Simu za kununua mkononi hatari utakamatwa kama huyu

mopaozi

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
3,301
519
Kuna software zinawekwa kwny simu kazi yk ni kutrace simu ikiibiwa na kujua mtumiaji na kila anachofanya hata ubadili line bado itakutrace tuu kuna jamaa alinunua iphone 4S mtaani(mkononi) akaanza kuitumia kumbe ile simu iliibiwa kwa kobosile wa kampuni ya simu **** simu ilikuwa imewekewa hii softwr jamaa alipoweka tu line kila kitu alichokuwa anafanya kikaonekana kilichofanyika aliripotiwa polisi mtego ukaandaliwa akapigiwa simu kutoka kwny hy kampuni ya simu*** akajulishwa ameshinda zawadi ktk promotion iliyokuwa inafanyika akaambiwa atinge amependeza ili aweze kupigwa picha kwa kushinda donge nono jamaa akakurupuka na suti kali kufika akapokelewa akajazishwa fomu then akaambiwa aingie chumba apigwe picha kuingia wajedda wamejaa wakamtia nguvuni ktk mahojiano akadai kuwa ameuziwa simu kwa Tsh 300,000 na masela wa kitaa hata hawajui Kibosile alitamani kulia kusikia simu aliyonunua kwa bei mbaya imeuzwa kama deki ya tv!!jamaa sasa ana kesi na.**** ktk mahakama ya *** kwa kosa la kununua mali ya wizi tujihadhari sana kwa hizi simu za mkononi kitaani usichekelee kupata ubweche yatakayokukuta utajuta unawz kupata na murder case hv hv unashangaa kipoyoyo!
 
Kununua simu za mtaani ni ku-promote wizi wa simu, hivyo yatakayokukuta ni halali yako. Unaponunua simu mtaani kwa bei poa unahalalisha watu waendelee kuibiwa simu. Wazi wa simu watakapoona hazinunuliwi wataacha. Hivyo toa mchango wako kuzuia wizi wa simu - usinunue simu mtaani.
 
hizo kitu zipo na dawa yke ni kuifrash fasta tu ukiikamata
 
Hata ukiflash hakuna kitu inaingia kwny OS labda uflash kila kitu ubaki nayo kama kopo umpe mtoto achezee toyy!
 
Mbona mimi ndio zangu hizo kununua masimu ya wizi alafu nayageuza ipod hata miaka mitatu yaani nakuwa natumia kusikilizia muziki tuu na kamera!!!
 
Kuna software zinawekwa kwny simu kazi yk ni kutrace simu ikiibiwa na kujua mtumiaji na kila anachofanya hata ubadili line bado itakutrace tuu kuna jamaa alinunua iphone 4S mtaani(mkononi) akaanza kuitumia kumbe ile simu iliibiwa kwa kobosile wa kampuni ya simu **** simu ilikuwa imewekewa hii softwr jamaa alipoweka tu line kila kitu alichokuwa anafanya kikaonekana kilichofanyika aliripotiwa polisi mtego ukaandaliwa akapigiwa simu kutoka kwny hy kampuni ya simu*** akajulishwa ameshinda zawadi ktk promotion iliyokuwa inafanyika akaambiwa atinge amependeza ili aweze kupigwa picha kwa kushinda donge nono jamaa akakurupuka na suti kali kufika akapokelewa akajazishwa fomu then akaambiwa aingie chumba apigwe picha kuingia wajedda wamejaa wakamtia nguvuni ktk mahojiano akadai kuwa ameuziwa simu kwa Tsh 300,000 na masela wa kitaa hata hawajui Kibosile alitamani kulia kusikia simu aliyonunua kwa bei mbaya imeuzwa kama deki ya tv!!jamaa sasa ana kesi na.**** ktk mahakama ya *** kwa kosa la kununua mali ya wizi tujihadhari sana kwa hizi simu za mkononi kitaani usichekelee kupata ubweche yatakayokukuta utajuta unawz kupata na murder case hv hv unashangaa kipoyoyo!

Nlimsikia rafiki yako wa Clouds Fm bwana Gerald Hando akikipa promo hicho kifaa
 
Kuna software zinawekwa kwny simu kazi yk ni kutrace simu ikiibiwa na kujua mtumiaji na kila anachofanya hata ubadili line bado itakutrace tuu kuna jamaa alinunua iphone 4S mtaani(mkononi) akaanza kuitumia kumbe ile simu iliibiwa kwa kobosile wa kampuni ya simu **** simu ilikuwa imewekewa hii softwr jamaa alipoweka tu line kila kitu alichokuwa anafanya kikaonekana kilichofanyika aliripotiwa polisi mtego ukaandaliwa akapigiwa simu kutoka kwny hy kampuni ya simu*** akajulishwa ameshinda zawadi ktk promotion iliyokuwa inafanyika akaambiwa atinge amependeza ili aweze kupigwa picha kwa kushinda donge nono jamaa akakurupuka na suti kali kufika akapokelewa akajazishwa fomu then akaambiwa aingie chumba apigwe picha kuingia wajedda wamejaa wakamtia nguvuni ktk mahojiano akadai kuwa ameuziwa simu kwa Tsh 300,000 na masela wa kitaa hata hawajui Kibosile alitamani kulia kusikia simu aliyonunua kwa bei mbaya imeuzwa kama deki ya tv!!jamaa sasa ana kesi na.**** ktk mahakama ya *** kwa kosa la kununua mali ya wizi tujihadhari sana kwa hizi simu za mkononi kitaani usichekelee kupata ubweche yatakayokukuta utajuta unawz kupata na murder case hv hv unashangaa kipoyoyo!
Hiyo inatumika kwenye iPhone 4 & 4s mkuu. You can actually set it to where it can pin point user's location. Teknolojia hatari kweli siku hizi.

Nilipoiona post yako nikafikiri ni moja ya stori ambayo nilishuhudia juzi kati uMwela wakimchukua jamaa pale Mwenge.
Jamaa ni muuza nyama (Butcher) pale Mwenge. Alinunua simu ya wizi, bahati nzuri huyo mtu aliyemuuzia anamfahamu.
Kumbe mmiliki wa simu aliuawa na majambazi Siku chache nyuma. Kwa huyu ndugu zake na Polisi walikuwa wanafanya mchakato wa kuipata,ilikuwa ni iPhone4. Jamaa (muuza bucha) alishindwa kutoa chip kwenye simu kwa kuwa hakujua inatolewaje (kwa mnaoijua iPhone4 mtanielewa) Kama sio mtundu itakusumbua.

Ndugu wa marehemu na Polisi walipiga ile namba na Yule muuza bucha wakawa wanawasiliana nae kuhusu kufanya utaratibu wa kuirudisha hiyo simu watamrudishia hela yake na cha juu Kama kifuta jasho. Jamaa akawaelekeza mpaka Mwenge. Siku hiyo ilikuwa jumamosi ...wakati naingia buchani ndio nakuta hekaheka zinaishia Mwela wanampandisha Land Cruiser wanaondoka nae. Jamaa ametoka huko alikokuwa Jumatatu ya wiki hii baada ya Polisi kumpata aliyemuuzia simu na kuridhika na uchunguzi kwamba jamaa hakuusika na mauaji.

Sasa hivi jamaa hata Pen ya kuuziwa mkononi hanunui. Tuwe makini bandugu..cheap is always expensive. Unaponunua hizi simu za mkononi especially hizi "Smart phones" tuwe makini sana.
 
Hv mtu ujiulize kwanza simu ya 1.5m unauzw kwa sh 400000 na bado unanunua unaitoa hadharani kujishebedua kuwa uko juu ukikamatwa wewe shaurilako acheni kununua simu nendeni dukani mkunjue tu kama huna nunua nokia tochi uishi kwa amani ya nini ununue iphone uishi kama mkimbizi ktk nchi yako tafakari chukua hatua
 
wanapobuni mbinu za kuzuia wezi nao wanabuni za kuwaibia,mujini akili ku kichwa
 
Mimi nilinunua matairi ya Lorry Michelin, yalikuwa yamefungwa dar, nikayanunulia Moro....
jamaa walinikamata Sinza...walikuwa wameyawekea hii software nini?? dah!!!.......

Dah!!!
 
Ukininunua Simu ya magumashi flush it, there is no way they can trace it NO WAY ..... Hata Kama Ina hiyo program it will go away .... Tunzeni Simu zenu, zikichapwa Mie Nanunua, wejeni program zote mnazojua, Kama mwanadamu anapata ajali kichwa kinapoteza kumbukumbu Itakua machine ....


Kuna software zinawekwa kwny simu kazi yk ni kutrace simu ikiibiwa na kujua mtumiaji na kila anachofanya hata ubadili line bado itakutrace tuu kuna jamaa alinunua iphone 4S mtaani(mkononi) akaanza kuitumia kumbe ile simu iliibiwa kwa kobosile wa kampuni ya simu **** simu ilikuwa imewekewa hii softwr jamaa alipoweka tu line kila kitu alichokuwa anafanya kikaonekana kilichofanyika aliripotiwa polisi mtego ukaandaliwa akapigiwa simu kutoka kwny hy kampuni ya simu*** akajulishwa ameshinda zawadi ktk promotion iliyokuwa inafanyika akaambiwa atinge amependeza ili aweze kupigwa picha kwa kushinda donge nono jamaa akakurupuka na suti kali kufika akapokelewa akajazishwa fomu then akaambiwa aingie chumba apigwe picha kuingia wajedda wamejaa wakamtia nguvuni ktk mahojiano akadai kuwa ameuziwa simu kwa Tsh 300,000 na masela wa kitaa hata hawajui Kibosile alitamani kulia kusikia simu aliyonunua kwa bei mbaya imeuzwa kama deki ya tv!!jamaa sasa ana kesi na.**** ktk mahakama ya *** kwa kosa la kununua mali ya wizi tujihadhari sana kwa hizi simu za mkononi kitaani usichekelee kupata ubweche yatakayokukuta utajuta unawz kupata na murder case hv hv unashangaa kipoyoyo!
 
Laiti kama vifaa hivi vingewekwa kwenye cmu zote ingekuwa poa sana, maana cmu za mazabe ni nyingi sana mtaani na watu wengi wananunua hizo cmu maana hata bei yake ni poa
 
Kuna software zinawekwa kwny simu kazi yk ni kutrace simu ikiibiwa na kujua mtumiaji na kila anachofanya hata ubadili line bado itakutrace tuu kuna jamaa alinunua iphone 4S mtaani(mkononi) akaanza kuitumia kumbe ile simu iliibiwa kwa kobosile wa kampuni ya simu **** simu ilikuwa imewekewa hii softwr jamaa alipoweka tu line kila kitu alichokuwa anafanya kikaonekana kilichofanyika aliripotiwa polisi mtego ukaandaliwa akapigiwa simu kutoka kwny hy kampuni ya simu*** akajulishwa ameshinda zawadi ktk promotion iliyokuwa inafanyika akaambiwa atinge amependeza ili aweze kupigwa picha kwa kushinda donge nono jamaa akakurupuka na suti kali kufika akapokelewa akajazishwa fomu then akaambiwa aingie chumba apigwe picha kuingia wajedda wamejaa wakamtia nguvuni ktk mahojiano akadai kuwa ameuziwa simu kwa Tsh 300,000 na masela wa kitaa hata hawajui Kibosile alitamani kulia kusikia simu aliyonunua kwa bei mbaya imeuzwa kama deki ya tv!!jamaa sasa ana kesi na.**** ktk mahakama ya *** kwa kosa la kununua mali ya wizi tujihadhari sana kwa hizi simu za mkononi kitaani usichekelee kupata ubweche yatakayokukuta utajuta unawz kupata na murder case hv hv unashangaa kipoyoyo!

Okii format hiyo security software inafutika so sio solution ya kuitegemea sana
 
Mimi nilinunua matairi ya Lorry Michelin, yalikuwa yamefungwa dar, nikayanunulia Moro....
jamaa walinikamata Sinza...walikuwa wameyawekea hii software nini?? dah!!!.......

Dah!!!

Duhh we jamaa ni noumer software kwny matairi duhhh!!
 
Hata ukiflash hakuna kitu inaingia kwny OS labda uflash kila kitu ubaki nayo kama kopo umpe mtoto achezee toyy!

Kuflash kazi bure! Kuna IMEI ambazo ndio kitambulisho cha simu! Yani hapo nisawa na alama za dole gumba! Utanyakwa tu!
 
Kuflash kazi bure! Kuna IMEI ambazo ndio kitambulisho cha simu! Yani hapo nisawa na alama za dole gumba! Utanyakwa tu!
Asante kwa kuwaelimisha hawa majangiri wa simu. Tokea wamejua kuflush wao kila kitu ni kuflush tuu!! IMEI ni moja ya vitu muhimu. Basi tu haya majangiri ya simu huwa yanatuibia sisi wenye Nokia Tochi,yakikutana na mbabe Mwenye iPhone na smart phones ndio huwa yanashikwa kama shorwe bwenzi kwenye ulimbo.
 
Back
Top Bottom