Henry Temu
Member
- Aug 11, 2012
- 85
- 22
Unampigia cmu mpenzi wako ucku sa 5 unamtafuta kesho yake anakuambia alikua anaongea na mjomba wake,kuna ukwel hapo?
mjomba ni sugar daddy wake
so yuko sahihi
anamuita mjomba ndo jina alilochagua kumuita
Hivi ndo vichekesho vinavyonifanya nisizeeka. Maana kabla ya kulala nikikumbuka naanza kucheka peke yangu wakati natafuta usingizi. Lol.
Mumeo hauko naye mcheke wote?
kwa nini kusiwe na ukweli, je kama mjomba anaishi ughaibuni!!!
Mkuu inategemeana na mazoea kama anaongea mara kwa mara mida hiyo, anza kuchunguza
mi sijaelewa.................
mjomba ni sugar daddy wake
so yuko sahihi
anamuita mjomba ndo jina alilochagua kumuita
Punguza vurugu
anacheka akinikumbuka mimi na vichekesho vyangu lol
mumewe yupo but not this funny lol
Unampigia cmu mpenzi wako ucku sa 5 unamtafuta kesho yake anakuambia alikua anaongea na mjomba wake,kuna ukwel hapo?
Ulikuwa hujui tu? Au ndo kwanza yamekukuta?
Keshakwambia ni mjomba, tulia