Simuelewi rais Magufuli

Buchanan

JF-Expert Member
May 19, 2009
13,199
1,969
Yeye anadai kusafisha nchi. Anasafisha sebuleni halafu anaacha chumbani pamejaa uchafu! Namaanisha wazee wa kujua kusoma na kuandika waliosababisha vyeti feki na wao pia wana vyeti feki kuachwa! Lengo lake silielewi kwa kweli kukubali kukaa na uchafu chumbani na kusafisha sebule!
Kunyoosha gani huko? Kwa nini tusiseme yeye hasa ndiye aliyenyooshwa na wa kusoma na kuandika? Au ndio yale ya bosi kuwa mkali Ofusini akirudi home ananyooshwa na mama nanhii, hasemi kitu?
JPM asijidanganye, akiondoka yeye uchafu anaourundika chumbani utamwagika sebuleni na itakuwa aibu kwake!
 
Yaani zoezi zima la vyeti feki limepoteza maana yake nalo limekuwa 'feki' kutokana na zoezi hilo kudaiwa kutohusisha wanasiasa ambao qualification yao kuu eti ni ONLY kujua kusoma na kuandika tu!

Lengo la 'kupindisha' wahusika wa vyeti feki likiwa na lengo moja kuu la kumlinda mtu mmoja tu anayeitwa Daudi Bashite!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
alisema hafufui makaburi-ameamua kufufua ngoja tusubiri makaburi ya escrow,kivuko,richmond,epa,dowans,melemeta na mengine mengi atayafufua lini??
asiishie kwenye vyeti kuna makaburi mengi yaliyoangamiza nchi bado hayajafufufliwa
 
anaacha uchafu chumbani anapolala anafanya usafi sebleni na bado anaacha mlango wazi. uchafu lazima urudi ndani tena na hali ilivyo ngumu asaivi kunauwezekano ukarudi mwingi zaidi ya uliokuwepo
 
Hivi anaepaswa kuhakiki vyeti vya mtumishi kabla ya kuajiriwa serikalini ni nani?,?,??,,,,,??????
 
Unataka amsafishe nani!? ungekuwa una uhakika na unachoandika, ungekuwa umeisha kwenda Ikulu kuwashitaki kwake awajue ukiwa na documents za kumuonyesha.
 
alisema hafufui makaburi-ameamua kufufua ngoja tusubiri makaburi ya escrow,kivuko,richmond,epa,dowans,melemeta na mengine mengi atayafufua lini??
asiishie kwenye vyeti kuna makaburi mengi yaliyoangamiza nchi bado hayajafufufliwa

LUGUMI yenyewe kashindwa kuongea chochote pamoja na riport ya CAG kutolewa hayo mengine ndio atayaweza?
 
Unataka amsafishe nani!? ungekuwa una uhakika na unachoandika, ungekuwa umeisha kwenda Ikulu kuwashitaki kwake awajue ukiwa na documents za kumuonyesha.

mda mwingiine hua unaongea pumba sana kwaio skuizi mashtaka yanapelekwa moja kwa moja ikulu ..mbona anafahamu vizuri na alitoa go ahed apige kazi hivhivo
 
Mkuu huyo dada achana nae asikupotezee MB zako ni wakum hurumia kwani hajui atetealo yupoyupo tu yaani kiufupi msamehe bure.
 
Yeye anadai kusafisha nchi. Anasafisha sebuleni halafu anaacha chumbani pamejaa uchafu! Namaanisha wazee wa kujua kusoma na kuandika waliosababisha vyeti feki na wao pia wana vyeti feki kuachwa! Lengo lake silielewi kwa kweli kukubali kukaa na uchafu chumbani na kusafisha sebule!
Kunyoosha gani huko? Kwa nini tusiseme yeye hasa ndiye aliyenyooshwa na wa kusoma na kuandika? Au ndio yale ya bosi kuwa mkali Ofusini akirudi home ananyooshwa na mama nanhii, hasemi kitu?
JPM asijidanganye, akiondoka yeye uchafu anaourundika chumbani utamwagika sebuleni na itakuwa aibu kwake!
Teh teh teh! Mimi nafikiri ndiye rais anayejitengenezea hoja ambazo baadaye atashindwa kuzijibu
 
goodluck5,
JPM huwa akiona amerikoroga huwa anawaita critics wake "majipu" ili wasiendelee kuhoji! Na ndicho unachomsaidia kufanya!
 
Yeye anadai kusafisha nchi. Anasafisha sebuleni halafu anaacha chumbani pamejaa uchafu! Namaanisha wazee wa kujua kusoma na kuandika waliosababisha vyeti feki na wao pia wana vyeti feki kuachwa! Lengo lake silielewi kwa kweli kukubali kukaa na uchafu chumbani na kusafisha sebule!
Kunyoosha gani huko? Kwa nini tusiseme yeye hasa ndiye aliyenyooshwa na wa kusoma na kuandika? Au ndio yale ya bosi kuwa mkali Ofusini akirudi home ananyooshwa na mama nanhii, hasemi kitu?
JPM asijidanganye, akiondoka yeye uchafu anaourundika chumbani utamwagika sebuleni na itakuwa aibu kwake!
Yuko tayari kwa aibu
 
Yaani zoezi zima la vyeti feki limepoteza maana yake nalo limekuwa 'feki' kutokana na zoezi hilo kudaiwa kutohusisha wanasiasa ambao qualification yao kuu eti ni ONLY kujua kusoma na kuandika tu!

Lengo la 'kupindisha' wahusika wa vyeti feki likiwa na lengo moja kuu la kumlinda mtu mmoja tu anayeitwa Daudi Bashite!
Jinyonge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom