Mtoa mada anajiona mtunzaji kuwa na simu ya zamani hadi leo, hizo dubai saivi zinauzwa kwa mafunguAliyeelewa
Kwahiyo kainunua dubai.Mtoa mada anajiona mtunzaji kuwa na simu ya zamani hadi leo, hizo dubai saivi zinauzwa kwa mafungu
Hiyo simu ilijulikana kwa jina maarufu "twanga pepeta" . Kuna jamaa yangu miaka hiyo aliidondosha kutoka juu umbali wa floor ya tatu ilianguka alipokuwa anajaribu kuitoa mfukoni ikiwa inaita alishuka ngazi kwenda chini angalau achukue betri tuu maana alijua ataikuta vipande,lakini Cha ajabu aliikuta bado inaita.