simuelewi mpenz wangu

Nzenzu

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
858
164
habari,naomba ushauri wenu jaman,npo mapenzini mwaka sasa lkn nashndwa kumsoma mwenzangu,nisipomtafuta bac wiki litapita hajantafuta na akijitahd cku nne,nikimwandikia sms hajbu akjtahd short answers and hatumii sweet words kuniita and sometimes nahis hanipend japo nikimuuliza anadai ananipenda!simuelew na nashndwa kumzoea!
 
Muwe mnaweka na Jinsia zenu mnapoomba ushauri,
Ushauri hua unategemea kama wewe ni wa jinsia ya -me au -ke,
Mathalani kama wewe ni -ke naweza kukuambia tutafutane faragha face 2 face ili tuangalie cha kufanya juu huyo jamaa yako,
But kama wewe ni -me bana shauri lako, utajua mwenyewe jinsi ya kupigania uhusiano wako
 
Kagundua unatumiwa na magamba labda............................. mkuu inawezekana hauko makini sana
 
Kagundua unatumiwa na magamba labda............................. mkuu inawezekana hauko makini sana
<br />
kwangu m yeye ndo kila kitu na sjawah penda kama iv! I can say he z the love of ma life
 
<br />
kwangu m yeye ndo kila kitu na sjawah penda kama iv! I can say he z the love of ma life

Niliposoma tu thread yako nilihisi tu kuwa wewe ni she pamoja na kuwa hukutaja jinsia yako.
 
Nzenzu nafikiri unajua nini kinaendelea na umetoa hio post kupata unafuu wa kutoa likuumizalo... Pole saana... But you and i know kua huyo ni ex tayari hila tu hamjasaini doc... kuashiria mkataba umeisha....
 
Nzenzu nafikiri unajua nini kinaendelea na umetoa hio post kupata unafuu wa kutoa likuumizalo... Pole saana... But you and i know kua huyo ni ex tayari hila tu hamjasaini doc... kuashiria mkataba umeisha....
I beg to differ na mtazamo wako,...... ndio maana nasisitiza kila siku kumdhibiti mwanaume ni kazi rahisi na ndogo sana lakini ni lazima ujuwe weakness za wanaume wengi ni nini!
Through my experience unaweza kukuta huyo jamaa yake alikuwa kwenye mahusiano kabla ya kuwa nae na yamemgharimu sana, sasa mtu wa namna hiyo inahitaji ufundi kumuhandle na kumsahaulisha yaliopita, pili financial status, wanaume tulio wengi kama ukiwa kwenye kipindi cha financial arassment basi hata maswala ya mapenzi hayawi priolity kwa mwanaume.

Kuna kitu kingine kidogo sana wanawake mmeshindwa hata kujifunza, hivi nyinyi bado hamjajuwa kwamba wanaume tunapenda kufanyiwa scrub na wanawake? pamoja na masaji? hivi vitu ukijifunza na ukanunuwa mafuta yote yanayoitajika huoni ni moja ya njia nzuri ya kumkamata mwanaume? wale wadada wanaotufanyia scrub huwa tunawapa tip mpaka ya 10,000= wakati huduma ya kunyoa na scrub unakuwa umeshalipia pembeni, na ndio maana salon ya kiume sasa hivi bila kuwaweka wale kina dada wa scrub inakuwa haina mvuto.
Sasa kazi kwenu nimewapa hiyo tip ndogo tu jifunzeni halafu muwafanyie wenza wenu muone uchawi huu wa ajabu unavyofanya kazi.
 
I beg to differ na mtazamo wako,...... ndio maana nasisitiza kila siku kumdhibiti mwanaume ni kazi rahisi na ndogo sana lakini ni lazima ujuwe weakness za wanaume wengi ni nini!
Through my experience unaweza kukuta huyo jamaa yake alikuwa kwenye mahusiano kabla ya kuwa nae na yamemgharimu sana, sasa mtu wa namna hiyo inahitaji ufundi kumuhandle na kumsahaulisha yaliopita, pili financial status, wanaume tulio wengi kama ukiwa kwenye kipindi cha financial arassment basi hata maswala ya mapenzi hayawi priolity kwa mwanaume.

Kuna kitu kingine kidogo sana wanawake mmeshindwa hata kujifunza, hivi nyinyi bado hamjajuwa kwamba wanaume tunapenda kufanyiwa scrub na wanawake? pamoja na masaji? hivi vitu ukijifunza na ukanunuwa mafuta yote yanayoitajika huoni ni moja ya njia nzuri ya kumkamata mwanaume? wale wadada wanaotufanyia scrub huwa tunawapa tip mpaka ya 10,000= wakati huduma ya kunyoa na scrub unakuwa umeshalipia pembeni, na ndio maana salon ya kiume sasa hivi bila kuwaweka wale kina dada wa scrub inakuwa haina mvuto.
Sasa kazi kwenu nimewapa hiyo tip ndogo tu jifunzeni halafu muwafanyie wenza wenu muone uchawi huu wa ajabu unavyofanya kazi.


Hayo mambo ulotaja hapo juu... ni rahisi saana kufanya hasa kama unapenda... na ndio maana it is advisable mwanamke ahakikishe anampenda mumewe (hata mume apende mkewe ndio... ila kuna utofauti for utendaji wa mwanaume kumridhisha mkewe ni directly physically na materially pia) whereas naamini upande wa mwanamke ni more kusukumwa na Love... Kama humpendi mume huwezi fanya hayo ya hapo juu.... But if you Love Matola We do more than that... hayo ulotaja yoote ni kweli if you want to keep your man and many mo'....

Back to the topic at hand... Waweza kuta huyo dada alikua anapoteza tu mda... na kampata choice yake... Sio kwamba kila mwanamke mwenye mwanaume wake anakua kafika hapo... saa ingine ni njia tu bado hajapata destination...
 
I beg to differ na mtazamo wako,...... ndio maana nasisitiza kila siku kumdhibiti mwanaume ni kazi rahisi na ndogo sana lakini ni lazima ujuwe weakness za wanaume wengi ni nini!<br />
Through my experience unaweza kukuta huyo jamaa yake alikuwa kwenye mahusiano kabla ya kuwa nae na yamemgharimu sana, sasa mtu wa namna hiyo inahitaji ufundi kumuhandle na kumsahaulisha yaliopita, pili financial status, wanaume tulio wengi kama ukiwa kwenye kipindi cha financial arassment basi hata maswala ya mapenzi hayawi priolity kwa mwanaume.<br />
<br />
Kuna kitu kingine kidogo sana wanawake mmeshindwa hata kujifunza, hivi nyinyi bado hamjajuwa kwamba wanaume tunapenda kufanyiwa scrub na wanawake? pamoja na masaji? hivi vitu ukijifunza na ukanunuwa mafuta yote yanayoitajika huoni ni moja ya njia nzuri ya kumkamata mwanaume? wale wadada wanaotufanyia scrub huwa tunawapa tip mpaka ya 10,000= wakati huduma ya kunyoa na scrub unakuwa umeshalipia pembeni, na ndio maana salon ya kiume sasa hivi bila kuwaweka wale kina dada wa scrub inakuwa haina mvuto.<br />
Sasa kazi kwenu nimewapa hiyo tip ndogo tu jifunzeni halafu muwafanyie wenza wenu muone uchawi huu wa ajabu unavyofanya kazi.
<br />
<br />
inakuwaje kama uko mbali naye na unajaribu kumuweka karibu but reaction yake ndo ileile
 
Hivi text ndo njia tu ya kuwasiliana na mpenzio?<br />
yaonekana hata we huna mwelekeo..<br />
Kama kawa nampenda lakini ni maneno tu...<br />
Em sema nini kungine umefanya fanya cha kuonyesha unampenda..
Ukiacha hizo text ..
 
Muwe mnaweka na Jinsia zenu mnapoomba ushauri,<br />
Ushauri hua unategemea kama wewe ni wa jinsia ya -me au -ke,<br />
Mathalani kama wewe ni -ke naweza kukuambia tutafutane faragha face 2 face ili tuangalie cha kufanya juu huyo jamaa yako,<br />
But kama wewe ni -me bana shauri lako, utajua mwenyewe jinsi ya kupigania uhusiano wako
vile vinahii vy senks mbona huku cvioni nikugongee mkuu!
 
Muwe mnaweka na Jinsia zenu mnapoomba ushauri,<br />
Ushauri hua unategemea kama wewe ni wa jinsia ya -me au -ke,<br />
Mathalani kama wewe ni -ke naweza kukuambia tutafutane faragha face 2 face ili tuangalie cha kufanya juu huyo jamaa yako,<br />
But kama wewe ni -me bana shauri lako, utajua mwenyewe jinsi ya kupigania uhusiano wako
<br />
<br />
khaaa!
 
Hivi text ndo njia tu ya kuwasiliana na mpenzio?&lt;br /&gt;<br />
yaonekana hata we huna mwelekeo..&lt;br /&gt;<br />
Kama kawa nampenda lakini ni maneno tu...&lt;br /&gt;<br />
Em sema nini kungine umefanya fanya cha kuonyesha unampenda..<br />
Ukiacha hizo text ..
<br />
<br />
sio text tu,call ndo sana na sometimes hata kwenda kumwona na kumuuliza kulikon na mambo mengi,but akiwa na mm sioni dalili zozote za kutonipenda au kuwa na msichana mwingine!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom