Simu Zetu za Miaka Ile Tulipoanzia

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
ETACS_collection%282%29.JPG

Motorola_Micro-TAC.JPG
Motorola MicroTAC hii ilionekana Poa Baadae ikaja Model Mpya yake Ikaitwa Star Tac Ukiifunika inatoa mlio wa Tac Poa Sana
Nokia_101.JPG
Nokia 101 Ilikuwa lazima ucharge kila siku ukitoka job

NEC_P100.JPG
NEC P100 hizi zilikuja zikakosa soko so Zikauzwa kwa Sale Offer bei elfu 17 zikiwa na line na salio la elfu mbili Wabongo waliingizwa mkenge year 2000 nakumbuka fresh UK Zilikuwa na sifa ya kukaa na charge muda mrefu zilipozinduliwa year 1993

BT_Diamond_II_in_charging_cradle.JPG
bt Diamond II hizi zilipendwa kwa kuwa na charge yake hapo hapo ila ilisumbua ukiwa na safari sababu charge haikai sana ziliboa zilitumia line na pack yake bila kuipachua unaidumbukiza chini ya keypard
Motorola_FlipPhone%202.JPG
Motorola FlipPhone 2 hii nayo kama Diamond waliigana hahaha

Motorola_StarTAC_3000%282%29.JPG
Ngoma Star Tac 3000 Iliuzwa bei Mbaya sana nadhani ndio ilikuwa simu ghari zaidi Duniani ilipozinduliwa Marekani january 1996 ikauzwa $1,500 ione hivyo hivyo mh! kwetu ilipofika iliishia bei ya laki tatu baadae ikawa ishapitwa na wakati mpya zake zilitoka

Nokia%20Ringo.JPG
Nokia Ringo 1997 Ilitesa Mbaya hapa ilipofika kwani ilionekana ni ndogo sauti safi bila mikwaluzo Iliuzwa bei ya Mawazo! Nadhani ilkaa bei juu hadi Anologue zilipopotea sokoni bei yake ilisimama laki na 30 madukani waliozea nazo

Motorola_8900X.JPG
Motorola 8900X-2 Mobitel Now You Talk

698px-Alt_Telefon.jpg
Mambo hayo Unapiga Simu namba 091 Unauliza Saa Sauti Nzito Inakutajia Muda '''Usikiapo Sauti ya Tindo Hivi Sasa ni Saa Tatu usiku na dakika mbili sekunde saba nukta tisa. simu inakatika mtu unafanya kama mchezo kila mara unapiga oi
Telefon04_2.jpg
Orange Ipo Poa kulikuwa na Rock zake Watoto wasichezee au bill isije kuwa kubwa ukipiga long distance call mwisho wa mwezi baba hana mshahara funguo anaenda nayo kazini oi

antique-telephone-500x500.jpg
Hii Sijaitumia lol
 
siemens_c25.jpg
Hii Ilisifika kwa Jina la Twanga Pepeta Siemens C-25

Siemens-S10-01.jpg
Siemens S-10 Rangi zake zilikuwa poa na infared msg unaprint kwenye printer zenye infared pia

showcatalogpics.asp
Hii ilipoingia walikuwa nayo wazito tu au viongozi wa mashirika na serikali Tritel ndio waliziuza kwa Sana bei zaidi ya milion hakuna mrofa aliyezigusa hadi zilipopitwa na wakati zikaja tumiwa na wapigisha simu huku zikipata jina jipya Sabuni ya Mshindi muhaaha.. kuhusu charge yake hazijambo hakuna simu iliyofikia kwa kukaa na charge kama Siemens S-10

8946397892_TIME_1313909477642.jpg
Ericsoon T 10 Ilipendwa nayo dah ila network vimeo
images
Ericsson T 20 Nazo Pia mulemule Network
images
Ericsson GA 628 Hizi Zilitesa Balaa wengi waliweza kuzinunua
514_3.jpg
 
showcatalogpics.asp
Siemens-S10-01.jpg
siemens_c25.jpg


Hizi siyo simu za zamani, hadi leo zinatumika. Sema tu tofauti leo wengi tunatumia cell phone. Lakini aina hii ya simu ni zile za mkongo wa landline. Tembelea maofisini utakuta simu za kikazi ambazo ni landline zipo za aina hiyo. Hali kadhalika majumbani zipo nyingi tu. Na kama ni wireless basi distance yake ni ndogo yaani kuzunguka nyumba tu.

Na si Tanzania tu, duniani kote utazikuta simu aina hiyo. Na kama utaweka landline home phone tegemea kuwa na simu aina hiyo. Hizi si portable phone kama zilivyo cell phones. Wengine kwa vile wamezoea kuwa na cell phone tu wanafikiri aina hii ni ya zamani haipo tena, kumbe hawajakumbuka aina ya simu na matumizi yake hali kadhalika aina ya simu ya mazingira ya matumizi yake.

698px-Alt_Telefon.jpg


Hizi ndizo simu za zamani ambazo kwa sasa zipo kwenye majumba ya makumbusho ya mambo ya kale. Ila tunaozidharau ni sisi watanzania kwa sababu ya kasumba. Wazungu kuna baadhi ya maeneo ya public wameweka simu aina hiyo kwa matumizi ya kulipia kwa miito ya mbali kama kitega uchumi na pia ni pambo maridhawa na kuwaonyesha vijana wa kizazi cha leo teknologia ya mawasiliano ya simu yalikoanzia.
 
HBrwGKiFc2qFg4dt20M0.jpg

siemens-s251.jpg
Siemens s-25 Ilikuwa poa[h=3]1992 – Motorola International 3200[/h]
motorola-international-32001.jpg

* * *​
[h=3]1992 – Nokia 1011[/h]
nokia-10111.jpg

* * *​
[h=3]1994 – Ericsson GH 218[/h]
Ericsson-GH-21811.jpg

Mitsubishi-Trium-xs1.jpg
[h=3]1995 – Sony CMD Z1[/h]
Sony-CMD-Z11.jpg

* * *​
[h=3]1996 – Motorola StarTAC 75[/h]

[h=3]1998 – Samsung SGH-500[/h]


* * *​
[h=3]1998 – Nokia 9000[/h]
nokia90001.jpg

* * *​
[h=3]1998 – Nokia 9110i[/h]
Nokia-9110i1.jpg

* * *​
[h=3]1999 – Panasonic GD-70[/h]
Panasonic-GD701.jpg



[h=3][/h] [h=3]1994 – Ericsson GH 218[/h]
Ericsson-GH-21811.jpg

1996 – Motorola StarTAC 75

* * *​
[h=3]1997 – Nokia 8810[/h]
nokia-88101.jpg
Hii ilikuwa si Mchezo Simu Kali hadi Taa zake mwanga mweupe ila ikichoka noma utakuta imewekwa super glue kila kona oi
 
showcatalogpics.asp
Siemens-S10-01.jpg
siemens_c25.jpg


Hizi siyo simu za zamani, hadi leo zinatumika. Sema tu tofauti leo wengi tunatumia cell phone. Lakini aina hii ya simu ni zile za mkongo wa landline. Tembelea maofisini utakuta simu za kikazi ambazo ni landline zipo za aina hiyo. Hali kadhalika majumbani zipo nyingi tu. Na kama ni wireless basi distance yake ni ndogo yaani kuzunguka nyumba tu.

Na si Tanzania tu, duniani kote utazikuta simu aina hiyo. Na kama utaweka landline home phone tegemea kuwa na simu aina hiyo. Hizi si portable phone kama zilivyo cell phones. Wengine kwa vile wamezoea kuwa na cell phone tu wanafikiri aina hii ni ya zamani haipo tena, kumbe hawajakumbuka aina ya simu na matumizi yake hali kadhalika aina ya simu ya mazingira ya matumizi yake.

698px-Alt_Telefon.jpg


Hizi ndizo simu za zamani ambazo kwa sasa zipo kwenye majumba ya makumbusho ya mambo ya kale. Ila tunaozidharau ni sisi watanzania kwa sababu ya kasumba. Wazungu kuna baadhi ya maeneo ya public wameweka simu aina hiyo kwa matumizi ya kulipia kwa miito ya mbali kama kitega uchumi na pia ni pambo maridhawa na kuwaonyesha vijana wa kizazi cha leo teknologia ya mawasiliano ya simu yalikoanzia.
Nakubali Mkuu Ila mtu unaweza sema ni za zamani sababu hata ukizipata tatizo battery utapata shida na ukipata haitakaa na charge
 
698px-Alt_Telefon.jpg

Mambo hayo Unapiga Simu namba 091 Unauliza Saa Sauti Nzito Inakutajia Muda '''Usikiapo Sauti ya Tindo Hivi Sasa ni Saa Tatu usiku na dakika mbili sekunde saba nukta tisa. simu inakatika mtu unafanya kama mchezo kila mara unapiga oi
Telefon04_2.jpg

Orange Ipo Poa kulikuwa na Rock zake Watoto wasichezee au bill isije kuwa kubwa ukipiga long distance call mwisho wa mwezi baba hana mshahara funguo anaenda nayo kazini oi
Dah! Hizi simu waliokuwa nazo walikuwa wakiziwekea kufuri ndogo sehemu ya ku dial, ila tuliokuwa wajanja, tuliweza kupiga hizo simu bila ya kuzungusha zungusha, just kwa mtindo wa Morse code, yaani tukitumia hiyo sehemu ya kukatia simu... click click mara tisa ina maanisha ni zero.
 
HBrwGKiFc2qFg4dt20M0.jpg

siemens-s251.jpg
Siemens s-25 Ilikuwa poa[h=3]1992 – Motorola International 3200[/h]
motorola-international-32001.jpg

* * *​
[h=3]1992 – Nokia 1011[/h]
nokia-10111.jpg

* * *​
[h=3]1994 – Ericsson GH 218[/h]
Ericsson-GH-21811.jpg

Mitsubishi-Trium-xs1.jpg
[h=3]1995 – Sony CMD Z1[/h]
Sony-CMD-Z11.jpg

* * *​
[h=3]1996 – Motorola StarTAC 75[/h]

[h=3]1998 – Samsung SGH-500[/h]


* * *​
[h=3]1998 – Nokia 9000[/h]
nokia90001.jpg

* * *​
[h=3]1998 – Nokia 9110i[/h]
Nokia-9110i1.jpg

* * *​
[h=3]1999 – Panasonic GD-70[/h]
Panasonic-GD701.jpg



[h=3][/h] [h=3]1994 – Ericsson GH 218[/h]
Ericsson-GH-21811.jpg

1996 – Motorola StarTAC 75

* * *​
[h=3]1997 – Nokia 8810[/h]
nokia-88101.jpg
Hii ilikuwa si Mchezo Simu Kali hadi Taa zake mwanga mweupe ila ikichoka noma utakuta imewekwa super glue kila kona oi

duu hii imenikumbusha mbali sana..
 
Tritel sh 750 000 kwa mwezi!!!Posta unaomba simu asubuhi unakuja kupata jioni tena uwe unajuana na operator wa posta
 
Dah! Hizi simu waliokuwa nazo walikuwa wakiziwekea kufuri ndogo sehemu ya ku dial, ila tuliokuwa wajanja, tuliweza kupiga hizo simu bila ya kuzungusha zungusha, just kwa mtindo wa Morse code, yaani tukitumia hiyo sehemu ya kukatia simu... click click mara tisa ina maanisha ni zero.

Duh, umenikumbusha maana ilifikia hata maofisini kuweka kufuli, ukitaka kupiga simu lazima umwone boss, vinginevyo jenga urafiki na ps.
 
Tumetoka mbali, enzi hizo ulikuwa ukiweka dollar 5 (Tshs. 5,000/=) unapiga dakika 3 tu kwisha!
 
Duh! nakumbuka enzi hizo nasoma Jangwani Sec kuna kaka-teacher wetu anaishi jirani na kwetu basi kazi yangu kumpokelea simu za girl friends zake wengine wakiwa ni wanafunzi wenzangu. Basi wakawa wanadhani teacher ni kaka yangu. Dingi akitoka namwita teacher anakuja kupiga simu. Mh! tumetoka mbali.
 
Dah!!!alafu zilikuwa ghali niaje!!kutoka laki mbili enzi hizo,eti leo zinauzwa 5000 na change zinarudi!!!
 
Duh! umenikumbusha cm yakuzungusha kila namba ukitaka kupiga leo hii tuna mbofya
 
duh umenikumbusha wakati huo hata unaempigia inabid awe na salio kwenye simu yake ndo mtaweza kuwasiliana na wakati huo na yeye mkiwa mnaongea anakatwa salio..duh jamani haya makampuni yametengeneza hela mbaka basi.
 
asee nimekumbuka na miimi nilikuwa na yale ya
mobitel na tritel yana kaeria nilikuwa nazungumza
kwa nguvu ili watu wajue na mie ninasimu
lol lilikuwa linanilemea.
kweli tumetoka mbali sana
na bado eti hapa tuko nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom