Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
9 December mwaka huu, ilikuwa uhuru wa tz bara, sikuona rais yeyote au mgeni yeyote toka nje ya nchi kualikwa au kuhudhuria ata majirani zenu, lakin leo nimesikia magazeti rais wangu atakuwa mgen kwenye sherehe ya uhuru wa kenya nikashituka sana sio kwa mabaya na kubwa zaid rais wa zanzibar shen nayea katuma salam kwa kenyatta... Sijaelewa kabisa kwanini lakin mambo yetu hawayaheshimu sisi tunajipendekeza