Jaribu kuiweka kwenye deep freezer tuone kama itaendelea kupata moto.Habari JF store natumia Huawei y 300 tatizo linakuja inapata sana moto napoiweka kwenye charge au pale napoitumia hasa betri ndo inayopata sana moto..Msaada tafadhali.
Jaribu kuiweka kwenye deep freezer tuone kama itaendelea kupata moto.
Ikiendelea ripoti haraka kwa mtaalamu wa simu, anayetibu simu za aina zote kwa kutumia tindikali
Acha ubwege siyo face book hku unakuwa kama mtoto vile kumbe jitu na midevu yake ya kutosha
Habari JF store natumia Huawei y 300 tatizo linakuja inapata sana moto napoiweka kwenye charge au pale napoitumia hasa betri ndo inayopata sana moto..Msaada tafadhali.
Me nauliza,hivi kusajili laini napaswa kulipia?????
Leo nimeenda kwa wakala mmoja wa airtel nimempa laini yangu nikamwambia nataka niisajili akanitoza pesa,jamani hivi usajili wa line na pesa???
Nimesita kumpa pesa nikaondoka na laini yangu
Hakuna cha bure dunian
sawa Dr. Pumz hiyo ulijaziwa tumboni unailipia kama luku
kuna vitu viwili vinavyoweza kusababisha tatizo hilo kwanza simu yenyewe au betri peke yake, kwa upande wa btri maelezo ni hayo kama walivyokupa waliotangulia kwa upande wa sim ni la kiufundi zaidi inabidi ukamuone mtaalam aliebobea ktk matatizo ya namna hiyo kwani si mafundi wote wana utaalam huo.
Piga customer Care ya airtel watakujibu.Me nauliza,hivi kusajili laini napaswa kulipia?????
Leo nimeenda kwa wakala mmoja wa airtel nimempa laini yangu nikamwambia nataka niisajili akanitoza pesa,jamani hivi usajili wa line na pesa???
Nimesita kumpa pesa nikaondoka na laini yangu