, na Wapenzi kujua elimu hii...ambayo huwafanya wajue uhalisi wa mambo!," alisema Profesa huku akifungua droo ya meza aliyoiegama.
Akatoa kitabu kikubwa kwa wastani chenye kava la rangi ya kijani mpauko. Akamkabidhi Yusufu Chandi akione. Yusufu akasoma maandishi makubwa yaliyokuwa katika kava la kitabu kimya kimya. "MEN ARE FROM MARS, WOMEN ARE FROM VENUS", kwa chini ya kitabu kulikuwa na maneno "The Classic Guide to Understanding the Opposite sex". Kitabu hiko kimeandikwa na Daktari John Gray. Jina la kitabu hiko humaanisha kuwa Mwanamke na Mwanaume hutofautiana kila kitu, ingawa tofauti hizo zatakiwa kuchukuliwa kama nguzo inayohitajika ili kuleta upatano kati yao.
Profesa akamwambia, "Katika dibaji ya hiko kitabu Dakt. Gray anasema 'Elimu juu ya ujinsia hutusaidia zaidi kuwa wavumilivu na wesamehevu pale mtu asipojibu kwa kadri tunavyofikiri au apasavyo kufikiri'. Nenda kasome hiko kitabu, ukimaliza naweza kukupa vingine ambavyo vipo kwenye softikopi," alisema Prof.
"Nimegundua kuwa watu huwa hawapati ugumu kuona vivuli vyao. Lakini huwawia ugumu mno kujua kwanini wao ni wao," Yusufu alisema, huku akiinuka na kuaga.

Kuwajua wengine, twahitaji kujifunza...!
***
Lakini kujijua mwenyewe, kwahitajika Hekima.
Aliwahi kusema Lao Tze, Mwanafalsafa wa uchina ya kale. Kikubwa ambacho kila mtu apaswa kujua ni kuwa Kuishi ni safari ya kujijua. Kujijua ndio kilele cha msigishano upatikanao kati ya upendo na chuki. Yaani humaanishwa kuwa vita vilivyopo ndani ya mtu vya kudhibiti uhasi na uchanya wake, ndiyo humpa gurudumu la kujijua kinagabaga. Kwenye chanya pekee binadamu hawezi kujijua, lakini pia hata katika uhasi pekee. Uwepo wa chanya na hasi zote ndo huumba kitendawili ambacho mwenye kutaka kujijua lazima akifumbue. Na ufumbuzi wa hiko kitendawili huhitaji Hekima.
Na hakuna awezaye kujishuhudia kuwa ana Hekima. Kwa maana asilimia kubwa ya binadamu huwa tunapenda upuuzi. Upuuzi huambatana na raha na unsi wenye kusisimua wakati wa utendaji wake. Upuuzi unaweza ukawa wa aina yoyote ile. Lakini upuuzi wa Erick Kupaza ulikuwa ni ngono. Ilikuwa haitawezekana kupita juma moja bila kushiriki zaidi ya mara tatu. Na pia kwakuwa upuuzi wowote aupendao binadamu huambatana na hatma fulani mwishoni. Hakuna ajuaye hatma ya Erick. Mussa mwenyewe anayemwelezea huyo Erick, haijui hatma yake mpaka itakapotokea.
Ndivyo ilivyo uhai ni kuvutana. Mwanzo huvuta mwisho, wakati mwisho nao huvuta mwanzo. Anayedhani anakujua leo atataka ajue jana yako, na kesho. Na hata waliodhani wanakujua jana walitamani kuijua hii leo yako. Uhai ni mvutano.
Leo yako huvuta kesho yako, mithili ya kuzaliwa kwako kunavyokivuta kifo chako. Erick alibarikiwa werevu wa kuwa shapu kwa haraka katika kuwachangamkia wanawake. Hiyo ndiyo iliyokuwa juju yake, na wala si kwa sangoma*. Kwa maana hata sangoma hutangatanga akisumbuliwa na mapenzi. Asikwambie mtu uchawi wa upendo ni kujipenda. Erick alijipenda kwa unadhifu na mitupio ya kisasa na yenye kuwavuta wasichana wengi walioambukizwa upendo. Na upendo wa kweli ni wenye kuambukiza, sio wa mabango.
Ilikuwa imebaki siku tatu, wa yeye kwenda chuo. Mpango wa yeye kuonana na Haika kabla ya kuondoka ili waagane haukufanikiwa kwani mama yake alikuwa akimng'ang'ania mno kwani alijua kuwa zimebaki siku chache Erick kwenda chuo. Animus ya Erick ilishibishwa ipasavyo baada ya kujihisi raha iliyo nje ya kikomo afanyapo ngono. Hata hivyo Haika alilalama sana juu ya Erick kuondoka bila hata ya kuagana. Kwakuwa haikuwa vile ilivyopaswa kuwa basi wakawa wanaishi kuchati kingono (Sextexting). Walipiga soga mpaka usiku wa manane...wakitumia lugha yenye maneno makali. Kuna wakati fulani, alitumiwa meseji na mtandao aliokuwa akitumia kumkanya lugha aliyokuwa akitumia kwenye jumbe zake.
Usiku wa siku ambayo asubuhi yake ndo siku alopaswa kuripoti chuo. Alipewa penzi la kukata na shoka. Walikimbizana humo ndani, kutupiana mito ya kulalia hata kupelekea foronya zake kutoka. Walipeana aina zote za mabusu yalioorodheshwa kwenye "Kama Sutra*". Walifaidiana hasa kwa kupeana mitindo yote ambayo magunge wa mapenzi huijua. Yaani ilikuwa ni patashika shuka kuchanika. Waliposafirishwa na nguvu ya ngono, wakapotelea huko huko.
Kushtuka! Kumekucha tayari, alipoangalia simu yake alikuta kuna meseji saba kutoka kwa Haika, tatu zikimtakia safari njema, mbili zikionyesha majuto yake ya kutokuagana kwao kimwili. Na meseji mbili zilielezea mashaka yake ya ukimya wa kutokujibu meseji zake. Akazifuta zote. Halafu akamwandikia meseji isemayo, "
Jana 'lilala mapema, kuamka sasa hivi,
Mi buheri kwa salama, wewe kwangu ni chumvi,
Penzilo kwangu mwandama, kwenye ngono we mjuvi,
Leo zangu ninakwenda, lakini 'takukumbuka.

Hakika 'takukumbuka, mangineyo usiwaze,
Ukihisi kuboeka, nifate nikuliwaze,
Lau ukanichoka, meseji usijibize,
Kamwe sitoghafilika, na pendo letu tukuze,"

Ilikuwa meseji iliyoandikwa katika shairi fupi lenye kusisimua. Alipomtumia Haika, haikuchukua sekunde nyingi ilijibiwa. "Ahsante sana laazizi, mekuelewa. Ahsante kwa shairi zuri na umenifanya niwaze mengi sana. Napenda namna yako unavyopalilia pendo lako kwa vitu vidogo vidogo. Katika maisha yangu nimekuwa niki pewa vitu vikubwa na vya thamani lakini havipalilii penzi langu kwa mume"
"Karibu sana Haika. Nakupenda, we jua hivyo!", Haika alijibiwa.

Pendo la kweli hulindwa na mambo madogo, makubwa waachie wakubwa kwani mapenzi yanataka utoto.

FASILI;
1. Man Hypothesis; ni nadharia inayodai kuwa mwanaume ambaye hajaoa ni rahisi kufanya maamuzi hatarishi bila kujali.
2. Mahanjamu; hali ya kuhisi hamu na kuwa na shauku kubwa ya kufanya mapenzi
3. Kupiga chuku; kuongopa
4. shubuha; jambo lisilojulikana waziwazi uhalali au uharamu wake
5. Sangoma; mganga.


Itaendelea....
 
9. Nyoka Nyikani.
Kamwe moyo hauwezi kugawanyika. Tabia yake ni moja tu kama ndio ni ndio ikiwa sio ni sivyo. Ikifuata ndio batili hushindwa kubainisha kweli yake na kujikuta ikitumikishwa bila kufuata vionjo vyake. Mara nyingi sana watoa ushauri wa mapenzi hata wao wenyewe pia hujikuta wakihaha kutetea mapendo yao. Ni kama fumbo au kitendawili kuwa anayeshuhudia tukio huwa na mtazamo tofauti na wale ambao hushiriki moja kwa moja kwenye mchezo husika. Mchezo wa Mapenzi nao hufuata kanuni na misingi hiyo hiyo ya mtazamaji na mchezaji. Mapenzi huwa kama upuuzi vile kwani mwenye fahamu huwa mjinga na mjinga huwa na fahamu katika mapenzi.
Kuna mafumbo ya maisha ambayo hata yakifunguliwa hayawezi kuwa na maana ile ile ambayo katika ufumbaji wake ilipasa kuwa. Daima huwa kuna uhusiano kati ya chuki na upendo. Ni sawa na kupiga mstari ulio mwembamba kati ya kupenda na kuchukia. Pale binadamu anapopenda kitu fulani, basi jua kuwa kuna anachokichukia ambacho hufidia ile kani ya upendo wake kwayo. Ni sawa na kusema ukipenda kuwa wa kwanza humaanisha unachukia kuwa wa mwisho. Upendo na Chuki ni mapacha, mapacha wanaoongozana katika njia moja ila welekeo tofauti. Mapacha hao hufuata kanuni ya bwana Isaac Newton kuwa katika kila kitendo kuna kilichokinyume chake, hivyo, mtu anayependwa sana pia huwa anafuga hali ya kuchukiwa sana bila yeye mwenyewe kujijua. Mahiri wa kutumia dhana hiyo ni yule ambaye hujua namna bora ya kuitumia hofu na upendo kwa pamoja ili kuleta hali ya kiasi katika upendo wake kwa watu.
Hofu hulinda heshima na upendo hudhibiti chuki. Mara nyingi binadamu huumizwa sana na wanaowapenda kuliko wanaowachukia. Mwenye kujua cha kukichukia huwa na mapenzi bwerere katika anachokipenda . Akisami* ya mahaba ni kujichetua na kujitoa fahamu wakati fulani ili kuweza kufikia kile ambacho mtu anakiwania.
***
Aliporudi chuo, mambo yalibadilika sana kwa upande wa Erick. Akawa hatamani tena chuo. Lakini kwa vile ni jukumu lake kielimu hakukuwa na sababu ya kujivuta kwenda chuo. Wakati alipokuwa chuo akili yote ilikuwa kwa Haika. Kwa vile hakumfaidi sana tangu aanzishe mahusiano naye. Ilikuwa wamefaidiana mara chache tangu kuanzishwa kwa uhusiano wao. Siku ile pale kwenye gazibo. Kumbukumbu za kilichotokea gaziboni na siku chache walizofanya tendo zilibaki daima katika bongo lake. Alijitaabisha kujiweka bize na masomo yake lakini haikuwa vile ilivyokuwa. Akili haikumwisha kutangatanga. Hakuna bamvua lisilo usubi.
Wakati wanazuoni wenzake wanajibidiisha na mavitabu ya katika kozi zao kama vile, 'Neufert Design Data', 'Architectural Design and Engineering Drawing' nakadhalika, yeye alihaha kusoma mabuku yasiyo rasmi; riwaya na saikolojia za mahusiano. Hata kuna siku alikuwa anarudisha kitabu kinachohusu saikolojia ya wanawake, mkutubi wa mapokezi alikuwa wa kike akashawishika kutaka kujua kijana huyo kuno kunani kutoka katika hilo buku. Ilikuwa kama kupigwa teke kwa chura jinsi kunavyomrahisishia safari. Alijifafanuza utasema ndicho atakachojibu siku ya mtihani wa mwisho wa simista.
'Habari yako kaka?. Kitabu ni kikubwa! Umejifunza nini kuhusu wanawake?," alihoji mkutubi.
"Mh! Mnafundishika na kueleweka sasa ninyi? Afadhali ningekuwa nimejifunza kitu ningetamba. Kwa maana, mtamba huwezaje kujua adha ya kuzaa ikiwa haujawahi?," alimaanisha kuwa ujinga wa kumjua mwanamke haukomi. Na haiwezekani kukoma.
"Buku lote hili? Kweli ukose kujua hata namna ya kumvisha kipini cha dhahabu nguruwe?,"
"Labda pengine wewe, unijuze. Nami nikuwe mkubwa kama wewe!,"
"Acha zako bwanaa!," alisema kwa kupunguza makali ya Erick. Huku mkutubi akionekana kumaliza kunukuu dondoo zihusuzo kurejeshwa kwa kitabu. Akachukua kalamu na kumpatia Erick, ambaye alishatoa kitambulisho na kumwonyesha. Mkutubi akamwonyesha pa kusaini. Baada ya kusaini, Erick akafunga zipu ya mkoba wake, alikotoa lile buku la, 'Psychology of Women'.
"Natania bhana! Nimejifunza vitu vingi, lakini hasa nimejifunza vitu vitatu. Kwakuwa wanawake husukumwa na kuendeshwa na hisia. Hivyo vitu vyote vitatu vyahusaiana naye kihisia. Kwanza, mwanamke ahitaji maneno matamu yenye kumpa moyo na nguvu, ili aweze kububujisha pendo lake ipasavyo kwakuwa misheni ya mwanamke duniani ni kuimarisha mikondo ya mapendo katika dunia. Pili, mwanamke ni mvumilivu na ni kiumbe tata pia kwani hutii zaidi mwitiko nuizi wa nafsi na maumbile yao. Na huwa haziwapotoshi, hulenga shabaha yenyewe ya kitabia. Tatu, kutokana na taabu na misukosuko yake ya kisaikolojia mwanamke apaswa kujiponya yeye mwenyewe kwanza kiakili, ili mwili wake ndio umtibu," alisema Erick huku akijitwika mkoba wake mgongoni.
"...mh! Una mambo wewe! Kuna uhusiano gani kati ya saikolojia ya mwanamke na ndoa?," mkutubi aliuliza huku umakini wake ukijikomeza kwenye neno ndoa.
"Kwakweli, sina uzoefu wa ndoa. Mi bado mtoto. Lakini nina jibu lililo kinyume na andiko la 'Psychology of Women'. Kwanza itambulike kuwa hakuna ndoa iliyo kamilifu. Ndoa kamilifu huumbwa na Imani kuliko matakwa. Saikolojia inahusiana na ndoa kupitia imani yenye kuvutana na uhalisi wa maisha yenyewe. Ikiwa ndoa itaongozwa na matakwa ya urazini, haitadumu sana...kwani ndio sababu ndoa yahusianishwa na uhatia wa kufikirika! Ndoa ni Imani, hukosewa ikipimwa kwa akili au mivutano ya kimwili", alifupisha Erick, huku akionekana kutaka kutoka.
"Mbona wataka kuondoka. Una haraka sana kwani?," alimuuliza mkutubi.
"Ndiyo, nina kipindi muda si mrefu!,"
Asali bora hujulikana baada ya njiti ya kiberiti iliyotoswa kwayo kuwaka.
***
Mkono huitwa mkono, ikiwa unashika na kuachia. Kulegeza na kung'ang'ania. Baada ya vipindi kuisha, Erick alirudi hosteli. Alipofika bwenini, alipewa taarifa na wenzie kuwa matroni Sandra, alikuja kumuulizia. Erick alijisikia mzito, kwakuwa alishamkataza matroni wake asiwe anamfata bwenini kwao. Mapenzi yake juu ya matroni yalishapungua, na hakutaka kuendelea naye kimahusiano. Alijikuta ana adha moja ya kushindwa kumwambia ukweli matroni kwamba hakumuhitaji tena. Na hata alipokutana naye mara kwa mara alikuwa anakosa namna ya kumkabili na kumfafanuliza juu ya ukweli wenyewe.
"Samahani matroni, najua tumetoka mbali lakini naomba uhusiano wetu ufe," kimoyomoyo alipania amwambie hivyo. Akikutana naye, hujikuta anasahau na kuanza kutekenyana naye mpaka anapelekwa kule wasikotaka Haika na Rose apelekwe na mwanamke mwingine yeyote. Hivyo ajenda ya kumwambia ukweli matroni kuwa hakumuhitaji tena ikawa ni kama hekaya isiyotambulika mwisho wake.
Mtego ulionasa windo hautaliachia windo hilo kwa mapenzi yake.

***
Mcheza hawi kiwete, ngoma yataka matao. Sio kwa kibwebwe wala njuga, kiini cha ngoma ni vitimbwi na mikogo. Kila mtu hutaka kushiriki uchezaji ngoma hata pasipo kualikwa. Wasichana wadogo na vijana wateke huishaibikia na kuifurahia pasipo tahadhari wa moyo mkuu wa kuidhibiti. Wengi wao hunogewa na kucheza hobelahobela na kujikuta ngoma ikiwadhuru wao wenyewe.
Wachezaji wote hakuna hata mmoja ambaye aliyefika ngomani kwa msukumo wa ngoko zake binafsi. Ngoma uhusianisha wanawake wa aina mbili. Mwanamke ajivikae urembo, na asiyejivika. Ajivikae urembo hujilegeza macho, hujivisha viguo vifupifupi, huzungumzia ngono hovyo, huwakwa na kurukwa akili kwa ashiki yake, na huilazimisha miale ya mvuto. Asiyejivika urembo; huwa mrembo hasa kwani, macho yake huangalia kawaida, hujisitiri na nguo zake za kawaida, hazungumzii hoja ya ngono hovyo bali hutumia lugha ya mwili, na huwa na uwezo wa kusababisha cheche za huba anapokuwa ngomani na mwenziwe pasipo kuzichochea kwa shuruti. Uzuri sio urembo. Wanawake wote ni wazuri, urembo ni pambo. Pambo hilo linatumika vibaya na kupoteza maana halisi ya uzuri wa mwanamke katika karne hii.
Vyote iwavyo, mwanamke atakapo kucheza ngoma na mwanaume fulani; hufanya mambo matatu. Kwanza atajitengenezea mazingira ya kuumba taswira ya mvuto wake kingono katika bongo la mwanaume huyo. Pili, hatojiharakisha kuifaidi ngoma yenyewe ingawa huwa akiitamani. Na tatu, hatotofautisha kati ya ngono na upendo. Hatua hizo humfanya ajiumbie tahadhari zisizo na ulazima dhidi ya nafsi yake mbele ya miiba ya mahaba. Lakini kunaibukia swali, ni muda gani wahitajika ili mtu aweze kumvumilia mwenzi wake kabla ya kumtunukia mwili wake?
Kihekima, sio vyema kukaa muda mrefu sana kabla ya ndoa, ikiwa inategemewa iwe hivyo. Uchumba wa muda mrefu hukatisha tamaa, na pengine kupelekea upotofu wa kiapo cha uchumba. Ni sahihi, kama ukaribu utakuwa ni wenye kujengwa na kuimarishwa kwa misingi ya kuvumiliana. Pengine katika kitu kinachodhaniwa kuwa ni mfano wa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, ni upatikanaji wa mwanamke bikra akiwa na umri wa ukomavu kabisa kwenye kuinengua ngoma. Wengi wao wamekuwa wakikatwa vizinda* vyao hata kabla ya ukomavu hasa wa kuingia kwenye ngoma. Busara yenye kuzingatia heshima ya kumbukizi la kudumu katika mahusiano, ni kutokufanya tendo na mwenzi wako kabla ya ndoa. Hii huleta heshima na uthamani wa kudumu katika siku ya ndoa. Vijana wa kizazi hiki, wamekuwa kama viwavijeshi kuharibu mazao yakiwa shambani kabla ya wakati wake wa mavuno kufika.
Ni kama vile, mshairi fulani alivyosema;

BIKRA...!
Binti mfano wa boga, kwa kisu hutobolewa,
Kwa akili asokoga, kama samaki huvuliwa,
Wavuvi 'kuvigaviga, hudhani wamenogewa?,
Huwekwa kisarawanda*, bikra atakapongoja.

Wavuvi wakishaonja, humuwona ananuka,
Huba huanza viroja, vitimbwi pia vibweka,
Lakini anayengoja, ndoani huheshimika,
Tandika kisarawanda, kwa bikra aliyengoja.

Asiyabake mahaba, kila dume kulipenda,
Wakishamchoma miba, njia zao huziyenda,
Nalo pendo likikaba, ndo hukumbuka kizinda!,
Huwekwa kisarawanda, kwa bikra aliyengoja.

Ubikira ni utawa, mwili ulotakasika,
Heshima kwa anayeowa, ndoaye kuikumbuka,
Ikiwa hajatunziwa, hudhani 'hatopendeka',
Huwekwa kisarawanda, kwa bikra aliyengoja.

Mapenzi si raka'teni, kurupu kurupukia,
Banati jisitirini, acheni tupu kutoa,
Aibu kumbatieni, ujike si kukodoa,
Huwekwa kisarawanda, kwa bikra aliyengoja.

Labda itambulike ubikra upo wa namna mbili; kuna ubikra wa kutokuingiliwa na mwanaume yeyote, na ubikra wa kabla ya ndoa. Yaani wachumba kutokushiriki tendo kabla ya ndoa yao. Pengine ubikra huo wa pili ndio umesahaulika mno kwakuwa ubikra uhusianishwa moja kwa moja na kuvunjika kwa kizinda kuliko uthamani wenyewe wa kutoshiriki tendo la jimai kwa muda fulani. Bikra za aina yote hulinda heshima ya mwanamke. Kwa aliyeshindwa kuilinda bikira ya kwanza basi ajichunge kwa kuilinda ya pili. Ili aghalabu awe na cha kujivunia katika ndoa yake, pasipo kuwa na nishati za mikosi. Hii haitowapa nafasi vitatange wa mapenzi.
Kwa maana tendo lifanywalo baada ya ndoa, hujenga utii wa asili wa mwanamke kwa mumewe. Ikitokea kisarawanda hakikuchafuka siku hiyo, basi itachukuliwa kama ajali kivoromoko*. Yaani mtoto kufia tumboni kabla ya kuzaliwa. Lakini ikiwa mechi ishapigwa kabla, uthamani wa siku ya ndoa hautathamaniwa. Wanandoa wenyewe, wanajua. Jinsi kufifia kwa kumbukizi ya ndoa iliyofungwa kabla ya ndoa yenyewe, inavyokuwa.

Pengine, NDOA ni MTEGO.


Itaendelea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom