adsense master
Senior Member
- Mar 12, 2019
- 107
- 171
Habari wakuu, naomba msaada wenu,
Aisee hii simu haitaki kusoma 4G kwa line ya Voda while the chip is 4G, llakini line nyingine ziko poa kabisa.
Msaada nifanye nini?
Aisee hii simu haitaki kusoma 4G kwa line ya Voda while the chip is 4G, llakini line nyingine ziko poa kabisa.
Msaada nifanye nini?