Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why dear
Turn it off mbona vitu rahisi tu!Autocorrect inaniudhi sana. Yaani huwezi andika ukatuma haraka lazima uihakiki mara kibao. Kama una haraka mhhh
jamani hizi simu za kutach tach hizi mbona majangaa
boss wa smile:mbona hukunipigia tena jana
smile: nilimaleza repooort usiku bosso nikaona muda huo utakuwa umelalwa sana
Nimesoma x3 lkn sijaelewa ktu.
BI DADA KANUNUA CM MPYA...
Screen touch..!!! Mdada : bebi
mambwo Jamaa : poa nambie
Mdada : vipw umelalwa? Jamaa:
unasemaje? Cjakuelewa hapo.
mdada : nauliza umelalwa? Jamaa:
mmmh! Cjalala baby hata ucngiz cna.
Mdada : mim menyew cjalwala ----
mijitu inapiga kelelw hapa nje kwetu
hadi inaboo wa. Jamaa: unasema
kumaa? Mdada : kuna kelelwe hapa
nje ya numba yetu usingwizi hakuna
kabwisa. Jamaa: hahaha pole huny.
Mdada : bwebi mbona unanichekwa
sasa? Jamaa: jaribu kuandika vizuri
baby. Mdada : hehehehwehwehwe.
Cunajua simu mupya alafu skirini
tachi kila nikibinya elufi hii inakuja
elufi ingine. Pwelo bebwi wangu.
Jamaa : hahhaaa haya
myn...