Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
f.. Yan
<br />Kuna kitu kipo hiden hapa! Mawasiliano ya rais na liyumba inawezekana sio ya leo ni tangu mda mrefu, sasa inawezeka kuna kitu wamepishana tu jamaa kaamua kumchomea kwa maafwande!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
YEEH NA JK ANAVYOPENDA VISASI LIYUMBA ANAWEZA KUONGEZEWA TENE 5 YRS OHOO
<br /><br /><br />
<br /><br />
akitoka atakua kama KINGUNGE
<br />Pole play boy
<br /><font color="#0000CD"><font size="3"><span style="font-family: comic sans ms">kweli watu wa ulinzi wa nchi hii wamelala, yaani mpaka mfungwa anamiliki vitu kama hivyo na bado walikuwa hawajui?!!!</span></font></font>
Hapa kuna tatizo na magezeza zetu. Mfungwa ana miliki simu hawajui. Hapa kuna usanii. Wachunguzwe vizuri.
Hapa kuna tatizo na magezeza zetu. Mfungwa ana miliki simu hawajui. Hapa kuna usanii. Wachunguzwe vizuri.
<br />Nasikia alikuwa anaificha kwenye tiGo cmu inyewe Nokia ya tochi