IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 748
- 771
Wakuu habari zenu natumai wote mkosalama,
Samahani wakuu Nina simu aina ya Tecno W5 kamera yake ya mbele inazingua inaweka ukungu haionyeshi vizur picha sasa nilikua naulizia kua kuna uwezekano wa kuibadilishia camera nyingine?
kama ni ngumu basi niombe kama mtu umu mwenye simu kama hii mbovu ninashida na camera tu.
Natumai nimeleweka nashukuruni
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani wakuu Nina simu aina ya Tecno W5 kamera yake ya mbele inazingua inaweka ukungu haionyeshi vizur picha sasa nilikua naulizia kua kuna uwezekano wa kuibadilishia camera nyingine?
kama ni ngumu basi niombe kama mtu umu mwenye simu kama hii mbovu ninashida na camera tu.
Natumai nimeleweka nashukuruni
Sent using Jamii Forums mobile app