Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,553
- 9,530
Abiria huwa mnazingua sana pindi gari inapoharibika lawama kwa dereva kana kwamba yeye kataka liharibike jamani na sisi huwa tunapenda kuendesha chombo kikiwa ki zima ila ndiyo hivyo gari kuharibika ni kawaida ila wengi wenu huwa mnaenda mbali kutaka kutushushia kichapo sasa leo pambaneni na hilo gari