simu za kutouch!

jamani hizi simu za kutach tach hizi mbona majangaa
boss wa smile:mbona hukunipigia tena jana
smile: nilimaleza repooort usiku bosso nikaona muda huo utakuwa umelalwa sana

usinikumbushe ya autocorrect
 
Nilinunua simu ya kutachi..nikawa na mpango wa kuacha kutumia yenye keypads..nilichoka mwanzo tu nilipoanza kufanya preliminary settings..kila nikigusa kinakuja kingine.
 
Nilinunua simu ya kutachi..nikawa na mpango wa kuacha kutumia yenye keypads..nilichoka mwanzo tu nilipoanza kufanya preliminary settings..kila nikigusa kinakuja kingine.

Yani nachoka hadi basi mana wengine watu muhimu sana
 
Back
Top Bottom