mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
Kuna software zinawekwa kwny simu kazi yk ni kutrace simu ikiibiwa na kujua mtumiaji na kila anachofanya hata ubadili line bado itakutrace tuu kuna jamaa alinunua iphone 4S mtaani(mkononi) akaanza kuitumia kumbe ile simu iliibiwa kwa kobosile wa kampuni ya simu **** simu ilikuwa imewekewa hii softwr jamaa alipoweka tu line kila kitu alichokuwa anafanya kikaonekana kilichofanyika aliripotiwa polisi mtego ukaandaliwa akapigiwa simu kutoka kwny hy kampuni ya simu*** akajulishwa ameshinda zawadi ktk promotion iliyokuwa inafanyika akaambiwa atinge amependeza ili aweze kupigwa picha kwa kushinda donge nono jamaa akakurupuka na suti kali kufika akapokelewa akajazishwa fomu then akaambiwa aingie chumba apigwe picha kuingia wajedda wamejaa wakamtia nguvuni ktk mahojiano akadai kuwa ameuziwa simu kwa Tsh 300,000 na masela wa kitaa hata hawajui Kibosile alitamani kulia kusikia simu aliyonunua kwa bei mbaya imeuzwa kama deki ya tv!!jamaa sasa ana kesi na.**** ktk mahakama ya *** kwa kosa la kununua mali ya wizi tujihadhari sana kwa hizi simu za mkononi kitaani usichekelee kupata ubweche yatakayokukuta utajuta unawz kupata na murder case hv hv unashangaa kipoyoyo!