no nm
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 212
- 32
Nimejaribu:
1. Nikitumia miracle box inafeli kwenye "downloading boot 8" then inajifunga.
2. Kuweka custom ROM kwa sp - flash tool, nimefeli.
3. Nime apply update kutoka kwenye sim card inagoma.
4. Nimetumia mobile uncle apk ku restore IMEI kutoka kwenye bak file sijafanikiwa.
5. Nimetumia sn-write tool na yenyewe inafeli.
6. NCK dongle nayo nimeitumia lakini sijafanikiwa.
Msaada wenu wataalamu wa mambo.
1. Nikitumia miracle box inafeli kwenye "downloading boot 8" then inajifunga.
2. Kuweka custom ROM kwa sp - flash tool, nimefeli.
3. Nime apply update kutoka kwenye sim card inagoma.
4. Nimetumia mobile uncle apk ku restore IMEI kutoka kwenye bak file sijafanikiwa.
5. Nimetumia sn-write tool na yenyewe inafeli.
6. NCK dongle nayo nimeitumia lakini sijafanikiwa.
Msaada wenu wataalamu wa mambo.