Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
<br />Kwani alitiwa gerezani kwa kosa gani? I mean what brought about his incarceration?
<br />
ALIGONGA WANAWAKE NA MAENDELEO WKT YUPO BOT AKIJUA PIA NI CHAKULA YA BOSS WAKE
<br />Kwani alitiwa gerezani kwa kosa gani? I mean what brought about his incarceration?
<br />Haziwezi kuwa screened kipindi hiki ambacho ma miss Tanzania wako kambini
<br />so jamaa kabakiza miezi saba tu atoke
<br /><br /><br />
<br /><br />
KINA NANILIU WANAOPENDA DEZO WATAANZA TENA MABINTI WA MJINI BANA BADALA MTU UTOKE JASHO UPATE CHAKO UNATAKA SLOPE NA WANAJUA KABISA HUYU DINGI ANAMATATIZO YA KIUFUNDI WAO WAKO RADHI TUU ILIMRADI AENDESHE SPACIO HAHAHAHA WAKATI WA NEPI NDO WANAUMBUKAGA! MADADA CHAPENI KAZI ACHENI UPUMBAV
<br />watakua wanajua tu, kwan cm anachaji wapi?au selo zina socket? Huu ni uzembe wa wazi tu.
To me hii inaonyesha ni namna gani JK mwenyewe alivyo mwepesi kiasi kwamba a felon tena akiwa ndani ya gereza anampigia sm! The only reason he could do that ni kwa sababu anafahamu jamaa hana noma. Where is the respect for the presidency???????????? Hivi huyu jamaa hata kama alikuwa karibu say na Mkapa angethubutu kufanya hilo?
Kama ameruhusiwa kuendelea kumiliki bastota akiwa gerezani ataweza kuzuiwa kutumia simu, hilo la simu haya magereza yetu imeshakuwa kitu cha kawaida
<br />mwambie kakako abebe demu wa mkwe're ndo utaelewa kwa nini Liyumba yupo ndani
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mbona kama unaongea toka moyoni?
Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Akamatwa na simu ndani ya gereza akiwa mfungwa huku sheria za nchi zikiwa zinazuia kitendo hicho!
Bosi aliyekuwa anawasiliana naye kuhusiana na rufaa yake ndiye aliyemchoma kwa maafisa wa jeshi la Magereza baada ya kuchoshwa na namna alivyokuwa anamsumbua kuhusiana na rufaa yake!
Atolewa mahabusu na kwenda kuhojiwa kituo cha police...
SOURCE: WAPO FM
Very well said!!! Mtu ameshakuwa convincted tena kwa makosa kama hayo ya Liumba na bado anauwezo wakumpigia raisi simu!!!!????. Mmh kweli walikuwa watu wakaribu. Birds of the same feathers.............
Sikuwa nimefikiri kwamba kuwepo jela kwa Liyumba ni "kazi ya Kikwete" siku zote nilikua nafikiri "sheria imechukua mkondo wake"Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Hata mimi naamini hapo tatizo sio Liyumba kuwa na Simu bali ni Mfumo. Msimamizi wa mfumo wa magereza ndie anayewajibika katika kuhakikisha sheria na taratibu zinafuatwa. Hapa uwajibikaji unaanzia juu na sio chini kama wanavyotaka. Nchi hii inamatatizo ya watu kuangalia dalli na si chanzo na asili ya dalili husika.huu ni usanii.yaan mkulu na hao TISS na PCCB wanaendeshaje nchi?ilitakiwa bwana jela,kamishna magereza wajieleze na sio kumpeleka Amatus kuhojiwa.ni uzembe ulio dhahiri hata mh Nahodha anatakiwa kuchuka hatua kwa maafisa wake...hongera liyumba kumuonyesha mkuu kuwa pakacha linavuja
Kumbe Mkwe.re ni Hakimu...Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Faiza you are not serious, Suala la Liyumba ni dogo saana katika mengi na ambayo ni makubwa kusema Mheshimiwa rais Kikwete anafanya kazi. Kama Kagoda, Rada, Posho za chakula za askari, Ngereja effect, tume ya uchaguzi na mengine km hayo. So watch out!!!Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Na Jamaa akitoka Lazima alambe Mama Salma (First Lady),Mpe Mkwe.re habar kabisa atafute More VisasiHalafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?