Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 634
- 1,535
Habarini bandugu Ni hii simu yangu aina ya samsung galaxy A02s leo imeniponyoka kutoka mkononi urefu ni saizi ya kiuno imefikia kwenye malumalu imepata nyufa za kutosha kwenye kioo kubwa kuliko screen protector niliyo iweka ya sh 3000 haija pasuka ila kioo cha simu sasa kimekua kama wavu wa spider man