Simulia movie ulizoona nasi tuzitafute

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
5,759
5,289
1.the ruins-kuna majani yanauwa watu humu ni noma.yanakuingia mwilini au yanakuviriga kama nyoka

2.untraceable-kuna jamaa anateka watu afu anarekodi kwa video camera.kisha anarusha kupitia website yake.vile watu wanavotembelea hyo site ndivyo yule mateka anakufa haraka
 
1. Taken- kikundi cha wajanja flani kinateka mabinti na kuwapeleka kufanya biashara ya ngono wanakosea njia na kumteka mtoto wa stering we ni hatari
2. Death at funeral ni bonge la story ambapo dingi anafariki kipindi wanajiandaa kuzika anakuja dwarf na kusema kua dingi alikua ni shoga na yy ndo alikua mumewe so familia impe hela ili asitoe siri coz ana picha za utupu alizopiga na dingi ni bonge la storry.
3. Evan might. Imejaa comedy ila ni tam jamaa anaambiwa ajenge safina wakati yeye na kigogo wa serikali anagoma yaliyompata ni nouma mwisho anakubali kitu september 21
4. Kibajaji. Hii ni comedy ya kibongo ila naikubali sn sn mboto ana mwanamke ana wivu kupita kiasi
 
1.the ruins-kuna majani yanauwa watu humu ni noma.yanakuingia mwilini au yanakuviriga kama nyoka

2.untraceable-kuna jamaa anateka watu afu anarekodi kwa video camera.kisha anarusha kupitia website yake.vile watu wanavotembelea hyo site ndivyo yule mateka anakufa haraka

nimeziona zote kaka ila the ruins ni hatari inasikitisha sn sn
 
1. Taken- kikundi cha wajanja flani kinateka mabinti na kuwapeleka kufanya biashara ya ngono wanakosea njia na kumteka mtoto wa stering we ni hatari
2. Death at funeral ni bonge la story ambapo dingi anafariki kipindi wanajiandaa kuzika anakuja dwarf na kusema kua dingi alikua ni shoga na yy ndo alikua mumewe so familia impe hela ili asitoe siri coz ana picha za utupu alizopiga na dingi ni bonge la storry.
3. Evan might. Imejaa comedy ila ni tam jamaa anaambiwa ajenge safina wakati yeye na kigogo wa serikali anagoma yaliyompata ni nouma mwisho anakubali kitu september 21
4. Kibajaji. Hii ni comedy ya kibongo ila naikubali sn sn mboto ana mwanamke ana wivu kupita kiasi

ubarikiwe kaka.hapo nimeiona taken tu.ngoja nidownload fasta
 
Hangover - kuna jamaa wanne walienda kufanya shopping ya rafiki yao aliyekuwa anaoa kesho yao. Sasa usiku waliamua kupiga tungi sasa vituko walivyofanya ni noma. Tyson yupo kwenye hyo muv.
 
Hangover - kuna jamaa wanne walienda kufanya shopping ya rafiki yao aliyekuwa anaoa kesho yao. Sasa usiku waliamua kupiga tungi sasa vituko walivyofanya ni noma. Tyson yupo kwenye hyo muv.

Dah tyson namkubali sana.ngoja ntaitafuta
 
tom and Jerry wanapigana na kupatana ..... Natania. Movie ni Lone Survivor ni Movie ambayo story ya kweli wanajeshi wakimarekani wanaenda kumtafuta jamaa wa Taliban wamuue kufika mlimani walimuona jamaa chini na Darubini ila hawa kuweza ku shoot kwanza sababu wataharibu mpaka wakubaliwe na Captain wao ilibidi walale kwenye milima ya miti asubuhi na mapema bahati mbaya wakasiki millio ya mbuzi Kumbe wachunga mbuzi ilibidi wawakamate ila mmoja wao akasema tumuachie Huyu babu na watoto ni wadogo Yule dogo wa makamo ile kuachiwa alitoka nduki kwenda kuwapa habari Kule chini mlimani kuna nani kuanzia hapo Balaaaaaa la wanajeshi wa marekani Sita na Mataliban lilianza na wanajeshi wa USA zile radio zao za maongezi ziliharibika mawasiliano Puuuuuuu Paaaaaa Peeee Paaaa Puuuuuu zilikucha je mwisho ulishaje? Kaitafute.
 
tom and Jerry wanapigana na kupatana ..... Natania. Movie ni Lone Survivor ni Movie ambayo story ya kweli wanajeshi wakimarekani wanaenda kumtafuta jamaa wa Taliban wamuue kufika mlimani walimuona jamaa chini na Darubini ila hawa kuweza ku shoot kwanza sababu wataharibu mpaka wakubaliwe na Captain wao ilibidi walale kwenye milima ya miti asubuhi na mapema bahati mbaya wakasiki millio ya mbuzi Kumbe wachunga mbuzi ilibidi wawakamate ila mmoja wao akasema tumuachie Huyu babu na watoto ni wadogo Yule dogo wa makamo ile kuachiwa alitoka nduki kwenda kuwapa habari Kule chini mlimani kuna nani kuanzia hapo Balaaaaaa la wanajeshi wa marekani Sita na Mataliban lilianza na wanajeshi wa USA zile radio zao za maongezi ziliharibika mawasiliano Puuuuuuu Paaaaaa Peeee Paaaa Puuuuuu zilikucha je mwisho ulishaje? Kaitafute.

Mkuu hii movie nimeona ni hatari sana, ila binafsi ningewamaliza kabisa wale wachunga mbuzi. maana ndio walioharibu mpango mzima.
 
36th chambers of shaolin(disciples of masta killa) ni uchina enzi hizo ktk jimbo.flan kuna utawala wa kimabavu star yupo upande wa haki wanauwawa wazazi wake na washkaji zake wote.jamaa anaamua kwenda kujifunza kung fu shaolin temple anapotoka umo kashaiva ni kutoa kichapo haswa kwa maadui zake
 
36th chambers of shaolin(disciples of masta killa) ni uchina enzi hizo ktk jimbo.flan kuna utawala wa kimabavu star yupo upande wa haki wanauwawa wazazi wake na washkaji zake wote.jamaa anaamua kwenda kujifunza kung fu shaolin temple anapotoka umo kashaiva ni kutoa kichapo haswa kwa maadui zake

Ngoja niitafute.
 
1. In too deep - Omar Epps aliweza kujichanganya kuingia kwenye dola ya wauza madawa ya kulevya, kumbe hawakujua mwenzao alikuwa askari kanzu, wakafanya nae matukio mengi bila ya kujua mwenzao ni askari. Mwishoni wanakuja kumstukia tayari wapo chini ya ulinzi na ushahidi wote umerekodiwa.

2. Romeo must die - Hum(Jet LI) akiwa lupango nchini mwao China, mara ghafla anakuja mfungwa mpya anamletea taarifa ya kuwa mdogo wake(wa kiume) ambae alikuwa akifanya maisha yake US ameuawa. Jet baada ya kupata taarifa hizo alishikwa na hasira nyingi sana, ikabidi atoroke gerezani na kuanza safari US kwenda kuwatafuta waliomuua mdogo wake(wa kiume) ili alipize kisasi.

3.Honey - Inamuhusu mlimbwende ambae ndoto yake ilikuwa kufungua shule ya kuendeleza vipaji vya watoto wanaochipukia kwenye uchezaji(unenguaji) lakini ndoto zake zilitaka kuzimwa ghafla pale ambapo mmoja wa mapromota akataka amtumie kimapenzi ili amuinue, lakini mlimbwende alijitahidi sana kuonyesha msimamo pamoja na kuahidiwa ahadi kede kede ikiwemo kumtafutia eneo la vipaji vya watoto ili atimize ndoto zake, lakini mlimwende alijitahidi kuonyesha msimamo wake na kuachana na yule promota, pamoja yule promota alijitahidi amzibie milango ya mafanikio lakini haikusaidia
 
hivi mmewaona hawa watu wanaitwa MAMBO NA VIJIMAMBO?....wana season 1 ina episode 13 na zote wamezitupia youtube .....hawa jamaa tisha sana katika tasnia ya kuvunja mbavu....hakikisha una kamba za kufungia mbavu
 
1.the ruins-kuna majani yanauwa watu humu ni noma.yanakuingia mwilini au yanakuviriga kama nyoka

2.untraceable-kuna jamaa anateka watu afu anarekodi kwa video camera.kisha anarusha kupitia website yake.vile watu wanavotembelea hyo site ndivyo yule mateka anakufa haraka
Mkuu kama unaweza nipe link ya the ruins niipakue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom