Mi niliulizaga nkaambiwa etii inapata moto pale unapoitumia huku unaichaji ikabdi niwe naiacha kwanza ila tatizo ndo lipo pale pale!hee mpaka naogopaga isije ikanilipukia!
Ebu bonyeza *#06#ok ktk simu yako.zitaonekana namba za siri (IMEI) ziko zaidi ya 15.chagua nane za mwanzo.ktk hizo nane angalia kama namba ya nne na tano ni 00 au 01 hiyo maana yake simu yako ni orijino la,basi simu yako ni for temporary usage
Habari wana JF naombeni mnisaidie katika hili.Natumia Huawei y300 tatizo linakuja inapata sana moto napoiweka kwenye charge na napoitumia hasa inapata moto kwenye betri.Msaada Tafadhali nifanyaje???
Hiyo ni hatari kuna siku itakupasukia vipande vipande.Niliwahi kushuhudia kwa macho yangu ikimuunguza dada mmoja matiti.Ni cancer ya hatari hiyo.
Hili nishalifanya ila nikiiwasha nikianza kuitumia upande wa internet inapata moto sana mpaka wakati mwingine naiogopa...
Wewe ikipata moto tuu,iweke kwenye friji au kwenye maji baridi ili ipoe