Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,689
- 63,435
Kumbe ilikua ni zamani.Nilifanikiwa kuhard reset kabla ya white screen. Baada ya kuhard reset siku za mbele ndiyo likaja tatizo kubwa la white screen.
Nilipokuwa nahard reset niliona:
-Reboot
-Power off, na
-Factory reset
Kama haukujaribu kuiflash simu ilienda kwenye huo weupe yenyewe hiyo ni kesi ya konekta ya kioo na soketi au kioo chenyewe kimekua manjegeka.
Nenda kwa fundi.