maubusu
Senior Member
- Oct 18, 2018
- 121
- 75
Bishop yupo jamani?Au Jason hajarudi mafunzoni?
Bishop yupo jamani?Au Jason hajarudi mafunzoni?
@Bishop Hiluka yupo salama japo alipata majanga...alipata ajali iliyopelekea taya la mkono wa kulia kulegea kiasi cha kutoweza kuongea wala kula na pia akavunjika mkono.Bishop yupo jamani?
Namshukuru Mungu hali yangu inaendelea kuimarika. Baada ya vipimo vingi iligundulika kuwa nilikuwa na sumu kwenye damu...
Nawashukuru wote mlionipigia...
Pole zake sana,nakuombea upone haraka ndugu yangu!@Bishop Hiluka yupo salama japo alipata majanga...alipata ajali iliyopelekea taya la mkono wa kulia kulegea kiasi cha kutoweza kuongea wala kula na pia akavunjika mkono.
Kwa sasa hali ya taya imetengamaa na anaweza kuongea na anakula vyakula laini kama anavyokula mtoto na mkononi ana mhogo (pop)
Twendelee kumuombea ili apone haraka. Nawasilisha
Nikupe my wangu au nimcheki tu em nishauri?jaman mwenye mawasiliano na Bshop atujuze hali yake,ni muda sasa sijapata kusikia hali yake
Nipe bestNikupe my wangu au nimcheki tu em nishauri?
No niliyokuwa nayo haipatikani kabisa labda mwenye no nyingine atume tumtafutejaman mwenye mawasiliano na Bshop atujuze hali yake,ni muda sasa sijapata kusikia hali yake
Nipe best
daah tujipe imani iko siku atakuja kutusalimu humuNo niliyokuwa nayo haipatikani kabisa labda mwenye no nyingine atume tumtafute
Ntkutumia kesho sasa nimelewa mkuu
@wegero kwetu , moneytalk , Litro namba hizo hapo0685 666964 na 0755 666964. Hata hivyo leo natupia mzigo...
ubarikiwe sana mkuu
Namimi nilimpigia,alipata ajali akavunjika mkono,mpaka sasa bado mkono wa kulia unasumbua hata vidole havifanyi kazi vizuri,naamini Kuna madaktari humu watamshauri,lakini pia tumuwezeshe ndugu zangu katika kipindi hiki kigumu kwake!Waambie bado napita kwenye changamoto (mapito) kubwa, kipindi chote hiki za miezi 3+ nipo nyumbani tu ila Mungu akipenda tutakuwa pamoja soon...
Ujumbe kutoka kwa bwana Bishop tuendelee kumuombea wakuu yote yatakua sawa