Kama Babu SEYA.<br />
<br />
Kalaghabaho!. Mzee wa visasi. Liyumba alikuwa mashine tata..alilamba vidosho vya jemedari..jk mwenyewe..ndo maana akamkomesha..ukitaka unyee debe fasta nyemelea vibinti vya "baba"..zengwe mapema,keko!
Kama Babu SEYA.<br />
<br />
Kalaghabaho!. Mzee wa visasi. Liyumba alikuwa mashine tata..alilamba vidosho vya jemedari..jk mwenyewe..ndo maana akamkomesha..ukitaka unyee debe fasta nyemelea vibinti vya "baba"..zengwe mapema,keko!
uelewa wako ni mdogo sana huku ndio kufanya kazi kama rais wa nchi au na wewe ndio wale wale waliokunywa uji wa mgonjwa?Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Kikwete is smart! Liyumba is smart too! Tusubiri tuone hawa waheshimiwa wataishia wapi!
Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Mkuu, Magereza ya Ulaya simu wanaruhusiwa kwa mfano nchi za Scandinavian, Denmark, Sweden, kila wiki wafungwa wanapewa simu waongee na jamaa zaoMagereza ya wapi yanaruhusu simu? Labda ya kuzimu! Kama ni ulaya na Marekani simu ni marufuku,mfungwa anaruhusiwa kuongea na simu kwenye sehemu maarumu kwa rukhsa toka kwa maafisa wa magereza,tena simu zenyewe za magereza!
Mkuu, Magereza ya Ulaya simu wanaruhusiwa kwa mfano nchi za Scandinavian, Denmark, Sweden, kila wiki wafungwa wanapewa simu waongee na jamaa zao
Ni kweli anafanya kazi kubwa ya kulipa visasi!!Halafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
we nawe vipi, huna vya kuchangia? alishawahi kukutoa hilo baibui nini? coz si bureHalafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
iHalafu oohh Kikwete hafanyi kazi, mngemuona Liyumba jela kama si Kikwete?
Hivi shida ni mfungwa kuwa na access ya simu akiwa gerezani au kumpigia JK imekuwa nongwa? Nmba ya JK mbona aliiweka wazi kila anyetaka ampigie; tena hili tuliwa kulijadili sana humu jamvini na namba zenyewe zikatolewa,
mwambie kakako abebe demu wa mkwe're ndo utaelewa kwa nini Liyumba yupo ndani<br /><br />
<br /><br />
THEN WHAT??? IN SHORT JAMAA ANAWEZA KUPOTELEA HUKOHUKO UKONGA!!! SIJUI WANAGOMBEA NINI HAWA??? MAKE NASHANGAA MAFISADI ZAID YA LYUMBA WAPO KITAA WANAJIACHIA YEYE HUKOHUKO ANAONGEZEWA MAKOSA ASEE!TENA ANA BAHATI ANAZO KIDOGO ANGEKUWA KM BABU SEYA LIFE SENTENCE
duhu!!!!i<br />
<br />
Wizi wazaidi ya 200million eti miaka 2 jera afu hapo hapo Mkaka kijijini Bubuya aliyeiba ka kuku akakaa jera miaka 7.Hapo hapo jamaa ana simu jera na Mkaka anakalia chupa ya fanta na kulala na mtondoo. Kikwete amefanya ni i hapo? Tuseme wewe una ugonjwa wa akili au? Na kagondaje? Usisahau yule mtu wake anayetuhumiwa kuwa na Trillion 3 wakati nchi inachakachua noti mpya bila kubadilisha ili ziingie kwenye mzunguko ikiwa ni kufidia tundu la uchaguzi.