mi narudi zangu kwenye nokia ya tochi maana ninatoa matusi bila sababu mie
jamani hizi simu za kutach tach hizi mbona majangaa
boss wa smile:mbona hukunipigia tena jana
smile: nilimaleza repooort usiku bosso nikaona muda huo utakuwa umelalwa sana
Little angel story nimekosea hiyo quote ya kwanza dash majangaaa
usinikumbushe ya autocorrect
We acha ni majanga. Nimelazimika kujua japo naandika maneno mbovu mbovu hadi aibu mweee.
Autocorrect inaniudhi sana. Yaani huwezi andika ukatuma haraka lazima uihakiki mara kibao. Kama una haraka mhhh
Yani nachoka hadi basi mana wengine watu muhimu sana